Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Ibrahimovic: I'm a lion but after watching Maguire I became a cat

Mbappe: I ran with the ball Maguire was far behind me before I could reach the 18 yard box he's already infront waiting for me

Messi: I refused to come to the Premier league because of Harry Maguire

Neymar: he's the toughest defender I've ever faced

Pep Guardiola: if Defence was an art, Maguire will be the Picasso of it

Sergio Ramos: people say I'm the best defender in the world, but after watching Maguire I realise they were smoking weed.

Cristiano Ronaldo: he's probably the best centre back I've ever played with, the way he stretches his leg to tap-in an Own goal is so unbelievable

De Gea: whenever I have Maguire infront of me I'm always speechless, he's unbelievable

Lindelof: he's the best defence partnership I've ever played with, we contributed a lot of goals together

Haaland: i would love to play against United, but if Maguire will play I'll fake an injury

Graham Potter: he's a very generous person, he doesn't care what side he's playing on, he just score for everybody

Paolo Maldini: in my prime I wasn't even close to Maguire

Pele: if Maguire had played in the 90's with me I wouldn't have scored up to 50 goals

Ronaldinho: the toughest defender I've come across was Maldini and Pepe but after watching Maguire I realise i was wrong

Phil Jones: he's my role model, he taught me alot in the defence academy

Eden Hazard: I ran away from the Premier league cuz of him

LIVING LEGENDARYView attachment 2727360
Chai .
 
Teh teh teh
1692908511550.png
 
Global club football rankings


[FiveThirtyEight]
#𝙏𝙧𝙪𝙨𝙩𝙏𝙝𝙚𝙋𝙧𝙤𝙘𝙚𝙨𝙨𝙀𝙏𝙃
#𝙐𝙣𝙞𝙩𝙚𝙙𝙛𝙤𝙧𝙩𝙝𝙚𝙁𝙖𝙣𝙨
#𝙎𝙝𝙚𝙞𝙠𝙝𝙅𝙖𝙨𝙨𝙞𝙢𝙄𝙣𝘼𝙩𝙈𝙖𝙣𝙐𝙩𝙙
#𝙂𝙡𝙖𝙯𝙚𝙧𝙊𝙐𝙏
#𝙂𝙂𝙈𝙐

man utd |View attachment 2726113
Najaribu kutafakari Imekuwaje dortmund ni ya 9 na Psg ni ya 15
 
Niliwahi sema hapa ,makosa anayofanya kocha wenu ,mtakuja kuwalaumu Grazzer family
Hapa hatuzungumzii makosa ya kocha tunaongelea sajili zaidi haiwezekani timu imefuzu Champions League tulategemea hata sajili 6-7 za kuongeza nguvu ila tumeishia 3 tena moja ya kipa.

Wanasingizia timu iuze wachezaji ndio isajili wakati ipo capable kusajili bila kuuza kutokana na mapato yake basi wanasambaza propaganda kwa media.

Kocha nitamlaumu kwa sajili ya Antony na Mount tu ila kwa Hojlund ni makosa ya watu wa juu waliofahamu kwamba majeruhi ila wakapiga sanctioning.

Glazers hawakwepi lawama kabisa hapa
 
Luke Shaw kati ya wapuuzi ambao sijawahi kuwaelewa hata wacheze vipi,nishawahi kuwaambia fans wenzangu kuwa Shaw hata maajabu huwa anakamia akiona namba yake ipo kwenye risk
l
Last season katafuta alichokuwa anakitaka mkataba mpya na mshahara mnono sasa ni muda wake wa kurudi default version ya yule aliyekuwa anawekwa nje hadi na Brandon Williams.

Kaanza na majeruhi sasa ngoja arudi uwanjani mtajionea
 
Hapa hatuzungumzii makosa ya kocha tunaongelea sajili zaidi haiwezekani timu imefuzu Champions League tulategemea hata sajili 6-7 za kuongeza nguvu ila tumeishia 3 tena moja ya kipa.

Wanasingizia timu iuze wachezaji ndio isajili wakati ipo capable kusajili bila kuuza kutokana na mapato yake basi wanasambaza propaganda kwa media.

Kocha nitamlaumu kwa sajili ya Antony na Mount tu ila kwa Hojlund ni makosa ya watu wa juu waliofahamu kwamba majeruhi ila wakapiga sanctioning.

Glazers hawakwepi lawama kabisa hapa
Kabla ya kuongeza sajili 6-7 ,jiulize kwanza je Kocha kawaongezea Nini au kuwainua viwango baadh ya aliowakuta

Ni Kuna shida Mahali hasa management na bench la ufundi ,haiwezekani leo Sancho aliyekuwa anaenda kuwa world class player pale BVB awe Kama Dikson ambundo , mchezaji Kama Mactominay, Fred , kocha kashindwa ku utilise ubora wao , Ni muoga pia kuwapa nafasi makinda , last season kila mechi wachezaji hao hao iwe Carabao au FA au Ligi, Degea kadaka michuano yote , Casemiro kachafua michuano karibu yote ,

Hapa fatigue lazima iwakumbe tu,

Hii iliwakuta Liverpool walipopigania mataji manne kwa kikosi hiko hiko ,plus umri wa wachezaj ,msimu uliofata hata kukimbia wakawa hawawezi ,

Takwimu zinasema mpaka Sasa mount casemiro na Bruno ndio viungo wanaopitwa kirahisi



Wachezaji 6-7 hapo unazungumzia timu nzima kabisa ,kitu ambacho sio afya kwa timu Kama manjesta

Kuna kasumba mmemezeshwa Baadhi ya wachezaji ni wabovu na hawafai kuchezea manjesta ,sababu kuu ninayoiona kocha ameshindwa kuwainua viwango Baadhi ,ukichanganya na sajili za Mwaka Jana na mwaka huu tayari unaanza kupata timu shindani

Lakin tujiulize why mpaka Sasa bado kocha ana struggle ku install playing style yake , why sajili zake nyingi hazina malengo ya muda mrefu au kuingia moja kwa moja first eleven na kutoa impact

Kuna wachezaj wengi wazuri Kama Olise , Eze , Tielemans , waliokuwa wanapatikana kwa Bei za kawaida tu

Angalia Sasa mnaenda kusaka backup GK kwa €15m ambaye Hana uwezo wakumzidi Matej au Heaton ,

Grazzer wao wana approve pesa zitumike wakiamin watapunguza lawama lakin ndio Kama zinazid

Kocha unawezaje kuruhusu kitu Kama hicho

United fans love blaming the Glazers but they’ve gave Ten Hag £400m in two seasons and the squad is arguably worse/just as bad as when he took over
 
Kabla ya kuongeza sajili 6-7 ,jiulize kwanza je Kocha kawaongezea Nini au kuwainua viwango baadh ya aliowakuta

Ni Kuna shida Mahali hasa management na bench la ufundi ,haiwezekani leo Sancho aliyekuwa anaenda kuwa world class player pale BVB awe Kama Dikson ambundo , mchezaji Kama Mactominay, Fred , kocha kashindwa ku utilise ubora wao , Ni muoga pia kuwapa nafasi makinda , last season kila mechi wachezaji hao hao iwe Carabao au FA au Ligi, Degea kadaka michuano yote , Casemiro kachafua michuano karibu yote ,

Hapa fatigue lazima iwakumbe tu,

Hii iliwakuta Liverpool walipopigania mataji manne kwa kikosi hiko hiko ,plus umri wa wachezaj ,msimu uliofata hata kukimbia wakawa hawawezi ,

Takwimu zinasema mpaka Sasa mount casemiro na Bruno ndio viungo wanaopitwa kirahisi



Wachezaji 6-7 hapo unazungumzia timu nzima kabisa ,kitu ambacho sio afya kwa timu Kama manjesta

Kuna kasumba mmemezeshwa Baadhi ya wachezaji ni wabovu na hawafai kuchezea manjesta ,sababu kuu ninayoiona kocha ameshindwa kuwainua viwango Baadhi ,ukichanganya na sajili za Mwaka Jana na mwaka huu tayari unaanza kupata timu shindani

Lakin tujiulize why mpaka Sasa bado kocha ana struggle ku install playing style yake , why sajili zake nyingi hazina malengo ya muda mrefu au kuingia moja kwa moja first eleven na kutoa impact

Kuna wachezaj wengi wazuri Kama Olise , Eze , Tielemans , waliokuwa wanapatikana kwa Bei za kawaida tu

Angalia Sasa mnaenda kusaka backup GK kwa €15m ambaye Hana uwezo wakumzidi Matej au Heaton ,

Grazzer wao wana approve pesa zitumike wakiamin watapunguza lawama lakin ndio Kama zinazid

Kocha unawezaje kuruhusu kitu Kama hicho

United fans love blaming the Glazers but they’ve gave Ten Hag £400m in two seasons and the squad is arguably worse/just as bad as when he took over
Haya madini unayowapa ilibidi uwe unalipwa

Ila walivyokua vichaa watakuja kututukana Kule the Gunner
 
Kabla ya kuongeza sajili 6-7 ,jiulize kwanza je Kocha kawaongezea Nini au kuwainua viwango baadh ya aliowakuta

Ni Kuna shida Mahali hasa management na bench la ufundi ,haiwezekani leo Sancho aliyekuwa anaenda kuwa world class player pale BVB awe Kama Dikson ambundo , mchezaji Kama Mactominay, Fred , kocha kashindwa ku utilise ubora wao , Ni muoga pia kuwapa nafasi makinda , last season kila mechi wachezaji hao hao iwe Carabao au FA au Ligi, Degea kadaka michuano yote , Casemiro kachafua michuano karibu yote ,

Hapa fatigue lazima iwakumbe tu,

Hii iliwakuta Liverpool walipopigania mataji manne kwa kikosi hiko hiko ,plus umri wa wachezaj ,msimu uliofata hata kukimbia wakawa hawawezi ,

Takwimu zinasema mpaka Sasa mount casemiro na Bruno ndio viungo wanaopitwa kirahisi



Wachezaji 6-7 hapo unazungumzia timu nzima kabisa ,kitu ambacho sio afya kwa timu Kama manjesta

Kuna kasumba mmemezeshwa Baadhi ya wachezaji ni wabovu na hawafai kuchezea manjesta ,sababu kuu ninayoiona kocha ameshindwa kuwainua viwango Baadhi ,ukichanganya na sajili za Mwaka Jana na mwaka huu tayari unaanza kupata timu shindani

Lakin tujiulize why mpaka Sasa bado kocha ana struggle ku install playing style yake , why sajili zake nyingi hazina malengo ya muda mrefu au kuingia moja kwa moja first eleven na kutoa impact

Kuna wachezaj wengi wazuri Kama Olise , Eze , Tielemans , waliokuwa wanapatikana kwa Bei za kawaida tu

Angalia Sasa mnaenda kusaka backup GK kwa €15m ambaye Hana uwezo wakumzidi Matej au Heaton ,

Grazzer wao wana approve pesa zitumike wakiamin watapunguza lawama lakin ndio Kama zinazid

Kocha unawezaje kuruhusu kitu Kama hicho

United fans love blaming the Glazers but they’ve gave Ten Hag £400m in two seasons and the squad is arguably worse/just as bad as when he took over
Achana na Sancho mimi sijazungumzia yeye hapo kuna vilaza wapo tangu wakati Ole anafika ila hawabadilikagi.
Mbona hata Nicolaus Pepe alikuwaga hatari zaidi ya Sancho nini kikamkuta

Kuna wachezaji kocha hawezi kuwapandisha viwango hata iweje mmejionea kwa Arsenal yetu hivi mbali na Xhaka nani ambaye Arteta kamkuta na kumuinua kiwango.

Arsenal yenu pia ilibadilika mazima baada ya wachezaji 10/11 wa first 11 kuwa ni maingizo ya Arteta.

Hata Klopp asjngetoboa na wale akina Allen,Moreno,Can,Clyne,Skrtel,Benteke n.k Liverpool ilikuja kutawala baada ya wachezaji wa first 11 9/11 kuwa maingizo yake.

Sio kulazimisha kupambana huku una average players ambao hawapati namba timu yoyote ya top 6.

Tuache kuwapa makocha majukumu ya kisenge wao sio Magicians ni tuwape nafasi ya kuweka wachezaji wao.
 
Back
Top Bottom