Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Mkuu unamsahau valencia ni muhimu sana kupeleka presha mbele na anakaba kwa nguvu na ukizingatia rafael tayari ana woga wa kadi ya pili presha itapungua sana huku kulia.

Kweli. Nani atoke sasa ili AV aingie?
 
Jones alidhani anacheza NFL or Rugby.... Mmmh Man utd mnaniangusha sasa, nilikuwa nategemea draw kwa mwendo huu sidhani kama itatokea..
 
Johnson, handball or ball to hand?!

Ball to hand... huwa sipendi hii interpretation, sheria inaweza kuwa ya zamani inasemaga mchezaji(defending) akiunawa ndani ya 18 ni penati... ingebaki hivi hivi
 
Duh! Shuzilaulezi, kumwona Vida tu, anatetemeka na kuanguka...hatare...
 
Back
Top Bottom