Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

IMG_9049.jpg

 
Hili swali huwa silipend ,maana mwalimu mzuri kwa timu ndogo anaonekana tu ukimpa timu kubwa atazingua

Walimu wengi wa timu ndogo wanaofanya vzr huwa wanabahatisha tu kuzifunga timu kubwa

Di zerbi huyu jamaa anajua ,habahatishi , huyu jamaa makocha wakubwa wanakiri uwezo wake ,

Huyu Jamaa ashamdhalilisha klopp sio Mara moja

Huyu Jamaa omben asipewe timu kubwa

Mech ya kwanza kabisa anafika Brighton alicheza na mancity kairudie hata highlights hiyo mechi Etihad ,

Hakuna kocha wa timu ndogo anaweza kuweka namba hiz, tena kwa Modern football hii

View attachment 2727559
Kweli De zerbi ni kocha mzuri lakini kwa pale Brighton kuna mtu nje ya kocha mkuu ndio anafanya timu na kocha wake washine.
Kabla ya De Zerbi alikuwepo Potter na yeye alishine kwelikweli na Brighton yake, kila mtu alikua akimuimba Potter kua ni among of the best coacher in Epl, haya baada ya Potter kwenda Chelsea mambo yalikuaje?
Binafsi sina mashaka yoyote na De Zerbi ila nina uhakika kushine kwa Brighton hakutokani na De Zerbi, kuna mtu yuko nyuma ya Kocha ambae ndie anaifanya Brighton inang'aa, hata akiondoka De zerbi akaja kocha mwingine nina uhakika Brighton itaendelea kukimbiza hivihivi kama ilivyokua inakimbiza kipindi Harry Potter.
 
Sources close to Andre Onana have dismissed claims that he will return to the national team, insisting that it is currently impossible for him to return to playing for Cameroon. [
@TheAthleticFC
]
 
Kweli De zerbi ni kocha mzuri lakini kwa pale Brighton kuna mtu nje ya kocha mkuu ndio anafanya timu na kocha wake washine.
Kabla ya De Zerbi alikuwepo Potter na yeye alishine kwelikweli na Brighton yake, kila mtu alikua akimuimba Potter kua ni among of the best coacher in Epl, haya baada ya Potter kwenda Chelsea mambo yalikuaje?
Binafsi sina mashaka yoyote na De Zerbi ila nina uhakika kushine kwa Brighton hakutokani na De Zerbi, kuna mtu yuko nyuma ya Kocha mkuu ambae ndie anaifanya Brighton inang'aa, hata akiondoka De zerbi akaja kocha mwingine nina uhakika Brighton itaendelea kukimbiza hivihivi kama ilivyokua inakimbiza kipindi Harry Potter.
Upo sahihi pale Brighton Kuna watu wanaosajili vzr

Pamoja na hayo ukiongeza na ubora wa Di zerbi ndio unapata balaa Hili

Di zerbi ana takwimu ambazo sijawahi ona kocha wa timu ndogo anaziweka kwa misimu ya karibuni

Anaongoza kwenye takwimu ambazo zinawekwaga na city

Msimu Jana alichukua timu katikati ,safari hii Di zerbi anaenda kutembeza vipigo Sana ,

Leo Westham ajiangalie Sana anaweza kudhalilishwa
 
Elangaaaaa.

Awoinyi......

Msipookota point leo ,mjiandae kuchukua nafasi ya Chelsea 12th

United are going to be the joke of season.

David Moyes 2013-14 replica season incoming
 
Kocha kaanza kulalamika wachezaji wavivu sasa unawapanga wa Nini weka nje tuanze project mpya na vijana wa academy, maana haiwezekani watu hawasikilizi maelekezo na bado unawapanga kila siku.
 
Kocha kaanza kulalamika wachezaji wavivu sasa unawapanga wa Nini weka nje tuanze project mpya na vijana wa academy, maana haiwezekani watu hawasikilizi maelekezo na bado unawapanga kila siku.
Sasa ukiwatoa utampanga nani?

Ralf aliwahi kulalamika pia ila hamna namna halafu EPL ukitaka uaibike vibaya panga watoto wadogo toka Academy

Wale watoto wanafaa kuingia taratibu kwenye timu mmoja mmoja
 
Fukuza huyo jasusi Ten hag alafu lete kocha wa mpira Ngũgĩ wa Thiong'o Manchester United wacheze style ya "Devil on the Cross"
 
Mashabiki mmesusa tim

Wekeni kikosi basi tufanye uchambuzi uchwara.
 
Sasa ukiwatoa utampanga nani?

Ralf aliwahi kulalamika pia ila hamna namna halafu EPL ukitaka uaibike vibaya panga watoto wadogo toka Academy

Wale watoto wanafaa kuingia taratibu kwenye timu mmoja mmoja
Basi aache kulalamika tuende tu kama Ole boys wamefanya poa yaishee kama kocha analalamika sisi tufanyeje.
 
Back
Top Bottom