Ww kwan hao wachezaji unaosema ww n wazima wamekuja mkocha wangapi na performance yao ili badilika? Sasa unamtupiaje lawama kocha...apo sajili zifanyike hata saba mafuta yatajitenga na maji tuKabla ya kuongeza sajili 6-7 ,jiulize kwanza je Kocha kawaongezea Nini au kuwainua viwango baadh ya aliowakuta
Ni Kuna shida Mahali hasa management na bench la ufundi ,haiwezekani leo Sancho aliyekuwa anaenda kuwa world class player pale BVB awe Kama Dikson ambundo , mchezaji Kama Mactominay, Fred , kocha kashindwa ku utilise ubora wao , Ni muoga pia kuwapa nafasi makinda , last season kila mechi wachezaji hao hao iwe Carabao au FA au Ligi, Degea kadaka michuano yote , Casemiro kachafua michuano karibu yote ,
Hapa fatigue lazima iwakumbe tu,
Hii iliwakuta Liverpool walipopigania mataji manne kwa kikosi hiko hiko ,plus umri wa wachezaj ,msimu uliofata hata kukimbia wakawa hawawezi ,
Takwimu zinasema mpaka Sasa mount casemiro na Bruno ndio viungo wanaopitwa kirahisi
Wachezaji 6-7 hapo unazungumzia timu nzima kabisa ,kitu ambacho sio afya kwa timu Kama manjesta
Kuna kasumba mmemezeshwa Baadhi ya wachezaji ni wabovu na hawafai kuchezea manjesta ,sababu kuu ninayoiona kocha ameshindwa kuwainua viwango Baadhi ,ukichanganya na sajili za Mwaka Jana na mwaka huu tayari unaanza kupata timu shindani
Lakin tujiulize why mpaka Sasa bado kocha ana struggle ku install playing style yake , why sajili zake nyingi hazina malengo ya muda mrefu au kuingia moja kwa moja first eleven na kutoa impact
Kuna wachezaj wengi wazuri Kama Olise , Eze , Tielemans , waliokuwa wanapatikana kwa Bei za kawaida tu
Angalia Sasa mnaenda kusaka backup GK kwa €15m ambaye Hana uwezo wakumzidi Matej au Heaton ,
Grazzer wao wana approve pesa zitumike wakiamin watapunguza lawama lakin ndio Kama zinazid
Kocha unawezaje kuruhusu kitu Kama hicho
United fans love blaming the Glazers but they’ve gave Ten Hag £400m in two seasons and the squad is arguably worse/just as bad as when he took over
Target gan hazieleweki angalia taget za kochaTen hag hawezi kukwepa lawama ,binafsi nilisema humu toka mwaka Jana ila matokeo yaliwafanya wengi wawe vipofu, sajili za Ten hag nyingi haziingii first eleven kutoa impact
Hata sajili ya casemiro niliwahi kusema itasaidia msimu mmoja au miwili ,mtarud sokon kuhangaika kusaka DM , ila wanazi hawakuelewa
Ten hag anachoshangaza hata anaowasajili wanageuka kituko kuliko aliowakuta , Unamemtaja Arteta ila nikwambie tu aliwakuta kina saka ni beki , Martinelli mchezaji wa academy tu,
Grazzer family toka amekuja ten hag wamejitahidi Sana ,nadhan ndiye kocha kapewa nguvu kubwa kwenye usajili kuliko wote waliopita toka Fergie, wanachohoji watu why sajili zake hazieleweki,
Werghost
Malacia
Casemiro 30+ age
Eriksen 30+
Anthony Santos
Mount
Unakuja kukuta katika £400m angalau anapata Onana na Martinez wanaoendana na falsafa anayosema ,pia umri wao Ni mzuri
Sijamtaja Hojlund maana Kama ten hag kashindwa kuwasaidia kina Sancho, Basi anahitajika mwamposa aweze kumfanya Hojlund aliyekuwa na goli 9 Atalanta awe world class
Msijikite Sana kuwalaumu Grazzer family, Hawa jamaa kwa pesa wanazotoa Kama kocha ana final say kwenye usajili Basi Sasa hivi angekuwa na wachezaji 5-7 wanaofit mfumo wake
Kwan we huoni wan bisaka ka improve sana regardless hajafikia kiwango bora sana lakn pia ni kutokana na performance ya timu...au ww saiv dalot na bisaka upande ule bora yupi acheze kati yao?Na why alikuwa hamtaki bisaka baadae alipona anamsaidia Sana kukaba akampa mkataba
Akamuongezea dalot pia mkataba ,why asitafute RB mwingine wa kiwango Cha juu?
Mambo Kama haya wanalaumiwa Grazzer family
Hujui mpira...ww unamuongelea cr7 ambae hakuna timu ya Europe iliyomtaka hata akiwa huruHakukuta kikos kibovu Kama mnavyoamishwa na 7hag
Mtu kamkuta had CR7,
Itafika muda utakubali Erik 7 Egg uwezo wake mdogo, hawez kujificha kwenye kichaka Cha Grazzer siku zote,Yana mwisho
Hayo unayoona mafanikio mwaka Jana asilimia kubwa ni form Bora kabisa ya Rashford ,Bruno na Degea
Msimu huu utaiona sura halisi ya Ten egg,
Rashford huwa anarudi default settings
Onana atakumbana na mafurukiko yakutosha
Casemiro kashachoka
Ndio Maana huoni playing style
Ila sisi toka last season tulisema Ten hag anashinda ila Hakuna playing style,
Hali hii huwa ni ya muda mfupi tu
Ila tuwe tunaondoa Emotions zetu tukiwa tunazungumzia jambo! Tunakoseaga tuwe tunakubali katika Hilo,Kabla ya kuongeza sajili 6-7 ,jiulize kwanza je Kocha kawaongezea Nini au kuwainua viwango baadh ya aliowakuta
Ni Kuna shida Mahali hasa management na bench la ufundi ,haiwezekani leo Sancho aliyekuwa anaenda kuwa world class player pale BVB awe Kama Dikson ambundo , mchezaji Kama Mactominay, Fred , kocha kashindwa ku utilise ubora wao , Ni muoga pia kuwapa nafasi makinda , last season kila mechi wachezaji hao hao iwe Carabao au FA au Ligi, Degea kadaka michuano yote , Casemiro kachafua michuano karibu yote ,
Hapa fatigue lazima iwakumbe tu,
Hii iliwakuta Liverpool walipopigania mataji manne kwa kikosi hiko hiko ,plus umri wa wachezaj ,msimu uliofata hata kukimbia wakawa hawawezi ,
Takwimu zinasema mpaka Sasa mount casemiro na Bruno ndio viungo wanaopitwa kirahisi
Wachezaji 6-7 hapo unazungumzia timu nzima kabisa ,kitu ambacho sio afya kwa timu Kama manjesta
Kuna kasumba mmemezeshwa Baadhi ya wachezaji ni wabovu na hawafai kuchezea manjesta ,sababu kuu ninayoiona kocha ameshindwa kuwainua viwango Baadhi ,ukichanganya na sajili za Mwaka Jana na mwaka huu tayari unaanza kupata timu shindani
Lakin tujiulize why mpaka Sasa bado kocha ana struggle ku install playing style yake , why sajili zake nyingi hazina malengo ya muda mrefu au kuingia moja kwa moja first eleven na kutoa impact
Kuna wachezaj wengi wazuri Kama Olise , Eze , Tielemans , waliokuwa wanapatikana kwa Bei za kawaida tu
Angalia Sasa mnaenda kusaka backup GK kwa €15m ambaye Hana uwezo wakumzidi Matej au Heaton ,
Grazzer wao wana approve pesa zitumike wakiamin watapunguza lawama lakin ndio Kama zinazid
Kocha unawezaje kuruhusu kitu Kama hicho
United fans love blaming the Glazers but they’ve gave Ten Hag £400m in two seasons and the squad is arguably worse/just as bad as when he took over
Umemaliza Mkali CR7 Ni lengendary lakini hauwezi jenga timu kumzunguka kwa sasa.Hujui mpira...ww unamuongelea cr7 ambae hakuna timu ya Europe iliyomtaka hata akiwa huru
Akijujibu hyo hamis77 , nitag au nichek DM dear brotherIla tuwe tunaondoa Emotions zetu tukiwa tunazungumzia jambo! Tunakoseaga tuwe tunakubali katika Hilo,
Tusiwe na Michango Mingi ilokaa Kinazi zaidi, KAI ni Good Player ila sio World Class na namna unasimia Point yako ni kupitia takwimu ama michango ya wachambuzi sio kabisa ambao wengi ni wazungumzia Mahaba mana unaweka reference mpaka ya Talksport, Sky, BBC et al. Mpira Uzuri wake unachezwa Uwanjani.
Unazungumzia kucheza Style ya mwalimu Husika, Arteta ana misimu Mi 5 Kombe 1, {Ngao ni Bonanza haina tofauti na Friendly Match} ETH kamfikia Mafanikio yake ndani ya Season 1 tu! Style ya kucheza!! Mwalimu lazima awe na Blueprint yake katika Timu.
Umemaliza Mkali CR7 Ni lengendary lakini hauwezi jenga timu kumzunguka kwa sasa.
Auba, Ozil, Lacazette wamendoka Arsenal sababu Arteta kaona haezi fanya nao kazi but hao walishakuwa World Class Level ila Hili wao Hawalihoji, Amekuja Cheza mpira wake anataka Season ya 4 na Still hana cha Kuonyesha amepata na Huo MPIRA MZURI!
Mara Nyingi tusiweke Michango ilokaa zaidi kwa tunachoamini ama kwa kile unachosikia kwa unaowaamini. Mpira unatizamwa na wote na wengi wanafanya Analysis tu ikitaka jua Ni kazi rahisi wanafanya WAAMBIE KABLA YA GAME WA-BET ILI WAWE NA UHAKIKA NA KILE WANASEMA, ETH kashasema anataka timu iwe "the Very Best kwenye Transition" UTD mpka sasa ndo inaongoza Win Possession kwenye Final Third, Inaongoza kwenye Chance Creation, Bado haijakamilika na ina UHITAJI MKUBWA but taratibu inasogea! Kupandisha kiwango unashangaa kina Rashy ni wa kawaida ila kawa na Season bora kuliko zote tangu Debut, Dalot, AWB, wote huwazungumzii, Garnacho na sasa Mainoo wanapanda Taratibu, nitasubiri uje utaje jina la Maana toka Academy ya Arsenal alopandisha ARTETA!
Ila tuwe tunaondoa Emotions zetu tukiwa tunazungumzia jambo! Tunakoseaga tuwe tunakubali katika Hilo,
Tusiwe na Michango Mingi ilokaa Kinazi zaidi, KAI ni Good Player ila sio World Class na namna unasimia Point yako ni kupitia takwimu ama michango ya wachambuzi sio kabisa ambao wengi ni wazungumzia Mahaba mana unaweka reference mpaka ya Talksport, Sky, BBC et al. Mpira Uzuri wake unachezwa Uwanjani.
Unazungumzia kucheza Style ya mwalimu Husika, Arteta ana misimu Mi 5 Kombe 1, {Ngao ni Bonanza haina tofauti na Friendly Match} ETH kamfikia Mafanikio yake ndani ya Season 1 tu! Style ya kucheza!! Mwalimu lazima awe na Blueprint yake katika Timu.
Umemaliza Mkali CR7 Ni lengendary lakini hauwezi jenga timu kumzunguka kwa sasa.
Auba, Ozil, Lacazette wamendoka Arsenal sababu Arteta kaona haezi fanya nao kazi but hao walishakuwa World Class Level ila Hili wao Hawalihoji, Amekuja Cheza mpira wake anataka Season ya 4 na Still hana cha Kuonyesha amepata na Huo MPIRA MZURI!
Mara Nyingi tusiweke Michango ilokaa zaidi kwa tunachoamini ama kwa kile unachosikia kwa unaowaamini. Mpira unatizamwa na wote na wengi wanafanya Analysis tu ikitaka jua Ni kazi rahisi wanafanya WAAMBIE KABLA YA GAME WA-BET ILI WAWE NA UHAKIKA NA KILE WANASEMA, ETH kashasema anataka timu iwe "the Very Best kwenye Transition" UTD mpka sasa ndo inaongoza Win Possession kwenye Final Third, Inaongoza kwenye Chance Creation, Bado haijakamilika na ina UHITAJI MKUBWA but taratibu inasogea! Kupandisha kiwango unashangaa kina Rashy ni wa kawaida ila kawa na Season bora kuliko zote tangu Debut, Dalot, AWB, wote huwazungumzii, Garnacho na sasa Mainoo wanapanda Taratibu, nitasubiri uje utaje jina la Maana toka Academy ya Arsenal alopandisha ARTETA!
Bruno Fernandes has missed more penalties in his career (5) than games due to injury (4):
vs. Napoli
vs. Loures
vs. Newcastle
vs. Villa
vs. Arsenal
Flu - Napoli
Leg injury - Ukraine
Leg Injury - Serbia
Illness - Spurs





