Huyo lazima nimtaje , ni usajili ambao ni reference nzuri Sana kuhusu 10hag Nini anakifanya hapo manjesta
Ni sawa na wewe leo ukaoe mwanamke mwenye matatizo ambaye uliwahi kuwa nae kimahusihano miaka ya nyuma
Tutahoji uwezo wako wakuchagua mke
Ndio 10hag alikuwa na Anthony Ajax ,anajua kabisa pale ni mchezaji wa show off tu , lakin kaja manjesta kamsajili kwa €100m
Sajili zake nyingine zimejaa connection ,Hojlund kwa €85m , wakala la Hojlund ndio huyo huyo wa 10hag , Kuna harufu ya overpayment hapo ,wakala kalamba 10%, Hojlund alimfukuza wakala wake wa awali ili aungane na huyu wa 10hag ,aletwe manjesta
Sisi wahafidhina wa football tumekaa pemben tunakula popcorn tunasubiri Moshi uanze kufuka