Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Sasa Martinez Kama kaumia ulitaka aendelee kucheza?
Ila ndio football lakin the one with quality ata decided the match ... Yani tunatoa Martinez na lindelof kwa john evans na Maguire mpaka hapo mashabik wa man utd tulijua mshashinda
Sababu hatuna quality bench compare na wao

Sababu za kufungwa ni upangiliaje mchezo wa kocha martial mzito sana...sub ikitokea ya Antony unajua uwanja utainama maana jamaa anajua kurudi kufanya ball carrier kupokonya mipira kupeleka mbele...kuhusu center back ndio itilafu Martinez hawez cheza mechi nzima kawa pancha sana + varane pia hi duo sasa hivi ni hospital mates
 
Kosa la glazer ni lipi?

Wamempa pesa huyo jasusi kaenda kusajili wahuni tu.

Onana ana kipi cha kumzidi degea?View attachment 2738231
Ety kosa la glazers ni lipi, unaleta utani kwa mambo yaliyo serious, kwa akili yako unafikiri degea Ana kipi! Cha kumzidi onana au unafikiri mpira wa sasa utahitaji makipa walio shot stoper tu.

Hao glazers hukumbuki interview ya Cristiano Ronaldo.
 
Pamoja kupoteza mechi lakini team inazidi kubadilika.

Mosi ni suala muda tu huyu dogo number 9 akizoea mfumo ni hatari sana.urefu wake na skill ni tatizo kubwa kwa team pinzani zs baadae.

Onana katengeneza confidence kubwa back 4 isipokuwa tupunguze mipira ya nyuma.

Baada ya mechi za kimataifa tutaanza kuona Man.
 
Mkuu mimi hili suala la VAR linanichanganya kila siku. Hawa waamuzi wa VAR wakiwa wanarudia utaona kabisa mstari sio perpendicular ila kama unatengeneza angle aidha ndogo kuliko nyuzi 90 au kubwa kuliko nyuzi 90 halafu wanahitimisha kuwa ni offside au la. Mfano mzuri ni offside ya goli la Garnacho,mstari haukuwa nyuzi 90 bali ulilala ndio maana maamuzi yalikuja vile refa alivyotaka.

Hata hii picha yako mkuu asahd mstari haukunyooka ila umelala kidogo kumfuata beki wa mwisho wa arsenal,labda kama mstari wa pembeni haiko sawa sana.

Hata uwe gk bora namna gani? Mbele yako wakiwekwa mabeki kama wale lazima uumie
 
IMG_0897.jpg



Hapa kuna mtu sijui sasa rashford na anthony kama wataweza kwenda nae sambamba wakiacha ubinafsi hili ni tatizo pale mbele ni moto haswaa kuna beki jana kaacha mpira kamdaka mwili mzima kwenye 18

Rasmus Højlund
 
Hii nafasi ilikua goli kabisa jamaa huwa simkubali sababu ya uselfish na utoto wake.
Rasmus alimaind kwenye hii move. Baada ya Rashid kupiga ule mpira ukaishia kwa mabeki akarusha mikono juu kwa hasira,yaan ingekuwa inawezekana kuingia ndani ya Tv basi jana ningeingia nkampige mawe yule umbwa Rashid
 
#Arsenal tulimaliza mechi na 55% possession, but mashabiki wa manjesta wanadai walicheza vizuri

Arsenal tulizalisha xG ya 2.53 dhidi ya 0.98 man united ,Two big chances Kai & Saka

Tulipiga 209 passes katika final third ya manjesta wakati wao walipiga pass 74 tu kwenye final third ya Arsenal,kwa dakika 100

Ni 16% tu ya pass zote za man united ndio walipiga kwenye final third ya Arsenal ,nyingine zote walipiga kwenye backline Yao na chache eneo la kiungo , compared to Arsenal walipiga 40 % ya pass zote kwenye final third ya man u

Key area domination.
 
Alan Pardew anaungana na Mimi Kama mchambuzi nguli kuhusu Anthony

“He’s very weak defensively. Offensively, he isn’t top drawer.”

“When you sign a player you’ve managed, you’ve rubber stamped him.”

Alan Pardew believes Antony’s poor form reflects badly on Erik ten Hag
 
Back
Top Bottom