Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Hili suala la Greenwood bodi ya United itajutia sana, ni bora wangelinyamazia tu wakamtoa kwa mkopo kimyakimya.
Hili suala linaenda kuwaamsha mashabiki wa United kudai timu yao toka kwenye mikono ya kinyonyaji ya familia ya Glazers.
Kitu msichojua ni kwamba wanawake wanasujudiwa sana ulaya ukionesha kitendo cha unyanyasaji au ubaki basi ujue umeenda na maji kule wana sheria kali sana

Huyu Greenwood kiufupi kashapotea kwenye ramani ya soka maana ameshaharibu cv yake kupata timu ulaya ni ngumu labda aende uarabuni hakuna mashabiki wa Man utd kule ulaya atakayepiga kelele zaidi ya sisi huku Africa
 
Casemiro

30+ age

€70m

Kwasasa kukimbia imekuwa mzigo kwake

Mpaka Sasa 7hag Ten egg sajili zake bora ni Martinez na Onana, kuzingatia umri , uwezo ,

Ametumia €400mView attachment 2724936
Kwa hio leo Onana imekua ni usajili bora?
Baada ya kusajiliwa si ulikua unamponda na kuwadanganya watu humu kua Onana kwa Epl ni shati bora hata ya Dagaa (De gea)
Masingeli kua basi na msimamo ndugu yangu, mbona una yumbayumba kama vile uko kwenye mtumbwi?
 
Kitu msichokijua ilianza women nyumbu United kabla ya man nyumbu United
Hii timu misingi yake ni yakike

Pisi Kali zote huwaambii kitu na hii timu yao

Wenye timu walio wengi ndio wameamua na maboss wamewqsikiliza

Dadas Fc
 
Kitu msichokijua ilianza women nyumbu United kabla ya man nyumbu United
Hii timu misingi yake ni yakike

Pisi Kali zote huwaambii kitu na hii timu yao

Wenye timu walio wengi ndio wameamua na maboss wamewqsikiliza

Dadas Fc
 
Casemiro

30+ age

€70m

Kwasasa kukimbia imekuwa mzigo kwake

Mpaka Sasa 7hag Ten egg sajili zake bora ni Martinez na Onana, kuzingatia umri , uwezo ,

Ametumia €400mView attachment 2724936
Huyo Casemiro haikuwa sajili yake ilikuwa ni ya kutuliza hasira za mashabiki.

Ndio maana mwanzo hakumuamini alikuwa hamuanzishi

Naanza kukiri jamaa kashuka
 
Nadhani licha ya uzembe wake Richard Arnold ila hili suala la Greenwood limemuumiza that's why anataka kujiuzulu.
Last week habari zilisema amewaambia watu wa klabuni wajiandae kumpokea tena kijana pia katika barua yake jana kathibitisha kijana hakuwa na tatizo.

Huenda ni orders toka juu ambako wapo kibiashara zimebadili upepo.

I think wale wazee nao watakutana na mabango na protests za Glazers Out game ya jumamosi Old Trafford.

Mashabiki wamekuwa dissapointed na hili suala kuliko hata kipigo cha weekend
 
Nadhani licha ya uzembe wake Richard Arnold ila hili suala la Greenwood limemuumiza that's why anataka kujiuzulu.
Last week habari zilisema amewaambia watu wa klabuni wajiandae kumpokea tena kijana pia katika barua yake jana kathibitisha kijana hakuwa na tatizo.

Huenda ni orders toka juu ambako wapo kibiashara zimebadili upepo.

I think wale wazee nao watakutana na mabango na protests za Glazers Out game ya jumamosi Old Trafford.

Mashabiki wamekuwa dissapointed na hili suala kuliko hata kipigo cha weekend
Kwenye Instagram official A/c ya Manchester United, mpaka muda huu wameogopa kupost ishu ya Greenwood, ila kila wanacho post watu wamechafukwa comments zote ni mwendo wa kutema nyongo tu kuhusu Greenwood.



#Glazers out
#Arnold out
#Mourtogh out
 
Casemiro

30+ age

€70m

Kwasasa kukimbia imekuwa mzigo kwake

Mpaka Sasa 7hag Ten egg sajili zake bora ni Martinez na Onana, kuzingatia umri , uwezo ,

Ametumia €400mView attachment 2724936
Sijui kwanini mchezaji wa Manchester United akizingua kidogo agenda inakuwa kubwa sana kwake.

Takwimu za rice vs casemiro msimu huu.

PL: Casemiro v Rice Defending Comparison.

Casemiro v Rice

Blocks 3-2
Tackles: 5-4
Clearances: 7-1
Clean Sheet: 1-1
Interception: 2-2
Headed Clearances: 3-1
Aerial Battle Won: 4-2
Passes Forward: 37-32
Passes Backwards: 14-15

Agenda.
 
Sajili za Erik seven egg ni connection

Mount - alimuhitaji acheze Eredivisie
Malacia - Eredivisie
Antony - Eredivisie
Onana - Eredivisie
Eriksen - Eredivisie
Lisandro - Eredivisie
Weghost -Eredivisie
Ten Hag - Eredivisie
Van der Gragg - Eredivisie
Mcclaren - Eredivisie

Potential
Amrabat - Eredivisie
Gravenberch - Eredivisie

All in 14 months
 
Sajili za Erik seven egg ni connection

Mount - alimuhitaji acheze Eredivisie
Malacia - Eredivisie
Antony - Eredivisie
Onana - Eredivisie
Eriksen - Eredivisie
Lisandro - Eredivisie
Weghost -Eredivisie
Ten Hag - Eredivisie
Van der Gragg - Eredivisie
Mcclaren - Eredivisie

Potential
Amrabat - Eredivisie
Gravenberch - Eredivisie

All in 14 months
Acha afanye kazi na anaowaamini ili tumhukumu vizuri,sio crime hiyo tunataka positive outcomes tu
 
Kwa hio leo Onana imekua ni usajili bora?
Baada ya kusajiliwa si ulikua unamponda na kuwadanganya watu humu kua Onana kwa Epl ni shati bora hata ya Dagaa (De gea)
Masingeli kua basi na msimamo ndugu yangu, mbona una yumbayumba kama vile uko kwenye mtumbwi?
 
Kwa hio leo Onana imekua ni usajili bora?
Baada ya kusajiliwa si ulikua unamponda na kuwadanganya watu humu kua Onana kwa Epl ni shati bora hata ya Dagaa (De gea)
Masingeli kua basi na msimamo ndugu yangu, mbona una yumbayumba kama vile uko kwenye mtumbwi?
Hapana mkuu tatizo huwa hunielewi , kuhusu Onana kwa Sajili za 7 hag a Dutch David Moyes, ni usajili wake Bora ukilinganisha na Sajili Kama za kina Malacia, casemiro ,n.k

Why? Ni usajili ulioakisi kile anachosema anataka kucheza ,ni usajili uliozingatia umri ,

Same to Martinez

Lakin angalia Sajili Kama za Casemiro ni usajili ambao hawez kuwatumikia zaidi ya miaka miwili , Eriksen ,

So kwa €400m tunasema amesajili wachezaji wawili tu ,Lisandro na Onana

Hojlund ni anaonekana hatakiwi kucheza mechi 2 kwa wiki, na bado simuoni Kama ni tishio ni mchezaji Kama martial tu


That is my point
 
Huyo Casemiro haikuwa sajili yake ilikuwa ni ya kutuliza hasira za mashabiki.

Ndio maana mwanzo hakumuamini alikuwa hamuanzishi

Naanza kukiri jamaa kashuka
Nilisemaga Sana hili nilishambuliwa Sana

Mimi napenda kuongelea uhalisia wa football kuliko banters

Casemiro atawasaidia msimu mmoja au miwili baada ya hapo mtarudi sokon ambapo Kama kawaida mtapigwa na mnaweza kuokota DM wakawaida kwa Bei kubwa

Juzi Carragher kaongea hiki kitu Mimi nilikisema humu last season ,

Mount alivyokuwa anacheza Chelsea sikuwahi kuamini atakuja kufanya vzr manjesta , mount mpira aliucheza katika peak kipind Cha Lampard mwanzoni na Tuchel , hakuwahi kurudi kwenye kiwango chake Tena ,kifupi kafata njia za waingereza like Dele Ali, Sancho, n.k
 
Sijui kwanini mchezaji wa Manchester United akizingua kidogo agenda inakuwa kubwa sana kwake.

Takwimu za rice vs casemiro msimu huu.

PL: Casemiro v Rice Defending Comparison.

Casemiro v Rice

Blocks 3-2
Tackles: 5-4
Clearances: 7-1
Clean Sheet: 1-1
Interception: 2-2
Headed Clearances: 3-1
Aerial Battle Won: 4-2
Passes Forward: 37-32
Passes Backwards: 14-15

Agenda.
Casemiro kachoka mkuu, toka pre season watu wamekuwa wakiongea Hilo

Angalau Eriksen alikuwa anamsaidia Sana ,sio mount ,kocha wenu asipofanya maamuz magumu ya kumpumzisha mount atakosa point hata kwa Forest

Mna Matominay ila sababu kocha wenu ameaminishwa MacFred ilikuwa ovyo Basi anamuweka nje

Hata Fred sio ovyo hivo ni vile kocha wenu binafsi naamini Hana uwezo wakumtoa mchezaji point A to B,

Yeye amekaririshwa Maguire ,Fred,Tominay, Sancho, ni wabaya ,lakin aliowasajili yeye Ni hawatofautian au wamewazidi viwango na aliowakuta ,alimuondoa Telles,akamsajili Malacia Tena awe first eleven kwa madai Shaw amechoka ,mpaka leo Malacia haijulikani Kama ni mchezaji wa manjesta
 
Chama limekuwa la kiseng.e sana hili..

Hakuna hata mvuto tena kusubiria our next matchday as it was..
Vipi akili imeanza kukaa sawa? au hutaki kuwa pro Mourinho kuongelea madhaifu ya timu

Tutaelewana tu kidogo kidogo
 
Benzema alivyokua na scandal yake Hadi timu ya taifa ilimyema, lakini Madrid walikua nae bega kwa bega. Hadi juzi Kati akiichezea timu yake ya taifa baada ya miaka mingi

Partey alivyokua likizo, Kuna demu alijilengesha alafu akataka achukue advantage ya kubakwa
Social medias zilichafuka
Bord ya arsenal ikamuambia wewe partey ndio uwe wa kwanza kuripot, fanya mazoezi, piga kazi

Hizo ni Mifano ya timu ambazo ina misingi ya kiume na zinaendeshwa kiume,
Greenwood angekua arsenal, tangu pre season angekua anapiga kazi na timu

nyumbuz wanawake wanasauti kuliko wanaume, club imekaa kikike sana hii
 
Who's laughing now???????
IMG_20230822_201301.jpg
 
Back
Top Bottom