Yule kwa uongoz wa manjesta hawawez mleta , yule namuogopa kuliko hata GuardiolaDe Zerbi ni kocha wetu ajaye ole wako uje kumponda
Kwa madudu ya viongozi wetu kocha yoyote anafeli labda aje Glazers wakiwa washaachia timu
Umetolea mfano WA ajabu sana....Argentina ile ilikuwa na watu wa kazi....hii Man U unaona mtu wa kazi nani...ni kama walikusanyana nusu saa kabla ya mechi wakagawana jezi wakaingia uwanjani kucheza.....wapowapo tu...inasikitisha kwakwliHata Argentina kwenye kombe la dunia ilianza vibaya kwa kufungwa na Saudia lakini baadaye wakatwaa WC alisikika shabiki wa mani aking'aka.
Mna watu wa kuwazuia saka, martinel, ode, zinchenko, Eddie, rice wakiamua kufanya Jambo lao?Hizi hasira tutazimalizia kwa Arsenal we ngoja tu
December kwa combination hii ya casemiro na mount ,mkuu au unasubiria miujiza ,hiyo combination haiwez ku work ikikutana na viungo wajuajiUnaongea Kwa mahaba tuuu , subiri ifike December
Hili mbona hamis77 aliwaambia au uwezo wa hamisi mkubwa Sana aliweza kuona future ndio maana mlikua hamumuelewi?Hii timu sasa ni zaidi ya hovyo…ten Hag tutaanza kujadili uwezo wako
Sasa hivi kuna benchmark imewekwa juu ya quality ya squad na kocha kama huifikii utadhalilikaTatizo ni nini wakuu? Ni kocha au wachezaji? Msimu wa pili huu sioni Tenhag anachofanya.
Under Erik ten Hag, Man Utd have lost a PL away game against every other top 9 team from 22/23:Hizi hasira tutazimalizia kwa Arsenal we ngoja tu

Hii ni ligi mkuu tena ya uingerezaHata Argentina kwenye kombe la dunia ilianza vibaya kwa kufungwa na Saudia lakini baadaye wakatwaa WC.
Big gameManchester city baadaye nao watanyukwa 3-0 na New Castle
Home Boy mount ww unasema nniNi dhurma ya Hali ya juu mount huyu kucheza na tom kukaa benchi
Imebaki dakika kumi tu mbaguzi kipara afundishwe adabu na Newcastle. Manchester city watanyukwa 3-0Hili mbona hamis77 aliwaambia au uwezo wa hamisi mkubwa Sana aliweza kuona future ndio maana mlikua hamumuelewi?
Mtaweza je pesa ipo ??Hii timu hata tumlete Guardiola bado tutamuona takataka
Hapa ni kufumua kila kitu kianze upya
Glazerzz Out
Ha hahaChelsea ni majambazi na mahaini
Afande murilo yuko wapi akamshitaki tajiri miruziChelsea ni majambazi na mahaini
Yaliyobaki atatukanwa na mashabiki wa Uingereza tena hawatasita kutoa ya kibaguziLabda mje na matusi mapya .msimu huu mtatukana sana