Mto Songwe
JF-Expert Member
- Jul 17, 2023
- 6,674
- 14,092
Imekwisha mpa mkono wa kwaheri ila sifahamu mengi yanayo endelea baina yaoMbona club haijaandika chochote
Imekwisha mpa mkono wa kwaheri ila sifahamu mengi yanayo endelea baina yaoMbona club haijaandika chochote
Baada ya uhamisho wake leo imeandika kitu?Imekwisha mpa mkono wa kwaheri ila sifahamu mengi yanayo endelea baina yao
Kwa kipi mshabiki wa Liver awaonee wivu utd kiufupi tumia akili yako vizuriMkali UTD Ime-ruin Childhood Happiness ya Wengi sana. Kundi kubwa linatafutia faraja Chochote kile toka Kwa UTD, iwe kwa Ubaya ama kwa Uzuri ukizungumzia lazima U-trend. Angalia Talksport kina Agbonlahor, Bent, Murphy na wengine hadi unaweza staajabu Podcast kama ile wanazungumza Pointless namna ile kama hawajawahi hata Cheza Soka!!
Ila Kiuhalisia UTD kubwa saana so kwa mabaya ama Mazuri ikizungumzwa Mhusika lazima a-trend, Mashindano yoyote Ikishiriki UTD lazima yawe na mwamko tofauti, Ukiuliza Waonyesha Mpira wanakwambia Mpaka Pre-Season Utd Inakuwa na Mashabiki. Kundi kubwa la Hao Ex-Players na Officials wamekuwa wanaichukia UTD ile Asili ya Binadamu kuchukukia kilichofanikiwa. Sababu Kuu ni MAFANIKIO ya UTD na WIVU wa Wengine juu ya Mfanikio hayo! kundi kubwa ni wa zile timu kama Newcastle, Liver, Leeds, Arsenal
{Chelsea na City hizi ni timu za Misingi ya Kifedha na mashabiki wake wengi ndo wale wanadondokea kundi la "Plastic fans" Football is about loyalty ila kuna mashabiki wamehamia timu hizo}
Mi ndio maana pale juu nimem - quote kuwa nimechagua kum - ignore tu. Utapoteza energy yako bure tu mkuuWe jamaa una utoto mwingi inawezekana bado upo kwenye foolish age
Natafuta alipo de geaGreenwood ametua Getafe
Kaenda kwa mkopo nimefurahia hii habari.Greenwood ametua Getafe
Hawawezi kuandika italeta matatizo na mashabiki. Getafe wamethibitisha.Mbona club haijaandika chochote
Kiufupi Liverpool mnakombe la Barclays moja tu lazima muwe na wivu tu acha na mataka taka yenu mengine hayo hata ayajulikani.Kwa kipi mshabiki wa Liver awaonee wivu utd kiufupi tumia akili yako vizuri
Mimi binafsi sijaona chochoteBaada ya uhamisho wake leo imeandika kitu?
Kimya mpaka sasa aende arabuniNatafuta alipo de gea
Nitafurahi timu nyengine ikimnunua moja kwa moja atemane na UTD kumejaa ufala paleKaenda kwa mkopo nimefurahia hii habari.
Akili nyingine bwana,Man U hii inaweza kuifunga Arsenal 4??hebu acha utani aiseeHizi Kima za Arteta jumapili zikipigwa chini ya goli 4 nitaamini kweli uchawi upo. View attachment 2736006
Hilo ni kombe au ngao?
Mnavyoandika JF sasa utafikiri mna Timu ya maaaana kweliMwendo wa debuts tu
Wao siwanapenda kukaa na mpira kuuficha...solution ni kufosi wafanye makosa mpira tukipata viberenge hadi kwa Ramsadle
Hamna muda wakumuonea mtu huruma uchochoro upo kwa zinny hapo
huna Timu ya kuifunga Arsenal keshoHizi Kima za Arteta jumapili zikipigwa chini ya goli 4 nitaamini kweli uchawi upo. View attachment 2736006