Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Picha za kesho zimeanza kuvuja
20230831_140057.jpg
 
Kesho usikimbie tu JF maana wiki hii umetamba sana.
Masingeli hua anachezea mzinga wa nyuki halafu nyuki wakianza kutoka yeye anajificha wanang'atwa Arsenyau wenzake sasa hivi mpaka Arsenyau wenzake wameanza kumuwashia moto kwa hio tabia yake ya kuchokoza nyuki.
Masingeli unawaponza wenzio ujueeee, kesho tukiwagonga mtateseka kwa wiki 2 mfululizo mpaka yatakapoisha mapumziko ya mechi za kimataifa.
 
Dirisha ndio hivyo
View attachment 2736204


Tusubiri. Huyu anakwenda kumuweka nani benchi
Ila pia kiasi fulani tumejitahidi kupunguza wachezaji wengi sana, ambayo ni nzuri kupisha talents zingine ziingie, academy yetu ilikuwa inazidi kujaa na wanaoingia first team unakuta mmoja au wawili hivi wanaobakia hakuna future yoyote kwao.

Ukitazama hii picha unaona kabisa uhalisia uliokuwepo.
 
Baada ya kesho kuwakanda mtakaa wiki mbili mnaanza na baryen

Nao watawakanda za kutosha
 
Masingeli hua anachezea mzinga wa nyuki halafu nyuki wakianza kutoka yeye anajificha wanang'atwa Arsenyau wenzake sasa hivi mpaka Arsenyau wenzake wameanza kumuashia moto kwa hio tabia yake ya kuchokoza nyuki.
Masingeli unawaponza wenzio ujueeee, kesho tukiwagonga mtateseka kwa wiki 2 mfululizo mpaka yatakapoisha mapumziko ya mechi za kimataifa.
Wenzio wanaanga humu sababu ya kichapo Cha kesho

Mimi bado sijaona wakunikimbiza jf ,huwa natoa muda mtapike ili nikirudi nakuja na speed ya 5G
 
Kwa kipi mshabiki wa Liver awaonee wivu utd kiufupi tumia akili yako vizuri
Sijajua Umeuliza ama Umehitimisha.

Liver ilikuwa ndio klabu kubwa Uingereza, kibaya ilimtengeneza alieitengeneza UTD Matt Busby baadae kazi ya Kuifanya UTD kuwa GIANT wa Uingereza akamalizia FERGIE! Mlikuwa mnaongoza kwa CHAMPIONSHIP/FIRST DIVISION Zaidi ya 10, FERGIE Kachukua EPL 13 dhidi ya EPL 1 ya Liver kwa sasa kwa Taji la Ligi Kuu ya Uingereza UTD ndo anaongoza, Nje ya Mataji ya Ulaya, mataji Mengi ndani H2H UTD Anamzidia Liver kitu ambacho kabla hakikuwepo.

Liver derby yake ni Everton lakini Rivalry wake ni UTD na wapo kichuki Mno. HUGE Team Duniani ni 3 {R.Madrid, Barca, UTD} afu kuna BIG Teams {Milan, INTER, LIVER, BAYERN, AJAX} UTD haikuwa na Success ilokuwa nayo Liver Misimu mi 3 ama mi 4 Nyuma lakini still huoni ikipoteza Ushawishi na Bado inavutia wawekezaji wakubwa sana {Adidas majuzi ka-sign deal la Kits la kuvunja Record na UTD}

Sasa Lukub mtaachaje ionea WIVU UTD! Na kwa taarifa yako Mashabiki wa Liverpool ndo wanaoongoza kuichukia UTD na kubwa ni WIVU uliotokana na Chuki sababu kachukua Utawala mlokuwa nao.
 
Ten Hag:
"How quickly can players pick up my rules?
It's not easy.

The reason why I bring in former players?
Yes, but every situation is different.
I wasn't playing same way at Utrecht as at Ajax and I don't play the same way at Manchester United as at Ajax.

What is the identity of the club?
What is the quality of the players?
And then you bring your own ideas and it's a mix."
 
Ten Hag on midfield criticism:
"It was a collective problem. We analyzed and showed the team where the problem was. Not all players lived up to what they were We've been working on that a lot over the last two weeks."
 
Manchester United have collected 42 points in the 17 games Casemiro, Christian Eriksen and Bruno Fernandes have started together in the Premier League, but only 39 points in the 24 games where either of them has been absent from the starting XI.
 
Huna timu ya kuifunga Arsenal

Halafu si ulitanganza hutaonekana had 7hag aache kumpanga masebene?

Unakimbia kidiplomasia halafu unasema Mimi ndio nakimbia
Ni mjinga tu atayekuamini wewe shabiki kachumbari ambaye ulipotea jukwaani kwa muda wa miezi miwili baada ya timu yako kukosa ubingwa ambao mmeutafuta kwa miaka 20 na hamtukuja kuupata tena ndani ya karne hii.
 
Back
Top Bottom