kitalembwa
JF-Expert Member
- Jul 12, 2014
- 6,147
- 15,770
Uzi wa Chelsea na arsenal haufunguki tangia majuzi,,,,ni kwangu tu au
Ni tatizo la mwalimu pia sasa mtu hata kupass hawezi anakua vipi kwenye first eleven?Hata kutoa pass wanatakiwa kufundishwa na mwalimu ?
Hamia the Gunner kwa mkopoIli kulinda afya yangu ya akili na kupunguza kufuatilia vitu vya hovyo.
Kuanzia leo napumzika kuifuatilia Man United mpaka pale timu hii itakapokuwa na wachezaji sahihi wa kuichezea.
Tukutane msimu ujao.
Mtu wa kwanza kumhitaji Ten Hag alikuwa Frenkie De Jong, wengine walikuja tu kwa bahati nasibu, kasome alichokiandika Martinez utajua kama alikuwa target yake au lah.Kwamba Martinez na Anthony hawakuwa chaguo la Ten Hag au sio
Mtu wa kwanza kumhitaji Ten Hag alikuwa Frenkie De Jong, wengine walikuja tu kwa bahati nasibu, kasome alichokiandika Martinez utajua kama alikuwa target yake au lah.
Ten Hag kutoka Ajax alimhitaji Jurian Timber tu
Kwamba wachezaji wengine wote amesajikiwaMtu wa kwanza kumhitaji Ten Hag alikuwa Frenkie De Jong, wengine walikuja tu kwa bahati nasibu, kasome alichokiandika Martinez utajua kama alikuwa target yake au lah.
Ten Hag kutoka Ajax alimhitaji Jurian Timber tu
Sasa Arsenyo nayo ni timu au ni kikundi cha comedians?Hamia the Gunner kwa mkopo
Mwenzenu Flano anaamkia Kule na kabla hajalala comments zake za mwisho mwisho anazituma Kule
Kwamba wachezaji wengine wote amesajikiwa
Hahaha Habari za vijiwen
Wewe ushakua nyumbu sugu, hauelewiSasa Arsenyo nayo ni timu au ni kikundi cha comedians?
Timu inaongoza ligi kuanzia Augost mpaka April wanabakiza mwezi mmoja wakabidhiwe kombe wanalegeza makalio.
Kote mkuuUzi wa Chelsea na arsenal haufunguki tangia majuzi,,,,ni kwangu tu au
Kwamba Martinez na Anthony hawakuwa chaguo la Ten Hag au sio
Mbona ameelezea vzr sana , sio kwamba wachezaji amesajiliwa ila hawakua chaguo lake la kwanza.Kwamba wachezaji wengine wote amesajikiwa
Hahaha Habari za vijiwen
Ukwel mchungu huu ila ndo hali halisiIli kulinda afya yangu ya akili na kupunguza kufuatilia vitu vya hovyo.
Kuanzia leo napumzika kuifuatilia Man United mpaka pale timu hii itakapokuwa na wachezaji sahihi wa kuichezea.
Tukutane msimu ujao.
Mimi sichambui mpira kwa kufuata mkumbo mkuu, natoa facts, tatizo letu sio kiungo mkabaji wala kiungo mshambuliaji wala sio beki japo tunapaswa kuongeza kiungo mmoja wa kumsaidia Casemiro.Sawa mkuu, kwahiyo kumbe team haina shida ya kiungo? Tupo sawa kabisa tukomae na Casemiro na Mctominay kama DM na dogo Mainoo?