Mndengereko
JF-Expert Member
- Mar 24, 2011
- 7,306
- 3,413
Dah.. afadhali sasa nimejua timu sio mbaya,mbaya ni kocha. Fellaini alikuwa kwenye kiwango cha juu sana leo.alikuwa anatacle mipira mingi pale katikati,anapanda anasababisha mashambulizi eti anamtoa anamuingiza cleverly what a shame...moyes..au ndio huyo phil nevile anakudanganya hizo sub ili uchemshe aachiwe yeye timu!!!. Na jumatano utashangaa anapanga kikosi cha ajabu ajabu wakati anajua kabisa man u kombe tulilobakisha na tuna uhakika wa kulichukua ni uefa pekee!!
hatuna uhakika mkuu huko ni kujifariji tu,tumeshindwa maini tutaweza mfupa???
By the way jitihada haizidi uwezo ikiwa tutabahatisha kupita hapa basi next stage nakuapia tunatoka,huu ndo ukweli hata kama ni mgumu kumeza.