IamMrLiverpool
JF-Expert Member
- Apr 27, 2014
- 4,735
- 7,080
Hivi mlikosa kipa mpaka mumchukue Onana??








Ulitaka tumsajili Dada ako?Hivi mlikosa kipa mpaka mumchukue Onana??![]()
Asee so kila mtu mwenye mfungamano na Ajax ni favorite kwa Haag, kwanini asimfikirie Kudus SasaTen Hag wants Marc Cucurella because him and his staff have fond memories of the player back in that famous Getafe vs Ajax tie in the 2020/21 season. [
@gerardromero
]
Naona pia wanatafuta kiungo, kwanini tusimsajili huyu Mbrazil yupo pale Fenerbahçe kashafanya kazi na Ten Hag, pia ana experience kwenye EPL.Asee so kila mtu mwenye mfungamano na Ajax ni favorite kwa Haag, kwanini asimfikirie Kudus Sasa
Sioni shida katika hili watu wanakuza sana vitu,kwani kocha akimpenda mchezaji wa timu pinzani iliyocheza na timu yake mbeleni akija kumtaka shida ipo wapi?Asee so kila mtu mwenye mfungamano na Ajax ni favorite kwa Haag, kwanini asimfikirie Kudus Sasa
Target gan hazieleweki angalia taget za kocha
Nunez
Gapko
De jong
Tobido
Ambrabat
Alafu angalia baada ya kuwakosa inabidi atafute solution za muda mfupi zima moto kina wehghost
Apo kuna wachezaji tunanashindwa kuwa sajili sababu ya kuanza kubargain mfano n Nunez na hyo gapko
Hata sajili zilizofanikiwa utaona tunavyo pata shida kusajili yaan tunakaa wiki nne kupambania kusajili mchezaji mmja ila wakija vilabu vingine siku mbili au tatu wanabeba mchezaji angalia Liverpool, Manchester city, Chelsea na arsenal hatuwezi kubattle nao tukiwa tunataka mchezaji
Na kocha yupo serious hataki mchezaji ambaye haendani na mifumo yake ndio maana anatafuta zima moto kama kina sabitzer na wehghost
Dalali#mufc are in talks with Lyon for Nicolas Tagliafico. United want a loan but Lyon would like to include an obligation to buy. [
@LeMechenoua
]
View attachment 2732552
Kwa wengine sishangai ila kwa Varane huwa kila mechi naangalia huku nahofia jamaa kuumia,majeraha yake taarifa hizi hazijanishangazaHawa majeruhi shida ni nini mbona wanaongezeka tu halafu hakuna hata uharaka wa kupata hizo nafasi na dirisha linafungwa.
Huyo kawaida yake panchaRafael Varane out for six weeks
Mmeanza kujiumiza eenh?
Arteta kikosi ndio hiki, soo simple. Usi overthink Arteta.Magwaya na Nani watamaliza nne na tano?
View attachment 2732729
Nafuu ya Mbabu Evans huyo Maguire hatutaki kumsikia kasababisha timu isisajili beki wa katiMagwaya na Nani watamaliza nne na tano?
View attachment 2732729