hamis77
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 18,622
- 27,310
Wewe kaa kwa kutuliaKuna mashabiki wa Arsenyani humu ni wa kupuuza. Shabiki anayekimbia jukwaa timu yake inapofanya vibaya ni walewale "plastic fans".
KONDOO FC mechi ya Jumapili presha ipo kwenu, sisi Duniani nzima inajua tulipo kwa sasa. Kuwapiga nyie wake zetu itakuwa ni kudumisha tu ndoa.
Arsenyani ataliwa magetoni kwake!!!![]()
Wewe siuliaga humu had masebene asipopangwa ndio unarudi
Unakimbia kidiplomasia unarudia kidiplomasia
Kesho tutawafundisha mpira
Bado huna timu ya kuifunga Arsenal

Kesho usikimbie tu JF maana wiki hii umetamba sana.