Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Hadi sasa hili kundi letu hatuvuki

Bayern anatupiga nje ndani,Galatasaray hata OT hatuwezi kumfunga now ni wa moto pia game ya ugenini mnaelewa vyema gundu la jiji la Istanbul tangu zamani hatutogaki salama tunachapwa.

Tukijikakamua ni point 6 za Copenhagen napo kwa mashaka
 
img_2_1693499135291.jpg
 
Hadi sasa hili kundi letu hatuvuki

Bayern anatupiga nje ndani,Galatasaray hata OT hatuwezi kumfunga now ni wa moto pia game ya ugenini mnaelewa vyema gundu la jiji la Istanbul tangu zamani hatutogaki salama tunachapwa.

Tukijikakamua ni point 6 za Copenhagen napo kwa mashaka

Usijihofie wewe
Hapa Man U napita
Bayern mwenywe Beki mbovu atanifunga allianza arena tu.
Galatasaray siwezi nkamhofia Yan acheze na olmpija na molde ndo useme mzuri afu pia uturuki uko ni wa nane mpka sasa
Copenhagen ni wakujipigia unavyotaka wewe huyu kwny kundi ataondoka na alama moja kwa galatasaray
 
Zaha na Ziyech wanarudi England, nyumbu mjiandae hamna group jepesi kwenuu
 
We group lako unaliona jepesi ila Upo na timu technical zote izo au psv umemsahau
Mda utaongea
Nakusanya points 15-18

Hakuna kuficha ficha Hakuna timu yakuokota point kwa Arsenal hii

Mbabe wako Sevilla atachangia points 6 home and away
20230831_194600.jpg
 
Nyumbu kwa umoja wenu kaeni kwenye meza ya maradhiano na Hamis77, Kama kunatofauti zozote mzimalize

Mtu mmoja kasimamisha jukwaa zima, na bado anapiga spana kisawasawa.
 
Maridhiano na mtu anayekaa kwa shemeji yake Dada ake akiachika naye anaachika,abadani!

Apige tu kelele zake mshika ukuta wa Buza
Kaeni nae chini, yanazungumzika. Kama Kuna tofauti myamalize
Spanna anazopiga hakuna alieweza kupangua hoja zake

Hili jukwaa limekua Kama la kwake
 
Nyumbu kwa umoja wenu kaeni kwenye meza ya maradhiano na Hamis77, Kama kunatofauti zozote mzimalize

Mtu mmoja kasimamisha jukwaa zima, na bado anapiga spana kisawasawa.
Kinacho mtesa hamis77 ni ichi kipigo.

Kwaiyo ana uchungu Sana akifikiria Sijui kitarudi lini anakosa Nguvu Kwaiyo anaji fariji kwa kuja kupiga kelele tu hapa ujiulizi kwanini kakomalia hapa ni ichi kipigo kilimtoa akili Mpaka leo ayupo sawa
1693218400837.jpg
 
Back
Top Bottom