Kuna vituko anafanya Antony sio mchezoPellistri namkubali kwasababu ya work-rate yake halafu ana akili ya mpira kushinda Antony.
Antony ameshapewa muda wa kutosha hakuna cha maana anasaidia. Hatuwezi kujiweka kwenye kundi la title contenders wakati kufunga goli 1 tu ni kazi.
Onana bonge la kipa mzee. Team ndii itamuangusha, match ya leo ni kipimo tosha.Bado hajakutana na kashkash ,subiri kuanzia GW4 hivi
Yani leo tunafungwa kwa uzembe wa wachezaji na kocha wao na benchi la ufundi lote.Kuna vituko anafanya Antony sio mchezo
Shaw analetwa tu 😀 anapinduliwa tuShaw upande wake saizi ni njia Sana.
Tumekosa chances nyingi sana 1st half, kiufupi team haijakamilika kabisa. Na bado unasikia kusajili kumesimama mpaka tuuze, aloo 😀Yani leo tunafungwa kwa uzembe wa wachezaji na kocha wao na benchi la ufundi lote.