Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Yani leo tunafungwa kwa uzembe wa wachezaji na kocha wao na benchi la ufundi lote.
Tumekosa chances nyingi sana 1st half, kiufupi team haijakamilika kabisa. Na bado unasikia kusajili kumesimama mpaka tuuze, aloo 😀
 
Ndg zng mpr unaocheza huu wa pata potea.

Ipo siku mtakutana na dhahama mbya.

Kwnz leo kocha kaanza na mtu 3 mbele pale zote tia maji.

Casemiro amekua kana kwamba ameshasahau kucheza mido.

Mount, ni mapema kusema lkn naamin Chelsea wanachekea sana chooni kufanya iyo biashara zidi yenu,tena mka mbless na no. 7 mgongon mkosi juu ya majukumu mazito ya jezi.
 
Back
Top Bottom