Jana nimeingalia man utd yangu mpaka naona huruma, wachezaji very weak, hamna kujituma, no chemistry cjui uwanja wa mazoezi wanafundishwa nini aisee, fitnes zero, Wolves ilikua timu bora ktk nyanja zote uwanjani,
Yaani endapo tungeanza na man city ile jana zilikua 8 ashukuriwe mwenyenzi Mungu tu
Casamiro ndio nin unatufanyia!
Timu inapoteza mipira ovyo, kutengeneza shambulizi la kieleweka ni shida, yaani tunacheza kama ndondo cup la kina shafidauda
Yule Mount ETH kaona nini kwake???? Maana nikae kimya tu, mim sio muumini wa watoto wa kingereza kabsa, wanakuzwa na media zao tu
Msimu wa stress kama kawaida yetu
Msimu huu Simba Sc ndio imebeba furaha yangu, mwenyenzi Mungu ibariki Simba lunyasi