Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Nyumbu kwa umoja wenu kaeni kwenye meza ya maradhiano na Hamis77, Kama kunatofauti zozote mzimalize

Mtu mmoja kasimamisha jukwaa zima, na bado anapiga spana kisawasawa.
Kinacho mtesa hamis77 ni ichi kipigo.

Kwaiyo ana uchungu Sana akifikiria Sijui kitarudi lini anakosa Nguvu Kwaiyo anaji fariji kwa kuja kupiga kelele tu hapa ujiulizi kwanini kakomalia hapa ni ichi kipigo kilimtoa akili Mpaka leo ayupo sawa
1693218400837.jpg
 
Kinacho mtesa hamis77 ni ichi kipigo.

Kwaiyo ana uchungu Sana akifikiria Sijui kitarudi lini anakosa Nguvu Kwaiyo anaji fariji kwa kuja kupiga kelele tu hapa ujiulizi kwanini kakomalia hapa ni ichi kipigo kilimtoa akili Mpaka leo ayupo sawaView attachment 2735025
Amelifanya Kama jukwaa lake, hoja zake mmeshindwa kuzipangua
Hamis77 muelewa Sana, mkae nchini myamalize. Hili jukwaa mtalikimbia wote humu
 
Imagine deadline day ndio tunajitafuta kumnasa Amrabat tena tunaomba watukopeshe!
Mie naona uko UCL huwa tunapalilia tu lakini hatuna ubavu wa kushindana bali tunaenda kumjaza Glazers mapesa tu. Ni heri tutolewe mapema tukose wote na wamiliki.
 
Imagine deadline day ndio tunajitafuta kumnasa Amrabat tena tunaomba watukopeshe!
Mie naona uko UCL huwa tunapalilia tu lakini hatuna ubavu wa kushindana bali tunaenda kumjaza Glazers mapesa tu. Ni heri tutolewe mapema tukose wote na wamiliki.
Bado hamjasema

hamis77 nyumbu washaanza kuelewa SoMo huku
 
Huyu kipara ndezi (Ten Hag) naanza kupata mashaka naye kwa hizi sajili za kipuuzi.

Tumetumia zaidi ya £180m kusajili overpriced players wakati timu inahitaji maboresho ya mengi. Matokeo yake FFP na injuries zinatulazimu kuanza kutafuta flops.
 
Imagine deadline day ndio tunajitafuta kumnasa Amrabat tena tunaomba watukopeshe!
Mie naona uko UCL huwa tunapalilia tu lakini hatuna ubavu wa kushindana bali tunaenda kumjaza Glazers mapesa tu. Ni heri tutolewe mapema tukose wote na wamiliki.
Ucl tutafika mbali mark my words Round 16 to Quarter final hapo ndo moto utakapowaka

Kuna deadline deals 2-3 zitatimia at end of the transfer market ijumaa tukianza na huyo Sergio rugillion then ambrat kiraka
 
Ten Hag ni fala sana badala ya kutumia £65m kwa Mount angemsajili Amrabat. Sasa ameshtuka double 8s inafanya timu inakuwa exposed tayari kumekucha.

Scouts wetu nao walivyo wapuuzi wachezaji kama N. Jackson hawawaoni tumeenda kupigwa £70m.

£47m yote imeenda kwa kipa wakati tulikuwa na De Gea, Henderson, Kovar. Wote hao hawafai kwa kipindi cha mpito, sasa kwa uchezaji wetu Onana hatatusaidia ipasavyo.
 
Huyu kipara ndezi (Ten Hag) naanza kupata mashaka naye kwa hizi sajili za kipuuzi.

Tumetumia zaidi ya £180m kusajili overpriced players wakati timu inahitaji maboresho ya mengi. Matokeo yake FFP na injuries zinatulazimu kuanza kutafuta flops.
Ndio mpira mkuu hawa hawa wanaotuponda humu na kutuombea njaa watatukuta tuna ka kombe mwisho wa msimu afu wao watakula chaka warudi wakiwa wameshinda aerials duel 1v1 most xG tactical overload cup na loser medall

Man utd round 16 lazima mkubwa ni mkubwa tu askuambie mtu
 
Ten Hag ni fala sana badala ya kutumia £65m kwa Mount angemsajili Amrabat. Sasa ameshtuka double 8s inafanya timu inakuwa exposed tayari kumekucha.

Scouts wetu nao walivyo wapuuzi wachezaji kama N. Jackson hawawaoni tumeenda kupigwa £70m.

£47m yote imeenda kwa kipa wakati tulikuwa na De Gea, Henderson, Kovar. Wote hao hawafai kwa kipindi cha mpito, sasa kwa uchezaji wetu Onana hatatusaidia ipasavyo.
Ambrat anakuja kwa loan option to buy hivo ndivo Florentina walivo sisitiza ili deal likamilike sababu ya FFP rules

Shida yetu man utd kwa sasa ni beki ndo hamna
 
Dah Rio ametutukana ila kasema ukweli ,


Rio Ferdinand kuhusu #Arsenal:


“Ninaangalia mashabiki wao, Wana mambo mengi. Wanaenda hovyo.

"Havertz nje, meneja hajui anachofanya, anahangaika na timu sana, Partey anacheza beki wa kulia, Trossard akiingia haji na kufanya kazi yake.

“Eddie Nketiah tunamtaka atoke...


Nyinyi(mashabiki wa Arsenal) mko kila mahali. Sielewi, mara Havertz. Ninaelewa hajapiga hatua bado, kama Mason Mount pale Manchester United.

"Jinsi nyinyi mlivyo 'mtoe nje. Hapaswi kuwa hapa’. Nazungumzia fanbase hii siielewi. Ikiwa ni mechi 10-15, ningeweza kuona wanachosema kina mantiki.

Ni michezo mitatu tu ,

Watu wanahitaji muda .”
Akija huku anasema mount tumepigwa😃
 
Back
Top Bottom