Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Jaribu, kukua na kujiheshimu sawa, kwanza wew ni mshabiki wa arsenal, mda wote humo humu kupost utumbo tu na kupitia comment zako huna unachokijua kuhusu mpira. Huyu 10hag sio kocha mbaya kama unavyozania wew tatizo kubwa la man united linaanzia kwa wamiliki glazers.

Kama unahoja nzuri za uchambuzi Leta hapa hakuna anayepinga hilo.lakini sio kila uchao unatuletea mipasho ya kike.

Kosa la glazer ni lipi?

Wamempa pesa huyo jasusi kaenda kusajili wahuni tu.

Onana ana kipi cha kumzidi degea?
IMG_4719.jpg
 
Huyu kipa ni comedi tupu
Huyu alifaa awe kiungo

Sio shot stopper mzuri ,

Ni mzuri kwenye footwork ndio maana Arsenal hatukuwa tuna press hard ,hii ilisababisha wa possess Sana mpira eneo lao tu la backline

Nadhan kipindi Cha kwanza wameingia box la Arsenal mara 1 au 2 tu
20230903_215600.jpg
 
Mike Dean on Alejandro Garnacho's disallowed goal:


"Technology cannot put the lines in the wrong place — it’s an offside."
 
Tumepoteza 3-1 bro, hakuna positivity yyte ukisha poteza, tutaendelea kujifariji mpaka lini? Mwenzetu wanaondoka na point tatu si tunapiga ndulu tu

Angalia hata mazingira ya kupoteza ile mechi ukianza kwa upande wa kikosi na sub kocha wakati dirisha halijafungwa alitaka sana wachezaj beki, kiungo na mshambuliaji anapata mshambuliaju kabla dirisha kufungwa wiki moja anapata kiungo wa mkopo siku moja dirisha kufungwa
Vanare majuruhi
Maino majeruhi
Mount majeruhi
Martinez anaumia dakika ya 66
Scott majeruhi

Wakat arsenal wanamkosa partey tu na hapo marefa wamevulunda balaa had unapata ukakasi ukiseka kocha na timu walicheza hovyo

Bek wa arsenal kamdaka kwenye 18 Rasmus Højlund goli la ganacho linakataliwa hapo kumbuka timu zikiwa 1-1 arsenal wanapata kona ambayo haikuwa kona wanapata goli mech inabadilika kutokana na maamuz ya hovyo unategemea refa angekuwa sahihi wangechomoka?

Angalia sub kuna maguire na evans na kiungo wa kuongeza nguvu yupo Hannibal Mejbri ktk bench

Utaniambia kocha hakuwa na mbinu ikiwa timu ipo nyumban kwake na bado inapata fluke goals?

Ukiangalia kwa upana huo utagundus kabisa vijana mpira walicheza hata takwimu hazikupishana sana

Kwa kikosi kile kilichocheza jana ukiwa ugenini kwa city na liverpool walahi tumepona sana si chini ya goli 5 eriksen kacheza dakika 90 na alimudu kiasi chake hii timu bado sana ktk uongozi wa mpira tumeachwa mbali sana na liverpool na city

Itachukua hata miaka 3 angalau kuanza kuwakaribia city na liverpool

Sina ugomv na kocha nina uhakika akipata watu makini ni moto sana nakuhakikishia mkuu

Hadi muda timu zinazocheza kibingwa na kwa ufanisi yaani ukomavu ni liverpool na city unajua kabisa hapa kuna kitu hata kukutana nao na maumivu timu hii ina masihara sana eneo la kiungo nivutiwa sana na viungo wa hizo timu mbili wanacheza kiume sana sitashangaa tena city kubeba ubingwa au liverpool
 
Kama unaona vile mmejitahidi Basi bado mna safari ndefu

Arsena hawana tofauti na brighton nakuhakikishia ni timu ya daraja la kati unaweza kubisha kishabiki ila ukikaa chini ukatuliza akili hamna mchezaj ambae unaweza kusema huyu ni top player iliwachukua dakika 96 kufurukuta mbele ya evans na maguire katikati akiwa eriksen
 
Arsena hawana tofauti na brighton nakuhakikishia ni timu ya daraja la kati unaweza kubisha kishabiki ila ukikaa chini ukatuliza akili hamna mchezaj ambae unaweza kusema huyu ni top player iliwachukua dakika 96 kufurukuta mbele ya evans na maguire katikati akiwa eriksen
Kwahiyo kumbe shida yako ulitaka mfungwe dakika za mwanzo ?

Huyo magwaya na Evans si wachezaji wenu

Kocha WENU si kapewa £450m kiasi hicho hicho ndio ametumia Mikel had Sasa,


XG

Arsenal (2.53) 3-1 (0.98) Man Utd



20230903_215600.jpg
 
Arsena hawana tofauti na brighton nakuhakikishia ni timu ya daraja la kati unaweza kubisha kishabiki ila ukikaa chini ukatuliza akili hamna mchezaj ambae unaweza kusema huyu ni top player iliwachukua dakika 96 kufurukuta mbele ya evans na maguire katikati akiwa eriksen
Wadanganye tu wenzio , Brighton anakuja kuwapiga za kutosha

Timu inataka kufunga magoli kwa kuvizia kaunta,
 
Kwahiyo kumbe shida yako ulitaka mfungwe dakika za mwanzo ?

Huyo magwaya na Evans si wachezaji wenu

Kocha WENU si kapewa £450m kiasi hicho hicho ndio ametumia Mikel had Sasa,


XG

Arsenal (2.53) 3-1 (0.98) Man Utd



View attachment 2738322

Arteta ana miaka 4 bado hajaweza kucheza mpira wa kushawish kama anaweza kubeba ubingwa ipi thamani ya kutotumia pesa? Mbona sioni faida had muda huu arsenal haipo daraja la city wala liverpool
 
Timu yako goli zote mbili hazina mipango ukiacha la kwanza unawezaje kupost utoto huo?
Yani mashabiki wa arsenal hata aibu hawana kwa mpira ule matokeo ya 3-1 ushindi wa papatu papatu basi wana amini tutakimbia jukwaa dah

Yani mtu umeona kabisa sub zile zimekupa mwanya bila hivo chao wasingekuwa nacho jana
 
Chelsea ni mbovu ila Manchester utd ni mbovu sana ilishaoza kitambo sana kibaya zaidi bado wanadhani wako enzi za Ferguson
20230904_083547.jpg
 
Yani mashabiki wa arsenal hata aibu hawana kwa mpira ule matokeo ya 3-1 ushindi wa papatu papatu basi wana amini tutakimbia jukwaa dah

Yani mtu umeona kabisa sub zile zimekupa mwanya bila hivo chao wasingekuwa nacho jana

Hawajagundua had muda huu mpira wanaocheza ni kaliba ya brighton hawaoni kama city yupo mbali sana kutaka kuchukua ubingwa miaka 4 hamna hata dalili ya timu kutawala soka la uingereza bado wanasumbuliwa na eriksen katikati na wanataka uefa na epl kwa ile level aiseee
 
Back
Top Bottom