trigger_
JF-Expert Member
- Apr 9, 2019
- 764
- 1,414
Leo ni mwendo wa LiveScore tu. Ten Hair akimpanga tena Antony, basi sasa!
Nyie mnaona antony tu wakat kuna wapumbavu wengi mbele kule wanazingua Bora hata antony hua yupo live
Leo ni mwendo wa LiveScore tu. Ten Hair akimpanga tena Antony, basi sasa!
Kweli De zerbi ni kocha mzuri lakini kwa pale Brighton kuna mtu nje ya kocha mkuu ndio anafanya timu na kocha wake washine.Hili swali huwa silipend ,maana mwalimu mzuri kwa timu ndogo anaonekana tu ukimpa timu kubwa atazingua
Walimu wengi wa timu ndogo wanaofanya vzr huwa wanabahatisha tu kuzifunga timu kubwa
Di zerbi huyu jamaa anajua ,habahatishi , huyu jamaa makocha wakubwa wanakiri uwezo wake ,
Huyu Jamaa ashamdhalilisha klopp sio Mara moja
Huyu Jamaa omben asipewe timu kubwa
Mech ya kwanza kabisa anafika Brighton alicheza na mancity kairudie hata highlights hiyo mechi Etihad ,
Hakuna kocha wa timu ndogo anaweza kuweka namba hiz, tena kwa Modern football hii
View attachment 2727559
Upo sahihi pale Brighton Kuna watu wanaosajili vzrKweli De zerbi ni kocha mzuri lakini kwa pale Brighton kuna mtu nje ya kocha mkuu ndio anafanya timu na kocha wake washine.
Kabla ya De Zerbi alikuwepo Potter na yeye alishine kwelikweli na Brighton yake, kila mtu alikua akimuimba Potter kua ni among of the best coacher in Epl, haya baada ya Potter kwenda Chelsea mambo yalikuaje?
Binafsi sina mashaka yoyote na De Zerbi ila nina uhakika kushine kwa Brighton hakutokani na De Zerbi, kuna mtu yuko nyuma ya Kocha mkuu ambae ndie anaifanya Brighton inang'aa, hata akiondoka De zerbi akaja kocha mwingine nina uhakika Brighton itaendelea kukimbiza hivihivi kama ilivyokua inakimbiza kipindi Harry Potter.

sasa unawapanga wa Nini weka nje tuanze project mpya na vijana wa academy, maana haiwezekani watu hawasikilizi maelekezo na bado unawapanga kila siku.Sasa ukiwatoa utampanga nani?Kocha kaanza kulalamika wachezaji wavivusasa unawapanga wa Nini weka nje tuanze project mpya na vijana wa academy, maana haiwezekani watu hawasikilizi maelekezo na bado unawapanga kila siku.
Mpeleke dingi yako akawe kochaBora Wole Soyinka kuliko jasusi Ten hag
Basi aache kulalamika tuende tu kama Ole boys wamefanya poa yaishee kama kocha analalamika sisi tufanyeje.Sasa ukiwatoa utampanga nani?
Ralf aliwahi kulalamika pia ila hamna namna halafu EPL ukitaka uaibike vibaya panga watoto wadogo toka Academy
Wale watoto wanafaa kuingia taratibu kwenye timu mmoja mmoja
Sisi tunapaswa kuumia tu na kuvumilia maumivu,huwezi kujua anayopitia kocha hadi atapoondoka.Basi aache kulalamika tuende tu kama Ole boys wamefanya poa yaishee kama kocha analalamika sisi tufanyeje.
"Huwezi kujua anayopitia kocha hadi atapoondoka."Sisi tunapaswa kuumia tu na kuvumilia maumivu,huwezi kujua anayopitia kocha hadi atapoondoka.
Van Gaal ana chuki na klabu yetu hadi leo si kwa bahati mbaya