Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Mm sio arsenal ila kimpira tuongee kimpira, timu mbaka inafungwa inamaana Kuna makosa yametokea bila makosa watakuwa hawafungani
Kuna kitu watuwanashindwa kukielwe especially wachambuzi wengi humu juu ya uwezo wa timu na uwezo wa coach

Ten hag sio kwamba ni coach mbaya na eti hana tactics wala wachezaji wengi sio wabaya kama inavodhaniwa hawa wachezaji ukiwatoa njee ya man utd wata shine sana mfano hao kina Rashford bruno Antony sancho onana wanaweza kuwa World class kwenye timu nyengine tofauti na man utd hii inaenda sawa na coach ten hag na wengine walio pita

Sasa why man utd ndio tatizo

It's the system hierarchy...yani body na management nzima ya man utd wana ile identity flani inayo imaliza timu coach yeyote atakae ingia ndani ya timu atashindwa ku implement style yake ya ucheza vizur juu ya presha kutoka kwenye management ya kuna override iliyopo ndani inayopelekea system kukosa autonomy on decision of action juu tu ya ku hold the past history and old football styles philosophy wana amini style ya ya Ferguson ndio itakayo wapa matunda so hata aje coach gani either the best coaches kama arteta pep de zerbi au hata don carlo watashindwa ku exile juu ya demand wanayotaka management...wana force timu ibaki kwenye traditional football philosophy nda ndio maana ma kocha wengi waliopita walipata wakati mgumu kucheza mpira wao refer to

Mourinho anakuambia kufundisha man utd na kumaliza nafasi ya pili kwake ni his best big achievement
Ten hag anakuambia a different team different rules i cant play ajax football in Manchester utd due to the demand and their playing style origin and identity so i have to adapt to it

Sasa haya mambo yanapelekea makocha waliopita alie kuwepo au hata hao ma pro awe klop pep artera de zerbi au carlo kutoweza kuifundisha na kuwa mataji makubwa ni kwa sababu ya poor management system wana defend their past history based kwamba ndo itawapaga nuru siku kitu ambacho hakiwezekan in a modern football coach lazima awe na football autonomy na flexibility plus uvumiluvu pale anapo implement style yake na sio kuchukua tu ushauri wa kina mzee Ferguson kuwa hivi ndio man utd ina takiwa icheze na itakavo cheza

Tutazidi posteza viwango vingi kwa vijana kwenye mpira kwa kuwa back watu wasiojua mpira
#Grazzerz out
 
Ukitaka kujua level ya timu yako angalia Odds tu...

United bado sana inajitafuta zaidi ya Counter hakuna mipango mingine.

Japo Jana Arsenal hatukuwa kwenye ule ubora wetu.
Na hapo walikuwa hawawez kumiliki mpira pale Kati ,na Kuna mafundi walikuwa nje hawajaanza Kama Jesus , Trossard , Smith,Vieira

Wanachojidanganya Ni umiliki wa mpira eneo la backline

Hili hata Pep alisema haitakiwi kumpress onana Ni kupoteza muda,ndio maana Jana tulikuwa tuna press na mmoja kuogopa kaunta
 
Kuna kitu watuwanashindwa kukielwe especially wachambuzi wengi humu juu ya uwezo wa timu na uwezo wa coach

Ten hag sio kwamba ni coach mbaya na eti hana tactics wala wachezaji wengi sio wabaya kama inavodhaniwa hawa wachezaji ukiwatoa njee ya man utd wata shine sana mfano hao kina Rashford bruno Antony sancho onana wanaweza kuwa World class kwenye timu nyengine tofauti na man utd hii inaenda sawa na coach ten hag na wengine walio pita

Sasa why man utd ndio tatizo

It's the system hierarchy...yani body na management nzima ya man utd wana ile identity flani inayo imaliza timu coach yeyote atakae ingia ndani ya timu atashindwa ku implement style yake ya ucheza vizur juu ya presha kutoka kwenye management ya kuna override iliyopo ndani inayopelekea system kukosa autonomy on decision of action juu tu ya ku hold the past history and old football styles philosophy wana amini style ya ya Ferguson ndio itakayo wapa matunda so hata aje coach gani either the best coaches kama arteta pep de zerbi au hata don carlo watashindwa ku exile juu ya demand wanayotaka management...wana force timu ibaki kwenye traditional football philosophy nda ndio maana ma kocha wengi waliopita walipata wakati mgumu kucheza mpira wao refer to

Mourinho anakuambia kufundisha man utd na kumaliza nafasi ya pili kwake ni his best big achievement
Ten hag anakuambia a different team different rules i cant play ajax football in Manchester utd due to the demand and their playing style origin and identity so i have to adapt to it

Sasa haya mambo yanapelekea makocha waliopita alie kuwepo au hata hao ma pro awe klop pep artera de zerbi au carlo kutoweza kuifundisha na kuwa mataji makubwa ni kwa sababu ya poor management system wana defend their past history based kwamba ndo itawapaga nuru siku kitu ambacho hakiwezekan in a modern football coach lazima awe na football autonomy na flexibility plus uvumiluvu pale anapo implement style yake na sio kuchukua tu ushauri wa kina mzee Ferguson kuwa hivi ndio man utd ina takiwa icheze na itakavo cheza

Tutazidi posteza viwango vingi kwa vijana kwenye mpira kwa kuwa back watu wasiojua mpira
#Grazzerz out
Ten egg kapewa £450m kasajili wachezaji wa ovyo why lawama kubwa wanapewa familia ya Graza
 
Kuna kitu watuwanashindwa kukielwe especially wachambuzi wengi humu juu ya uwezo wa timu na uwezo wa coach

Ten hag sio kwamba ni coach mbaya na eti hana tactics wala wachezaji wengi sio wabaya kama inavodhaniwa hawa wachezaji ukiwatoa njee ya man utd wata shine sana mfano hao kina Rashford bruno Antony sancho onana wanaweza kuwa World class kwenye timu nyengine tofauti na man utd hii inaenda sawa na coach ten hag na wengine walio pita

Sasa why man utd ndio tatizo

It's the system hierarchy...yani body na management nzima ya man utd wana ile identity flani inayo imaliza timu coach yeyote atakae ingia ndani ya timu atashindwa ku implement style yake ya ucheza vizur juu ya presha kutoka kwenye management ya kuna override iliyopo ndani inayopelekea system kukosa autonomy on decision of action juu tu ya ku hold the past history and old football styles philosophy wana amini style ya ya Ferguson ndio itakayo wapa matunda so hata aje coach gani either the best coaches kama arteta pep de zerbi au hata don carlo watashindwa ku exile juu ya demand wanayotaka management...wana force timu ibaki kwenye traditional football philosophy nda ndio maana ma kocha wengi waliopita walipata wakati mgumu kucheza mpira wao refer to

Mourinho anakuambia kufundisha man utd na kumaliza nafasi ya pili kwake ni his best big achievement
Ten hag anakuambia a different team different rules i cant play ajax football in Manchester utd due to the demand and their playing style origin and identity so i have to adapt to it

Sasa haya mambo yanapelekea makocha waliopita alie kuwepo au hata hao ma pro awe klop pep artera de zerbi au carlo kutoweza kuifundisha na kuwa mataji makubwa ni kwa sababu ya poor management system wana defend their past history based kwamba ndo itawapaga nuru siku kitu ambacho hakiwezekan in a modern football coach lazima awe na football autonomy na flexibility plus uvumiluvu pale anapo implement style yake na sio kuchukua tu ushauri wa kina mzee Ferguson kuwa hivi ndio man utd ina takiwa icheze na itakavo cheza

Tutazidi posteza viwango vingi kwa vijana kwenye mpira kwa kuwa back watu wasiojua mpira
#Grazzerz out
Nimesikitika sana, no way
#Grazzers out
 
Wanasema eti ilikuwa 50/50
Hip timu hata upewe wewe ndivo watakavo kwambia jinsi ya kucheza mbali na hapo una tafuta Ugomvi na management

Hata aje pep wavunje mikataba na wachezaji unawaona ni flop asajiri wake hato maliza mda mrefu ataachia ngaji
Sababu timu inakosa structure ya kimambo leo ina base kwenye their old football philosophy cheza kwa Transitional football aka counter attack hutaki toka achia timu aje mwengine mpaka kiwango hiki ten hag anajitahid kuonyesha kitu ila bado ana dondokea kwenye regrets na ndivo itakavo kuwa hata aje kocha gani timu inahitaji segregation of power and duty sio kuingiliana kwenye kazi na jinsi ya kucheza

Na ndio maana jana umeona 200+ plus za nyuma kati haku wakupiga 200+ ball carrier kwenda mbele hakuna hiko mbele kuna wings na mzigo mmoja wa attack utategemea wakae positional kwajili ya ku possess na ku overload mpira kwenda kwenye final third huo ni uongo so tactical alichofanya ni ilikuwa sio kibaya maana unachotaka wafanye wange fanya kwenda toe to toe in midfield tungekuwa exposed
 
Ten egg kapewa £450m kasajili wachezaji wa ovyo why lawama kubwa wanapewa familia ya Graza
Kwenye mpira pesa sio kila kitu na kazi ya management sio kutoa pesa tu jee ulishawahi fanya breakdown ya hio pesa 450m jinsi alivo tumia

Yani hata iwe wewe unamtaka fdjong ila bado timu inakosa ushawishi kumleta then alternative yake anakuja casemiro why think deep

Anamtaka Antony for the the whole transfer anaenda mpata toward deadline na hapo price yake ina change from 45m to 100m kosa ni lake

Anakuta team haina proper namba 8 anaenda tafuta makinda kibao anakosa the anakimbilia kwenye alternative ya Eriksen why

Yapo mengi tu ambayo ten hag angekuwa na proper management system angeweza ku assemble his best elite squad maana shida ni kutona na demand ya mafinikio ya haraka kutaka kuonesha uwezo wake aka recruit wachezaji wazoefu kina varrane pasi na kujali umri wao akijua wata msaidi kwa kipindi kifupi ambacho yeye atakuwa ana assemble damu changa ya ku ingia deep into first eleven hizi karata alizchanga too bad hamkuona hilo mitegemea atumie hizo 400m plus kuleta wachezaji wanaodhaniwa kufanaya makubwa hio ni kama bargain sababu wasipo erupt hutakuwa na tofauti na kina brighton wakati wewe ni big team
 
Hujakosea na ndio maana uki refer kule juu nilisema ni kosa kubwa sana kumtoa Antony huyu jamaa kama huna jicho la mpira huwez ona mchango wake kirahis rahisi utaishia kusema mech 30+ hana magoli wala assist nyingi ila laa sio hivo tu anamchango wake tofauti na kufunga tu

Huyu Antony huwa anakaa caliber moja na grelish wa man city jamaa sio wakumuweka foden njee ila huyu ni military equipment kweli kweli kwenye ball carrier yani anaweza asi assist wala kufunga ila ukaona uwezo wake wa ku run deep kuokota mipira kurudisha juu hii hufanya opponent wako wasiwe flexible sana kushambulia
Kuna moja Anthony wakati arsenal wanaanzisha mashambulizi alimfusta beki na kumkaba hadi akakosa options na kutoa boko bahati mbaya Casemiro akashindwa kutumia mwanya vizuri kusababisha goli akapoteza .
 
Kuna moja Anthony wakati arsenal wanaanzisha mashambulizi alimfusta beki na kumkaba hadi akakosa options na kutoa boko bahati mbaya Casemiro akashindwa kutumia mwanya vizuri kusababisha goli akapoteza .
Amin kiongozi kwenye mpira kila mtu lazima awe na impact kwenye kutafuta matokeo Antony kwa sasa hana end product nzuri offensively kuliko product yake kama ball carrier and interceptive in a defective role huyu jamaa anatupaga balance flani kwenye mpira unaona kuna equilibrium ya upambanaji kama grelish wa man city jamaa hafungi sana wala kutoa assist ila ni mapafu ya mbwa ana pokonya mipira kupeleka mbele

Upande wa midfield yetu kuna kitu ambacho tulikiona mwanzoni ila tulijua akita last muda mrefu na hii ndio fimbo wanayoitumia rivalry fans wetu kutu adhibu ni umri
Casemiro + Eriksen hawana physicabilities compare tu rice + kai upande wa kupeleka mipira mbele hamiss anasema tumepiga pass 200+ kurudi nyuma ni kweli sababu watu walipo nyuma mostly ni vijana na wana composture nzuri ya ku control Mpira at the back dalot Martinez lindelof awb wote hawa wana weza tawa kwa nyuma na kufanya mpinzani asiwe na intensity yakuwaingilia na ndio maana zikawa successful back 200 pass zilizo being counted kwenye ball possession sasa shida ni nini hizi pass 200+ zisiingie kati hapo kati umri wao hauwaruhus kufanya hivo watakuwa exposed ukilinganisha na mpizani watu wake kati wako vizur composture on the ball
Na hii ikapelekea huduma kuwa mbovu upande wa mbele tunategemea counter hatuwez kuwa vital on attack kama kati hakuna waku submerge the control into the final third ku creat a threat
 
Amin kiongozi kwenye mpira kila mtu lazima awe na impact kwenye kutafuta matokeo Antony kwa sasa hana end product nzuri offensively kuliko product yake kama ball carrier and interceptive in a defective role huyu jamaa anatupaga balance flani kwenye mpira unaona kuna equilibrium ya upambanaji kama grelish wa man city jamaa hafungi sana wala kutoa assist ila ni mapafu ya mbwa ana pokonya mipira kupeleka mbele

Upande wa midfield yetu kuna kitu ambacho tulikiona mwanzoni ila tulijua akita last muda mrefu na hii ndio fimbo wanayoitumia rivalry fans wetu kutu adhibu ni umri
Casemiro + Eriksen hawana physicabilities compare tu rice + kai upande wa kupeleka mipira mbele hamiss anasema tumepiga pass 200+ kurudi nyuma ni kweli sababu watu walipo nyuma mostly ni vijana na wana composture nzuri ya ku control Mpira at the back dalot Martinez lindelof awb wote hawa wana weza tawa kwa nyuma na kufanya mpinzani asiwe na intensity yakuwaingilia na ndio maana zikawa successful back 200 pass zilizo being counted kwenye ball possession sasa shida ni nini hizi pass 200+ zisiingie kati hapo kati umri wao hauwaruhus kufanya hivo watakuwa exposed ukilinganisha na mpizani watu wake kati wako vizur composture on the ball
Na hii ikapelekea huduma kuwa mbovu upande wa mbele tunategemea counter hatuwez kuwa vital on attack kama kati hakuna waku submerge the control into the final third ku creat a threat
Wewe nimeamini uliangalia mpira

Mara kadhaa Onana aliweza kuescape press yetu tukaamua kuachana nayo.

He's good ukipress kizembe watakumaliza kwa caunter.

Fainali ya CL Pep kuna mda ifika akabadili na namna ya kupress
 
Mara kadhaa Onana aliweza kuescape press yetu tukaamua kuachana nayo.

He's good ukipress kizembe watakumaliza kwa caunter.

Fainali ya CL Pep kuna mda ifika akabadili na namna ya kupress
Jana kocha kaingia na formula ya ku piga successful pass za nyuma nyingi ili kuwavuta maadui langoni kwetu mje ku recover the ball hapo hapo mnavozidi kusogea ku press mna acha flanks zenu kule juu exposed ikawa ni jukumu la onana kupiga long range pass toward rashfor or Antony ili kwenda kutengeneza threat langoni kwenu
jee umejiuliza kwanini hizo pass tulishindwa kupiga kwa eneo la kiungo casemiro+Eriksen kati jibu ni kuwa hapo kati hakuna wakuweza ku interpret hizo pass kuzibeba kuzi emerge into a final third maana kwa umri wao na walivo wazito ni rahisi kupokonywa hapo hati na kuharibu momentum ya mchezo
 
Mkuu mimi hili suala la VAR linanichanganya kila siku. Hawa waamuzi wa VAR wakiwa wanarudia utaona kabisa mstari sio perpendicular ila kama unatengeneza angle aidha ndogo kuliko nyuzi 90 au kubwa kuliko nyuzi 90 halafu wanahitimisha kuwa ni offside au la. Mfano mzuri ni offside ya goli la Garnacho,mstari haukuwa nyuzi 90 bali ulilala ndio maana maamuzi yalikuja vile refa alivyotaka.

Hata hii picha yako mkuu asahd mstari haukunyooka ila umelala kidogo kumfuata beki wa mwisho wa arsenal,labda kama mstari wa pembeni haiko sawa sana.
 
Kwa mechi ya jana nimekubaliana na DAEMUSHIN alipokuwa akipiga kelele kwamba De Gea anatukosti kwenye suala la kutawala eneo lake kwa miguu. Arsenal jana walikuwa wanaogopa kumvamia Onana kama walivyokuwa wakifanya kwa DeGea sababu ya uwezo wake wa kupiga pass bila uoga.
Sema kitu pekee alikosa watu wa kuwapasia zaidi ya Eriksen aliyekuwa akishuka chini kuzifuata pasi zake.
 
Amin kiongozi kwenye mpira kila mtu lazima awe na impact kwenye kutafuta matokeo Antony kwa sasa hana end product nzuri offensively kuliko product yake kama ball carrier and interceptive in a defective role huyu jamaa anatupaga balance flani kwenye mpira unaona kuna equilibrium ya upambanaji kama grelish wa man city jamaa hafungi sana wala kutoa assist ila ni mapafu ya mbwa ana pokonya mipira kupeleka mbele

Upande wa midfield yetu kuna kitu ambacho tulikiona mwanzoni ila tulijua akita last muda mrefu na hii ndio fimbo wanayoitumia rivalry fans wetu kutu adhibu ni umri
Casemiro + Eriksen hawana physicabilities compare tu rice + kai upande wa kupeleka mipira mbele hamiss anasema tumepiga pass 200+ kurudi nyuma ni kweli sababu watu walipo nyuma mostly ni vijana na wana composture nzuri ya ku control Mpira at the back dalot Martinez lindelof awb wote hawa wana weza tawa kwa nyuma na kufanya mpinzani asiwe na intensity yakuwaingilia na ndio maana zikawa successful back 200 pass zilizo being counted kwenye ball possession sasa shida ni nini hizi pass 200+ zisiingie kati hapo kati umri wao hauwaruhus kufanya hivo watakuwa exposed ukilinganisha na mpizani watu wake kati wako vizur composture on the ball
Na hii ikapelekea huduma kuwa mbovu upande wa mbele tunategemea counter hatuwez kuwa vital on attack kama kati hakuna waku submerge the control into the final third ku creat a threat
UMEMALIZA JAMAA..

UTD Mobility kwenye MD ni ndogo mno na hakuna Ball Progressive CM mzuri na Hapa ndo anaingia Amrabat ni Hybrid 6&8, Mobility ya CM's wa Arsenal ni kubwa sana na kama unavyosema wengi ni damu Changa, kama ingekuwa Casa ndo yupo Nyuma ya Ode + Rice Arsenal wangekuwa na Hatari zaidi tokea kati mana Ode angekuwa juu zaidi sehemu ambapo anakuwa na Madhara {Ni shooter mzuri na Excellent Vision} na Rice anaweza kuwa Ball Carrier, Nje ya hapo unaona Arsenal nafasi wanatengeneza zaidi tokea Pembeni Silaha Saka + Martinelli.

UTD jana haikuwa fully force kuna Varane, Shaw, Mount na Possible Amrabat, Hojlund nae ni first 11! Media zetu inafikirisha sana kuhusu Uchambuzi wanafanya, Amrabat wanasema ni WC Player!! Sarri akiwa Chelsea alitaka Ongezewa Barella akiwa bado Cagliari na Amrabat akiwa kwa Mkopo Hellas Verona, Nilikuwa Shabiki sana wa Napoli ya Sarri na nilihisi kina Higuain Ulikuwa mwaka wao ila Serie A ina changamoto ya Officials sana japo ni wazuri ukifananisha na EPL. {Jorginho, Amrabat + Barella (Ingekuwa Trio nzuri sana)}

De Gea anatukosti kwenye suala la kutawala eneo lake kwa miguu
De Gea alikuwa Mzigo UTD, Timu kama UTD haitakiwi itegemee miujiza ya Goalie, Ni kati ya Best Shot Stopper ever, ila Mpira umebadilika sana asee, Jaribu waza Onana ndo awe kwa Ramsdale ambae jana alikuwa akifatwa kwa Pressure kubwa anapiga High balls ambazo ni za kuuza, Onana angefanya wawe na Turnover nyingi sana sababu ya Mobility ya Players wake wengi. {PFA wamemlinda Ramsdale sababu mtoto wa Nyumbani ila ni Muda mwafaka RAYA kuchukua nafasi} Kingine Mshahara mkubwa sana Onana inasemekana anachukua 1/3 ya kile alokuwa anakula De Gea,

EPL wanajua kabisa Officials wao ni Averages sana ndo mana walikataa "Semi Automated Offside Technology" Ligi nyingi zinatumia hii sasa. Ingawa ni suala la Muda tu wataungana nayo kama System ya Kuokoa Muda ulopotea waloamua kuja nayo. EPL wahafidhina sana hata VAR waliikataaga awali.
 
Hapa rashford sijui alichokuwa ana waza rooney na ronaldo ktk counter kama hizi huponi walikuwa wakiwaza magoli kwa ajili ya timu hapa rashford alijiwazia yy tu
IMG_0889.jpg
 
Back
Top Bottom