Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Rasmus Hojlund will travel to Manchester on Tuesday to undergo medical ahead of completing proposed transfer from Atalanta to Manchester United. €75+10m fee agreed between clubs & personal terms in place on 5+1yr contract.


#DavidOrnstein
#𝙏𝙧π™ͺπ™¨π™©π™π™π™šπ™‹π™§π™€π™˜π™šπ™¨π™¨π™€π™π™ƒ
#π™π™£π™žπ™©π™šπ™™π™›π™€π™§π™©π™π™šπ™π™–π™£π™¨
#π™Žπ™π™šπ™žπ™ π™π™…π™–π™¨π™¨π™žπ™’π™„π™£π˜Όπ™©π™ˆπ™–π™£π™π™©π™™
#π™‚π™‘π™–π™―π™šπ™§π™Šπ™π™
#π™‚π™‚π™ˆπ™

man utd |
IMG_20230801_133455_070.jpg
 
Donny van de Beek will not sign for Real Sociedad.


[Radio Marca]
#𝙏𝙧π™ͺπ™¨π™©π™π™π™šπ™‹π™§π™€π™˜π™šπ™¨π™¨π™€π™π™ƒ
#π™π™£π™žπ™©π™šπ™™π™›π™€π™§π™©π™π™šπ™π™–π™£π™¨
#π™Žπ™π™šπ™žπ™ π™π™…π™–π™¨π™¨π™žπ™’π™„π™£π˜Όπ™©π™ˆπ™–π™£π™π™©π™™
#π™‚π™‘π™–π™―π™šπ™§π™Šπ™π™
#π™‚π™‚π™ˆπ™

man utd |
IMG_20230801_133451_063.jpg
 
Hatuna wachezaji wa anasa kama City mkuu. 4-2-3-1 na 4-3-3 ndio mifumo tutakayotumia. Sijaangalia sana pre season ila Sancho false 9 na huyu Hojlund anayekuja plus Weghorst msimu uliopita na mifumo ya Ajax kumtumia Tadic kama Striker inaonesha ETH sio muumini wa mtu akae mbele, anataka Striker ambaye ana contribute kwenye Build up, Kukaba na kutengeneza, so sio rahisi kutumia Attacking Mid wanne.
Chief umemsahau Onana naye ni kaam mido wa ziada
 
Nawe pia unafikiria kama mimi
Huwa na baki na Mswaali mbali mbali hivi Guardiola anafikiria nini mpaka sasa yuko bize kumsajili yule beki yu
Kwamba
1 ameridhika kuondokewa na mahrez,gundo plus bernado yupo kwenye tetesi za kuondoka
What's the perfect replacement kwamba wata tegemea kdB foden mahrez alverz in all major competition...wakiumia jee
Kwamba kina plamer na lewis ndo watao wafikisha nchi ya ahadi

Mi nilitegemea wataanza kussumbua uko kwenye transfer market kutafuta quality players...wakua back up mfano
Nilisikia wanamtaka j.kimchi wa bayern...f.dejong wa barca hawa wangekua asset kubwa sana kwao ukiangalia na ushindan uliopo uko mbele hususani UEFA...kuna madrid ambao wao wawaza revenge.. Kwa walivo being demolished last season..hapo kwa maombi yao aje mbappe ili wamtafune city watoe aibu iliyo wakuta

2 elp jee kwa sasa tusiwe wanafki inaonekana arsenal yuko very favorite akifwatiwa na Liverpool na Manchester utd
Jee pep hawaofii hawa wahasimu wake wanaokuja kufanya mapinduzi ndani ya ligi...na chealsea pia hapo nilmsahau

1 September dirisha litafungwa tunategemea a massive spend among biggest teams toward competition ahead
Mimi kwa jicho langu naona pep Nia yake kubwa ilikuwa kubeba ubingwa wa uefa na city kwa Sasa naona iyo ndoto imetimia Kwaiyo naona hakifanya lolote tu asepe.

Simuoni pep akibakia city misimu miwili ijayo.
 
Hatuna wachezaji wa anasa kama City mkuu. 4-2-3-1 na 4-3-3 ndio mifumo tutakayotumia. Sijaangalia sana pre season ila Sancho false 9 na huyu Hojlund anayekuja plus Weghorst msimu uliopita na mifumo ya Ajax kumtumia Tadic kama Striker inaonesha ETH sio muumini wa mtu akae mbele, anataka Striker ambaye ana contribute kwenye Build up, Kukaba na kutengeneza, so sio rahisi kutumia Attacking Mid wanne

Hatuna wachezaji wa anasa kama City mkuu. 4-2-3-1 na 4-3-3 ndio mifumo tutakayotumia. Sijaangalia sana pre season ila Sancho false 9 na huyu Hojlund anayekuja plus Weghorst msimu uliopita na mifumo ya Ajax kumtumia Tadic kama Striker inaonesha ETH sio muumini wa mtu akae mbele, anataka Striker ambaye ana contribute kwenye Build up, Kukaba na kutengeneza, so sio rahisi kutumia Attacking Mid wanne.
ETH nadhani sio fair kumfanyia Comparisons na Pep kwa Style ama execution ya Game Plans zao, ETH anazingatia zaidi Build~Up na High Tempo (Still anapenda Badilika kulingana na Mahitaji ya Game) na ndo mana Ajax I {18/19} na Ajax II { 21/22} zina tofauti kubwa sana kiuchezaji, ETH Ni zaidi Copy ya Klopp zaidi kuliko Pep!

AJAX I {18/19} Hii mostly ETH alitaka iwe Possession based Team kwa aina ya wachezaji Yupo nao alikuwa anapendelea zaidi muonekano wa 4~2~3~1 sababu Double Pivot ya Larse Shonne na De Jong ni Tactical na all around midfielders ni Hybrid #6&8 na juu yao ni Ziyech, Tadic, Neres na Donny alikuwa anacheza ile kushambulia nafasi,

AJAX II {21/22} hii ndo kitu anakileta Man U, mana Ajax hii ilikuwa more inacheza 4~1~2~3 (Marzoui, Timber, Licha, Blind, - Alvarez - Gravenberch, Berghuis, - Tadic, Haller, Antony) na ndo UTD ya season hii anaitengeneza kwa Image hiyo, ETH anataka timu inapopata Mpira inaenda shambulia kwa kasi yani def action ikikamilika within 8 seconds wawe wamefanya Attacking action, na ndo mana anasema anataka UTD iwe "Best Transition Team" In the world
Ujio wa Amrabat sio kuanza but ni kuwa na Depth inapotokea ishu ya Suspension ama Injury kwa Casemiro Ubora usipungue kama Msimu huu uloisha mana Game nyingi alokosa jamaa UTD iliwacost Points Nyingi.
 
ETH nadhani sio fair kumfanyia Comparisons na Pep kwa Style ama execution ya Game Plans zao, ETH anazingatia zaidi Build~Up na High Tempo (Still anapenda Badilika kulingana na Mahitaji ya Game) na ndo mana Ajax I {18/19} na Ajax II { 21/22} zina tofauti kubwa sana kiuchezaji, ETH Ni zaidi Copy ya Klopp zaidi kuliko Pep!

AJAX I {18/19} Hii mostly ETH alitaka iwe Possession based Team kwa aina ya wachezaji Yupo nao alikuwa anapendelea zaidi muonekano wa 4~2~3~1 sababu Double Pivot ya Larse Shonne na De Jong ni Tactical na all around midfielders ni Hybrid #6&8 na juu yao ni Ziyech, Tadic, Neres na Donny alikuwa anacheza ile kushambulia nafasi,

AJAX II {21/22} hii ndo kitu anakileta Man U, mana Ajax hii ilikuwa more inacheza 4~1~2~3 (Marzoui, Timber, Licha, Blind, - Alvarez - Gravenberch, Berghuis, - Tadic, Haller, Antony) na ndo UTD ya season hii anaitengeneza kwa Image hiyo, ETH anataka timu inapopata Mpira inaenda shambulia kwa kasi yani def action ikikamilika within 8 seconds wawe wamefanya Attacking action, na ndo mana anasema anataka UTD iwe "Best Transition Team" In the world
Ujio wa Amrabat sio kuanza but ni kuwa na Depth inapotokea ishu ya Suspension ama Injury kwa Casemiro Ubora usipungue kama Msimu huu uloisha mana Game nyingi alokosa jamaa UTD iliwacost Points Nyingi.
Wewe mpira unajua hubahatishi Kama kina Flano
 
ETH nadhani sio fair kumfanyia Comparisons na Pep kwa Style ama execution ya Game Plans zao, ETH anazingatia zaidi Build~Up na High Tempo (Still anapenda Badilika kulingana na Mahitaji ya Game) na ndo mana Ajax I {18/19} na Ajax II { 21/22} zina tofauti kubwa sana kiuchezaji, ETH Ni zaidi Copy ya Klopp zaidi kuliko Pep!

AJAX I {18/19} Hii mostly ETH alitaka iwe Possession based Team kwa aina ya wachezaji Yupo nao alikuwa anapendelea zaidi muonekano wa 4~2~3~1 sababu Double Pivot ya Larse Shonne na De Jong ni Tactical na all around midfielders ni Hybrid #6&8 na juu yao ni Ziyech, Tadic, Neres na Donny alikuwa anacheza ile kushambulia nafasi,

AJAX II {21/22} hii ndo kitu anakileta Man U, mana Ajax hii ilikuwa more inacheza 4~1~2~3 (Marzoui, Timber, Licha, Blind, - Alvarez - Gravenberch, Berghuis, - Tadic, Haller, Antony) na ndo UTD ya season hii anaitengeneza kwa Image hiyo, ETH anataka timu inapopata Mpira inaenda shambulia kwa kasi yani def action ikikamilika within 8 seconds wawe wamefanya Attacking action, na ndo mana anasema anataka UTD iwe "Best Transition Team" In the world
Ujio wa Amrabat sio kuanza but ni kuwa na Depth inapotokea ishu ya Suspension ama Injury kwa Casemiro Ubora usipungue kama Msimu huu uloisha mana Game nyingi alokosa jamaa UTD iliwacost Points Nyingi.
Amrabat sio Defensive kwa maana atakuja kuwa mbadala wa Casemiro, ni wa kawaida mno kwenye suala la ukabaji, Amrabat ni Deep lying playmaker mold ya kina De jong sema tu ni wa bei rahisi na kiwango hakijafikia level hizo.

Angalia stats zake FBref


Vitu kama Tackling, Block, interception na vyengine vya defence jamaa hayupo vizuri.

Ila yupo vizuri kwenye kutoa passi na Quality nyengine za Possesion,

Hivyo mechi ngumu jamaa atacheza pale alipocheza Eriksen Msimu uliopita Alongside Casemiro na Mechi laini anaweza ku hold, ila sio mtu wa kumtegemea,

Kuhusu ETH mifumo yake anatumia kutokana na watu alio nao, hata UTD alimtaka FDJ kwa hali na mali, na wachezaji tunaosajili ni press resistant, Onana, Eriksen, Antony, Licha etc hivyo taratibu ata transform kwenda possession team, na Unaweza kufanya transition ukiwa possesion team pia. Transition sio lazima iwe counter, its just anamaanisha tutakabia juu (Hojlund, Onana na Mount usajili huu unaelekea kukabia juu) so mda mwingi tutaspend langoni mwa wapinzani na kupokonya mipira kadri inavyowezekana.

Mfano mzuri Angalia Liverpool, ni moja kati ya timu nzuri zinazofanya transition ila pia ni posession team. Hata Mancity Guardiola wa siku hizi si kama Wa Barcelona wanapiga Transition za Maana.
 
Wewe mpira unajua hubahatishi Kama kina Flano[/U
[/QUOTE]

Amrabat sio Defensive kwa maana atakuja kuwa mbadala wa Casemiro, ni wa kawaida mno kwenye suala la ukabaji, Amrabat ni Deep lying playmaker mold ya kina De jong sema tu ni wa bei rahisi na kiwango hakijafikia level hizo.

Angalia stats zake FBref


Vitu kama Tackling, Block, interception na vyengine vya defence jamaa hayupo vizuri.

Ila yupo vizuri kwenye kutoa passi na Quality nyengine za Possesion,

Hivyo mechi ngumu jamaa atacheza pale alipocheza Eriksen Msimu uliopita Alongside Casemiro na Mechi laini anaweza ku hold, ila sio mtu wa kumtegemea,

Kuhusu ETH mifumo yake anatumia kutokana na watu alio nao, hata UTD alimtaka FDJ kwa hali na mali, na wachezaji tunaosajili ni press resistant, Onana, Eriksen, Antony, Licha etc hivyo taratibu ata transform kwenda possession team, na Unaweza kufanya transition ukiwa possesion team pia. Transition sio lazima iwe counter, its just anamaanisha tutakabia juu (Hojlund, Onana na Mount usajili huu unaelekea kukabia juu) so mda mwingi tutaspend langoni mwa wapinzani na kupokonya mipira kadri inavyowezekana.

Mfano mzuri Angalia Liverpool, ni moja kati ya timu nzuri zinazofanya transition ila pia ni posession team. Hata Mancity Guardiola wa siku hizi si kama Wa Barcelona wanapiga Transition za Maana.
Upo Sahihi Chief kwenye Mengi hasa la FDJ na Aina za Sajili ila nataka ongeza kidogo katika hili, ntaanza trace since amekuja ETH,

Kwa nini nasema ETH ni Replica zaidi ya Klopp kuliko Pep,
Mosi~ Ni aina ya Characters Wanazitaka katika Dressing Room {Pep alipofika tayari ni Superstar na hata timu Nyingi anakuwa center of attention ni yeye so kila analotaka anapata na hili ni matokeo ya Structure nzuri ya management City {Uwepo wa Sorianno na Txiki}
Kwa Klopp na ETH ipo tofauti kidogo kwa sababu wao wanaamini katika High Tempo Games, na ndo mana sajili nyingi since ETH amekuja EPL zinahusishwa kwa wote, Mf. Nunez, Gakpo, Mount, Amrabat ni wachezaji ambao wamehusishwa na timu zote.
Kumkosa FDJ ambae kwa mimi naamini ndiye Best CM in the World, ETH ali-switch kwa Casemiro na akasuprize Wengi mana kama unavyosema juu amesajilia Press Resistant ila kwa Casa ni tofauti kabisa {Hii inamanisha alianza angalia Nature ya timu, So akaleta zile Characters ambazo zinauishi Mpira, Casa ni Born Winner, Licha ameongeza mengi sana Kwenye Back line, na kadiri anazidi fanya Sajili unaona uelekeo ni ule wa Characters zaidi pamoja na Uwezo wa ku-accomodate mahitaji ya Mwalimu, Angetaka Progressive CM's Angeenda kwa Kina Enzo la Fee, Seko Fofana, Maxence Caqueret, et al

Nizungumzie Dirisha Hili, Ujio wa Mount unamaanisha kwamba Yeye na Bruno wanakuwa ni Injini mbele ya Casemiro ili kuzuia fast Breaks wanaanza fanya Counter Pressing {Hapa tunakubaliana kuhusu Stamina wako nazo Mount na Bruno na lengo kubwa ni kuweza tengeneza Structure ya 3~1~6, na 3~2~5 akiwa anashambulia na 4~4~2 & 4~4~1~1 Hybrid akianza fanya Pressing or Counter Pressing} Mahitaji yameainishwa tangu mwanzo ni GK, RB, CB, CM na ST na amepata walau 60% ya Majitaji yake. Na ukiangalia ETH alikuwa anamtaka Zaidi Timber ila dili ilikuwa Complicated sababu ya Kauli za Van Gaal, Licha amemsajili kwa Opportunity ya yeye kuwapo Sokoni,

Pep anafanya Transition ila utofauti wake na Klopp na ETH anataka Game yake itawaliwe na Possession mostly, Ila ETH na Klopp wanataka CONTROLS Games ila isiwe na Bored Passes Nyingi ni ukikaba Tunakuja ndo tofauti ya Hao mabwana, Na Pep niliona juu kuna mjadala wanasema hajasajili anamng'ang'ania Josko ila Wengi hawajawaza Impact yake{Hii ni mada Nyingine} Mostly timu ya Pep inadepends kwa CM's ila ETH na Klopp wanataka MD's Ziwe ni Injini ila Chance zitokee Pembeni kwa Fb's na Wings Zishambulie Pitia nafasi inayoachwa baina ya CB na FB's wa timu Pinzani! Pep anaprefer 3~2~2~3 na 3~2~3~2 ingawa na yeye amejua Uingereza njia bora ya Kupress ni Shape ya 4~4~2
 
Flano hawa jamaa kifupi hawauzi timu


Joel and Avram Glazer believe that new TV deals being negotiated, the growth of the game in the US, and the new UCL format will add value to #mufc in the coming years.

@iPaperSport
Hawa jamaa hawawezi kuiachia team kizembe
Waache man u wakawekeze timu gani sasa kuna team zina uwekezaji mkubwa hapo england na makombe kila leo ila hawajaifikia thamani ya mashetani wekundu πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯
 
Hawa jamaa hawawezi kuiachia team kizembe
Waache man u wakawekeze timu gani sasa kuna team zina uwekezaji mkubwa hapo england na makombe kila leo ila hawajaifikia thamani ya mashetani wekundu
Hawawez kabisa ,mikataba minono hivo wamuachie Nani , kwasasa wamefanikiwa kutuliza kelele za mashabiki wanaotaka wauze timu

Nasikia wameweka dau Β£8B ,akitokea mwenye kiherehere akilifikia wanapandisha tena

Wale wa Liverpool nao walifanya hivi hivi
 
Hawawez kabisa ,mikataba minono hivo wamuachie Nani , kwasasa wamefanikiwa kutuliza kelele za mashabiki wanaotaka wauze timu

Nasikia wameweka dau Β£8B ,akitokea mwenye kiherehere akilifikia wanapandisha tena

Wale wa Liverpool nao walifanya hivi hivi
TImu ina die hard fans wengi sana
 
Facundo Pellistri has been advised by Ten Hag to join FC Twente on loan. It is a choice between Twente and Boca Juniors this summer.


#ESPN
#𝙏𝙧π™ͺπ™¨π™©π™π™π™šπ™‹π™§π™€π™˜π™šπ™¨π™¨π™€π™π™ƒ
#π™π™£π™žπ™©π™šπ™™π™›π™€π™§π™©π™π™šπ™π™–π™£π™¨
#π™Žπ™π™šπ™žπ™ π™π™…π™–π™¨π™¨π™žπ™’π™„π™£π˜Όπ™©π™ˆπ™–π™£π™π™©π™™
#π™‚π™‘π™–π™―π™šπ™§π™Šπ™π™
#π™‚π™‚π™ˆπ™

man utd |
IMG_20230802_000345_102.jpg
 
Facundo Pellistri has been advised by Ten Hag to join FC Twente on loan. It is a choice between Twente and Boca Juniors this summer.


#ESPN
#𝙏𝙧π™ͺπ™¨π™©π™π™π™šπ™‹π™§π™€π™˜π™šπ™¨π™¨π™€π™π™ƒ
#π™π™£π™žπ™©π™šπ™™π™›π™€π™§π™©π™π™šπ™π™–π™£π™¨
#π™Žπ™π™šπ™žπ™ π™π™…π™–π™¨π™¨π™žπ™’π™„π™£π˜Όπ™©π™ˆπ™–π™£π™π™©π™™
#π™‚π™‘π™–π™―π™šπ™§π™Šπ™π™
#π™‚π™‚π™ˆπ™

man utd |View attachment 2705627
 
Our current August schedule looks like this

#𝙏𝙧π™ͺπ™¨π™©π™π™π™šπ™‹π™§π™€π™˜π™šπ™¨π™¨π™€π™π™ƒ
#π™π™£π™žπ™©π™šπ™™π™›π™€π™§π™©π™π™šπ™π™–π™£π™¨
#π™Žπ™π™šπ™žπ™ π™π™…π™–π™¨π™¨π™žπ™’π™„π™£π˜Όπ™©π™ˆπ™–π™£π™π™©π™™
#π™‚π™‘π™–π™―π™šπ™§π™Šπ™π™
#π™‚π™‚π™ˆπ™

man utd |
IMG_20230802_000412_553.jpg
 
Glazers wapo sana kwa sana tena baada ya kuona update toka OracleNYSE ndio nimeamini 100% zote.

Hakuna namna wameongeza asking price kama kukomoa kwa sababh hakuna atayesogea kununua hivyo wanajihakikishia kuendelea kuwepo.

Kila la kheri kwa Sheikh Jassim kama akiamua kununua klabu nyingine ya EPL hasa West Ham ambayo anahusishwa nayo.


Kwa Glazers round hii mashabiki watatulia kwa muda ila waombe timu ifufuke,ikiendelea kuyumba hasira ya mashabiki juu yao itaongezeka zaidi ya mwanzo ilivyokuwa hasa kwa walichokifanya sasa kuingia katika sale process na kupiga U-turn kjsa greed yao
 
Back
Top Bottom