Malaika wa Misukosuko
JF-Expert Member
- Jul 16, 2021
- 2,820
- 8,499
Bora niku ignore tu kusave energy yangu.Wewe umemjulia wapi kabla ya world cup?
Tudanganye hapa
Amrabat had anafika miaka 26 kajulikana kwa performance ya world cup mech 3 tu
Ilishatokea kwa Davor Suker , na wengine wengi
kufanya vibaya kwa manchester united ndio kunazidi kuifanya ligi ya Uingereza kuwa maarufu zaidi na zaidi.
ukienda kwenye mitandao ya kijamii utakuta jambo lolote linalohusu manchester united ndio linapewa muda zaidi wa kujadiliwa.
mechi dhidi ya spurs tulinyimwa penalty ya wazi lakini hakuna referee wa zamani wala mchambuzi aliyezungumzia sana swala lile.
cha ajabu mechi dhidi ya nottingham forest, baada ya tukio la penalty na red card tumeshuhudia wiki nzima yanajadiliwa matukio mawili hayo kuanzia talk sport, sky news, bbc, na tovuti nyengine za kijamii.
man utd wakisajili au kuhusishwa na mchezaji anatrends kwenye mitandao kuliko trending ya man city kubeba treble.
We jamaa una utoto mwingi inawezekana bado upo kwenye foolish ageAnaweza kuwa mchezaji mzuri ila jiulize 7hag alimsajili kwa malengo maalumu au kubahatisha
Tunachozungumzia Ni uwezo mdogo wa 7hag kwenye Talent ID
Yaan anasajili mchezaji anakuja ana flop
Sababu anabahatisha Kama atafit au lah
Ndio Maana katika £450m alizotumia utakuja kushangaa Ni mchezaji mmoja au wawili wenye afadhali
Hata aliowakuta hapo manjesta wanamshinda kuwa develop
Nimeona Ile coart ya morinho josee ni walewaleMkali UTD Ime-ruin Childhood Happiness ya Wengi sana. Kundi kubwa linatafutia faraja Chochote kile toka Kwa UTD, iwe kwa Ubaya ama kwa Uzuri ukizungumzia lazima U-trend. Angalia Talksport kina Agbonlahor, Bent, Murphy na wengine hadi unaweza staajabu Podcast kama ile wanazungumza Pointless namna ile kama hawajawahi hata Cheza Soka!!
Ila Kiuhalisia UTD kubwa saana so kwa mabaya ama Mazuri ikizungumzwa Mhusika lazima a-trend, Mashindano yoyote Ikishiriki UTD lazima yawe na mwamko tofauti, Ukiuliza Waonyesha Mpira wanakwambia Mpaka Pre-Season Utd Inakuwa na Mashabiki. Kundi kubwa la Hao Ex-Players na Officials wamekuwa wanaichukia UTD ile Asili ya Binadamu kuchukukia kilichofanikiwa. Sababu Kuu ni MAFANIKIO ya UTD na WIVU wa Wengine juu ya Mfanikio hayo! kundi kubwa ni wa zile timu kama Newcastle, Liver, Leeds, Arsenal
{Chelsea na City hizi ni timu za Misingi ya Kifedha na mashabiki wake wengi ndo wale wanadondokea kundi la "Plastic fans" Football is about loyalty ila kuna mashabiki wamehamia timu hizo}
Mwendo wa debuts tuArsena wanakutana na Manchester United Mpya Huku Hojland kule Amrabat kushoto Sergio Reguilón nyie.!!![]()
Sawa ana bahatisha, lkn UCL ni robo au nusu final na ligi tunakaa namba mbili nyum ya city....hizo style of playing, overload, inverted md, talent ID tunawaachie nyie.7hag Hana mbinu za kufundisha mpira mzuri ,acha kuwadanganya wenzako
7hag Ni kocha mbahatishaji,
Angalia hata sajili zake nyingi anasajili akisubiri miujiza itokee
Arsena wanakutana na Manchester United Mpya Huku Hojland kule Amrabat kushoto Sergio Reguilón nyie.!!![]()


Hizi Kima za Arteta jumapili zikipigwa chini ya goli 4 nitaamini kweli uchawi upo.
Jamaa msimu ulioisha alikimbia jukwaa leo baada ya ndiyo ya Arsenal ndoo Haaland kiatu kuyeyuka ndipo wahuni wakavamia jukwaa lenu ,humu uzuri wake hakimbii mtu iwe jua au mvua.Kaka Have mercy on nyumbu
Swali lenye wivu wa kitoto sana.Amrabat Amesaidia Florentina kubeba kombe gani?
Mbona club haijaandika chochoteGreenwood ametua Getafe
Imekwisha mpa mkono wa kwaheri ila sifahamu mengi yanayo endelea baina yaoMbona club haijaandika chochote
Baada ya uhamisho wake leo imeandika kitu?Imekwisha mpa mkono wa kwaheri ila sifahamu mengi yanayo endelea baina yao
Kwa kipi mshabiki wa Liver awaonee wivu utd kiufupi tumia akili yako vizuriMkali UTD Ime-ruin Childhood Happiness ya Wengi sana. Kundi kubwa linatafutia faraja Chochote kile toka Kwa UTD, iwe kwa Ubaya ama kwa Uzuri ukizungumzia lazima U-trend. Angalia Talksport kina Agbonlahor, Bent, Murphy na wengine hadi unaweza staajabu Podcast kama ile wanazungumza Pointless namna ile kama hawajawahi hata Cheza Soka!!
Ila Kiuhalisia UTD kubwa saana so kwa mabaya ama Mazuri ikizungumzwa Mhusika lazima a-trend, Mashindano yoyote Ikishiriki UTD lazima yawe na mwamko tofauti, Ukiuliza Waonyesha Mpira wanakwambia Mpaka Pre-Season Utd Inakuwa na Mashabiki. Kundi kubwa la Hao Ex-Players na Officials wamekuwa wanaichukia UTD ile Asili ya Binadamu kuchukukia kilichofanikiwa. Sababu Kuu ni MAFANIKIO ya UTD na WIVU wa Wengine juu ya Mfanikio hayo! kundi kubwa ni wa zile timu kama Newcastle, Liver, Leeds, Arsenal
{Chelsea na City hizi ni timu za Misingi ya Kifedha na mashabiki wake wengi ndo wale wanadondokea kundi la "Plastic fans" Football is about loyalty ila kuna mashabiki wamehamia timu hizo}