Hali si shwari
Kwanini tusinunue wakati ni mchezaji wa United...
Au kwa vile mauzo ya jezi ya Nemo yanaelekea kupungua?!?
danny anapiga jalamba....nafikiri moyes kasikia juu ya adnan
sababu itakuwa ni kinyume na miezi michache iliyopita....mlikuwa mnalalama kwa nini Moyes kamnunua.
nipeni update niko mbali na screen
rooney, dah! Good pressure.
nipeni update niko mbali na screen
kipindi cha pili, ningependa kuona haya:
1. Rvp nje, kagawa ndani.
2. Adnan nje, welbeck/young ndani.
Hapo, kagawa atakaa kati, rooney mbele.
Lazima watakaa....