Forgotten
JF-Expert Member
- Jul 20, 2018
- 3,631
- 11,106
Bado ana mkataba. Anaweza kutolewa kwa mkopo kila msimu mpaka mkataba wake uishe.Suala la Greenwood bodi ya Utd wamelikuza makusudi.
Huyu dogo natamani achukuliwe na timu kubwa inayojielewa halafu kila tukikuta awe anatugonga goli za kutosha
Hawa umbwa ni ubaguzi tu wa rangi ndio unawasumbua, ni mara 100 wangemtoa kwa mkopo hata msimu mmoja kisha wakamuuza kuliko hivi walivyomfanyia.
MamaEster United a.k.a Mama Yuu
Nyumbu kasoro mkia.
Ili auzwe lazima arudi kwenye ubora wake kwanza.

