Hii sasa haitakua nzr kwa Dressing room.Kuna mpya gani Unyumbuni? View attachment 2738099
ni sawa kocha kusema hadharani kuhusu sancho vile ? na nikosa sancho kujibu hadharani ?Ten hag na vijana wake wa ajax wanachekesha sana![]()
Dogo unakatwa na baba levo, punguza mambo ya photoshopRashford anakubaliana na Sancho kuwa 7hag Ni muongo View attachment 2738062
kongole mkorea hapa umeongea kama shabiki wa kweli wa soka sio ndugu yako Masingeli yeye ni kukandia mwanzo mwisho.

mnataka kusifiwa ujinga enhee Ni Sawa kabisani sawa kocha kusema hadharani kuhusu sancho vile ? na nikosa sancho kujibu hadharani ?
Pochetino anaangusgwa na eneo la GK ,na average players wengi , ukiangalia anacheza kwa mipango kuliko 7hagOkey
But so far ten hag anaweza akafanya vizuri kuliko pochetino ambae unamkubali, kila siku unawaambia Kenge wampe muda
Nilichokiona kwa ten hag ni aina ya makocha wazuri kutafuta matokeo
Ten hag ana u-jose Mourinho flani hivi kwa mbali
Una smartphone ila hujui kuitumiaumeitoa wapi mbona kwenye account PR hakuna
Sancho anasema 7hag Ni muongoKuna mpya gani Unyumbuni? View attachment 2738099
Kama unaona vile mmejitahidi Basi bado mna safari ndefuNimeangalia mechi ya leo sikutegemea kama vijana wangejitahidi kiasi kile wamecheza vizur kwa upande wangu sijaona baya huyu Rasmus Højlund ana kitu Tusubiri Amrabat tuone ila narudia Rasmus Højlund ana kitu goli la ganacho lilikataliwa alifanya muunganiko mzur sana
Tumepoteza 3-1 bro, hakuna positivity yyte ukisha poteza, tutaendelea kujifariji mpaka lini? Mwenzetu wanaondoka na point tatu si tunapiga ndulu tuNimeangalia mechi ya leo sikutegemea kama vijana wangejitahidi kiasi kile wamecheza vizur kwa upande wangu sijaona baya huyu Rasmus Højlund ana kitu Tusubiri Amrabat tuone ila narudia Rasmus Højlund ana kitu goli la ganacho lilikataliwa alifanya muunganiko mzur sana