Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Luke Shaw kati ya wapuuzi ambao sijawahi kuwaelewa hata wacheze vipi,nishawahi kuwaambia fans wenzangu kuwa Shaw hata maajabu huwa anakamia akiona namba yake ipo kwenye risk
l
Last season katafuta alichokuwa anakitaka mkataba mpya na mshahara mnono sasa ni muda wake wa kurudi default version ya yule aliyekuwa anawekwa nje hadi na Brandon Williams.

Kaanza na majeruhi sasa ngoja arudi uwanjani mtajionea
Jishikilie ulipo kaa, watakuja top reds (according to them) wakulushie mawe, umegusa tako la kipenzi chao
 
Jishikilie ulipo kaa, watakuja top reds (according to them) wakulushie mawe, umegusa tako la kipenzi chao
Ten Hag tutamtetea kwa sababu tunampenda tu ila kuna matatizo msimu huu kayaanzisha yeye hasa kuwapa mikataba Rashford na Shaw hata wacheze vipi sina imani nao kabisa,Rashford kadrop na Shaw akirudi anadrop sasa usiombe iwe game na Liverpool ndio hugeuka uchochoro kabisa.

Usajili wa Tielemans kwa bure ungekuwa bora kuliko wa Mount.

Tunachukia watoto wa Kiingereza kwa uchezaji wao wa kifaza yeye ndio anawapa chance zaidi.

Anyway ikifika October nadhani Glazers na Ten Hag wote watakuwa hawatakiwi na mashabiki.

Ni sawa Ten Hag ana makosa kutumia vibaya hela kwa usajili ila agenda ya Glazers na yake ni mbili tofauti watu watambue hapa kuwa sababu ya Glazers out sio pesa ya usajili.
 
Achana na Sancho mimi sijazungumzia yeye hapo kuna vilaza wapo tangu wakati Ole anafika ila hawabadilikagi.
Mbona hata Nicolaus Pepe alikuwaga hatari zaidi ya Sancho nini kikamkuta

Kuna wachezaji kocha hawezi kuwapandisha viwango hata iweje mmejionea kwa Arsenal yetu hivi mbali na Xhaka nani ambaye Arteta kamkuta na kumuinua kiwango.

Arsenal yenu pia ilibadilika mazima baada ya wachezaji 10/11 wa first 11 kuwa ni maingizo ya Arteta.

Hata Klopp asjngetoboa na wale akina Allen,Moreno,Can,Clyne,Skrtel,Benteke n.k Liverpool ilikuja kutawala baada ya wachezaji wa first 11 9/11 kuwa maingizo yake.

Sio kulazimisha kupambana huku una average players ambao hawapati namba timu yoyote ya top 6.

Tuache kuwapa makocha majukumu ya kisenge wao sio Magicians ni tuwape nafasi ya kuweka wachezaji wao.
Ten hag hawezi kukwepa lawama ,binafsi nilisema humu toka mwaka Jana ila matokeo yaliwafanya wengi wawe vipofu, sajili za Ten hag nyingi haziingii first eleven kutoa impact

Hata sajili ya casemiro niliwahi kusema itasaidia msimu mmoja au miwili ,mtarud sokon kuhangaika kusaka DM , ila wanazi hawakuelewa

Ten hag anachoshangaza hata anaowasajili wanageuka kituko kuliko aliowakuta , Unamemtaja Arteta ila nikwambie tu aliwakuta kina saka ni beki , Martinelli mchezaji wa academy tu,

Grazzer family toka amekuja ten hag wamejitahidi Sana ,nadhan ndiye kocha kapewa nguvu kubwa kwenye usajili kuliko wote waliopita toka Fergie, wanachohoji watu why sajili zake hazieleweki,

Werghost
Malacia
Casemiro 30+ age
Eriksen 30+
Anthony Santos
Mount



Unakuja kukuta katika £400m angalau anapata Onana na Martinez wanaoendana na falsafa anayosema ,pia umri wao Ni mzuri

Sijamtaja Hojlund maana Kama ten hag kashindwa kuwasaidia kina Sancho, Basi anahitajika mwamposa aweze kumfanya Hojlund aliyekuwa na goli 9 Atalanta awe world class

Msijikite Sana kuwalaumu Grazzer family, Hawa jamaa kwa pesa wanazotoa Kama kocha ana final say kwenye usajili Basi Sasa hivi angekuwa na wachezaji 5-7 wanaofit mfumo wake
 
Na why alikuwa hamtaki bisaka baadae alipona anamsaidia Sana kukaba akampa mkataba

Akamuongezea dalot pia mkataba ,why asitafute RB mwingine wa kiwango Cha juu?

Mambo Kama haya wanalaumiwa Grazzer family
Ya Dalot niliisahau ila hapaswi kuanza mbele ya Bissaka hasa big matches.

Siwezi kuwalaumu Glazers kwa sajili za Ten Hag kwa sababu tumezifanya kilazima timu zinaongeza thamani za wachezaji ili kukomoa badala ya kuachana nazo tunaenda nazo.

Glazers wamewaweka watu wao Murtough na Arnold ambao wapo clueless kuhusu mpira that's why kocha hana wa kushauriana tofauti na alipokuwa Ajax.

Akiwepo Technical director mjuzi wa soka anaweza kuiokoa timu na kuspend hela kwa mchezaji asiye sahihi.

Jurgen Klopp alimhitaji Draxler Liverpool ila Michael Edwards akamletea Salah kilichobaki historia,nadhani umeona shida ipo wapi.Wangekuwepo wajuzi wa mpira wangemshauri kocha hapa huyu mchezaji hapana chukua huyu na ungekuta analeta matunda mazuri,sasa hao wahasibu wetu wanajua nini zaidi ya kuhesabu hela
 
Ya Dalot niliisahau ila hapaswi kuanza mbele ya Bissaka hasa big matches.

Siwezi kuwalaumu Glazers kwa sajili za Ten Hag kwa sababu tumezifanya kilazima timu zinaongeza thamani za wachezaji ili kukomoa badala ya kuachana nazo tunaenda nazo.

Glazers wamewaweka watu wao Murtough na Arnold ambao wapo clueless kuhusu mpira that's why kocha hana wa kushauriana tofauti na alipokuwa Ajax.

Akiwepo Technical director mjuzi wa soka anaweza kuiokoa timu na kuspend hela kwa mchezaji asiye sahihi.

Jurgen Klopp alimhitaji Draxler Liverpool ila Michael Edwards akamletea Salah kilichobaki historia,nadhani umeona shida ipo wapi.Wangekuwepo wajuzi wa mpira wangemshauri kocha hapa huyu mchezaji hapana chukua huyu na ungekuta analeta matunda mazuri,sasa hao wahasibu wetu wanajua nini zaidi ya kuhesabu hela
Ten hag yeye bubu asiombe msaada wa DoF

Pale Astonvilla walipomtimua Gerlad wamemleta Unai Emery, alipokuwa arsenal aliomba aletewe Monchi sababu wanaendana nae mawazo hakuletwa akavurunda Sana

Alipofika Villa Cha kwanza amewaambia namtaka Monchi ,Villa wamepambana wamevunja mkataba kaletwa Monchi

Sasa ten hag Kama anahitaji watu why yupo kimya analeta wachezaji wake kutoka Erevedise
 
Ten hag yeye bubu asiombe msaada wa DoF

Pale Astonvilla walipomtimua Gerlad wamemleta Unai Emery, alipokuwa arsenal aliomba aletewe Monchi sababu wanaendana nae mawazo hakuletwa akavurunda Sana

Alipofika Villa Cha kwanza amewaambia namtaka Monchi ,Villa wamepambana wamevunja mkataba kaletwa Monchi

Sasa ten hag Kama anahitaji watu why yupo kimya analeta wachezaji wake kutoka Erevedise
Point inakuja hapo hadi najiuliza why alikubali genius kama Ralf Rangnick asepe kizembe.

Ama ndio hana kauli kama ambavyo mashabiki kule twitter wanasema kawa puppet wa Glazers.

Hizo sehemu juu hapo zinakaliwa na watu wanaoaminiwa na Glazers kuwapa faida ya kipesa wewe unadhani rahisi hivyo kocha kutaka wabadilishwe?

Ndio maana mashabiki wanataka Glazers watoke ili muundo wa timu ubadilishwe la sivyo watakuja hata makocha watatu baada ya ETH na wasitoboe.

Kupambana na wale jamaa ni uwe tayari kupoteza kibarua kama anavyofanyaga Conte.

Na hii kitu inawaudhi mashabiki ndio maana now hawawataki Glazers pamoja na yeye kipara
 
Lisandro Martinez has suffered an ankle injury and expected to be sidelined for about 3 weeks. Blow to Man Utd as they just lost Luke Shaw to injury yesterday @TheAthleticFC #MUFC.

The call of Lord magwaya
JamiiForums-133645326.jpg
 
Ten hag yeye bubu asiombe msaada wa DoF

Pale Astonvilla walipomtimua Gerlad wamemleta Unai Emery, alipokuwa arsenal aliomba aletewe Monchi sababu wanaendana nae mawazo hakuletwa akavurunda Sana

Alipofika Villa Cha kwanza amewaambia namtaka Monchi ,Villa wamepambana wamevunja mkataba kaletwa Monchi

Sasa ten hag Kama anahitaji watu why yupo kimya analeta wachezaji wake kutoka Erevedise

We jamaa una ubishi tu na chuki juu ya ETH
Embu uwe unafatilia mambo vizuri kabla ya kuleta porojo kwnye hili jukwaa pendwa
 
Ten hag yeye bubu asiombe msaada wa DoF

Pale Astonvilla walipomtimua Gerlad wamemleta Unai Emery, alipokuwa arsenal aliomba aletewe Monchi sababu wanaendana nae mawazo hakuletwa akavurunda Sana

Alipofika Villa Cha kwanza amewaambia namtaka Monchi ,Villa wamepambana wamevunja mkataba kaletwa Monchi

Sasa ten hag Kama anahitaji watu why yupo kimya analeta wachezaji wake kutoka Erevedise

Na nafurahi kua unaipenda sana Manchester unaitakia mema Asante sana
Ushindi wetu mnono utaanzia pale Emirates stadium
3rd Sept Tea time ️ pale uingereza.
 
We jamaa una ubishi tu na chuki juu ya ETH
Embu uwe unafatilia mambo vizuri kabla ya kuleta porojo kwnye hili jukwaa pendwa
Yupo sahihi Ten Hag ni fala kakaa kizembe kushindwa kuomba kuletewa Director Of Football
 
We jamaa una ubishi tu na chuki juu ya ETH
Embu uwe unafatilia mambo vizuri kabla ya kuleta porojo kwnye hili jukwaa pendwa
Chuki gani Sasa, wewe ndio unabaki peke yako humu kumtetea 7hag

7hag ana nguvu hapo manjesta ndiye anasajili hao kina Anthony,Malacia , werghost , mount

Na nilisema itafika muda mtawageukia Grazzer family,wakati anayesajili average players sio wao

7hag kapewa €250m last season akasajili

Anthony masebene€100m
Malacia average player
Casemiro€70m 30+yrs
Eriksen 30+yrs
Werghost
Lisandro


Mkawapamba Sana ,lakin wanaojua mpira walisema hata usajili wa casemiro ni ovyo ,

Ten egg anakwepaje lawama ,

Wakati mnashinda tulisema ni sababu ya form ya Rashford lakin sio playing style yakocha ,ila kwakuwa tunajua Rashford huwa ana kipind ata drop bas tutaona sura halisi ya Ten egg

Leo unasema nachuki ,au nifukue makaburi kipind nasema haya

Sasa subiri mkose point kwa forest uone Kama hamshiki mkia
 
Na nafurahi kua unaipenda sana Manchester unaitakia mema Asante sana
Ushindi wetu mnono utaanzia pale Emirates stadium
3rd Sept Tea time ️ pale uingereza.
Mara ya mwisho mmeshinda Lin pale Emirates

Hizo mechi sisi ndio tunazitaka ,sio pre season hii , mjiandae tu
 
Yupo sahihi Ten Hag ni fala kakaa kizembe kushindwa kuomba kuletewa Director Of Football

Kwamba unadhani ma boss hawalijui hilo swala, hao ma legend hawaja anza kupiga kelele juzi kwamba dop anatakiwa ila ndo ivo utawala mzima wa Manchester Upo ki business zaidi
 
Chuki gani Sasa, wewe ndio unabaki peke yako humu kumtetea 7hag

7hag ana nguvu hapo manjesta ndiye anasajili hao kina Anthony,Malacia , werghost , mount

Na nilisema itafika muda mtawageukia Grazzer family,wakati anayesajili average players sio wao

7hag kapewa €250m last season akasajili

Anthony masebene€100m
Malacia average player
Casemiro€70m 30+yrs
Eriksen 30+yrs
Werghost
Lisandro


Mkawapamba Sana ,lakin wanaojua mpira walisema hata usajili wa casemiro ni ovyo ,

Ten egg anakwepaje lawama ,

Wakati mnashinda tulisema ni sababu ya form ya Rashford lakin sio playing style yakocha ,ila kwakuwa tunajua Rashford huwa ana kipind ata drop bas tutaona sura halisi ya Ten egg

Leo unasema nachuki ,au nifukue makaburi kipind nasema haya

Sasa subiri mkose point kwa forest uone Kama hamshiki mkia

Werghost alisajiliwa Man U Kumbe??
 
Kwamba unadhani ma boss hawalijui hilo swala, hao ma legend hawaja anza kupiga kelele juzi kwamba dop anatakiwa ila ndo ivo utawala mzima wa Manchester Upo ki business zaidi
DoF wa manjesta Sasa ni nani
 
Chuki gani Sasa, wewe ndio unabaki peke yako humu kumtetea 7hag

7hag ana nguvu hapo manjesta ndiye anasajili hao kina Anthony,Malacia , werghost , mount

Na nilisema itafika muda mtawageukia Grazzer family,wakati anayesajili average players sio wao

7hag kapewa €250m last season akasajili

Anthony masebene€100m
Malacia average player
Casemiro€70m 30+yrs
Eriksen 30+yrs
Werghost
Lisandro


Mkawapamba Sana ,lakin wanaojua mpira walisema hata usajili wa casemiro ni ovyo ,

Ten egg anakwepaje lawama ,

Wakati mnashinda tulisema ni sababu ya form ya Rashford lakin sio playing style yakocha ,ila kwakuwa tunajua Rashford huwa ana kipind ata drop bas tutaona sura halisi ya Ten egg

Leo unasema nachuki ,au nifukue makaburi kipind nasema haya

Sasa subiri mkose point kwa forest uone Kama hamshiki mkia

Wewe na chuki zako usijisahaulishe pamoja na kupewa izo hela angalau Manchester msimu jana tulimaliza watatu kulinganisha na team alivyoikuta it was shambles everywhere + na league cup kabatini na runner up kwny FA cup
 
Back
Top Bottom