fuentte
JF-Expert Member
- Jul 30, 2015
- 3,460
- 10,009
Imagine deadline day ndio tunajitafuta kumnasa Amrabat tena tunaomba watukopeshe!
Mie naona uko UCL huwa tunapalilia tu lakini hatuna ubavu wa kushindana bali tunaenda kumjaza Glazers mapesa tu. Ni heri tutolewe mapema tukose wote na wamiliki.
Mie naona uko UCL huwa tunapalilia tu lakini hatuna ubavu wa kushindana bali tunaenda kumjaza Glazers mapesa tu. Ni heri tutolewe mapema tukose wote na wamiliki.










