Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Dirisha ndio hivyo
Screenshot_20230902-055034.jpg



Tusubiri. Huyu anakwenda kumuweka nani benchi
 
Mbona club haijaandika chochote
Hawawezi kuandika italeta matatizo na mashabiki. Getafe wamethibitisha.

Hawa mashabiki wa United wanaopinga Greenwood kucheza United wajiangalie kwasababu wanaweza kupigwa na kitu kizito kama timu ikipata mmiliki mpya. Ni kama timu imefanya danganya toto, wameandikiwa barua ya kuwatuliza ila hakuna contract termination.
 
Mwendo wa debuts tu

Wao siwanapenda kukaa na mpira kuuficha...solution ni kufosi wafanye makosa mpira tukipata viberenge hadi kwa Ramsadle
Hamna muda wakumuonea mtu huruma uchochoro upo kwa zinny hapo
Mnavyoandika JF sasa utafikiri mna Timu ya maaaana kwelihuna Timu ya kuifunga Arsenal kesho
 
Kuna mashabiki wa Arsenyani humu ni wa kupuuza. Shabiki anayekimbia jukwaa timu yake inapofanya vibaya ni walewale "plastic fans".

KONDOO FC mechi ya Jumapili presha ipo kwenu, sisi Duniani nzima inajua tulipo kwa sasa. Kuwapiga nyie wake zetu itakuwa ni kudumisha tu ndoa.

Arsenyani ataliwa magetoni kwake!!!
Wewe kaa kwa kutulia

Wewe siuliaga humu had masebene asipopangwa ndio unarudi


Unakimbia kidiplomasia unarudia kidiplomasia


Kesho tutawafundisha mpira


Bado huna timu ya kuifunga Arsenal
 
Jamaa msimu ulioisha alikimbia jukwaa leo baada ya ndiyo ya Arsenal ndoo Haaland kiatu kuyeyuka ndipo wahuni wakavamia jukwaa lenu ,humu uzuri wake hakimbii mtu iwe jua au mvua.
Mnatokea kwa ku beep

Mlipokula kipigo kwa spurz mkasema mnahama had 7hag asipompanga masebene


Sasa hivi mmerud


Achen mbambamba,kesho tunawakanda na mtapoteana humu
 
Ten Hag ni fala sana badala ya kutumia £65m kwa Mount angemsajili Amrabat. Sasa ameshtuka double 8s inafanya timu inakuwa exposed tayari kumekucha.

Scouts wetu nao walivyo wapuuzi wachezaji kama N. Jackson hawawaoni tumeenda kupigwa £70m.

£47m yote imeenda kwa kipa wakati tulikuwa na De Gea, Henderson, Kovar. Wote hao hawafai kwa kipindi cha mpito, sasa kwa uchezaji wetu Onana hatatusaidia ipasavyo.
Bado hamjasema


Kesho mtanena kwa lugha
 
Back
Top Bottom