Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

🤔🤔
4FA0508A-FB8B-44E1-83D8-57C72277B774.jpeg
 
Manchester United lost 3-0 to Burnley in a behind closed doors match today at Carrington. 🔴

Vijana wa Ten Hag wamekula kipigo tena kutoka kijana wa Pep Guardiola, Vincent Kompany.

Yani tunafungwa hadi na promoted club: mimi nawaita Championship club, 3-0!!! 😂
Wala msijipe stress. Ni ki friendly tu na kinamsaidia sana kocha wenu na pia kinawapumbaza Burnley wajione washawasili kwenye big boys' table
 
Wala msijipe stress. Ni ki friendly tu na kinamsaidia sana kocha wenu na pia kinawapumbaza Burnley wajione washawasili kwenye big boys' table
Kwa Burnley inampa zaidi confidence na courage
Ligi ndio kwanza imeanza, timu nyingi bado zinatest mitambo
Kwa manjesta wakumtoa kafara Sasa hivi hayupo, timu ikizingua wanamla kichwa
 
Only Brighton (38) have created more chances than #MUFC (32) in the first two Premier League games this season.

#𝙏𝙧𝙪𝙨𝙩𝙏𝙝𝙚𝙋𝙧𝙤𝙘𝙚𝙨𝙨𝙀𝙏𝙃
#𝙐𝙣𝙞𝙩𝙚𝙙𝙛𝙤𝙧𝙩𝙝𝙚𝙁𝙖𝙣𝙨
#𝙎𝙝𝙚𝙞𝙠𝙝𝙅𝙖𝙨𝙨𝙞𝙢𝙄𝙣𝘼𝙩𝙈𝙖𝙣𝙐𝙩𝙙
#𝙂𝙡𝙖𝙯𝙚𝙧𝙊𝙐𝙏
#𝙂𝙂𝙈𝙐

man utd |
IMG_20230823_191425_461.jpg
 
Mike Keegan: "Keep your eyes on Maguire. I can see a further 𝗧𝗪𝗜𝗦𝗧 on that situation before the window closes."

[Mail Sport]
#𝙏𝙧𝙪𝙨𝙩𝙏𝙝𝙚𝙋𝙧𝙤𝙘𝙚𝙨𝙨𝙀𝙏𝙃
#𝙐𝙣𝙞𝙩𝙚𝙙𝙛𝙤𝙧𝙩𝙝𝙚𝙁𝙖𝙣𝙨
#𝙎𝙝𝙚𝙞𝙠𝙝𝙅𝙖𝙨𝙨𝙞𝙢𝙄𝙣𝘼𝙩𝙈𝙖𝙣𝙐𝙩𝙙
#𝙂𝙡𝙖𝙯𝙚𝙧𝙊𝙐𝙏
#𝙂𝙂𝙈𝙐

man utd |
IMG_20230823_191145_372.jpg
 
Manchester United lost 3-0 to Burnley in a behind closed doors match today at Carrington.

Vijana wa Ten Hag wamekula kipigo tena kutoka kijana wa Pep Guardiola, Vincent Kompany.

Yani tunafungwa hadi na promoted club: mimi nawaita Championship club, 3-0!!!
Now nashindwa kuelewa kabisa hadi nahisi kuna kitu nyuma ya pazia kinaendelea.

Halafu hata kwenye usajili hakuna progress yoyote haijulikani kama kuna kusajili zaidi sijui wanasubiri tupigwe hadi na Forest.
 
Back
Top Bottom