Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Hawa manyumbu tunapaswa kupractice long range lob shots maana tunajua watakuwa wanacheza na outfield players 11 na bila kipa. Tunamjua Onana ni outfielder aliyekosa namba tu na kusabibisha akae golini hivyo kama kawaida yake atakuwa anatoka golini na kuingia ndani kucheza favorite position yake ya midfield. Sisi kazi yetu ni kumtegea na kuchungulia tu afu tunapiga long range lob shots zetu.
 
Hawa manyumbu tunapaswa kupractice long range lob shots maana tunajua watakuwa wanacheza na outfield players 11 na bila kipa. Tunamjua Onana ni outfielder aliyekosa namba tu na kusabibisha akae golini hivyo kama kawaida yake atakuwa anatoka golini na kuingia ndani kucheza favorite position yake ya midfield. Sisi kazi yetu ni kumtegea na kuchungulia tu afu tunapiga long range lob shots zetu.
🤣🤣🤣😂😂
 
Hawa manyumbu tunapaswa kupractice long range lob shots maana tunajua watakuwa wanacheza na outfield players 11 na bila kipa. Tunamjua Onana ni outfielder aliyekosa namba tu na kusabibisha akae golini hivyo kama kawaida yake atakuwa anatoka golini na kuingia ndani kucheza favorite position yake ya midfield. Sisi kazi yetu ni kumtegea na kuchungulia tu afu tunapiga long range lob shots zetu.
Naona unaota kwa kufikiria Premier league Ni sawa na PES. "' Hivi mashabiki wa arsenal utoto mtaacha lini!
 
Ila tukumbuke hata Sancho ana-struggle kwasababu hatuna RB wa maana hata mmoja kule Dortmund alikuwa anacheza na Hakimi.

Antony msimu uliopita alikuwa mchezaji muhimu sana kwetu, tatizo lake kubwa ni kwenye end product.

Mimi nasuburi kuona jinsi Antony atakavyo-develop Mount akicheza RCM.
Ni kweli mkuu Antony watu wanamdharau sana ila ki ukweli timu yetu kule mbele yote haikuwa vizuri.Antony alijitahidi sana kubalance timu na ndio maana mechi zote alizofanyiwa sub tulipoteza au tulidroo. Sikumbuki mechi yeyote ambayo Antony alifanyiwa sub na tukashinda au kutoa droo na maanisha aliyeingia badala yake alitusaidia kusawazisha magoli au kushinda mechi, nipo tayari kusahihishwa.
 
Akitua Ambrat nina uwakika msimu ujao tutatoa upinzani mkali nmo kwa Man City naamini hawatakuwa na hamu ya kukutana na sisi. Kwa kikosi hiki kila mchezaji atahimarika.
Msimu ujao bingwa siyo Man City. Bingwa itakuwa kati ya Man United, Arsenal au Liverpool.
 
Kwa hii winga selfish Rashford na Antony Ten hag asipoangalia huyu Hojlund atahangaika kuzifumania nyavu.
hatumtegemei Rashford kututengenezea nafasi, msimu uliyopita Bruno aliongoza EPL kwa hilo
 
Antony pia anapaswa kubadilika eneo la mwisho mtu anawaza mabao ya akina moja kwa sababu ya guu lake la shoto muda wote hawezi kutumia weak foot hata kidogo hapa ndio inafanya watu wamkumbuke Greenwood ambaye angle yoyote final third anakuua na mguu wowote
basi itakuwa humjui Robben au yule sio wa kizazi hiki?
 
Ni kweli mkuu Antony watu wanamdharau sana ila ki ukweli timu yetu kule mbele yote haikuwa vizuri.Antony alijitahidi sana kubalance timu na ndio maana mechi zote alizofanyiwa sub tulipoteza au tulidroo. Sikumbuki mechi yeyote ambayo Antony alifanyiwa sub na tukashinda au kutoa droo na maanisha aliyeingia badala yake alitusaidia kusawazisha magoli au kushinda mechi, nipo tayari kusahihishwa.
Antony pamoja na kuwa hana hatari kiasi hicho ila ni msaada kwetu kwa ule upande Sancho au Rashford hawakabi wakicheza kule, pili beki timu hawezi kupanda kushambulia kama akiwepo Antony upande ule hiyo ni faida kwetu
 
hatumtegemei Rashford kututengenezea nafasi, msimu uliyopita Bruno aliongoza EPL kwa hilo
Kumbuka main man alikua Rashford sehemu ya kupiga pasi analazimisha kufunga nadhani wote tuliona namna
Weghorst alivyosua sua kufunga.

Tumepata striker Hojlund inabidi Rashford na Antony wapunguze uchoyo vinginevyo Hojlund tutamuona wa kawaida.
 
Back
Top Bottom