Maishanimagumu
JF-Expert Member
- May 9, 2020
- 258
- 578
Bei ya Havertz na Højlund ni almost the same. Havertz ambaye katika misimu yote aliyocheza Chelsea hajawahi kuvuka goli 10 per season (kwenye ligi) pamoja na kuchezeshwa kama forward. Last season kaanza kwenye mechi 30 kaishia goli 7. Højlund ambaye kaanza mechi 20 ana goli 9.€85m kwa CF mwenye 9 goals ,hajafikisha hata mechi 90
Nahitaji mwanasheria karibu kuzungumzia hili![]()
Na bado unapata nguvu ya kuja kuponda humu. Kwani unafikiria kwa kutumia matope au
