Bobbyray
JF-Expert Member
- Dec 3, 2015
- 1,378
- 1,781
Kitu msichojua ni kwamba wanawake wanasujudiwa sana ulaya ukionesha kitendo cha unyanyasaji au ubaki basi ujue umeenda na maji kule wana sheria kali sanaHili suala la Greenwood bodi ya United itajutia sana, ni bora wangelinyamazia tu wakamtoa kwa mkopo kimyakimya.
Hili suala linaenda kuwaamsha mashabiki wa United kudai timu yao toka kwenye mikono ya kinyonyaji ya familia ya Glazers.
Huyu Greenwood kiufupi kashapotea kwenye ramani ya soka maana ameshaharibu cv yake kupata timu ulaya ni ngumu labda aende uarabuni hakuna mashabiki wa Man utd kule ulaya atakayepiga kelele zaidi ya sisi huku Africa

