Mh!inatisha!yaani siamini haya ya Man u na Milan!wakubwa wamekamatika mbaya!poleni watani zangu wa ulaya inshallah Moyes ataondoka ila tuombe dua "awahi" kuondoka.Mie nipo nanyi nawafariji katika wakti huu wa mahangaiko,shida,na huzuni.Nina washkaji wengi Man U kiasi kwamba wakifungwa na mie siku yangu inaharibika maana watu wanalala mapema.Niwafariji vipi watani zangu?ngoja niwaimbie blues moja naisikia sana Radio one Chombeza time tangu miaka ya 90 hadi leo.."keep smilling,keep shining,knowing you can always count on me,for sure,that's what friends are for,in good times,and bad times i'll be on your side forever more,that's what friends are for..ti li ti li li.."tupo pamoja msihuzike wakuu,poleni sana!