Al Watani
JF-Expert Member
- Dec 28, 2014
- 21,697
- 32,447
Nunez Salaha Gakpo.Ilikuwa inatisha kipindi chake, sahivi tumuogope nani pale labda ???
Nunez Diaz Gakpo
Diaz Gakpo Salah
Jota Nunez Salah
Nunez Salaha Gakpo.Ilikuwa inatisha kipindi chake, sahivi tumuogope nani pale labda ???
Pale United walipigwa pakubwa sanaKusema kweli huyu jamaa hata huko alipotoka nilikuwa simuonagi akianza mechi hasa za uefa
Nilipoanza kumuona man u ile first touch nikajua kabisa huyu kimeo
Hojlund ni beki ?Hii timu ni kichomi, tunakaribia kuanza msimu hakuna striker hata mmoja unaweza kumtegemea.
Wachezaji ndiyo wamebeba matumaini ya timu. Wasipopambana kwa dk 90 kila mechi hata kocha afanyaje timu haitasogea.
Mimi naamini kitu kikubwa timu yetu inakosa ni upambanaji. Mfano timu kama Madrid wanajulikana ni watu wa kazi hata mchezaji mpya akienda anakuta mazingira ambayo hata wazee bado hawajaridhika na kushinda. Hiki ndiyo kitu kama Ronaldo, Messi wanacho.
Sasa Sancho yupo kwenye early 20s kabisa lakini huoni ile passion ya anachokifanya. Ubishoo mwingi mpaka uwanjani.
Anagalau saaa hivi kuna watu kama Martinez, Bruno wanaonyesha upambanaji. Ila Martinez huwa hapoi mpaka kipenga cha mwisho.
1. Bado siyo mchezaji wa United.Hojlund ni beki ?
United sijaanza kuifatilia jana. Nilichoandika hapo siyo utabiri ni kitu kilichopo na kinachoendelea United.Kaa kwa kutulia wewe subiri ligi ianze
Acha kukifanya pweza wa EPL, badala ya World Cup
Kuhusu hilo wala cha kuwaza tu maamuzi ila akirudishwa kufikia January anakuwa ameingia first 11.Bila issue zake za kumpiga demu wake,angekuwa moja ya mawinga Bora dunian Sasa
Mm nashangaa wanataka kumtoa mkopo eti, huyo dogo akipaga zoezi wiki 2, atakuwa na impact uwanjan kuliko Anthony
Ukweli mchungu huuKuhusu hilo wala cha kuwaza tu maamuzi ila akirudishwa kufikia January anakuwa ameingia first 11.
Kocha ameangushwa na Antony hawezi kumuchia kijana kizembe hapa anasubiri tu decison ya uongozi kwa hili.
Greenwood ni Striker, alicheza tu Kulia sababu bado ni mdogo na kukabana na beki wa kati kwa mtoto ni kazi kubwa vs beki wa pembeni.Ukweli mchungu huu
Japo tuna except alot improvement kutoka kwa dogo antony s
Sababu ile price... Haikuendenda na performance yake aliotunesha last season
Yes the kid did alot of beautiful things in terms of soccer alileta balance kwenye team hususani upande wa kupress kule mbele dogo ni mkali wa ku press inapelekea kuona umuhimu wake ulivo mkubwa pale ambapo atafanyiwa substitutions team ina drop kidogo na tunaanza kupigwa msako
Refer ile game ya arsenal 3-2 baada antony kutoka zincheko got himself to his level best on ball distribution that lead to chaos pale mbele
BUT..kweli dogo tunamtaka akabe sana kuliko kutoa assist na kufunga kitu ambacho kitatuongezea goal tally ...the answer is no na hapo sasa ndipo tunapo muhitaj Greenwood the lethal goal mashine... Uwepo wake naamin utaleta challenge nzur sana na tutamfaidi antony vizur sana sababu..hatuna mashaka sana na uwezo wa watoto waki brazil nivile utoto tu na kukosa Compsture mbali mbali hudidimiza vipaji vyao
Na ETH analijua hilo kuwa yeye ndio mwenye kubeba huo mzigo wa lawama or else he got to prove to us the Fans kuwa
The boy Antony was and is a perfect signing...
Apart from that naona kabisa coach anamuhitaj sana Greenwood kama busta ya attacking package yakule mbele
Ila tu hawez toka hadharan na kusema he needs the boy
Japo sijajua why anashindwa kuongea direct how important the boy will be to his game plan and philosophy kwa ujumla
Yee anasema kuwa nilisha zungumza na sito zungumza tena kuhusu hilo swala... It becomes very tricky kumuelewa
Jee man utd inaweza ku iga formation ya man city ya 3-2-4- 1 nyuma full backs shaw martinez dalot/awb kati double pivot casemiro ambrat mbele kidogo Rashford bruno mount sancho / antony afu kule mbele kabisa hojlund/Greenwood....Greenwood ni Striker, alicheza tu Kulia sababu bado ni mdogo na kukabana na beki wa kati kwa mtoto ni kazi kubwa vs beki wa pembeni.
Akirudi leo sidhani kama atafit mfumo wetu, ila atatupa dimension nyengine kama kuswitch 4-3-3, Kama Amrabat anakuja tuna Midfield kazikazi ambayo inaweza ku Accumulate forward watatu mbele.
Hatuna wachezaji wa anasa kama City mkuu. 4-2-3-1 na 4-3-3 ndio mifumo tutakayotumia. Sijaangalia sana pre season ila Sancho false 9 na huyu Hojlund anayekuja plus Weghorst msimu uliopita na mifumo ya Ajax kumtumia Tadic kama Striker inaonesha ETH sio muumini wa mtu akae mbele, anataka Striker ambaye ana contribute kwenye Build up, Kukaba na kutengeneza, so sio rahisi kutumia Attacking Mid wanne.Jee man utd inaweza ku iga formation ya man city ya 3-2-4- 1 nyuma full backs shaw martinez dalot/awb kati double pivot casemiro ambrat mbele kidogo Rashford bruno mount sancho / antony afu kule mbele kabisa hojlund/Greenwood....
Au ata stick na formation yake ya 4 2 3 1....kisha ata kuja a switch na 4 4 2...au 4 3 3 uko baadae
Shukran kwa uchambuz mkuuHatuna wachezaji wa anasa kama City mkuu. 4-2-3-1 na 4-3-3 ndio mifumo tutakayotumia. Sijaangalia sana pre season ila Sancho false 9 na huyu Hojlund anayekuja plus Weghorst msimu uliopita na mifumo ya Ajax kumtumia Tadic kama Striker inaonesha ETH sio muumini wa mtu akae mbele, anataka Striker ambaye ana contribute kwenye Build up, Kukaba na kutengeneza, so sio rahisi kutumia Attacking Mid wanne.










Lisandro Martínez on his ambitions: "Winning - winning the Champions League, thinking big, this club is very big, the minimum is to think about these titles and personally also to win everything."






An Italian club made an enquiry about a possible loan for Mason Greenwood, but nothing is being negotiated until his future is decided on. 




















Chief umemsahau Onana naye ni kaam mido wa ziadaHatuna wachezaji wa anasa kama City mkuu. 4-2-3-1 na 4-3-3 ndio mifumo tutakayotumia. Sijaangalia sana pre season ila Sancho false 9 na huyu Hojlund anayekuja plus Weghorst msimu uliopita na mifumo ya Ajax kumtumia Tadic kama Striker inaonesha ETH sio muumini wa mtu akae mbele, anataka Striker ambaye ana contribute kwenye Build up, Kukaba na kutengeneza, so sio rahisi kutumia Attacking Mid wanne.
Mimi kwa jicho langu naona pep Nia yake kubwa ilikuwa kubeba ubingwa wa uefa na city kwa Sasa naona iyo ndoto imetimia Kwaiyo naona hakifanya lolote tu asepe.Nawe pia unafikiria kama mimi
Huwa na baki na Mswaali mbali mbali hivi Guardiola anafikiria nini mpaka sasa yuko bize kumsajili yule beki yu
Kwamba
1 ameridhika kuondokewa na mahrez,gundo plus bernado yupo kwenye tetesi za kuondoka
What's the perfect replacement kwamba wata tegemea kdB foden mahrez alverz in all major competition...wakiumia jee
Kwamba kina plamer na lewis ndo watao wafikisha nchi ya ahadi
Mi nilitegemea wataanza kussumbua uko kwenye transfer market kutafuta quality players...wakua back up mfano
Nilisikia wanamtaka j.kimchi wa bayern...f.dejong wa barca hawa wangekua asset kubwa sana kwao ukiangalia na ushindan uliopo uko mbele hususani UEFA...kuna madrid ambao wao wawaza revenge.. Kwa walivo being demolished last season..hapo kwa maombi yao aje mbappe ili wamtafune city watoe aibu iliyo wakuta
2 elp jee kwa sasa tusiwe wanafki inaonekana arsenal yuko very favorite akifwatiwa na Liverpool na Manchester utd
Jee pep hawaofii hawa wahasimu wake wanaokuja kufanya mapinduzi ndani ya ligi...na chealsea pia hapo nilmsahau
1 September dirisha litafungwa tunategemea a massive spend among biggest teams toward competition ahead