Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Tukikutana tena match Liverpool vs Man U naomba mtupige goli 7 ili mlipishe maana haiwezekani wakuu.
 
Miracle worker from Gumboro Fc
Loris_Karius_XVVT.jpg
 
Kabla ya kuongeza sajili 6-7 ,jiulize kwanza je Kocha kawaongezea Nini au kuwainua viwango baadh ya aliowakuta

Ni Kuna shida Mahali hasa management na bench la ufundi ,haiwezekani leo Sancho aliyekuwa anaenda kuwa world class player pale BVB awe Kama Dikson ambundo , mchezaji Kama Mactominay, Fred , kocha kashindwa ku utilise ubora wao , Ni muoga pia kuwapa nafasi makinda , last season kila mechi wachezaji hao hao iwe Carabao au FA au Ligi, Degea kadaka michuano yote , Casemiro kachafua michuano karibu yote ,

Hapa fatigue lazima iwakumbe tu,

Hii iliwakuta Liverpool walipopigania mataji manne kwa kikosi hiko hiko ,plus umri wa wachezaj ,msimu uliofata hata kukimbia wakawa hawawezi ,

Takwimu zinasema mpaka Sasa mount casemiro na Bruno ndio viungo wanaopitwa kirahisi



Wachezaji 6-7 hapo unazungumzia timu nzima kabisa ,kitu ambacho sio afya kwa timu Kama manjesta

Kuna kasumba mmemezeshwa Baadhi ya wachezaji ni wabovu na hawafai kuchezea manjesta ,sababu kuu ninayoiona kocha ameshindwa kuwainua viwango Baadhi ,ukichanganya na sajili za Mwaka Jana na mwaka huu tayari unaanza kupata timu shindani

Lakin tujiulize why mpaka Sasa bado kocha ana struggle ku install playing style yake , why sajili zake nyingi hazina malengo ya muda mrefu au kuingia moja kwa moja first eleven na kutoa impact

Kuna wachezaj wengi wazuri Kama Olise , Eze , Tielemans , waliokuwa wanapatikana kwa Bei za kawaida tu

Angalia Sasa mnaenda kusaka backup GK kwa €15m ambaye Hana uwezo wakumzidi Matej au Heaton ,

Grazzer wao wana approve pesa zitumike wakiamin watapunguza lawama lakin ndio Kama zinazid

Kocha unawezaje kuruhusu kitu Kama hicho

United fans love blaming the Glazers but they’ve gave Ten Hag £400m in two seasons and the squad is arguably worse/just as bad as when he took over
Ww kwan hao wachezaji unaosema ww n wazima wamekuja mkocha wangapi na performance yao ili badilika? Sasa unamtupiaje lawama kocha...apo sajili zifanyike hata saba mafuta yatajitenga na maji tu
 
Ten hag hawezi kukwepa lawama ,binafsi nilisema humu toka mwaka Jana ila matokeo yaliwafanya wengi wawe vipofu, sajili za Ten hag nyingi haziingii first eleven kutoa impact

Hata sajili ya casemiro niliwahi kusema itasaidia msimu mmoja au miwili ,mtarud sokon kuhangaika kusaka DM , ila wanazi hawakuelewa

Ten hag anachoshangaza hata anaowasajili wanageuka kituko kuliko aliowakuta , Unamemtaja Arteta ila nikwambie tu aliwakuta kina saka ni beki , Martinelli mchezaji wa academy tu,

Grazzer family toka amekuja ten hag wamejitahidi Sana ,nadhan ndiye kocha kapewa nguvu kubwa kwenye usajili kuliko wote waliopita toka Fergie, wanachohoji watu why sajili zake hazieleweki,

Werghost
Malacia
Casemiro 30+ age
Eriksen 30+
Anthony Santos
Mount



Unakuja kukuta katika £400m angalau anapata Onana na Martinez wanaoendana na falsafa anayosema ,pia umri wao Ni mzuri

Sijamtaja Hojlund maana Kama ten hag kashindwa kuwasaidia kina Sancho, Basi anahitajika mwamposa aweze kumfanya Hojlund aliyekuwa na goli 9 Atalanta awe world class

Msijikite Sana kuwalaumu Grazzer family, Hawa jamaa kwa pesa wanazotoa Kama kocha ana final say kwenye usajili Basi Sasa hivi angekuwa na wachezaji 5-7 wanaofit mfumo wake
Target gan hazieleweki angalia taget za kocha
Nunez
Gapko
De jong
Tobido
Ambrabat

Alafu angalia baada ya kuwakosa inabidi atafute solution za muda mfupi zima moto kina wehghost
Apo kuna wachezaji tunanashindwa kuwa sajili sababu ya kuanza kubargain mfano n Nunez na hyo gapko
Hata sajili zilizofanikiwa utaona tunavyo pata shida kusajili yaan tunakaa wiki nne kupambania kusajili mchezaji mmja ila wakija vilabu vingine siku mbili au tatu wanabeba mchezaji angalia Liverpool, Manchester city, Chelsea na arsenal hatuwezi kubattle nao tukiwa tunataka mchezaji

Na kocha yupo serious hataki mchezaji ambaye haendani na mifumo yake ndio maana anatafuta zima moto kama kina sabitzer na wehghost
 
Na why alikuwa hamtaki bisaka baadae alipona anamsaidia Sana kukaba akampa mkataba

Akamuongezea dalot pia mkataba ,why asitafute RB mwingine wa kiwango Cha juu?

Mambo Kama haya wanalaumiwa Grazzer family
Kwan we huoni wan bisaka ka improve sana regardless hajafikia kiwango bora sana lakn pia ni kutokana na performance ya timu...au ww saiv dalot na bisaka upande ule bora yupi acheze kati yao?
 
Hakukuta kikos kibovu Kama mnavyoamishwa na 7hag

Mtu kamkuta had CR7,

Itafika muda utakubali Erik 7 Egg uwezo wake mdogo, hawez kujificha kwenye kichaka Cha Grazzer siku zote,Yana mwisho

Hayo unayoona mafanikio mwaka Jana asilimia kubwa ni form Bora kabisa ya Rashford ,Bruno na Degea

Msimu huu utaiona sura halisi ya Ten egg,

Rashford huwa anarudi default settings

Onana atakumbana na mafurukiko yakutosha

Casemiro kashachoka

Ndio Maana huoni playing style

Ila sisi toka last season tulisema Ten hag anashinda ila Hakuna playing style,

Hali hii huwa ni ya muda mfupi tu
Hujui mpira...ww unamuongelea cr7 ambae hakuna timu ya Europe iliyomtaka hata akiwa huru
 
Kabla ya kuongeza sajili 6-7 ,jiulize kwanza je Kocha kawaongezea Nini au kuwainua viwango baadh ya aliowakuta

Ni Kuna shida Mahali hasa management na bench la ufundi ,haiwezekani leo Sancho aliyekuwa anaenda kuwa world class player pale BVB awe Kama Dikson ambundo , mchezaji Kama Mactominay, Fred , kocha kashindwa ku utilise ubora wao , Ni muoga pia kuwapa nafasi makinda , last season kila mechi wachezaji hao hao iwe Carabao au FA au Ligi, Degea kadaka michuano yote , Casemiro kachafua michuano karibu yote ,

Hapa fatigue lazima iwakumbe tu,

Hii iliwakuta Liverpool walipopigania mataji manne kwa kikosi hiko hiko ,plus umri wa wachezaj ,msimu uliofata hata kukimbia wakawa hawawezi ,

Takwimu zinasema mpaka Sasa mount casemiro na Bruno ndio viungo wanaopitwa kirahisi



Wachezaji 6-7 hapo unazungumzia timu nzima kabisa ,kitu ambacho sio afya kwa timu Kama manjesta

Kuna kasumba mmemezeshwa Baadhi ya wachezaji ni wabovu na hawafai kuchezea manjesta ,sababu kuu ninayoiona kocha ameshindwa kuwainua viwango Baadhi ,ukichanganya na sajili za Mwaka Jana na mwaka huu tayari unaanza kupata timu shindani

Lakin tujiulize why mpaka Sasa bado kocha ana struggle ku install playing style yake , why sajili zake nyingi hazina malengo ya muda mrefu au kuingia moja kwa moja first eleven na kutoa impact

Kuna wachezaj wengi wazuri Kama Olise , Eze , Tielemans , waliokuwa wanapatikana kwa Bei za kawaida tu

Angalia Sasa mnaenda kusaka backup GK kwa €15m ambaye Hana uwezo wakumzidi Matej au Heaton ,

Grazzer wao wana approve pesa zitumike wakiamin watapunguza lawama lakin ndio Kama zinazid

Kocha unawezaje kuruhusu kitu Kama hicho

United fans love blaming the Glazers but they’ve gave Ten Hag £400m in two seasons and the squad is arguably worse/just as bad as when he took over
Ila tuwe tunaondoa Emotions zetu tukiwa tunazungumzia jambo! Tunakoseaga tuwe tunakubali katika Hilo,

Tusiwe na Michango Mingi ilokaa Kinazi zaidi, KAI ni Good Player ila sio World Class na namna unasimia Point yako ni kupitia takwimu ama michango ya wachambuzi sio kabisa ambao wengi ni wazungumzia Mahaba mana unaweka reference mpaka ya Talksport, Sky, BBC et al. Mpira Uzuri wake unachezwa Uwanjani.

Unazungumzia kucheza Style ya mwalimu Husika, Arteta ana misimu Mi 5 Kombe 1, {Ngao ni Bonanza haina tofauti na Friendly Match} ETH kamfikia Mafanikio yake ndani ya Season 1 tu! Style ya kucheza!! Mwalimu lazima awe na Blueprint yake katika Timu.
Hujui mpira...ww unamuongelea cr7 ambae hakuna timu ya Europe iliyomtaka hata akiwa huru
Umemaliza Mkali CR7 Ni lengendary lakini hauwezi jenga timu kumzunguka kwa sasa.
Auba, Ozil, Lacazette wamendoka Arsenal sababu Arteta kaona haezi fanya nao kazi but hao walishakuwa World Class Level ila Hili wao Hawalihoji, Amekuja Cheza mpira wake anataka Season ya 4 na Still hana cha Kuonyesha amepata na Huo MPIRA MZURI!

Mara Nyingi tusiweke Michango ilokaa zaidi kwa tunachoamini ama kwa kile unachosikia kwa unaowaamini. Mpira unatizamwa na wote na wengi wanafanya Analysis tu ikitaka jua Ni kazi rahisi wanafanya WAAMBIE KABLA YA GAME WA-BET ILI WAWE NA UHAKIKA NA KILE WANASEMA, ETH kashasema anataka timu iwe "the Very Best kwenye Transition" UTD mpka sasa ndo inaongoza Win Possession kwenye Final Third, Inaongoza kwenye Chance Creation, Bado haijakamilika na ina UHITAJI MKUBWA but taratibu inasogea! Kupandisha kiwango unashangaa kina Rashy ni wa kawaida ila kawa na Season bora kuliko zote tangu Debut, Dalot, AWB, wote huwazungumzii, Garnacho na sasa Mainoo wanapanda Taratibu, nitasubiri uje utaje jina la Maana toka Academy ya Arsenal alopandisha ARTETA!
 
Ila tuwe tunaondoa Emotions zetu tukiwa tunazungumzia jambo! Tunakoseaga tuwe tunakubali katika Hilo,

Tusiwe na Michango Mingi ilokaa Kinazi zaidi, KAI ni Good Player ila sio World Class na namna unasimia Point yako ni kupitia takwimu ama michango ya wachambuzi sio kabisa ambao wengi ni wazungumzia Mahaba mana unaweka reference mpaka ya Talksport, Sky, BBC et al. Mpira Uzuri wake unachezwa Uwanjani.

Unazungumzia kucheza Style ya mwalimu Husika, Arteta ana misimu Mi 5 Kombe 1, {Ngao ni Bonanza haina tofauti na Friendly Match} ETH kamfikia Mafanikio yake ndani ya Season 1 tu! Style ya kucheza!! Mwalimu lazima awe na Blueprint yake katika Timu.

Umemaliza Mkali CR7 Ni lengendary lakini hauwezi jenga timu kumzunguka kwa sasa.
Auba, Ozil, Lacazette wamendoka Arsenal sababu Arteta kaona haezi fanya nao kazi but hao walishakuwa World Class Level ila Hili wao Hawalihoji, Amekuja Cheza mpira wake anataka Season ya 4 na Still hana cha Kuonyesha amepata na Huo MPIRA MZURI!

Mara Nyingi tusiweke Michango ilokaa zaidi kwa tunachoamini ama kwa kile unachosikia kwa unaowaamini. Mpira unatizamwa na wote na wengi wanafanya Analysis tu ikitaka jua Ni kazi rahisi wanafanya WAAMBIE KABLA YA GAME WA-BET ILI WAWE NA UHAKIKA NA KILE WANASEMA, ETH kashasema anataka timu iwe "the Very Best kwenye Transition" UTD mpka sasa ndo inaongoza Win Possession kwenye Final Third, Inaongoza kwenye Chance Creation, Bado haijakamilika na ina UHITAJI MKUBWA but taratibu inasogea! Kupandisha kiwango unashangaa kina Rashy ni wa kawaida ila kawa na Season bora kuliko zote tangu Debut, Dalot, AWB, wote huwazungumzii, Garnacho na sasa Mainoo wanapanda Taratibu, nitasubiri uje utaje jina la Maana toka Academy ya Arsenal alopandisha ARTETA!
Akijujibu hyo hamis77 , nitag au nichek DM dear brother
 
Ila tuwe tunaondoa Emotions zetu tukiwa tunazungumzia jambo! Tunakoseaga tuwe tunakubali katika Hilo,

Tusiwe na Michango Mingi ilokaa Kinazi zaidi, KAI ni Good Player ila sio World Class na namna unasimia Point yako ni kupitia takwimu ama michango ya wachambuzi sio kabisa ambao wengi ni wazungumzia Mahaba mana unaweka reference mpaka ya Talksport, Sky, BBC et al. Mpira Uzuri wake unachezwa Uwanjani.

Unazungumzia kucheza Style ya mwalimu Husika, Arteta ana misimu Mi 5 Kombe 1, {Ngao ni Bonanza haina tofauti na Friendly Match} ETH kamfikia Mafanikio yake ndani ya Season 1 tu! Style ya kucheza!! Mwalimu lazima awe na Blueprint yake katika Timu.

Umemaliza Mkali CR7 Ni lengendary lakini hauwezi jenga timu kumzunguka kwa sasa.
Auba, Ozil, Lacazette wamendoka Arsenal sababu Arteta kaona haezi fanya nao kazi but hao walishakuwa World Class Level ila Hili wao Hawalihoji, Amekuja Cheza mpira wake anataka Season ya 4 na Still hana cha Kuonyesha amepata na Huo MPIRA MZURI!

Mara Nyingi tusiweke Michango ilokaa zaidi kwa tunachoamini ama kwa kile unachosikia kwa unaowaamini. Mpira unatizamwa na wote na wengi wanafanya Analysis tu ikitaka jua Ni kazi rahisi wanafanya WAAMBIE KABLA YA GAME WA-BET ILI WAWE NA UHAKIKA NA KILE WANASEMA, ETH kashasema anataka timu iwe "the Very Best kwenye Transition" UTD mpka sasa ndo inaongoza Win Possession kwenye Final Third, Inaongoza kwenye Chance Creation, Bado haijakamilika na ina UHITAJI MKUBWA but taratibu inasogea! Kupandisha kiwango unashangaa kina Rashy ni wa kawaida ila kawa na Season bora kuliko zote tangu Debut, Dalot, AWB, wote huwazungumzii, Garnacho na sasa Mainoo wanapanda Taratibu, nitasubiri uje utaje jina la Maana toka Academy ya Arsenal alopandisha ARTETA!

Huyo hamis77 ni mchambuzi uchwara msimchukulie serious
 
Leo mi tarehe 29 kasoro dakika chache lakini Man utd haionyeshi dalili za kusajili wachezaji kwenye maeneo ambayo yalionekana yana upungufu tangu msimu uliopita. Ni kama aidha tunatembelea bahati au uwezo binafsi wa mwalimu hadi hapa tulipofikia, sina uhakika lipi ni sahihi.

Pia pamoja na majeruhi wanaozidi kurundikana lakini bado hakuna la maana tunalofanya kwenye usajili,ni kama tunatafuta nafasi za kucheza ligi ya mabingwa ila hatujui kule malengo yetu ni yepi.

Kuanzia leo nakubaliana na LvG kwamba UNITED ni commercial club.
 
𝐎𝐧 𝐓𝐡𝐢𝐬 𝐃𝐚𝐲, 12 years ago, Manchester United beat Arsenal 8-2 with this starting lineup

#𝙏𝙧𝙪𝙨𝙩𝙏𝙝𝙚𝙋𝙧𝙤𝙘𝙚𝙨𝙨𝙀𝙏𝙃
#𝙐𝙣𝙞𝙩𝙚𝙙𝙛𝙤𝙧𝙩𝙝𝙚𝙁𝙖𝙣𝙨
#𝙎𝙝𝙚𝙞𝙠𝙝𝙅𝙖𝙨𝙨𝙞𝙢𝙄𝙣𝘼𝙩𝙈𝙖𝙣𝙐𝙩𝙙
#𝙂𝙡𝙖𝙯𝙚𝙧𝙊𝙐𝙏
#𝙂𝙂𝙈𝙐

man utd |
IMG_20230828_232450_355.jpg
 
Bruno Fernandes Heatmap from last season.

He was everywhere. 🫁

#𝙏𝙧𝙪𝙨𝙩𝙏𝙝𝙚𝙋𝙧𝙤𝙘𝙚𝙨𝙨𝙀𝙏𝙃
#𝙐𝙣𝙞𝙩𝙚𝙙𝙛𝙤𝙧𝙩𝙝𝙚𝙁𝙖𝙣𝙨
#𝙎𝙝𝙚𝙞𝙠𝙝𝙅𝙖𝙨𝙨𝙞𝙢𝙄𝙣𝘼𝙩𝙈𝙖𝙣𝙐𝙩𝙙
#𝙂𝙡𝙖𝙯𝙚𝙧𝙊𝙐𝙏
#𝙂𝙂𝙈𝙐

man utd |
IMG_20230828_232459_028.jpg
 
Bruno Fernandes has missed more penalties in his career (5) than games due to injury (4):

Misses:
vs. Napoli
vs. Loures
vs. Newcastle
vs. Villa
vs. Arsenal

Injuries:
Flu - Napoli
Leg injury - Ukraine
Leg Injury - Serbia
Illness - Spurs

Iron Man.

#𝙏𝙧𝙪𝙨𝙩𝙏𝙝𝙚𝙋𝙧𝙤𝙘𝙚𝙨𝙨𝙀𝙏𝙃
#𝙐𝙣𝙞𝙩𝙚𝙙𝙛𝙤𝙧𝙩𝙝𝙚𝙁𝙖𝙣𝙨
#𝙎𝙝𝙚𝙞𝙠𝙝𝙅𝙖𝙨𝙨𝙞𝙢𝙄𝙣𝘼𝙩𝙈𝙖𝙣𝙐𝙩𝙙
#𝙂𝙡𝙖𝙯𝙚𝙧𝙊𝙐𝙏
#𝙂𝙂𝙈𝙐

man utd |
IMG_20230828_232543_772.jpg
 
Back
Top Bottom