Greatest Of All Time
JF-Expert Member
- Jan 1, 2017
- 25,012
- 56,295
🤔🤔
Wala msijipe stress. Ni ki friendly tu na kinamsaidia sana kocha wenu na pia kinawapumbaza Burnley wajione washawasili kwenye big boys' tableManchester United lost 3-0 to Burnley in a behind closed doors match today at Carrington. 🔴
Vijana wa Ten Hag wamekula kipigo tena kutoka kijana wa Pep Guardiola, Vincent Kompany.
Yani tunafungwa hadi na promoted club: mimi nawaita Championship club, 3-0!!! 😂
Kwa Burnley inampa zaidi confidence na courageWala msijipe stress. Ni ki friendly tu na kinamsaidia sana kocha wenu na pia kinawapumbaza Burnley wajione washawasili kwenye big boys' table
Now nashindwa kuelewa kabisa hadi nahisi kuna kitu nyuma ya pazia kinaendelea.Manchester United lost 3-0 to Burnley in a behind closed doors match today at Carrington.
Vijana wa Ten Hag wamekula kipigo tena kutoka kijana wa Pep Guardiola, Vincent Kompany.
Yani tunafungwa hadi na promoted club: mimi nawaita Championship club, 3-0!!!![]()
Na huu msimu hata nafasi 7 za juu hatutakuwepoHii team ilipaswa ikabidhiwe kwa Jasim, bila hivyo naziona dalili za kukimbilia kwenye kundi la team ndogo hapo EPL. Tumekuwa team ndogo sana sikuhizi.
Maguire kasepa??mufc are close to agreeing a one-year contract with Jonny Evans.
mwana FA - bado yupo yupo sanaMaguire kasepa??
manchester city wakimsajili then utawasikia wapinzani uchwara wanalalamika.Onana
Mount
Hojlund
Halafu tumetulia kama vile sisi ndio mabingwa watetezi.
Mpaka dau lake lifike 100milHuyu Mitoma hapo Brighton anasubiri nini?