James Hadley Chase
JF-Expert Member
- Mar 25, 2020
- 2,108
- 3,883
Pitieni kwenye page ya Fabrizio Romano ili mpate habari ya Greenwood
Sorry natoka out of point kidogo... Nilikuwa na uliza tuHapo kwenye kupiga miguu yote ndio inafanya watu wakumbuke zile shuti za mguu wa kulia za Greenwood hapo ni weak foot.
Nikikangalia sajili yetu ya mwisho ya huyu dogo hojlund kupitia hio page hapo ya liveherewego inayomilikiwa na fabrizo wamempost dogo yupo ndani ya uzi wa man utd ikiwa na logo ya Qatar AirwaysKuna dalili za Greenwood kurudi maana siku chache nyuma Adidas walikanusha kufanya mazungumzo na Greenwood. Leo United x Adidas wametangaza dili jipya la vifaa vya michezo. Lazima kutakuwa na jambo linaendelea.Shida nawaza nijinsi gani mashabiki watakavompokea
Hapa kuna categories kama 3
True (real) fans
Casual fans
Plastic fans
Hawa bana ndio nguzo kuu ya timu...why
Uongozi unaskiliza upepo wa mashabiki ambao upo gradually revolving toward acceptance ya mchezaji ndani ya timu ni hivi tunaona Greenwood anafanya sana mazoez hii kwao viongoz wanatumia kama bait kunasa overall review ya mashabiki wanaonaje uwepo wakijana ndani ya team yao..ambapo kama review zikiwa positive basi hata brand kama adidas wata kuwa convinced kweny kufanya majidilano ya kum recruit tena kijana ndani yakikosi
Shida ni nn...hawa FANS sasa
1 real fans wana kila sababu ya kumpokea kijana regardless na decision zilizotolewa na court on how dogo ame being proven innocent bas anahaki ya kurejea na wao wana kila sababu za kum guard agaist casual fans na plasti fans
2 casual fans.. Mashabiki wapo hawapo hawa wengi ujifucha ndani ya kivuli cha ushabiki wa timu flani kumbe sio team yake ni nyengine plus plastic fans wao wanaonaga makosa zaidi ya maendeleo ya timu ...utakuta tu wanasema team yangu nayo ijua haiwez mrudisha mbakaji yani hata bila kujua kuwa dogo kasha being proven innocent wao wanakandia tu bila sababu za msingi wengi wao huendeshwa na mihemko hisia na arrogance na njaa
Hawa watakuwa wana play key role ya kumpa dogo confidence au kumpunguza juu ya uchezaji wake na uimarikaji wake waki michezo ndani n a njee ya uwanja
Hawa hawa ndio baadhi yao watakao kuwa wanamzomea na kumkejeli kwakumuita rapist akiwa ndani ya uwanja...
Jee kijana ataweza ku overcome hizi situation jee ataweza kuwa matured enough tu conquer hizi scenario ambazo kwa aina moja au nyengine zina weza ku atter performance yake ndani na njee ya uwanja
Lastly sisi kama mashabiki kwakua mahakama imemtambua kijana Greenwood yuko hana hatia basi hatuna budi kumpokea kamanda wetu kwa mikono miwili kwani hatujui kiwango chake kama kipo the same au kime shuka...hii itamsaidia kupush his competence and hardwork resource plus performance to the outmost best next level... Tunamtegemea aje kutoa challenge kwa vijana wengine pale mbele more important aje awe a starter not a bench warmer
Welcome back MASON GREENWOOD 9
Wewe subiria moshi uanze kufuka kwa jirani ukija kushtuka kwako kumeungua.
Arsenal downfall yenu naisubiri sana, last season mlikuwa humbled kwa lazima.


Ila mnanishangazaga Sana mbona toka pre season tuliwaambia na tuliweka ushahidi wa kimazingira ,kwanini tunaenda kugombea ubingwa Ndio maana huwa nacheka Sana wanaosubiri Grazzer family wauze timuHawa wakongwe wana funbase kubwa sana

Kwa United nasubia tu maajabu. Arsenal mna kikosi kizuri ila bado sina imani na defence na midfield yenu.Ila mnanishangazaga Sana mbona toka pre season tuliwaambia na tuliweka ushahidi wa kimazingira ,kwanini tunaenda kugombea ubingwa
Maandiko yapo , audio kule space zipo
Msimu huu tumesajili zaidi ,haihitaji ramli kujua tunaenda kupigania ubingwa no matter what
Maombi yetu sisi wahafidhina wa football ,mancity aondokewe na Gundo Bernado mahrez , amebaki Bernado
Wanaochungulia mpira kwa jicho la 3 wanajua kabisa kuondoka kwa Gundo, mahrez na Bernado ni pengo kubwa Sana kwa city ,
Manjesta kitakachowaua ni depth ya kikosi ,
Niambie Casemiro aki drop au suspension zake zile au injury mna replace na Nan? Amrabat?
Kule mbele bado historia inaonesha Rashford Hana consistency yakueleweka na ndiye mbeba maono wa manjesta
Japo kiuhalisia kabisa
Arsenal, mancity , manjesta ndio favourite kwa kugombea ubingwa
Newcastle msimuhesabie kwanza ana michuano mingi pili Hana depth yakutosha ,halafu kule UCL wamemuweka pot 3
Kama umeangalia mech yao vs Atletico Jana utaona Kuna kitu kimepunguaKwa United nasubia tu maajabu. Arsenal mna kikosi kizuri ila bado sina imani na defence na midfield yenu.
Man City mimi naona kama shughuli yao imeshaisha. Akiondoka Bernardo watawashiwa moto mkali sana. Timu nyingi zinapocheza na City zinafungwa kwasababu ya uoga. Sasa makocha wakishaona wana mapungufu soon wataanza kupishana na Guardiola.
Nawe pia unafikiria kama mimiKwa United nasubia tu maajabu. Arsenal mna kikosi kizuri ila bado sina imani na defence na midfield yenu.
Man City mimi naona kama shughuli yao imeshaisha. Akiondoka Bernardo watawashiwa moto mkali sana. Timu nyingi zinapocheza na City zinafungwa kwasababu ya uoga. Sasa makocha wakishaona wana mapungufu soon wataanza kupishana na Guardiola.
Tusiseme tu kuwa analysis ya hara haraka kuwa kuna kitu kimepungua..we all know very well yule mzee kipara pep he is a genius master of mind games... WhyKama umeangalia mech yao vs Atletico Jana utaona Kuna kitu kimepungua
Gundogan,mahrez na Bernado ni ma game changer wakubwa ,Kuna mech kibao walizibadili hao jamaa
Thus why Pep anakomaa Sana hataki kumuachia Bernado wanamuomba angalau acheze msimu mmoja tu ,maana ndiye cheat code yake anacheza RW,RCM,LCM had false 9,
Winger ya Grealish na Foden ,haitishi Sana hasa kwenye ufungaji wa magoli
Binafsi naamini ukitoa mafanikio ya city ,Grealish angehesabika ni Flop mzuri tu,
Ukiweka Top 5 ya waliohusika kwa mafanikio ya city huwez muweka Jack









Erik ten Hag on Harry Kane: "I have huge respect because he is a great striker, one of the best ever. Maybe he can even be the best striker ever in the Premier League."







Erik ten Hag: "Is Garnacho more mature? Definitely but not only Garnacho. I've already said that when I came in at #mufc there were not the standards you have to meet, in my perspective, in top football culture. It’s in general."







Ten Hag on Jadon Sancho: "In this moment he is in a very good vibe. He decides how he is, how his mood and vibe is. I hope and expect. He has a lot of energy, we have all seen that from the moment he came back. He wants to enjoy football and be successful."









Pep anawekeza zaidi kwenye Kukaba ,ndio maana anamtaka yule jamaa Josko ,ila hataki kutoa €100mNawe pia unafikiria kama mimi
Huwa na baki na Mswaali mbali mbali hivi Guardiola anafikiria nini mpaka sasa yuko bize kumsajili yule beki yu
Kwamba
1 ameridhika kuondokewa na mahrez,gundo plus bernado yupo kwenye tetesi za kuondoka
What's the perfect replacement kwamba wata tegemea kdB foden mahrez alverz in all major competition...wakiumia jee
Kwamba kina plamer na lewis ndo watao wafikisha nchi ya ahadi
Mi nilitegemea wataanza kussumbua uko kwenye transfer market kutafuta quality players...wakua back up mfano
Nilisikia wanamtaka j.kimchi wa bayern...f.dejong wa barca hawa wangekua asset kubwa sana kwao ukiangalia na ushindan uliopo uko mbele hususani UEFA...kuna madrid ambao wao wawaza revenge.. Kwa walivo being demolished last season..hapo kwa maombi yao aje mbappe ili wamtafune city watoe aibu iliyo wakuta
2 elp jee kwa sasa tusiwe wanafki inaonekana arsenal yuko very favorite akifwatiwa na Liverpool na Manchester utd
Jee pep hawaofii hawa wahasimu wake wanaokuja kufanya mapinduzi ndani ya ligi...na chealsea pia hapo nilmsahau
1 September dirisha litafungwa tunategemea a massive spend among biggest teams toward competition ahead

Erik ten Hag on Harry Maguire: "It’s tough when you’re competing with Varane and Lindelof. It’s huge competition. That has nothing to do with the belief. I have often chosen a player ahead of Harry - but that says nothing about me not believing in him because I play him."






Erik ten Hag on Harry Maguire: "He has to show he is better for the team than Rapha [Varane] or Victor [Lindelof]. I think that’s a really normal situation in top football."






Hatukatai mkuu , but lazima tusijifungie kwenye box , alibadilika round ya 2 baada ya round ya 1 mfumo wake kuwa open na wameujuliaTusiseme tu kuwa analysis ya hara haraka kuwa kuna kitu kimepungua..we all know very well yule mzee kipara pep he is a genius master of mind games... Why
1 its true kuwa city ka drop kiwango ila ile ilikuwa tu ni pre season game against dormund wakafungwa..mimi naa amini akutaka kwenda full force kwakuogopa majeraha ana ukiangalia the main man behind Halland success KDB yupo njee injury hio ina explain exactly why hawa kuwa very lethal against Dortmund
2 pia nimoja kati ya game approach sababu kituo kinacho fata kwake pep ni kombe la community shield against Arsenal hapa huwez tegemea akacheza very aggressive....huku akiwa 1 step behind a big game to play with a trophy to count


Hakuna kilichobadilika zile ni photoshops tu halafu kuna asilimia kubwa za Glazers kuendelea kuwepo,wakiiuza timu hawatapata nyingine ya kupigia pesa ya maanaSorry natoka out of point kidogo... Nilikuwa na uliza tu
Hivi ile budget ya 250m tuliyopewa na glazerz Haijaisha na kupitiliza kweli... Kuna tetesi zina sema mwarabu ana chomekea pesa za usajili kimya kimya kumpa nguvu ETH na usajili anaoufanya
Nikikangalia sajili yetu ya mwisho ya huyu dogo hojlund kupitia hio page hapo ya liveherewego inayomilikiwa na fabrizo wamempost dogo yupo ndani ya uzi wa man utd ikiwa na logo ya Qatar Airways
Na ukipitia comment nyingi humo aisee zina kupa hope kuwa kuna kitu kinaendelea na hatupo mbali na nchi ya ahadi Qatary reign (utawala)
Je... Kuna kitu kuhusu uuzwaji wa timu na mahala palipofikia fabrizo analijua na sie hatufahamu hadi sasa
Umeongea point ila kwa vile dirisha bado lipo wazi tungoje tuone ana vision gani hasa kweny implementation and execution ya current style yake ya uchezaji...ambayo wengi washa ijuliaHatukatai mkuu , but lazima tusijifungie kwenye box , alibadilika round ya 2 baada ya round ya 1 mfumo wake kuwa open na wameujulia
Lakin Anza game za mwisho ,hata ile fainal ya FA had UCL , utaona walishaanza kumsoma , kila mfumo una mapungufu yake
Yeye pep anasema aliamua kubadilika kwa sababu EPL walishamjua, Soma hapa
“I learnt this season when you play against Bukayo Saka, Vinicius Junior, Gabriel Martinelli or Mohamed Salah, you need proper defenders to win duels one-on-one. They need just one action to beat you. Nathan gave us a boost that we did not have in the past.”
Kwahiyo usitegemee na makocha wengine watakaa kizembe ,pia siku zote Pep anatembea Sana na Quality ya mchezaji
Narudia Gundogan mahrez na Bernado Hawa jamaa wamebadili matokeo ya city nyakati ngumu na muhimu