Tumepoteza 3-1 bro, hakuna positivity yyte ukisha poteza, tutaendelea kujifariji mpaka lini? Mwenzetu wanaondoka na point tatu si tunapiga ndulu tu
Angalia hata mazingira ya kupoteza ile mechi ukianza kwa upande wa kikosi na sub kocha wakati dirisha halijafungwa alitaka sana wachezaj beki, kiungo na mshambuliaji anapata mshambuliaju kabla dirisha kufungwa wiki moja anapata kiungo wa mkopo siku moja dirisha kufungwa
Vanare majuruhi
Maino majeruhi
Mount majeruhi
Martinez anaumia dakika ya 66
Scott majeruhi
Wakat arsenal wanamkosa partey tu na hapo marefa wamevulunda balaa had unapata ukakasi ukiseka kocha na timu walicheza hovyo
Bek wa arsenal kamdaka kwenye 18 Rasmus Højlund goli la ganacho linakataliwa hapo kumbuka timu zikiwa 1-1 arsenal wanapata kona ambayo haikuwa kona wanapata goli mech inabadilika kutokana na maamuz ya hovyo unategemea refa angekuwa sahihi wangechomoka?
Angalia sub kuna maguire na evans na kiungo wa kuongeza nguvu yupo Hannibal Mejbri ktk bench
Utaniambia kocha hakuwa na mbinu ikiwa timu ipo nyumban kwake na bado inapata fluke goals?
Ukiangalia kwa upana huo utagundus kabisa vijana mpira walicheza hata takwimu hazikupishana sana
Kwa kikosi kile kilichocheza jana ukiwa ugenini kwa city na liverpool walahi tumepona sana si chini ya goli 5 eriksen kacheza dakika 90 na alimudu kiasi chake hii timu bado sana ktk uongozi wa mpira tumeachwa mbali sana na liverpool na city
Itachukua hata miaka 3 angalau kuanza kuwakaribia city na liverpool
Sina ugomv na kocha nina uhakika akipata watu makini ni moto sana nakuhakikishia mkuu
Hadi muda timu zinazocheza kibingwa na kwa ufanisi yaani ukomavu ni liverpool na city unajua kabisa hapa kuna kitu hata kukutana nao na maumivu timu hii ina masihara sana eneo la kiungo nivutiwa sana na viungo wa hizo timu mbili wanacheza kiume sana sitashangaa tena city kubeba ubingwa au liverpool