Barcola Mtu na Nusu na PSG wanaona anaeza kuwa Mbadala wa Kylian, anaweza asiwe na Uwezo wa Mbappe ila Ni mtu haswa!Huyu Barcola a Gem naona PSG kila akiulizia anakula za uso. Ila Diomande should be our Priority.
Xabi Alonso
Thiago motta
Amorin
Hawa huwa wanamihemko.Kuna mchambuzi uchwara humu hua anapiga kelele sana de zerbi de zerbi
Hehehe hii ni EPL
Mabingwa wa kuleta majasusiMAN U MABINGWA MNAJUA MPKA MNAKERA
MMENIPA HELA
ARSENYETO NI MAKENGE
Operationni kuifilisi Manchester United- Mfanye adui yako afanye makosa pindi unapokuwa na mpira, punguza papara na haraka za kimaamuzi zisizokuwa na ulazima.
Pindi tutakapofikia standard hii ndio tutakuwa kwenye daraja la kupambania alama 3 kwa kila mechi
huyu mkopoTunataka alvaro fernandez akacheze wapi?
Na hii pesa ya usajili inatoka wapi?
Kwa nini tusiwekezee eneo la midfield.
BREAKING: #mufc have made contact with Chelsea to sign Marc Cucurella. [
@FabrizioRomano
]
wanasema akiwa kushoto ndo mzuri leo kafanya niniUyo rashford ni wakucheza LW uko uko wapishane na garnacho akili itamkaa sawa
Kipofu Chelsea kaona mwezi. Next match anakandwaHuu utopolo musimu huu unashinda kwa tabu sana ..clean sheet apa tuandike maumivu.
Narudia tena tafuteni kipa. Hamna kipa wa kueleweka