Sawa Deo kisandu aka Don namlison
Zima hiyo TV bwanaaaNilifanya maamuzi sahihi kujipa likizo ya muda. Siangalii upuuzi mimi, LiveScore inatosha kujia kinachoendelea huko.
Piga mbwa hao na kocha wao fala. Huwezi kuchezesha wapuuzi kama Antony kila siku utegemee mabadiliko.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]hatari sanaa...!!Hapa Kuingia Top 4 tuangalie Mwakani, kwa Sasa ishashindikana
Chale amerudi kwenye default settingsRashford anapiga mikasi mpaka nje ya uwanja 😂😂😂
Moyes alisepaTen hag hawez kazi, asepe.