Raymanu KE
JF-Expert Member
- Jan 20, 2022
- 10,163
- 18,849
Sasa Martinez Kama kaumia ulitaka aendelee kucheza?
Ila ndio football lakin the one with quality ata decided the match ... Yani tunatoa Martinez na lindelof kwa john evans na Maguire mpaka hapo mashabik wa man utd tulijua mshashinda
Sababu hatuna quality bench compare na wao
Sababu za kufungwa ni upangiliaje mchezo wa kocha martial mzito sana...sub ikitokea ya Antony unajua uwanja utainama maana jamaa anajua kurudi kufanya ball carrier kupokonya mipira kupeleka mbele...kuhusu center back ndio itilafu Martinez hawez cheza mechi nzima kawa pancha sana + varane pia hi duo sasa hivi ni hospital mates

Arsenal tulizalisha xG ya 2.53 dhidi ya 0.98 man united ,Two big chances Kai & Saka
“He’s very weak defensively. Offensively, he isn’t top drawer.”
“When you sign a player you’ve managed, you’ve rubber stamped him.”