Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Mtu kama Klopp toka msimu wa kwanza ulikuwa unaona tu akiimarisha defense hii timu itakuwa level nyingine. Kufunga magoli haikuwa ishu kbsa, ila kuyalinda.

Ndo maana mashabiki wa Liver hawakuwa na presha.

Kumtetea kocha ambae timu haichezi vzur na matokeo hamna ni kazi sana.
 
Nipo Valencia C.F. kwa mkopo mpaka mwisho wa msimu. 🦇

Muda wa ku-enjoy soka safi kutoka kwa waspanyola.
20230821_090747.jpg
 
Ili kulinda afya yangu ya akili na kupunguza kufuatilia vitu vya hovyo.

Kuanzia leo napumzika kuifuatilia Man United mpaka pale timu hii itakapokuwa na wachezaji sahihi wa kuichezea.

Tukutane msimu ujao.
Ukwel mchungu huu ila ndo hali halisi
 
Sawa mkuu, kwahiyo kumbe team haina shida ya kiungo? Tupo sawa kabisa tukomae na Casemiro na Mctominay kama DM na dogo Mainoo?
Mimi sichambui mpira kwa kufuata mkumbo mkuu, natoa facts, tatizo letu sio kiungo mkabaji wala kiungo mshambuliaji wala sio beki japo tunapaswa kuongeza kiungo mmoja wa kumsaidia Casemiro.

Hadi sasa timu yetu kwenye ligi ni timu ya tatu kwa kutengeneza big chances nyingi nyuma ya Brighton na Newcastle.

Ndani ya hizi mechi mbili tumcreate big chances 6 tumefunga moja tena ni beki ndio kafunga sawa na 16.66%, Brighton wamecreate tisa wamescore 8 sawa na 88.88%, Newcastle wamecreate 8 wametumia 5 swa na 62.5%. Na utd ndio timu ilipoteza big chances nyingi zaidi ya timu yeyote ya big 6, sasa kwa akili tu ya kawaida utasema tatizo la timu ni kiungo, beki au forward?
 
Mimi sichambui mpira kwa kufuata mkumbo mkuu, natoa facts, tatizo letu sio kiungo mkabaji wala kiungo mshambuliaji wala sio beki japo tunapaswa kuongeza kiungo mmoja wa kumsaidia Casemiro.

Hadi sasa timu yetu kwenye ligi ni timu ya tatu kwa kutengeneza big chances nyingi nyuma ya Brighton na Newcastle.

Ndani ya hizi mechi mbili tumcreate big chances 6 tumefunga moja tena ni beki ndio kafunga sawa na 16.66%, Brighton wamecreate tisa wamescore 8 sawa na 88.88%, Newcastle wamecreate 8 wametumia 5 swa na 62.5%. Na utd ndio timu ilipoteza big chances nyingi zaidi ya timu yeyote ya big 6, sasa kwa akili tu ya kawaida utasema tatizo la timu ni kiungo, beki au forward?
Sawa mkuu, kizuri ni kuwa striker tumesajili na soon atacheza, basi tutakutana hapa hapa na hizi data.
 
Mimi sichambui mpira kwa kufuata mkumbo mkuu, natoa facts, tatizo letu sio kiungo mkabaji wala kiungo mshambuliaji wala sio beki japo tunapaswa kuongeza kiungo mmoja wa kumsaidia Casemiro
Ndani ya hizi mechi mbili tumcreate big chances 6 tumefunga moja tena ni beki ndio kafunga sawa na 16.66%, Brighton wamecreate tisa wamescore 8 sawa na 88.88%, Newcastle wamecreate 8 wametumia 5 swa na 62.5%
UTD ni Game Two ila ni namna gani ime-ruin Childhood happiness ya wengi unaangalia tu mana still wengi bado hawana hiyo furaha wanayoitaka kwa timu zao wamebaki furahia matatizo ya UTD na kujifariji nayo.

Kuna kundi kubwa limemgeukia ETH huku wakidai hana Talent ID, unawauliza kirahisi tu Arteta ana takribani wachezaji 25 alosajili na Still ana Cup 1 tu {Ngao ya jamii ni Bonanza} kuna kina Mari, Jorginho, Lokonga, Tavares, et al hazijawork out {kwa mujibu wao tuseme naye Arteta hana Talent ID??} sasa ukiuliza maswali ya Kisoka mnachojivunia hasa ni kipi hawana cha kusema zaidi ya Mpira Mzuri kwa Mujibu wao na hawana kombe la Kuonyesha, {LAST SEASON ETH AMEKUWA NA SEASON BORA KUMZIDI ARTETA- Ukibisha uje na FACTS}

Gwiji christeve88 umemaliza kila kitu! Kuna wakati Fulani Ralf Rangnick alisema UTD inahitaji sajili zaidi ya 10 wakamdhihaki ila sisi tunaoangalia soka bila mahaba tulielewa anachomaanisha. ETH kajitahidi sana kufanya kazi na aina ya Players alokuta na sajili kadhaa Starter 3 Back-Up 1, Ninadiriki kusema kama ETH akifikisha sajili zaidi ya 20 kama Arteta UTD itakua na kila taji!
UTD inahitaji stiker sio tu kuanzia season hii but tangu anaondoka Fergie na alirithisha usajili wa Wazee Robin alifanya kazi but hakuwa mtu wa kumtegemea muda mrefu tumekuwa na utaratibu hovyo sana toka juu kuhusu CF mostly tumekuwa tukisajili watu maji kupwa {Falcao, Ibra, Lukaku, Ighalo, Cavani, CR7}

kubwa lipo kwenye namba umeziweka hapo christeve88 UTD ina winga bado wa kawaida, Rashy ndo kabisa uwezo wake ni wa kuwa Spurs, Newcastle na timu za kati hapo hana uwezo huo waingereza wanatuaminisha, Timu kama UTD Forward Player yeyote unatakiwa uwe Comfortable na Mpira, ila yule Mkali unaeza shangaa ana Mipira mingi alopoteza kuliko Shots za maana au hata Goals/Assists.

Worst Scenario katika Matengenezo yetu bora ya Academy kwa Forward ni Mason Greenwood {Hajui chezea nafasi uwanjani, ila Nje ya Uwanja akachezea pakubwa sana} sadly siasa imetamaradi kwenye suala lake na ndo Mkono wa kwaheri kwake. All the Bests Mason Greenwood.
 
Hawa wapumbavu huwa wapo kutukosoa Afrika tu ila wao wanafanya upuuzi mwingi. Utawala wa sheria kwa malkia ni msamiati. Mahakama imesema hana hatia lakini klabu imemhukumu kutokana na hisia na maoni ya watu baki kwa kosa ambalo hana. Ngoja klabu ishuke daraja tukose wote.
 
Siku imemalizika vibaya kwangu hii hizi habari za Greenwood kuachwa zimenimaliza nguvu kabisa.

Nilikuwa nina matarajio kwake akija kutulia but feminists ndio wamekuwa na nguvu kuliko klabu yetu ya kisenge,Wanawake ni vikwazo kwa vitu vingi Duniani.

Tumepoteza kipaji kikubwa huku tunabaki na mcheza sebene Antony


Kila la kheri kwa klabu itayothamini kipaji cha Greenwood na haitajutia kumchukua na majuto yatarudi kwetu baadae.
 
Hawa wapumbavu huwa wapo kutukosoa Afrika tu ila wao wanafanya upuuzi mwingi. Utawala wa sheria kwa malkia ni msamiati. Mahakama imesema hana hatia lakini klabu imemhukumu kutokana na hisia na maoni ya watu baki kwa kosa ambalo hana. Ngoja klabu ishuke daraja tukose wote.
Washenzi sana wanachojua kupigia kampeni ushoga na usagaji

Sidhani kama ingekuwa klabu nyingine ingemuacha kizembe,Benzema alikuwaga na kesi nzito zaidi ya hii ila Real Madrid licha ya image yao kubwa hawakumtupa.

***** sana Man United
 
Hawa wapumbavu huwa wapo kutukosoa Afrika tu ila wao wanafanya upuuzi mwingi. Utawala wa sheria kwa malkia ni msamiati. Mahakama imesema hana hatia lakini klabu imemhukumu kutokana na hisia na maoni ya watu baki kwa kosa ambalo hana. Ngoja klabu ishuke daraja tukose wote.
Mahakama ili drop charges. Haikusema kuwa ana hatia au hana. Charges zilikuwa Dropped sababu yule mtoa key evidence alijitoa.
 
Kweli vizuri havidumu.
Greenwood,zao letu bora kabisa tunalipoteza kwa kuhofia watu wanaolitizama kwa mlengo wa hovyohovyo. Management ya Man U haioni matatizo ya club katika safu ya ushambuliaji,haioni kama MG ni msaada mkubwa kuisaidia timu wakati huu?
Waingereza ni UMBWA!!
 
Walichofanya Manchester United na Waingereza wote kwa Greenwood inaweza kuwa sahihi au siyo sahihi maana hii kesi sijaielewa kabisa.

Wazungu wana mambo mengi ya kishetani wanayaruhusu kwenye jamii yao kushinda alichofanya Greenwood.

England wanaruhusu mapenzi ya jinsia moja, utoaji mimba ila hilo siyo shida kwao.

Greenwood kesi kubwa iliyokuwa inamkabili ni ubakaji ila mimi huo siuiti ubakaji, kama watu walishakuwa pamoja, wanajuana vizuri utasemaje mtu kabakwa?

Feminists wameamua tu kumpoteza kijana. Bado ukirudi kwenye kesi ya Mendy alikuwa falsely accused na wanawake waliomshutumu hawajafanyiwa kitu chochote kile ila hutasikia mtu akitetea Mendy kupata haki yake.

Kesi ya Mendy kwasababu ni wanawake waliofanya makosa watu wakakaa kimya. Ila Greenwood kwasababu yeye ndiyo wanaona ana makosa ndiyo wamepita naye.
 
Washenzi sana wanachojua kupigia kampeni ushoga na usagaji

Sidhani kama ingekuwa klabu nyingine ingemuacha kizembe,Benzema alikuwaga na kesi nzito zaidi ya hii ila Real Madrid licha ya image yao kubwa hawakumtupa.

***** sana Man United
Suala la Greenwood bodi ya Utd wamelikuza makusudi.
Huyu dogo natamani achukuliwe na timu kubwa inayojielewa halafu kila tukikutana awe anatugonga goli za kutosha
Hawa umbwa ni ubaguzi tu wa rangi ndio unawasumbua, ni mara 100 wangemtoa kwa mkopo kisha wakamuuza kuliko hivi walivyomfanyia.
 
Back
Top Bottom