buffalo44
JF-Expert Member
- May 8, 2016
- 5,126
- 13,109
Kuna mtu alinotice game ya leo Elanga alionekana kuwa fit na physically kuliko alipokua Man U.
Ila Dalot ni takataka asee, tushukuru tuna Wan Bissaka, kuna move kama mbili aliua za thorough passes.
Alafu eti Dalot anapewa mkataba Wan Bissaka anazungushwa.
Mechi ijayo litimu hili lipigwe tena. Nitarudisha passion siku Glazer na wajinga wajinga wakisepa.
Hawa wenzangu wanaoogopa kuliangalia chama dawa ni moja shangilia mpinzani akilitandika I promise halitakupa stress sana.
Leo kuna watu walinishangaa bila shaka kushangilia magoli ya Nottingham.
Sasa nifanyeje?
Ila Dalot ni takataka asee, tushukuru tuna Wan Bissaka, kuna move kama mbili aliua za thorough passes.
Alafu eti Dalot anapewa mkataba Wan Bissaka anazungushwa.
Mechi ijayo litimu hili lipigwe tena. Nitarudisha passion siku Glazer na wajinga wajinga wakisepa.
Hawa wenzangu wanaoogopa kuliangalia chama dawa ni moja shangilia mpinzani akilitandika I promise halitakupa stress sana.
Leo kuna watu walinishangaa bila shaka kushangilia magoli ya Nottingham.
Sasa nifanyeje?
