Mimi sichambui mpira kwa kufuata mkumbo mkuu, natoa facts, tatizo letu sio kiungo mkabaji wala kiungo mshambuliaji wala sio beki japo tunapaswa kuongeza kiungo mmoja wa kumsaidia Casemiro
Ndani ya hizi mechi mbili tumcreate big chances 6 tumefunga moja tena ni beki ndio kafunga sawa na 16.66%, Brighton wamecreate tisa wamescore 8 sawa na 88.88%, Newcastle wamecreate 8 wametumia 5 swa na 62.5%
UTD ni Game Two ila ni namna gani ime-ruin Childhood happiness ya wengi unaangalia tu mana still wengi bado hawana hiyo furaha wanayoitaka kwa timu zao wamebaki furahia matatizo ya UTD na kujifariji nayo.
Kuna kundi kubwa limemgeukia ETH huku wakidai hana Talent ID, unawauliza kirahisi tu Arteta ana takribani wachezaji 25 alosajili na Still ana Cup 1 tu {Ngao ya jamii ni Bonanza} kuna kina Mari, Jorginho, Lokonga, Tavares, et al hazijawork out {kwa mujibu wao tuseme naye Arteta hana Talent ID??} sasa ukiuliza maswali ya Kisoka mnachojivunia hasa ni kipi hawana cha kusema zaidi ya Mpira Mzuri kwa Mujibu wao na hawana kombe la Kuonyesha, {
LAST SEASON ETH AMEKUWA NA SEASON BORA KUMZIDI ARTETA- Ukibisha uje na FACTS}
Gwiji
christeve88 umemaliza kila kitu! Kuna wakati Fulani Ralf Rangnick alisema UTD inahitaji sajili zaidi ya 10 wakamdhihaki ila sisi tunaoangalia soka bila mahaba tulielewa anachomaanisha. ETH kajitahidi sana kufanya kazi na aina ya Players alokuta na sajili kadhaa Starter 3 Back-Up 1, Ninadiriki kusema kama ETH akifikisha sajili zaidi ya 20 kama Arteta UTD itakua na kila taji!
UTD inahitaji stiker sio tu kuanzia season hii but tangu anaondoka Fergie na alirithisha usajili wa Wazee Robin alifanya kazi but hakuwa mtu wa kumtegemea muda mrefu tumekuwa na utaratibu hovyo sana toka juu kuhusu CF mostly tumekuwa tukisajili watu maji kupwa {Falcao, Ibra, Lukaku, Ighalo, Cavani, CR7}
kubwa lipo kwenye namba umeziweka hapo
christeve88 UTD ina winga bado wa kawaida, Rashy ndo kabisa uwezo wake ni wa kuwa Spurs, Newcastle na timu za kati hapo hana uwezo huo waingereza wanatuaminisha, Timu kama UTD Forward Player yeyote unatakiwa uwe Comfortable na Mpira, ila yule Mkali unaeza shangaa ana Mipira mingi alopoteza kuliko Shots za maana au hata Goals/Assists.
Worst Scenario katika Matengenezo yetu bora ya Academy kwa Forward ni Mason Greenwood {Hajui chezea nafasi uwanjani, ila Nje ya Uwanja akachezea pakubwa sana} sadly siasa imetamaradi kwenye suala lake na ndo Mkono wa kwaheri kwake. All the Bests Mason Greenwood.