Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Kocha ana kichwa ka ubuyu
20230402_224314.jpg
 
Ndg zng mpr unaocheza huu wa pata potea.

Ipo siku mtakutana na dhahama mbya.

Kwnz leo kocha kaanza na mtu 3 mbele pale zote tia maji.

Casemiro amekua kana kwamba ameshasahau kucheza mido.

Mount, ni mapema kusema lkn naamin Chelsea wanachekea sana chooni kufanya hivyo biashara zidi yenu,tena mka mbless na no. 7 mgongon mkosi juu ya majukumu mazito ya jezi.

Hata Rashford leo amekuwa takataka?
 
Tatizo kocha nae ananunua takataka kama akina Anthony. Mpaka kuja kununua wachezaji hasa na kuondoa takataka zilizokuwepo kama akina Rashford itachukua muda
Kbs yan hawa kikosi chao hiki wakileta mzaha hata top 4 kuzama itakua heka heka.

Wanakikosi ordinary sana na hahitaji miracles kuona kua wata struggle sana msimu huu.
 
Umetolea mfano WA ajabu sana....Argentina ile ilikuwa na watu wa kazi....hii Man U unaona mtu wa kazi nani...ni kama walikusanyana nusu saa kabla ya mechi wakagawana jezi wakaingia uwanjani kucheza.....wapowapo tu...inasikitisha kwakwli
Dah
 
December kwa combination hii ya casemiro na mount ,mkuu au unasubiria miujiza ,hiyo combination haiwez ku work ikikutana na viungo wajuaji
Inaonesga mpira hauufahamu vizuri, lipi kosa la Moynt na Casemiro kwenye hii mechi, kosa lipo iwa safu ya ushambuliaji hasa Rashford yaani huyu jamaa ni tia maji tia maji tu na ndio maana kila mchezaji akicheza naye araonekana mbaya the same na Maguire.
 
Inaonesga mpira hauufahamu vizuri, lipi kosa la Moynt na Casemiro kwenye mechi hii, kosa lipo iwa safu ya ushambuliaji hasa Rashford yaani huyu jamaa ni tia maji tia maji tu na ndio maana kila mchezaji akicheza naye araonekana mbaya the same na Maguire.
Huu ndo ukweli mount wanamlaumu bure
 
Back
Top Bottom