tuchambulie sasa hivi vichapo tunachezea sababu gani ? martial si alingia sub ? scot alikuwa bench na kakaake maguire na striker si rashford ? kujitia ujuaji tu huna loloteNarudi palepale kuwa hamna akili
Martial yupo sokoni pia hayupo kwenye plan za kocha ndio maana anafukuziwa Hojlund,pia Scott naye anauzwa na West Ham wanamtaka japo wanashindwa kufikia makubaliano ya dau.
So kocha kutokuwa na wachezaji bora ndio puppet wa wamiliki dah sijui umeishia la ngapi aisee mbona una akili za kitoto hivi kama jamaa yako.
Kocha kuzingua hayo ni matatizo yake msianze kumpa connection na Glazers ambao hata vurugu za mashabiki zimeshindwa kuwaondoa yeye ni nani awe against nao wakati ndio waliomuajiri pamoja na wachezaji wote.
Mashabikiwa Bongo kila kitu kujifanya wachambuzi wakati hata danadana kupiga ziro,trash![]()
sio chuki wachambuzi wete humu ndani wanasema hatuna akiliTulio liona toka mwanzo tulionekana tuna chuki
Sasa kama hamna akili msiambiwe ukweli?wengine tukilaumu tunaambiwa hatuna akili![]()



Eric ni jasusi inabidi akamatwe haraka atiwe mbaroni
Mkuu sitanii yani ujue kila nikitaka kulala na nikiamka kitu kingine ambacho ninaongeza kwenye maombi yangu ni kumuomba mwenyezi MUNGU atunusuru na hii Dhahma iliyopo mbele yetu.13 days to go kiungo kimechoka mechi ya kwanza tu,RB kunatia mashaka, frontline Hojlund kaanza na majeruhi lakini Man Utd yangu haijitikisi wala nini.
Ina maana tumemaliza kusajili dirisha hili au mimi ndio napitwa na taarifa za timu yetu?
Huu umekuwa ugonjwa wa United toka enzi baada ya Fergie. Inapomalizia msimu sipo inapoanzia,huwa inarudi nyuma kiubora. Msimu huu nahisi utakuwa mbaya zaidi kimatokeo kama hata Spurs tumemshindwa leo.Mkuu sitanii yani ujue kila nikitaka kulala na nikiamka kitu kingine ambacho ninaongeza kwenye maombi yangu ni kumuomba mwenyezi MUNGU atunusuru na hii Dhahma iliyopo mbele yetu.
Timuatimua nayo si nzuri acha tumpe na huu msimu ajirathmini mara ya mwisho.Kweli wahuni sio watu.
Erick Shigongo tunakukumbusha tu hicho kiti unachokikalia walikishindwa kina Ralf Rangnick, Michael Carrick, Ole Gunnar Solskjaer, Jose Mourinho, Louis van Gaal, Ryan Giggs na David Moyes. View attachment 2722091View attachment 2722092



Glazer na bodi yote wanatakiwa waondoke,Timuatimua nayo si nzuri acha tumpe na huu msimu ajirathmini mara ya mwisho.
Na United sio kocha tu anayepaswa kuangaliwa kwa ukaribu inatakiwa kufumuliwa upya kama alivyosemaga CR7 na hii inaanza na Glazers kutoka.
Then waletwe watu wa mpira wasaidiane na kocha kutafuta watu sahihi then tufanye kama Chelsea tunasajili hata wachezaji 12 ambao wanakuwa na uhakika wa kuanza first 11 kisha zile deadwoods zinazokataa kusepa zitolewe kilazima.
Chini ya Glazers hata baada ya Ten Hag wanaweza kuja makocha wengine nao tukawaona hawafai.




