Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Ila ndio football lakin the one with quality ata decided the match ... Yani tunatoa Martinez na lindelof kwa john evans na Maguire mpaka hapo mashabik wa man utd tulijua mshashinda
Sababu hatuna quality bench compare na wao

Sababu za kufungwa ni upangiliaje mchezo wa kocha martial mzito sana...sub ikitokea ya Antony unajua uwanja utainama maana jamaa anajua kurudi kufanya ball carrier kupokonya mipira kupeleka mbele...kuhusu center back ndio itilafu Martinez hawez cheza mechi nzima kawa pancha sana + varane pia hi duo sasa hivi ni hospital mates
 

Kwamba hujui hiyo ilikuwa ni counter attack unaujua kweli mpira ww? Nini wasiwasi sana na uelewa wako wa mpira inatofauti gani ni hii ya rashford?
IMG_0881.jpg
 
Yani mashabiki wa arsenal hata aibu hawana kwa mpira ule matokeo ya 3-1 ushindi wa papatu papatu basi wana amini tutakimbia jukwaa dah

Yani mtu umeona kabisa sub zile zimekupa mwanya bila hivo chao wasingekuwa nacho jana
Hizo sub Ni wachezaji wetu? kocha wenu si alitapanya £450m kwa average players

Mbona hata sisi sub zetu

Jesus Goal

Fabio Vieira assist
20230903_212258.jpg
 
Hawajagundua had muda huu mpira wanaocheza ni kaliba ya brighton hawaoni kama city yupo mbali sana kutaka kuchukua ubingwa miaka 4 hamna hata dalili ya timu kutawala soka la uingereza bado wanasumbuliwa na eriksen katikati na wanataka uefa na epl kwa ile level aiseee
Kombe litabaki kwa city tu ilo linajulikana rejea kwenye analysis ya mpira wa arsenal before 96+ minutes wenyewe huko kwenye jukwaa wana geuka ila walikiri wamecheza average football yani mpaka dakika 90 position ipo 50/50 kwenu
 
Arteta ana miaka 4 bado hajaweza kucheza mpira wa kushawish kama anaweza kubeba ubingwa ipi thamani ya kutotumia pesa? Mbona sioni faida had muda huu arsenal haipo daraja la city wala liverpool
Mpira wa kushawishi Ni huu wa manjesta

Niliuliza humu mtaweza kuzuia msako wa nyani pale Emirates

20230903_215600.jpg
 
Kombe litabaki kwa city tu ilo linajulikana rejea kwenye analysis ya mpira wa arsenal before 96+ minutes wenyewe huko kwenye jukwaa wana geuka ila walikiri wamecheza average football yani mpaka dakika 90 position ipo 50/50 kwenu

Na mwaka huu watapigwa sana mpira ule wamecheza kwao wakienda ugenini je?
 
Kombe litabaki kwa city tu ilo linajulikana rejea kwenye analysis ya mpira wa arsenal before 96+ minutes wenyewe huko kwenye jukwaa wana geuka ila walikiri wamecheza average football yani mpaka dakika 90 position ipo 50/50 kwenu
Unajua manjesta kamiliki mpira mwingi eneo lake la backline tu

Had first half inaisha sidhan Kama mliingia box la Arsenal Zaid ya mara 2

Hiyo 50/50 inatokea wapi
20230904_064341.jpg
 
Katika aibu nisizopenda ni uwe umamkaba mtu akajicommit kuslide afu akufinye namna hii na kufunga goli juu. Yaani hii aibu inakaribia Ile ya kupigwa kanzu ya chini chini, yaani Ile inakupita juu kidogo tu ya kichwa kiasi kwamba mpira unaweza hata kuchuna nywele zako kidogo lakani huna namna ya kuzuia na mwenzako anachukua mpira na kusepa nao.
 
Mpira wa kushawishi Ni huu wa manjesta

Niliuliza humu mtaweza kuzuia msako wa nyani pale Emirates

View attachment 2738337

Wewe ngoja nikiuache level yako ya kuujua mpira ipo chini sana sijui msako gani arsenal kaufanya jana akiwa nyumban kwake

Goli la pili kona baada ya captain wenu kubutua nje ya 18
Goli la tatu counter atack muda wote evans na maguire wanacheza bila pressure wale jana wangecheza na liverpool plus city ingekuwa shughuli wasingefika kule kwenye upendeleo wa refa
 
Hawajagundua had muda huu mpira wanaocheza ni kaliba ya brighton hawaoni kama city yupo mbali sana kutaka kuchukua ubingwa miaka 4 hamna hata dalili ya timu kutawala soka la uingereza bado wanasumbuliwa na eriksen katikati na wanataka uefa na epl kwa ile level aiseee
Caliber ya Brighton? Sijajua unatutania sisi au unawachukuliaje Brighton. Wale sijui wanafeli wapi lakini sisi ukituambia tuchague wa kucheza nae kati ya Brighton na Man Utd, mara elfu tutawachagua Man Utd.
 
Wewe ngoja nikiuache level yako ya kuujua mpira ipo chini sana sijui msako gani arsenal kaufanya jana akiwa nyumban kwake

Goli la pili kona baada ya captain wenu kubutua nje ya 18
Goli la tatu counter atack muda wote evans na maguire wanacheza bila pressure wale jana wangecheza na liverpool plus city ingekuwa shughuli wasingefika kule kwenye upendeleo wa refa
kugongwa MMEGONGWA acha kujifariji hapa
 
Caliber ya Brighton? Sijajua unatutania sisi au unawachukuliaje Brighton. Wale sijui wanafeli wapi lakini sisi ukituambia tuchague wa kucheza nae kati ya Brighton na Man Utd, mara elfu tutawachagua Man Utd.

Sahihi
 
Unajua manjesta kamiliki mpira mwingi eneo lake la backline tu

Had first half inaisha sidhan Kama mliingia box la Arsenal Zaid ya mara 2

Hiyo 50/50 inatokea wapi View attachment 2738339
Kaka mtapewa reality check sio muda huu niwakati wenu kubadilika hamna mpira lethal mmekuwa wakutegemea 90+ minutes ndo mtafute ushindi plus ushindi

Refer to community shield vs man city mka draw na hii pia
Baada ya kupata mwanya udhaifu wa ma beki wa man utd ila kbla mashabiki walijua mchezo ushakuwa mgumu na wengine kutoka uwanjan underdog hakuwa underdog mlivodhania
Kwenye thread yenu bado watu wana criticize mchezo wa jana
Hususani baadhi ya wachezaji ambao wapo impact less kwenye squad yenu due to the experiment anzo force kocha wenu
 
Unajua manjesta kamiliki mpira mwingi eneo lake la backline tu

Had first half inaisha sidhan Kama mliingia box la Arsenal Zaid ya mara 2

Hiyo 50/50 inatokea wapi View attachment 2738339
Mpira wajana ulikuwa wa zamu zamu ndio maana ukawa 50/50 kila mtu alimilik eneo lake kwa sababu zake kulingana na tactics za kocha husika matokeo ya 3-1 yasiku blind reality ya jana
 
Back
Top Bottom