Achana na Sancho mimi sijazungumzia yeye hapo kuna vilaza wapo tangu wakati Ole anafika ila hawabadilikagi.
Mbona hata Nicolaus Pepe alikuwaga hatari zaidi ya Sancho nini kikamkuta
Kuna wachezaji kocha hawezi kuwapandisha viwango hata iweje mmejionea kwa Arsenal yetu hivi mbali na Xhaka nani ambaye Arteta kamkuta na kumuinua kiwango.
Arsenal yenu pia ilibadilika mazima baada ya wachezaji 10/11 wa first 11 kuwa ni maingizo ya Arteta.
Hata Klopp asjngetoboa na wale akina Allen,Moreno,Can,Clyne,Skrtel,Benteke n.k Liverpool ilikuja kutawala baada ya wachezaji wa first 11 9/11 kuwa maingizo yake.
Sio kulazimisha kupambana huku una average players ambao hawapati namba timu yoyote ya top 6.
Tuache kuwapa makocha majukumu ya kisenge wao sio Magicians ni tuwape nafasi ya kuweka wachezaji wao.