Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Sisi tunapaswa kuumia tu na kuvumilia maumivu,huwezi kujua anayopitia kocha hadi atapoondoka.

Van Gaal ana chuki na klabu yetu hadi leo si kwa bahati mbaya
"Huwezi kujua anayopitia kocha hadi atapoondoka."
20230826_163018.jpg
 
Niliwaambia majuz humu ipo siku mtadharirika vby.

Lkn sikutegemea itakua dhidi ya Nottingham ndg zng achen ufala ebu kazeni.

Yan 2 within no time?
 
Back
Top Bottom