trigger_
JF-Expert Member
- Apr 9, 2019
- 764
- 1,414
Narudia tena tafuteni kipa. Hamna kipa wa kueleweka
Badala uyatumie haya masaa vizuri ujiandae kisaikolojia unakuja kutafuta huruma humu
We jiandae kwa maumivu baadae
Narudia tena tafuteni kipa. Hamna kipa wa kueleweka
SI ukashabikie hizo tim unakatazwa niniBila Kuwasahau Newcastle jitu kama Joelinton, Wilson, Dany Burn yaani mijitu ya kuforce kona inaingia, Brighton kuna Wellbeck akiwa kwetu alikua mwembamba kuna Dunk,
Aston Villa kuna vijitu ila vimekomaa na majitu kweli kweli Watkins, Mings, Khonsa, House. Namkubali Watkin dogo mkatili ana nguvu mpaka ya shuti sifa za strikers.
Njoo Tottenham aliyetuadhibu ni Sarr ni dogo ila amepanda intensity kila sehemu
Arsenal ndio wako kama sisi ila kidogo wanatuzidi intensity.
Palace nayo ina mijitu Schlupp, Guehi, Edouard.
Litimu langu, Unaona kabisa kama hawali vile mwangalie Varane, Martinez, Dalot, Wan Bissaka, Mount, Ericksen, Mbele Martial, Bruno, Gernacho unajiuliza wananyanyua nondo kweli.
Hivi unatafuta nini kwenye page za wanaume huku au unawashwa washwa usuguliwe vizuri eti.Mmepigwa kwa Mount mmejipeleka tena kwa kukulela hivi nyie mna akili kweli au hamnazo.
Sawa mzeeSI ukashabikie hizo tim unakatazwa nini
Hizo timu zote unazosifia msimu umeisha hazijafika kokote hata kikombe kimoja.
Najua yanayoendelea kwenye club yangu Manchester ila sitaweza kufikia huu upuuzi wako.
Timu yake inamshinda anashinda kwa wanaume kupiga umbeaHivi utafuta nini kwenye page za wanaume huku au unawashwa washwa usuguliwe vizuri eti.


Yani anawashwa kweli huyu jamaa hahahaTimu yake inamshinda anashinda kwa wanaume kupiga umbea![]()
Yacine Tv inakufaaJamani msaada app ya kuangalia mpira online nisaidieni
Ni wachezaji wangapi kutoka bundesliga waliofanya vizuri Uingereza?
- Kelvin De Bruyne
- Michael ballack
- Ilkay Gundogan
haalandNi wachezaji wangapi kutoka bundesliga waliofanya vizuri Uingereza?
- Kelvin De Bruyne
- Michael ballack
- Ilkay Gundogan
KabisaNyie kenge hizi clip za Alison mtumieni Onana ajifunze..


Kuna kitu hakipo sawa klabuni kwetu kila msimu matatizo yaleyale.Baada ya kuangalia mechi ya liverpool dhidi ya newcastle united, nimejifunza timu yetu haifanyi mazoezi ndio maana tunarejea makosa yanayofanana kila mechi.