hamis77
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 18,622
- 27,310
Kabla ya kuongeza sajili 6-7 ,jiulize kwanza je Kocha kawaongezea Nini au kuwainua viwango baadh ya aliowakutaHapa hatuzungumzii makosa ya kocha tunaongelea sajili zaidi haiwezekani timu imefuzu Champions League tulategemea hata sajili 6-7 za kuongeza nguvu ila tumeishia 3 tena moja ya kipa.
Wanasingizia timu iuze wachezaji ndio isajili wakati ipo capable kusajili bila kuuza kutokana na mapato yake basi wanasambaza propaganda kwa media.
Kocha nitamlaumu kwa sajili ya Antony na Mount tu ila kwa Hojlund ni makosa ya watu wa juu waliofahamu kwamba majeruhi ila wakapiga sanctioning.
Glazers hawakwepi lawama kabisa hapa
Ni Kuna shida Mahali hasa management na bench la ufundi ,haiwezekani leo Sancho aliyekuwa anaenda kuwa world class player pale BVB awe Kama Dikson ambundo , mchezaji Kama Mactominay, Fred , kocha kashindwa ku utilise ubora wao , Ni muoga pia kuwapa nafasi makinda , last season kila mechi wachezaji hao hao iwe Carabao au FA au Ligi, Degea kadaka michuano yote , Casemiro kachafua michuano karibu yote ,
Hapa fatigue lazima iwakumbe tu,
Hii iliwakuta Liverpool walipopigania mataji manne kwa kikosi hiko hiko ,plus umri wa wachezaj ,msimu uliofata hata kukimbia wakawa hawawezi ,
Takwimu zinasema mpaka Sasa mount casemiro na Bruno ndio viungo wanaopitwa kirahisi
Wachezaji 6-7 hapo unazungumzia timu nzima kabisa ,kitu ambacho sio afya kwa timu Kama manjesta
Kuna kasumba mmemezeshwa Baadhi ya wachezaji ni wabovu na hawafai kuchezea manjesta ,sababu kuu ninayoiona kocha ameshindwa kuwainua viwango Baadhi ,ukichanganya na sajili za Mwaka Jana na mwaka huu tayari unaanza kupata timu shindani
Lakin tujiulize why mpaka Sasa bado kocha ana struggle ku install playing style yake , why sajili zake nyingi hazina malengo ya muda mrefu au kuingia moja kwa moja first eleven na kutoa impact
Kuna wachezaj wengi wazuri Kama Olise , Eze , Tielemans , waliokuwa wanapatikana kwa Bei za kawaida tu
Angalia Sasa mnaenda kusaka backup GK kwa €15m ambaye Hana uwezo wakumzidi Matej au Heaton ,
Grazzer wao wana approve pesa zitumike wakiamin watapunguza lawama lakin ndio Kama zinazid
Kocha unawezaje kuruhusu kitu Kama hicho
United fans love blaming the Glazers but they’ve gave Ten Hag £400m in two seasons and the squad is arguably worse/just as bad as when he took over


Lisandro Martinez has suffered an ankle injury and expected to be sidelined for about 3 weeks. Blow to Man Utd as they just lost Luke Shaw to injury yesterday @TheAthleticFC #MUFC.
️ pale uingereza.