hamis77
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 18,285
- 26,683
Bado hamna timu ya kustahimili msako wa nyani pale Emirates bado sijaonaHizi Kima za Arteta jumapili zikipigwa chini ya goli 4 nitaamini kweli uchawi upo. View attachment 2736006
Bado hamna timu ya kustahimili msako wa nyani pale Emirates bado sijaonaHizi Kima za Arteta jumapili zikipigwa chini ya goli 4 nitaamini kweli uchawi upo. View attachment 2736006
Mkifungwa na Man U lazima ukimbie Jf kama ulivyokimbia spana kipindi kile mpaka nikashangaa mtu kujiamini kote na kuchonga genga unakimbia jukwaa na Jf mazima kisa maneno tu ?Mnatokea kwa ku beep
Mlipokula kipigo kwa spurz mkasema mnahama had 7hag asipompanga masebene
Sasa hivi mmerud
Achen mbambamba,kesho tunawakanda na mtapoteana humu
🤣 Kesho usikimbie tu JF maana wiki hii umetamba sana.Wewe kaa kwa kutulia
Wewe siuliaga humu had masebene asipopangwa ndio unarudi
Unakimbia kidiplomasia unarudia kidiplomasia
Kesho tutawafundisha mpira
Bado huna timu ya kuifunga Arsenal
Yaani mm nikimbie Jf ,unanifananishaMkifungwa na Man U lazima ukimbie Jf kama ulivyokimbia spana kipindi kile mpaka nikashangaa mtu kujiamini kote na kuchonga genga unakimbia jukwaa na Jf mazima kisa maneno tu ?
Safari hii itakuwa spana babkubwa maana utakuwa na maadui pande mbili wapinzani na WanaAresal wenzako watakushambulia full scale, all out war nakusauri tafuta kambi mapema jukwaa la mapishi ukajifiche .
Huna timu ya kuifunga ArsenalKesho usikimbie tu JF maana wiki hii umetamba sana.


Rasmi nahama timu ya manchester kutokana na uchoko unao endelea kwanza menejimenti mbovu ya club, uchoko wa wachezaji, mfululizo mbovu wa matokeo na kilichonikwaza zaid ni hili la greenwood..
Maamuz ya ovyo timu wachezaj haina af mnaruhusu mchezaj aondoke kisa mambo ya kisimbe


Nimerudi kushuhudia striker la Dunia likiweka hat-trick. Kesho mcheze kama kawaida yenu!Huna timu ya kuifunga Arsenal
Halafu si ulitanganza hutaonekana had 7hag aache kumpanga masebene?
Unakimbia kidiplomasia halafu unasema Mimi ndio nakimbia![]()
Hii tim ya kimaku ishawekwa... kasheshe

dakika 3 goli 2 tena nyumbani.
Hili timu lishakua la kkm sana, kama vipi leo forest watugonge hata goli 10 ili kampeni za kumuondoa nduli Glazers zipambe moto.

Nilifanya maamuzi sahihi kujipa likizo ya muda. Siangalii upuuzi mimi, LiveScore inatosha kujua kinachoendelea huko.
Piga mbwa hao na kocha wao fala. Huwezi kuchezesha wapuuzi kama Antony kila siku utegemee mabadiliko.


Wewe huna msimamo tatizo,Nimerudi kushuhudia striker la Dunia likiweka hat-trick. Kesho mcheze kama kawaida yenu!
View attachment 2736363
Wahuni sasa hivi wamepoa kama hawapo ngojea Arsenal afungwe atajua kama watu wapo au hawapo toka enzi mashabiki wa arsenal ndio wana mchezo wa kukimbia jukwaa Liverpool na Man U hawana hizo pigo kabisa.🤣 Kesho usikimbie tu JF maana wiki hii umetamba sana.
Kesho utakimbia TenaNilifanya maamuzi sahihi kujipa likizo ya muda. Siangalii upuuzi mimi, LiveScore inatosha kujua kinachoendelea huko.
Piga mbwa hao na kocha wao fala. Huwezi kuchezesha wapuuzi kama Antony kila siku utegemee mabadiliko.
7hag kamuongeza mkatabaDalot bure kabisa.
Alikiba wa mamtoniFeminists wana wiki mbaya sana. Walitegemea kuona Greenwood akikosa timu. 😂View attachment 2736254
Mbona club haijaandika chochoteoa
Nahisi ataonheza Kasi pale katikatiIla Amrabat hatocheza Sunday dhidi ya Arsenal
Mleten acheze ,apigwe rondo pale KatiIla Amrabat hatocheza Sunday dhidi ya Arsenal