Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Casemiro kachoka sana nadhani muda wa kula pensheni umefika.

Rashford punda sana anacheza kifaza sana ,washambuliaji wetu hovyo sijui tutafikaje September bila namba 9 katili,hapa wakachukue cheap options kama Mehdi Taremi tu.

Kupigwa msako kawaida ila huwa tunafanyiwa hivi tukiwa tunaongoza kwa tofauti ya goli 1 inatakiwa washambuliaji wabadilike tukiwa tunaongoza hata 3 hatuwezi kukutana na hizi shuruba za stoppage time kwa sababu tunakuwa hatuna presha.

Sajili 3 hazitoshi hapa naona usajili ni wa kipa tu hizo nyingine pata potea
Timu letu linacheza hovyo kuanzia kwenye midfield huko.mbele ndiyo hivyo zaidi
 
Jana nimeingalia man utd yangu mpaka naona huruma, wachezaji very weak, hamna kujituma, no chemistry cjui uwanja wa mazoezi wanafundishwa nini aisee, fitnes zero, Wolves ilikua timu bora ktk nyanja zote uwanjani,

Yaani endapo tungeanza na man city ile jana zilikua 8 ashukuriwe mwenyenzi Mungu tu

Casamiro ndio nin unatufanyia!

Timu inapoteza mipira ovyo, kutengeneza shambulizi la kieleweka ni shida, yaani tunacheza kama ndondo cup la kina shafidauda

Yule Mount ETH kaona nini kwake???? Maana nikae kimya tu, mim sio muumini wa watoto wa kingereza kabsa, wanakuzwa na media zao tu

Msimu wa stress kama kawaida yetu

Msimu huu Simba Sc ndio imebeba furaha yangu, mwenyenzi Mungu ibariki Simba lunyasi
Hakuna namba sita atacheza na Attacking midfielder wawili akaonekana.. angalia baada ya kuingia ericksen kidogo alitulia
 
Jana nimeingalia man utd yangu mpaka naona huruma, wachezaji very weak, hamna kujituma, no chemistry cjui uwanja wa mazoezi wanafundishwa nini aisee, fitnes zero, Wolves ilikua timu bora ktk nyanja zote uwanjani,

Yaani endapo tungeanza na man city ile jana zilikua 8 ashukuriwe mwenyenzi Mungu tu

Casamiro ndio nin unatufanyia!

Timu inapoteza mipira ovyo, kutengeneza shambulizi la kieleweka ni shida, yaani tunacheza kama ndondo cup la kina shafidauda

Yule Mount ETH kaona nini kwake???? Maana nikae kimya tu, mim sio muumini wa watoto wa kingereza kabsa, wanakuzwa na media zao tu

Msimu wa stress kama kawaida yetu

Msimu huu Simba Sc ndio imebeba furaha yangu, mwenyenzi Mungu ibariki Simba lunyasi
Hii timu itafiku,isha makocha wengi sana
 
Wazee tuongezeeni hata pesa kidogo kwa MOUNT, acheni ubahili.
Njooni mbebe takataka yenu kenge nyie.
Laana ya kutuzulumu pesa yetu kwa hili li Freemason lazima iwatafune wajaa laana nyie.
Kwa huo utapeli wenu mliotufanyia mpaka kufika october hizo wodi za Mloganzila hapo darajani lazima zijae kukulela nyie.
 
Ila wazee last season tulianza vibaya zaidi ya hivi na jinsi mechi zilivyoongezeka tuli-improve zaidi.

Kitu kimoja ninachomkubali EtH kwenye nyeusi hasemi nyeupe. Jana tumecheza vibaya sana ila points 3 ni muhimu na tumezipata.

Usajili wa Amrabat ufanyike mapema sana.
 
Harry Maguire is demanding a £15million pay-off from Manchester United to join West Ham.


#TheSun
#𝙏𝙧𝙪𝙨𝙩𝙏𝙝𝙚𝙋𝙧𝙤𝙘𝙚𝙨𝙨𝙀𝙏𝙃
#𝙐𝙣𝙞𝙩𝙚𝙙𝙛𝙤𝙧𝙩𝙝𝙚𝙁𝙖𝙣𝙨
#𝙎𝙝𝙚𝙞𝙠𝙝𝙅𝙖𝙨𝙨𝙞𝙢𝙄𝙣𝘼𝙩𝙈𝙖𝙣𝙐𝙩𝙙
#𝙂𝙡𝙖𝙯𝙚𝙧𝙊𝙐𝙏
#𝙂𝙂𝙈𝙐

man utd |
IMG_20230815_104534_616.jpg
 
Varane on Onana: "It’s a good start for him. We need time to build that connection on the pitch which is normal. He’s a very good player so he’ll help the team this season."


#𝙏𝙧𝙪𝙨𝙩𝙏𝙝𝙚𝙋𝙧𝙤𝙘𝙚𝙨𝙨𝙀𝙏𝙃
#𝙐𝙣𝙞𝙩𝙚𝙙𝙛𝙤𝙧𝙩𝙝𝙚𝙁𝙖𝙣𝙨
#𝙎𝙝𝙚𝙞𝙠𝙝𝙅𝙖𝙨𝙨𝙞𝙢𝙄𝙣𝘼𝙩𝙈𝙖𝙣𝙐𝙩𝙙
#𝙂𝙡𝙖𝙯𝙚𝙧𝙊𝙐𝙏
#𝙂𝙂𝙈𝙐

man utd |
IMG_20230815_104451_558.jpg
 
Ten Hag anawafaa sana...ila kusajili hajui
Mi nafurahi nikiwaona Arsenyau humu kwenye jukwaa la wanaume, jifunzeni humu namna watu walivyo huru (free-minded) kujadili timu yao.
Angalia humu watu wanavyo kosoa kuanzia kocha, wachezaji mpaka wamiliki na hakuna yoyote anae waattack.
Kule kwenu ukimkosoa Arteta na Masingeli inakua ni kama vile umetangaza vita ya 3 ya dunia, utahesabika ni mamluki na hakuna rangi utakayo acha kuiona
 
Raphael Varane on why Martinez came off at half time: "A little problem on his ankle, tendon. We'll see but I don't think it is a bid deal."


#𝙏𝙧𝙪𝙨𝙩𝙏𝙝𝙚𝙋𝙧𝙤𝙘𝙚𝙨𝙨𝙀𝙏𝙃
#𝙐𝙣𝙞𝙩𝙚𝙙𝙛𝙤𝙧𝙩𝙝𝙚𝙁𝙖𝙣𝙨
#𝙎𝙝𝙚𝙞𝙠𝙝𝙅𝙖𝙨𝙨𝙞𝙢𝙄𝙣𝘼𝙩𝙈𝙖𝙣𝙐𝙩𝙙
#𝙂𝙡𝙖𝙯𝙚𝙧𝙊𝙐𝙏
#𝙂𝙂𝙈𝙐

man utd |
IMG_20230815_104434_028.jpg
 
United debut
Man of the Match

#𝙏𝙧𝙪𝙨𝙩𝙏𝙝𝙚𝙋𝙧𝙤𝙘𝙚𝙨𝙨𝙀𝙏𝙃
#𝙐𝙣𝙞𝙩𝙚𝙙𝙛𝙤𝙧𝙩𝙝𝙚𝙁𝙖𝙣𝙨
#𝙎𝙝𝙚𝙞𝙠𝙝𝙅𝙖𝙨𝙨𝙞𝙢𝙄𝙣𝘼𝙩𝙈𝙖𝙣𝙐𝙩𝙙
#𝙂𝙡𝙖𝙯𝙚𝙧𝙊𝙐𝙏
#𝙂𝙂𝙈𝙐

man utd |
IMG_20230815_104423_857.jpg
 
Tunakuwaga na mechi ngumu sana tunapokutana na wolves lakini kwa jana tulichemka vibaya mno.

Uzuri dirisha linafungwa mwezi ujao nafasi tunayo.

hafu hawa wapumbavu wamludishe Mason haraka waache ma ujinga yao shenzi.

Rashford kumchezesha striker ni kumuonea tu,Sancho Jana nimeona ana kitu msimu huu tumuangalie kwa jicho la tofauti.

Uzuri mashabiki wa man u timu yetu ikizingua uwaga hatufichi tunachana wazi.
1692085800083.jpg
 
Andre Onana becomes the 10th Manchester United goalkeeper to keep a clean sheet on his Premier League debut.


#𝙏𝙧𝙪𝙨𝙩𝙏𝙝𝙚𝙋𝙧𝙤𝙘𝙚𝙨𝙨𝙀𝙏𝙃
#𝙐𝙣𝙞𝙩𝙚𝙙𝙛𝙤𝙧𝙩𝙝𝙚𝙁𝙖𝙣𝙨
#𝙎𝙝𝙚𝙞𝙠𝙝𝙅𝙖𝙨𝙨𝙞𝙢𝙄𝙣𝘼𝙩𝙈𝙖𝙣𝙐𝙩𝙙
#𝙂𝙡𝙖𝙯𝙚𝙧𝙊𝙐𝙏
#𝙂𝙂𝙈𝙐

man utd |
IMG_20230815_104413_413.jpg
 
Player ratings

#𝙏𝙧𝙪𝙨𝙩𝙏𝙝𝙚𝙋𝙧𝙤𝙘𝙚𝙨𝙨𝙀𝙏𝙃
#𝙐𝙣𝙞𝙩𝙚𝙙𝙛𝙤𝙧𝙩𝙝𝙚𝙁𝙖𝙣𝙨
#𝙎𝙝𝙚𝙞𝙠𝙝𝙅𝙖𝙨𝙨𝙞𝙢𝙄𝙣𝘼𝙩𝙈𝙖𝙣𝙐𝙩𝙙
#𝙂𝙡𝙖𝙯𝙚𝙧𝙊𝙐𝙏
#𝙂𝙂𝙈𝙐

man utd |
View attachment 2717899
 
OFFICIAL: Bayer Leverkusen have signed Matej Kovar from #mufc.

All the best for the future

#𝙏𝙧𝙪𝙨𝙩𝙏𝙝𝙚𝙋𝙧𝙤𝙘𝙚𝙨𝙨𝙀𝙏𝙃
#𝙐𝙣𝙞𝙩𝙚𝙙𝙛𝙤𝙧𝙩𝙝𝙚𝙁𝙖𝙣𝙨
#𝙎𝙝𝙚𝙞𝙠𝙝𝙅𝙖𝙨𝙨𝙞𝙢𝙄𝙣𝘼𝙩𝙈𝙖𝙣𝙐𝙩𝙙
#𝙂𝙡𝙖𝙯𝙚𝙧𝙊𝙐𝙏
#𝙂𝙂𝙈𝙐

man utd |
IMG_20230815_104319_681.jpg
 
#mufc are now 𝗨𝗡𝗗𝗘𝗙𝗘𝗔𝗧𝗘𝗗 in 30 games at Old Trafford. They haven’t lost a game at home since September 8, 2022.

#𝙏𝙧𝙪𝙨𝙩𝙏𝙝𝙚𝙋𝙧𝙤𝙘𝙚𝙨𝙨𝙀𝙏𝙃
#𝙐𝙣𝙞𝙩𝙚𝙙𝙛𝙤𝙧𝙩𝙝𝙚𝙁𝙖𝙣𝙨
#𝙎𝙝𝙚𝙞𝙠𝙝𝙅𝙖𝙨𝙨𝙞𝙢𝙄𝙣𝘼𝙩𝙈𝙖𝙣𝙐𝙩𝙙
#𝙂𝙡𝙖𝙯𝙚𝙧𝙊𝙐𝙏
#𝙂𝙂𝙈𝙐

man utd |
IMG_20230815_104311_505.jpg
 
Back
Top Bottom