Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Benzema alivyokua na scandal yake Hadi timu ya taifa ilimyema, lakini Madrid walikua nae bega kwa bega. Hadi juzi Kati akiichezea timu yake ya taifa baada ya miaka mingi

Partey alivyokua likizo, Kuna demu alijilengesha alafu akataka achukue advantage ya kubakwa
Social medias zilichafuka
Bord ya arsenal ikamuambia wewe partey ndio uwe wa kwanza kuripot, fanya mazoezi, piga kazi

Hizo ni Mifano ya timu ambazo ina misingi ya kiume na zinaendeshwa kiume,
Greenwood angekua arsenal, tangu pre season angekua anapiga kazi na timu

nyumbuz wanawake wanasauti kuliko wanaume, club imekaa kikike sana hii
Unateseka sana kwenye huu uzi.
Kila wanachofanya Manchester united kinakutesa kiwe kibaya au kizuri.

Kama vipi mmchukue, si kwanza hamna striker wa kueleweka.?
 
Sijui kwanini mchezaji wa Manchester United akizingua kidogo agenda inakuwa kubwa sana kwake.

Takwimu za rice vs casemiro msimu huu.

PL: Casemiro v Rice Defending Comparison.

Casemiro v Rice

Blocks 3-2
Tackles: 5-4
Clearances: 7-1
Clean Sheet: 1-1
Interception: 2-2
Headed Clearances: 3-1
Aerial Battle Won: 4-2
Passes Forward: 37-32
Passes Backwards: 14-15

Agenda.
Manchester United ni timu kubwa.

Hivyo vingine ni vitimu vya uchochoroni.

Sasa timu anayocheza Rice ina utofauti gani na leeds united.?

Manchester united ni timu kubwa habari zake zinawapa watu pesa.
 
1692730393137.png
 
Mason Mount will miss Man Utd's match vs. Nottingham Forest on Saturday after picking up an injury vs. Tottenham, and is expected to be out until the international break in September
 
Benzema alivyokua na scandal yake Hadi timu ya taifa ilimyema, lakini Madrid walikua nae bega kwa bega. Hadi juzi Kati akiichezea timu yake ya taifa baada ya miaka mingi

Partey alivyokua likizo, Kuna demu alijilengesha alafu akataka achukue advantage ya kubakwa
Social medias zilichafuka
Bord ya arsenal ikamuambia wewe partey ndio uwe wa kwanza kuripot, fanya mazoezi, piga kazi

Hizo ni Mifano ya timu ambazo ina misingi ya kiume na zinaendeshwa kiume,
Greenwood angekua arsenal, tangu pre season angekua anapiga kazi na timu

nyumbuz wanawake wanasauti kuliko wanaume, club imekaa kikike sana hii
Ile ishu aisee Partey angekuwa manjesta Leo hii asingekuwepo anacheza

Arsenal waliimaliza kibishi Sana ,yule demu alijitokeza kwenye social media akidai alifanyiwa vitu vibaya Tena kwa ushahidi akidai upo
 
Ile ishu aisee Partey angekuwa manjesta Leo hii asingekuwepo anacheza

Arsenal waliimaliza kibishi Sana ,yule demu alijitokeza kwenye social media akidai alifanyiwa vitu vibaya Tena kwa ushahidi akidai upo
Nyumbu Wana vitu vingi vya kujifunza kutoka kwetu. Waache ujeuri tu
 
Ile ishu aisee Partey angekuwa manjesta Leo hii asingekuwepo anacheza

Arsenal waliimaliza kibishi Sana ,yule demu alijitokeza kwenye social media akidai alifanyiwa vitu vibaya Tena kwa ushahidi akidai upo
Greenwood kesi yake ilikuwa ngumu sana. Ushahidi wa picha na sauti ndiyo uliharibu kila kitu.

Ukiangalia kesi ya Banzema ni mbaya zaidi, kutoka na mtoto wa miaka 15 na bado Madrid wakabaki naye. Huu ndiyo tunaita ubakaji.

Kesi ya Greenwood haieleweki kama kweli yale majeraha amesababisha yeye kwasababu hakuna uhusiano wa moja kwa moja na ushahidi wa sauti.

Greenwood ni kama alikuwa analazimisha game na mwanamke hataki (mimi huu siuti ubakaji) unawezaje kumbaka mpenzi wako?

Inawezekana demu alipata majeraha kwa vitu vingine akaamua kuunganisha story. Mimi naona ni utoto tu alifanya. Angewashirikisha wanafamilia na kumfungulia kesi Greenwood wasingefika huku, maana raia wasingeona zile picha au kusikia sauti zaidi ya mahakama.

Pia, hii inaonyesha nguvu ya Social Media inavyoweza kujenga na kubomoa. Benzema na Ronaldo kesi zao ziliwakuta miaka hiyo matumizi ya social media hakuna au ni madogo. Sasa hivi kitu kikiwekwa kwenye Internet hakifutiki. Yule demu alifanya utoto sana na inaweza kuleta picha mbaya kwa mtoto wao huko mbeleni.
 
Mambo ambayo niliyaongea miezi kadhaa iliyopita kuhusu Erik 7 hag ,siku hizi naona wachambuzi wengi ndio wanayaona sasa

Hasn’t improved Sancho
Hasn’t improved Antony
Ruined Maguire’s #MUFC career
Disrespected De Gea
Can’t create effective midfield
Setting about ruining Mount

“Is Ten Hag actually any good?”

Adrian Durham lists incidents that don’t reflect well on Erik ten Hag
 
BREAKING: Sheikh Jassim is set to complete his full £6billion takeover of #mufc by mid-October.

[The Sun]
#𝙏𝙧𝙪𝙨𝙩𝙏𝙝𝙚𝙋𝙧𝙤𝙘𝙚𝙨𝙨𝙀𝙏𝙃
#𝙐𝙣𝙞𝙩𝙚𝙙𝙛𝙤𝙧𝙩𝙝𝙚𝙁𝙖𝙣𝙨
#𝙎𝙝𝙚𝙞𝙠𝙝𝙅𝙖𝙨𝙨𝙞𝙢𝙄𝙣𝘼𝙩𝙈𝙖𝙣𝙐𝙩𝙙
#𝙂𝙡𝙖𝙯𝙚𝙧𝙊𝙐𝙏
#𝙂𝙂𝙈𝙐

man utd |
 
Casemiro kachoka mkuu, toka pre season watu wamekuwa wakiongea Hilo

Angalau Eriksen alikuwa anamsaidia Sana ,sio mount ,kocha wenu asipofanya maamuz magumu ya kumpumzisha mount atakosa point hata kwa Forest

Mna Matominay ila sababu kocha wenu ameaminishwa MacFred ilikuwa ovyo Basi anamuweka nje

Hata Fred sio ovyo hivo ni vile kocha wenu binafsi naamini Hana uwezo wakumtoa mchezaji point A to B,

Yeye amekaririshwa Maguire ,Fred,Tominay, Sancho, ni wabaya ,lakin aliowasajili yeye Ni hawatofautian au wamewazidi viwango na aliowakuta ,alimuondoa Telles,akamsajili Malacia Tena awe first eleven kwa madai Shaw amechoka ,mpaka leo Malacia haijulikani Kama ni mchezaji wa manjesta
Mambo ambayo niliyaongea miezi kadhaa iliyopita kuhusu Erik 7 hag ,siku hizi naona wachambuzi wengi ndio wanayaona sasa

Hasn’t improved Sancho
Hasn’t improved Antony
Ruined Maguire’s #MUFC career
Disrespected De Gea
Can’t create effective midfield
Setting about ruining Mount

“Is Ten Hag actually any good?”

Adrian Durham lists incidents that don’t reflect well on Erik ten Hag
ameongeo point ila kuna sehemu ametumia unazi kama hapa kwa maguire huyo mchambuzi ametumia uingereza wa Maguire kumtetea.angalau angesema Maguire ruined ole gunner carrier
 
The Glazers wanted to continue holding shares but were warned by senior Old Trafford figures there would be a huge backlash from the fanbase.


[The Sun]
#𝙏𝙧𝙪𝙨𝙩𝙏𝙝𝙚𝙋𝙧𝙤𝙘𝙚𝙨𝙨𝙀𝙏𝙃
#𝙐𝙣𝙞𝙩𝙚𝙙𝙛𝙤𝙧𝙩𝙝𝙚𝙁𝙖𝙣𝙨
#𝙎𝙝𝙚𝙞𝙠𝙝𝙅𝙖𝙨𝙨𝙞𝙢𝙄𝙣𝘼𝙩𝙈𝙖𝙣𝙐𝙩𝙙
#𝙂𝙡𝙖𝙯𝙚𝙧𝙊𝙐𝙏
#𝙂𝙂𝙈𝙐

man utd |
IMG_20230823_133600_795.jpg
 
Jean-Clair Todibo is nearing a move to #mufc, despite Harry Maguire staying.


[L'equipe]
#𝙏𝙧𝙪𝙨𝙩𝙏𝙝𝙚𝙋𝙧𝙤𝙘𝙚𝙨𝙨𝙀𝙏𝙃
#𝙐𝙣𝙞𝙩𝙚𝙙𝙛𝙤𝙧𝙩𝙝𝙚𝙁𝙖𝙣𝙨
#𝙎𝙝𝙚𝙞𝙠𝙝𝙅𝙖𝙨𝙨𝙞𝙢𝙄𝙣𝘼𝙩𝙈𝙖𝙣𝙐𝙩𝙙
#𝙂𝙡𝙖𝙯𝙚𝙧𝙊𝙐𝙏
#𝙂𝙂𝙈𝙐

man utd |
IMG_20230823_133546_954.jpg
 
David Beckham On Leaving Manchester United

Beckham:
"When I joined Manchester United, I never wanted to leave the club. When they said they wanted to sell me, I called Real Madrid for the first time after that. That's when I knew the dream of playing for Manchester United was over.
I couldn't watch Manchester United games for two years, I was so upset.
It was difficult for me to leave Manchester United and accept the fact that I will no longer play there.
"I don't want to say anything negative about Seralex because he was the one who gave me the chance to make my dream of playing for Manchester United come true."

#𝙏𝙧𝙪𝙨𝙩𝙏𝙝𝙚𝙋𝙧𝙤𝙘𝙚𝙨𝙨𝙀𝙏𝙃
#𝙐𝙣𝙞𝙩𝙚𝙙𝙛𝙤𝙧𝙩𝙝𝙚𝙁𝙖𝙣𝙨
#𝙎𝙝𝙚𝙞𝙠𝙝𝙅𝙖𝙨𝙨𝙞𝙢𝙄𝙣𝘼𝙩𝙈𝙖𝙣𝙐𝙩𝙙
#𝙂𝙡𝙖𝙯𝙚𝙧𝙊𝙐𝙏
#𝙂𝙂𝙈𝙐

man utd |
 
Global club football rankings


[FiveThirtyEight]
#𝙏𝙧𝙪𝙨𝙩𝙏𝙝𝙚𝙋𝙧𝙤𝙘𝙚𝙨𝙨𝙀𝙏𝙃
#𝙐𝙣𝙞𝙩𝙚𝙙𝙛𝙤𝙧𝙩𝙝𝙚𝙁𝙖𝙣𝙨
#𝙎𝙝𝙚𝙞𝙠𝙝𝙅𝙖𝙨𝙨𝙞𝙢𝙄𝙣𝘼𝙩𝙈𝙖𝙣𝙐𝙩𝙙
#𝙂𝙡𝙖𝙯𝙚𝙧𝙊𝙐𝙏
#𝙂𝙂𝙈𝙐

man utd |
IMG_20230823_133525_181.jpg
 
David Ornstein: “The bigger unanswered question is whether the Glazers will really sell Manchester United when push comes to shove. So far we haven’t had an answer yet but perhaps we are getting towards it now.”

(Source: Sky)
#𝙏𝙧𝙪𝙨𝙩𝙏𝙝𝙚𝙋𝙧𝙤𝙘𝙚𝙨𝙨𝙀𝙏𝙃
#𝙐𝙣𝙞𝙩𝙚𝙙𝙛𝙤𝙧𝙩𝙝𝙚𝙁𝙖𝙣𝙨
#𝙎𝙝𝙚𝙞𝙠𝙝𝙅𝙖𝙨𝙨𝙞𝙢𝙄𝙣𝘼𝙩𝙈𝙖𝙣𝙐𝙩𝙙
#𝙂𝙡𝙖𝙯𝙚𝙧𝙊𝙐𝙏
#𝙂𝙂𝙈𝙐

man utd |
IMG_20230823_122727_749.jpg
 
Manchester United lost 3-0 to Burnley in a behind closed doors match today at Carrington. 🔴

Vijana wa Ten Hag wamekula kipigo tena kutoka kijana wa Pep Guardiola, Vincent Kompany.

Yani tunafungwa hadi na promoted club: mimi nawaita Championship club, 3-0!!! 😂
 
Back
Top Bottom