Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Huyu Mitoma hapo Brighton anasubiri nini?
Juzi kafunga goli angekuwa Rashford angejiangusha.

Yule Chief Executive wao nilisikiliza interview yake wale jamaa wana mipango sana. Anasema wao badala ya kusaka wachezaji kwenye mataifa makubwa wanaenda zile nchi ndogo, kama ni South America hawaendi Argentina wala Brazil wao wanaenda Ecuador.

Akamalizia kwa kusema wao kabla hawajauza mchezaji tayari kuna mtu wa kuchukua nafasi wanakuwa wamemuandaa.

Ndiyo nikawaza timu yetu inaendeshwa vibaya. Tunatumia pesa nyingi kwa wachezaji wenye viwango vya kawaida, wakati Brighton wanajibebea mafundi na wapiga kazi kwa pesa ya karanga.

Yule Rangnick na Solskjaer ni watu ambao wanajua kupata talents. Wangepewa nyadhfa kwenye timu isipokuwa ukocha huenda wangetufikisha mbali sana.

Sasa hivi ni wazi pesa siyo kila kitu kwenye football kama hamjui matumizi yake.
 
Mpaka sasa hakuna club statement dhidi ya Greenwood inatupa mashaka sana sisi mashabiki yaweza ikawa walikuwa wana ng'ata na kupuliza

Wamempa Fabrizio habari zile ili wapime upepo wa mashabiki juu ya uwamuzi wao na sasa mashabiki hawatak upuuzi wanamtaka dogo abaki au atolewe kwa mkopo ili iwe rahisi kumrejesha tena katika kikosi baadae

Greenwood bado yupo nasi trust the process
 
Juzi kafunga goli angekuwa Rashford angejiangusha.

Yule Chief Executive wao nilisikiliza interview yake wale jamaa wana mipango sana. Anasema wao badala ya kusaka wachezaji kwenye mataifa makubwa wanaenda zile nchi ndogo, kama ni South America hawaendi Argentina wala Brazil wao wanaenda Ecuador.

Akamalizia kwa kusema wao kabla hawajauza mchezaji tayari kuna mtu wa kuchukua nafasi wanakuwa wamemuandaa.

Ndiyo nikawaza timu yetu inaendeshwa vibaya. Tunatumia pesa nyingi kwa wachezaji wenye viwango vya kawaida, wakati Brighton wanajibebea mafundi na wapiga kazi kwa pesa ya karanga.

Yule Rangnick na Solskjaer ni watu ambao wanajua kupata talents. Wangepewa nyadhfa kwenye timu isipokuwa ukocha huenda wangetufikisha mbali sana.

Sasa hivi ni wazi pesa siyo kila kitu kwenye football kama hamjui matumizi yake.
Hawa Brighton Wana mipango Sana ,

Kwanza Wana kocha Mwenye Brain ya mpira

Di zerbi naomba Sana asipewe timu kubwa EPL atatusumbua Sana , Pep anamjua vzr huyu jamaa

20230824_154211.jpg
 
Ibrahimovic: I'm a lion but after watching Maguire I became a cat

Mbappe: I ran with the ball Maguire was far behind me before I could reach the 18 yard box he's already infront waiting for me

Messi: I refused to come to the Premier league because of Harry Maguire

Neymar: he's the toughest defender I've ever faced

Pep Guardiola: if Defence was an art, Maguire will be the Picasso of it

Sergio Ramos: people say I'm the best defender in the world, but after watching Maguire I realise they were smoking weed.

Cristiano Ronaldo: he's probably the best centre back I've ever played with, the way he stretches his leg to tap-in an Own goal is so unbelievable

De Gea: whenever I have Maguire infront of me I'm always speechless, he's unbelievable

Lindelof: he's the best defence partnership I've ever played with, we contributed a lot of goals together

Haaland: i would love to play against United, but if Maguire will play I'll fake an injury

Graham Potter: he's a very generous person, he doesn't care what side he's playing on, he just score for everybody

Paolo Maldini: in my prime I wasn't even close to Maguire

Pele: if Maguire had played in the 90's with me I wouldn't have scored up to 50 goals

Ronaldinho: the toughest defender I've come across was Maldini and Pepe but after watching Maguire I realise i was wrong

Phil Jones: he's my role model, he taught me alot in the defence academy

Eden Hazard: I ran away from the Premier league cuz of him

LIVING LEGENDARY
JamiiForums-1417406331.jpg
 
Hawa Brighton Wana mipango Sana ,

Kwanza Wana kocha Mwenye Brain ya mpira

Di zerbi naomba Sana asipewe timu kubwa EPL atatusumbua Sana , Pep anamjua vzr huyu jamaa

View attachment 2727352
Sasa hivi kwenye EPL ni Pep, Arteta, De Zerbi, Klopp, Howe & Unai wengine ndiyo wanafuata.

Kiukweli timu yangu sielewi wanacheza nini. Kila mechi naona tu watu 11 wanakimbia wasijue wanafanya nini. Angalau kwenye defense tunajitahidi ila ndiyo hivyo mashambulizi yakizidi hatuna ujanja.

Makocha niliowataja hapo juu ukiangalia mechi unaelewa kabisa timu inajaribu kufanya nini uwanjani.
 
Hawa Brighton Wana mipango Sana ,

Kwanza Wana kocha Mwenye Brain ya mpira

Di zerbi naomba Sana asipewe timu kubwa EPL atatusumbua Sana , Pep anamjua vzr huyu jamaa

View attachment 2727352
Unamkumbuka NUNO WA WOLVERHAMPTON Alikuwa mwal mzuri sana tana sana alipokwend spurs tu yalio mkuta wote tunajua huenda kweli mwalimu wa BRIGHTON NI MZUZI ILA JE AKIPEWA TUMU KUBWA ATAKUWA HIVYO HIVY
 
Unamkumbuka NUNO WA WOLVERHAMPTON Alikuwa mwal mzuri sana tana sana alipokwend spurs tu yalio mkuta wote tunajua huenda kweli mwalimu wa BRIGHTON NI MZUZI ILA JE AKIPEWA TUMU KUBWA ATAKUWA HIVYO HIVY
Hili swali huwa silipend ,maana mwalimu mzuri kwa timu ndogo anaonekana tu ukimpa timu kubwa atazingua

Walimu wengi wa timu ndogo wanaofanya vzr huwa wanabahatisha tu kuzifunga timu kubwa

Di zerbi huyu jamaa anajua ,habahatishi , huyu jamaa makocha wakubwa wanakiri uwezo wake ,

Huyu Jamaa ashamdhalilisha klopp sio Mara moja

Huyu Jamaa omben asipewe timu kubwa

Mech ya kwanza kabisa anafika Brighton alicheza na mancity kairudie hata highlights hiyo mechi Etihad ,

Hakuna kocha wa timu ndogo anaweza kuweka namba hiz, tena kwa Modern football hii

20230824_154211.jpg
 
Hojlund debut delayed
Mount out for 4-6 weeks
Onana going to Afcon
Just signed Johnny Evans
Maguire doesnt wanna leave
No midfielder signing
Antony has no right foot
 
Back
Top Bottom