Aibu mbona ilipatikana msimu uliopita kwa kupigwa 7-0, na kwa aina ya hii timu kuna kupigwa 10 msimu huu.Chuma ni 2
Nyie endeleen na porojo lkn siku mtakuja kujuta nawaambia.
Izi takataka mlizozikumbatia ipo siku zitawaletea aibu ya karne.
Aibu mbona ilipatikana msimu uliopita kwa kupigwa 7-0, na kwa aina ya hii timu kuna kupigwa 10 msimu huu.Chuma ni 2
Nyie endeleen na porojo lkn siku mtakuja kujuta nawaambia.
Izi takataka mlizozikumbatia ipo siku zitawaletea aibu ya karne.
Alijua ita mount to goalsUsajili wa Mount mimi ulinishangaza sana, sijui kocha aliona nini kwake.
Niliwaambia humu majuzi game ya wolves kua kuna siku wasipo kua makini watakula double figures ya magoal.Aibu mbona ilipatikana msimu uliopita kwa kupigwa 7-0, na kwa aina ya hii timu kuna kupigwa 10 msimu huu.




Huyu Kiparangoto ni fala sana, toa Garnacho na Antony.
Shaw upande wake saizi ni njia Sana.
Naona sasa akili zimeanza kuwakaa sawa.Kuna kijana anavaa jezi namba 10, tokea apewe mkataba mpya amerudi kwenye default settings.
Huyu kijana ana chembe chembe za utapeli ila bado makocha hawajamuelewa.
Yaani huyu kocha anauzembe, nimeshangaa Garnacho na Rashford..Hii front 3 haitatupa cha maana. Rashford anapoteza sana mipira na nafasi za kufunga.
Ningekuwa kocha Garnacho, Rashford & Antony hawarudi 2nd half.
Toa Rashford weka Bruno uongo 9, Sancho LW, Pellistri RW & Eriksen #10.
Bruno anapiga mpaka Rabona halafu kuna kiazi kinakosa na ndio striker.
Mkuu wewe waache nikiongea Mimi wanasema nachuki, ukiongea wewe unashambuliwaNaona sasa akili zimeanza kuwakaa sawa.
Tutaelewana tu kidogo kidogo
Rashford hakuna mchezaji paleNaona sasa akili zimeanza kuwakaa sawa.
Tutalewana tu kidogo kidogo
ACHA kumfananisha ngamia na vitu vya ajabu...huyu ni dinosaurSioni tofauti ya casemiro na sawadogo amekua mzito kama Ngamia