Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Kuna mtu alinotice game ya leo Elanga alionekana kuwa fit na physically kuliko alipokua Man U.


Ila Dalot ni takataka asee, tushukuru tuna Wan Bissaka, kuna move kama mbili aliua za thorough passes.

Alafu eti Dalot anapewa mkataba Wan Bissaka anazungushwa.

Mechi ijayo litimu hili lipigwe tena. Nitarudisha passion siku Glazer na wajinga wajinga wakisepa.


Hawa wenzangu wanaoogopa kuliangalia chama dawa ni moja shangilia mpinzani akilitandika I promise halitakupa stress sana.

Leo kuna watu walinishangaa bila shaka kushangilia magoli ya Nottingham.

Sasa nifanyeje?
 
Kuna mtu alinotice game ya leo Elanga alionekana kuwa fit na physically kuliko alipokua Man U.


Ila Dalot ni takataka asee, tushukuru tuna Wan Bissaka, kuna move kama mbili aliua za thorough passes.

Alafu eti Dalot anapewa mkataba Wan Bissaka anazungushwa.

Mechi ijayo litimu hili lipigwe tena. Nitarudisha passion siku Glazer na wajinga wajinga wakisepa.


Hawa wenzangu wanaoogopa kuliangalia chama dawa ni moja shangilia mpinzani akilitandika I promise halitakupa stress sana.

Leo kuna watu walinishangaa bila shaka kushangilia magoli ya Nottingham.

Sasa nifanyeje?
Lazima Elanga aonekane yupo fit physically huenda ndio mambo ya miundombinu aliyozungumziaga Ronaldo
 
Timu za wenzetu wanafanya mazoezi gani, Wolves unakuta mijemba imepanda kweli kweli ina nguvu, Fulham kuna mijitu vile vile ile dk ya 90 Adama alipepea weee mpaka golini jitu kweli kweli, Njoo Nottingham mbele kuna Jitu Awoniyi, Bolly, Worall, asee. Yaani timu yetu tu ndio unaona kama hawali vile wala hawa nguvu.

Shida nini? Alafu mijitu inalipwa pesa ndefu?
 
Timu za wenzetu wanafanya mazoezi gani, Wolves unakuta mijemba imepanda kweli kweli ina nguvu, Fulham kuna mijitu vile vile ile dk ya 90 Adama alipepea weee mpaka golini jitu kweli kweli, Njoo Nottingham mbele kuna Jitu Awoniyi, Bolly, Worall, asee. Yaani timu yetu tu ndio unaona kama hawali vile wala hawa nguvu.

Shida nini? Alafu mijitu inalipwa pesa neefu?
Bila Kuwasahau Newcastle jitu kama Joelinton, Wilson, Dany Burn yaani mijitu ya kuforce kona inaingia, Brighton kuna Wellbeck akiwa kwetu alikua mwembamba kuna Dunk,

Aston Villa kuna vijitu ila vimekomaa na majitu kweli kweli Watkins, Mings, Khonsa, House. Namkubali Watkin dogo mkatili ana nguvu mpaka ya shuti sifa za strikers.

Njoo Tottenham aliyetuadhibu ni Sarr ni dogo ila amepanda intensity kila sehemu

Arsenal ndio wako kama sisi ila kidogo wanatuzidi intensity.


Palace nayo ina mijitu Schlupp, Guehi, Edouard.


Litimu langu, Unaona kabisa kama hawali vile mwangalie Varane, Martinez, Dalot, Wan Bissaka, Mount, Ericksen, Mbele Martial, Bruno, Gernacho unajiuliza wananyanyua nondo kweli.
 
Huyu Barcola a Gem naona PSG kila akiulizia anakula za uso. Ila Diomande should be our Priority.
Barcola Mtu na Nusu na PSG wanaona anaeza kuwa Mbadala wa Kylian, anaweza asiwe na Uwezo wa Mbappe ila Ni mtu haswa!

Diomande CB kweli kweli changamoto ni Mwafrika nina wasi wasi sana na Umri wake, Jamaa ana Maturity kubwa sana to be 19yrs na kibaya zaidi soka kaanzia Africa kabisa, bora hata angezaliwa Europe wawe na zile taarifa sahihi. {Ishu ya Umri naona ni Concern kwa sababu angalia Bailly, Koulibaly, wangekuwa Elites CB's sana toka Africa ila injury zisoisha naonaga Umri halisi unakuwa unafanya kazi. Silva angekuwa chaguo langu but tunahitaji Depth tukiweza beba wote.
Xabi Alonso
Thiago motta
Amorin

Kitu Kizuri na-Appreciate kuhusu hili jukwaa tofauti na Majukwaa Mengine ya Timu ni kwamba Huku watu wengi wanaangalia MPIRA Badala ya kuangalia TIMU! Respect sana kwako Gwiji! Hao makocha umetaja litakuja kuwa tatizo jipya karibuni tu! Ila katika List naweza Add Marcelo Gallardo {Huyu ndo kawatengeneza Enzo Fernandez na Julian Alvarez} Andoni Iraola {Last Season kasumbua Sana Real na Barca akiwa na Rayo Vallecano yake, Bournemouth anaeza akawa na Suprize nyingi season hii kwa sababu ya huyu Jamaa} Simone Inzaghi ni Wildcard Pia.
 
Back
Top Bottom