Tunarambwa huko![]()
Tunarambwa huko![]()

Kiukwl
Sawa Deo kisandu aka Don namlison
Zima hiyo TV bwanaaaNilifanya maamuzi sahihi kujipa likizo ya muda. Siangalii upuuzi mimi, LiveScore inatosha kujia kinachoendelea huko.
Piga mbwa hao na kocha wao fala. Huwezi kuchezesha wapuuzi kama Antony kila siku utegemee mabadiliko.
Hapa Kuingia Top 4 tuangalie Mwakani, kwa Sasa ishashindikana



hatari sanaa...!!
Chale amerudi kwenye default settingsRashford anapiga mikasi mpaka nje ya uwanja 😂😂😂