Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Kuna mashabiki wa Arsenyani humu ni wa kupuuza. Shabiki anayekimbia jukwaa timu yake inapofanya vibaya ni walewale "plastic fans".

KONDOO FC mechi ya Jumapili presha ipo kwenu, sisi Duniani nzima inajua tulipo kwa sasa. Kuwapiga nyie wake zetu itakuwa ni kudumisha tu ndoa.

Arsenyani ataliwa magetoni kwake!!!
Wewe kaa kwa kutulia

Wewe siuliaga humu had masebene asipopangwa ndio unarudi


Unakimbia kidiplomasia unarudia kidiplomasia


Kesho tutawafundisha mpira


Bado huna timu ya kuifunga Arsenal
 
Jamaa msimu ulioisha alikimbia jukwaa leo baada ya ndiyo ya Arsenal ndoo Haaland kiatu kuyeyuka ndipo wahuni wakavamia jukwaa lenu ,humu uzuri wake hakimbii mtu iwe jua au mvua.
Mnatokea kwa ku beep

Mlipokula kipigo kwa spurz mkasema mnahama had 7hag asipompanga masebene


Sasa hivi mmerud


Achen mbambamba,kesho tunawakanda na mtapoteana humu
 
Ten Hag ni fala sana badala ya kutumia £65m kwa Mount angemsajili Amrabat. Sasa ameshtuka double 8s inafanya timu inakuwa exposed tayari kumekucha.

Scouts wetu nao walivyo wapuuzi wachezaji kama N. Jackson hawawaoni tumeenda kupigwa £70m.

£47m yote imeenda kwa kipa wakati tulikuwa na De Gea, Henderson, Kovar. Wote hao hawafai kwa kipindi cha mpito, sasa kwa uchezaji wetu Onana hatatusaidia ipasavyo.
Bado hamjasema


Kesho mtanena kwa lugha
 
Mnatokea kwa ku beep

Mlipokula kipigo kwa spurz mkasema mnahama had 7hag asipompanga masebene


Sasa hivi mmerud


Achen mbambamba,kesho tunawakanda na mtapoteana humu
Mkifungwa na Man U lazima ukimbie Jf kama ulivyokimbia spana kipindi kile mpaka nikashangaa mtu kujiamini kote na kuchonga genga unakimbia jukwaa na Jf mazima kisa maneno tu ?

Safari hii itakuwa spana babkubwa maana utakuwa na maadui pande mbili wapinzani na WanaAresal wenzako watakushambulia full scale, all out war nakusauri tafuta kambi mapema jukwaa la mapishi ukajifiche .
 
Mkifungwa na Man U lazima ukimbie Jf kama ulivyokimbia spana kipindi kile mpaka nikashangaa mtu kujiamini kote na kuchonga genga unakimbia jukwaa na Jf mazima kisa maneno tu ?

Safari hii itakuwa spana babkubwa maana utakuwa na maadui pande mbili wapinzani na WanaAresal wenzako watakushambulia full scale, all out war nakusauri tafuta kambi mapema jukwaa la mapishi ukajifiche .
Yaani mm nikimbie Jf ,unanifananisha

Mimi Ni Jeshi


Halafu nikimbie kwa timu ipi asee
 
Kesho usikimbie tu JF maana wiki hii umetamba sana.
Huna timu ya kuifunga Arsenal

Halafu si ulitanganza hutaonekana had 7hag aache kumpanga masebene?

Unakimbia kidiplomasia halafu unasema Mimi ndio nakimbia
 
Rasmi nahama timu ya manchester kutokana na uchoko unao endelea kwanza menejimenti mbovu ya club, uchoko wa wachezaji, mfululizo mbovu wa matokeo na kilichonikwaza zaid ni hili la greenwood..
Maamuz ya ovyo timu wachezaj haina af mnaruhusu mchezaj aondoke kisa mambo ya kisimbe
 
Huna timu ya kuifunga Arsenal

Halafu si ulitanganza hutaonekana had 7hag aache kumpanga masebene?

Unakimbia kidiplomasia halafu unasema Mimi ndio nakimbia
Nimerudi kushuhudia striker la Dunia likiweka hat-trick. Kesho mcheze kama kawaida yenu!
20230902_093913.jpg
 
Nilifanya maamuzi sahihi kujipa likizo ya muda. Siangalii upuuzi mimi, LiveScore inatosha kujua kinachoendelea huko.

Piga mbwa hao na kocha wao fala. Huwezi kuchezesha wapuuzi kama Antony kila siku utegemee mabadiliko.
 
🤣 Kesho usikimbie tu JF maana wiki hii umetamba sana.
Wahuni sasa hivi wamepoa kama hawapo ngojea Arsenal afungwe atajua kama watu wapo au hawapo toka enzi mashabiki wa arsenal ndio wana mchezo wa kukimbia jukwaa Liverpool na Man U hawana hizo pigo kabisa.

Nakumbuka baada ya kupokonywa ubingwa spana kuzidi jukwaa lao mpaka kibonzo hamis77 akiwa kapigwa Tanganyika jeki chini ya polisi kwa makosa ya ulaghai kilitoka ,punde zikaja ID mpya kabisa zikawa zinatukana matusi mazito mpaka kulimwa bann watu wakahisi wafugwa wa Arsenal walikimnia ID zao wamekuja kulipa kisasi kwa ID mpya.
 
Nilifanya maamuzi sahihi kujipa likizo ya muda. Siangalii upuuzi mimi, LiveScore inatosha kujua kinachoendelea huko.

Piga mbwa hao na kocha wao fala. Huwezi kuchezesha wapuuzi kama Antony kila siku utegemee mabadiliko.
Kesho utakimbia Tena

Halafu ndio mnapayuka mm nakimbia Jf

Bado sijaona kenge wakunikimbiza jf ,

Huwa nawapa muda ili nikirudi napiga spana non stop
 
Back
Top Bottom