Aeko
JF-Expert Member
- Apr 15, 2021
- 599
- 1,362
Kuna kitu watuwanashindwa kukielwe especially wachambuzi wengi humu juu ya uwezo wa timu na uwezo wa coachMm sio arsenal ila kimpira tuongee kimpira, timu mbaka inafungwa inamaana Kuna makosa yametokea bila makosa watakuwa hawafungani
Ten hag sio kwamba ni coach mbaya na eti hana tactics wala wachezaji wengi sio wabaya kama inavodhaniwa hawa wachezaji ukiwatoa njee ya man utd wata shine sana mfano hao kina Rashford bruno Antony sancho onana wanaweza kuwa World class kwenye timu nyengine tofauti na man utd hii inaenda sawa na coach ten hag na wengine walio pita
Sasa why man utd ndio tatizo
It's the system hierarchy...yani body na management nzima ya man utd wana ile identity flani inayo imaliza timu coach yeyote atakae ingia ndani ya timu atashindwa ku implement style yake ya ucheza vizur juu ya presha kutoka kwenye management ya kuna override iliyopo ndani inayopelekea system kukosa autonomy on decision of action juu tu ya ku hold the past history and old football styles philosophy wana amini style ya ya Ferguson ndio itakayo wapa matunda so hata aje coach gani either the best coaches kama arteta pep de zerbi au hata don carlo watashindwa ku exile juu ya demand wanayotaka management...wana force timu ibaki kwenye traditional football philosophy nda ndio maana ma kocha wengi waliopita walipata wakati mgumu kucheza mpira wao refer to
Mourinho anakuambia kufundisha man utd na kumaliza nafasi ya pili kwake ni his best big achievement
Ten hag anakuambia a different team different rules i cant play ajax football in Manchester utd due to the demand and their playing style origin and identity so i have to adapt to it
Sasa haya mambo yanapelekea makocha waliopita alie kuwepo au hata hao ma pro awe klop pep artera de zerbi au carlo kutoweza kuifundisha na kuwa mataji makubwa ni kwa sababu ya poor management system wana defend their past history based kwamba ndo itawapaga nuru siku kitu ambacho hakiwezekan in a modern football coach lazima awe na football autonomy na flexibility plus uvumiluvu pale anapo implement style yake na sio kuchukua tu ushauri wa kina mzee Ferguson kuwa hivi ndio man utd ina takiwa icheze na itakavo cheza
Tutazidi posteza viwango vingi kwa vijana kwenye mpira kwa kuwa back watu wasiojua mpira
#Grazzerz out
