Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Hatuna wachezaji wa anasa kama City mkuu. 4-2-3-1 na 4-3-3 ndio mifumo tutakayotumia. Sijaangalia sana pre season ila Sancho false 9 na huyu Hojlund anayekuja plus Weghorst msimu uliopita na mifumo ya Ajax kumtumia Tadic kama Striker inaonesha ETH sio muumini wa mtu akae mbele, anataka Striker ambaye ana contribute kwenye Build up, Kukaba na kutengeneza, so sio rahisi kutumia Attacking Mid wanne

Hatuna wachezaji wa anasa kama City mkuu. 4-2-3-1 na 4-3-3 ndio mifumo tutakayotumia. Sijaangalia sana pre season ila Sancho false 9 na huyu Hojlund anayekuja plus Weghorst msimu uliopita na mifumo ya Ajax kumtumia Tadic kama Striker inaonesha ETH sio muumini wa mtu akae mbele, anataka Striker ambaye ana contribute kwenye Build up, Kukaba na kutengeneza, so sio rahisi kutumia Attacking Mid wanne.
ETH nadhani sio fair kumfanyia Comparisons na Pep kwa Style ama execution ya Game Plans zao, ETH anazingatia zaidi Build~Up na High Tempo (Still anapenda Badilika kulingana na Mahitaji ya Game) na ndo mana Ajax I {18/19} na Ajax II { 21/22} zina tofauti kubwa sana kiuchezaji, ETH Ni zaidi Copy ya Klopp zaidi kuliko Pep!

AJAX I {18/19} Hii mostly ETH alitaka iwe Possession based Team kwa aina ya wachezaji Yupo nao alikuwa anapendelea zaidi muonekano wa 4~2~3~1 sababu Double Pivot ya Larse Shonne na De Jong ni Tactical na all around midfielders ni Hybrid #6&8 na juu yao ni Ziyech, Tadic, Neres na Donny alikuwa anacheza ile kushambulia nafasi,

AJAX II {21/22} hii ndo kitu anakileta Man U, mana Ajax hii ilikuwa more inacheza 4~1~2~3 (Marzoui, Timber, Licha, Blind, - Alvarez - Gravenberch, Berghuis, - Tadic, Haller, Antony) na ndo UTD ya season hii anaitengeneza kwa Image hiyo, ETH anataka timu inapopata Mpira inaenda shambulia kwa kasi yani def action ikikamilika within 8 seconds wawe wamefanya Attacking action, na ndo mana anasema anataka UTD iwe "Best Transition Team" In the world
Ujio wa Amrabat sio kuanza but ni kuwa na Depth inapotokea ishu ya Suspension ama Injury kwa Casemiro Ubora usipungue kama Msimu huu uloisha mana Game nyingi alokosa jamaa UTD iliwacost Points Nyingi.
 
ETH nadhani sio fair kumfanyia Comparisons na Pep kwa Style ama execution ya Game Plans zao, ETH anazingatia zaidi Build~Up na High Tempo (Still anapenda Badilika kulingana na Mahitaji ya Game) na ndo mana Ajax I {18/19} na Ajax II { 21/22} zina tofauti kubwa sana kiuchezaji, ETH Ni zaidi Copy ya Klopp zaidi kuliko Pep!

AJAX I {18/19} Hii mostly ETH alitaka iwe Possession based Team kwa aina ya wachezaji Yupo nao alikuwa anapendelea zaidi muonekano wa 4~2~3~1 sababu Double Pivot ya Larse Shonne na De Jong ni Tactical na all around midfielders ni Hybrid #6&8 na juu yao ni Ziyech, Tadic, Neres na Donny alikuwa anacheza ile kushambulia nafasi,

AJAX II {21/22} hii ndo kitu anakileta Man U, mana Ajax hii ilikuwa more inacheza 4~1~2~3 (Marzoui, Timber, Licha, Blind, - Alvarez - Gravenberch, Berghuis, - Tadic, Haller, Antony) na ndo UTD ya season hii anaitengeneza kwa Image hiyo, ETH anataka timu inapopata Mpira inaenda shambulia kwa kasi yani def action ikikamilika within 8 seconds wawe wamefanya Attacking action, na ndo mana anasema anataka UTD iwe "Best Transition Team" In the world
Ujio wa Amrabat sio kuanza but ni kuwa na Depth inapotokea ishu ya Suspension ama Injury kwa Casemiro Ubora usipungue kama Msimu huu uloisha mana Game nyingi alokosa jamaa UTD iliwacost Points Nyingi.
Wewe mpira unajua hubahatishi Kama kina Flano
 
ETH nadhani sio fair kumfanyia Comparisons na Pep kwa Style ama execution ya Game Plans zao, ETH anazingatia zaidi Build~Up na High Tempo (Still anapenda Badilika kulingana na Mahitaji ya Game) na ndo mana Ajax I {18/19} na Ajax II { 21/22} zina tofauti kubwa sana kiuchezaji, ETH Ni zaidi Copy ya Klopp zaidi kuliko Pep!

AJAX I {18/19} Hii mostly ETH alitaka iwe Possession based Team kwa aina ya wachezaji Yupo nao alikuwa anapendelea zaidi muonekano wa 4~2~3~1 sababu Double Pivot ya Larse Shonne na De Jong ni Tactical na all around midfielders ni Hybrid #6&8 na juu yao ni Ziyech, Tadic, Neres na Donny alikuwa anacheza ile kushambulia nafasi,

AJAX II {21/22} hii ndo kitu anakileta Man U, mana Ajax hii ilikuwa more inacheza 4~1~2~3 (Marzoui, Timber, Licha, Blind, - Alvarez - Gravenberch, Berghuis, - Tadic, Haller, Antony) na ndo UTD ya season hii anaitengeneza kwa Image hiyo, ETH anataka timu inapopata Mpira inaenda shambulia kwa kasi yani def action ikikamilika within 8 seconds wawe wamefanya Attacking action, na ndo mana anasema anataka UTD iwe "Best Transition Team" In the world
Ujio wa Amrabat sio kuanza but ni kuwa na Depth inapotokea ishu ya Suspension ama Injury kwa Casemiro Ubora usipungue kama Msimu huu uloisha mana Game nyingi alokosa jamaa UTD iliwacost Points Nyingi.
Amrabat sio Defensive kwa maana atakuja kuwa mbadala wa Casemiro, ni wa kawaida mno kwenye suala la ukabaji, Amrabat ni Deep lying playmaker mold ya kina De jong sema tu ni wa bei rahisi na kiwango hakijafikia level hizo.

Angalia stats zake FBref


Vitu kama Tackling, Block, interception na vyengine vya defence jamaa hayupo vizuri.

Ila yupo vizuri kwenye kutoa passi na Quality nyengine za Possesion,

Hivyo mechi ngumu jamaa atacheza pale alipocheza Eriksen Msimu uliopita Alongside Casemiro na Mechi laini anaweza ku hold, ila sio mtu wa kumtegemea,

Kuhusu ETH mifumo yake anatumia kutokana na watu alio nao, hata UTD alimtaka FDJ kwa hali na mali, na wachezaji tunaosajili ni press resistant, Onana, Eriksen, Antony, Licha etc hivyo taratibu ata transform kwenda possession team, na Unaweza kufanya transition ukiwa possesion team pia. Transition sio lazima iwe counter, its just anamaanisha tutakabia juu (Hojlund, Onana na Mount usajili huu unaelekea kukabia juu) so mda mwingi tutaspend langoni mwa wapinzani na kupokonya mipira kadri inavyowezekana.

Mfano mzuri Angalia Liverpool, ni moja kati ya timu nzuri zinazofanya transition ila pia ni posession team. Hata Mancity Guardiola wa siku hizi si kama Wa Barcelona wanapiga Transition za Maana.
 
Wewe mpira unajua hubahatishi Kama kina Flano[/U
[/QUOTE]

Amrabat sio Defensive kwa maana atakuja kuwa mbadala wa Casemiro, ni wa kawaida mno kwenye suala la ukabaji, Amrabat ni Deep lying playmaker mold ya kina De jong sema tu ni wa bei rahisi na kiwango hakijafikia level hizo.

Angalia stats zake FBref


Vitu kama Tackling, Block, interception na vyengine vya defence jamaa hayupo vizuri.

Ila yupo vizuri kwenye kutoa passi na Quality nyengine za Possesion,

Hivyo mechi ngumu jamaa atacheza pale alipocheza Eriksen Msimu uliopita Alongside Casemiro na Mechi laini anaweza ku hold, ila sio mtu wa kumtegemea,

Kuhusu ETH mifumo yake anatumia kutokana na watu alio nao, hata UTD alimtaka FDJ kwa hali na mali, na wachezaji tunaosajili ni press resistant, Onana, Eriksen, Antony, Licha etc hivyo taratibu ata transform kwenda possession team, na Unaweza kufanya transition ukiwa possesion team pia. Transition sio lazima iwe counter, its just anamaanisha tutakabia juu (Hojlund, Onana na Mount usajili huu unaelekea kukabia juu) so mda mwingi tutaspend langoni mwa wapinzani na kupokonya mipira kadri inavyowezekana.

Mfano mzuri Angalia Liverpool, ni moja kati ya timu nzuri zinazofanya transition ila pia ni posession team. Hata Mancity Guardiola wa siku hizi si kama Wa Barcelona wanapiga Transition za Maana.
Upo Sahihi Chief kwenye Mengi hasa la FDJ na Aina za Sajili ila nataka ongeza kidogo katika hili, ntaanza trace since amekuja ETH,

Kwa nini nasema ETH ni Replica zaidi ya Klopp kuliko Pep,
Mosi~ Ni aina ya Characters Wanazitaka katika Dressing Room {Pep alipofika tayari ni Superstar na hata timu Nyingi anakuwa center of attention ni yeye so kila analotaka anapata na hili ni matokeo ya Structure nzuri ya management City {Uwepo wa Sorianno na Txiki}
Kwa Klopp na ETH ipo tofauti kidogo kwa sababu wao wanaamini katika High Tempo Games, na ndo mana sajili nyingi since ETH amekuja EPL zinahusishwa kwa wote, Mf. Nunez, Gakpo, Mount, Amrabat ni wachezaji ambao wamehusishwa na timu zote.
Kumkosa FDJ ambae kwa mimi naamini ndiye Best CM in the World, ETH ali-switch kwa Casemiro na akasuprize Wengi mana kama unavyosema juu amesajilia Press Resistant ila kwa Casa ni tofauti kabisa {Hii inamanisha alianza angalia Nature ya timu, So akaleta zile Characters ambazo zinauishi Mpira, Casa ni Born Winner, Licha ameongeza mengi sana Kwenye Back line, na kadiri anazidi fanya Sajili unaona uelekeo ni ule wa Characters zaidi pamoja na Uwezo wa ku-accomodate mahitaji ya Mwalimu, Angetaka Progressive CM's Angeenda kwa Kina Enzo la Fee, Seko Fofana, Maxence Caqueret, et al

Nizungumzie Dirisha Hili, Ujio wa Mount unamaanisha kwamba Yeye na Bruno wanakuwa ni Injini mbele ya Casemiro ili kuzuia fast Breaks wanaanza fanya Counter Pressing {Hapa tunakubaliana kuhusu Stamina wako nazo Mount na Bruno na lengo kubwa ni kuweza tengeneza Structure ya 3~1~6, na 3~2~5 akiwa anashambulia na 4~4~2 & 4~4~1~1 Hybrid akianza fanya Pressing or Counter Pressing} Mahitaji yameainishwa tangu mwanzo ni GK, RB, CB, CM na ST na amepata walau 60% ya Majitaji yake. Na ukiangalia ETH alikuwa anamtaka Zaidi Timber ila dili ilikuwa Complicated sababu ya Kauli za Van Gaal, Licha amemsajili kwa Opportunity ya yeye kuwapo Sokoni,

Pep anafanya Transition ila utofauti wake na Klopp na ETH anataka Game yake itawaliwe na Possession mostly, Ila ETH na Klopp wanataka CONTROLS Games ila isiwe na Bored Passes Nyingi ni ukikaba Tunakuja ndo tofauti ya Hao mabwana, Na Pep niliona juu kuna mjadala wanasema hajasajili anamng'ang'ania Josko ila Wengi hawajawaza Impact yake{Hii ni mada Nyingine} Mostly timu ya Pep inadepends kwa CM's ila ETH na Klopp wanataka MD's Ziwe ni Injini ila Chance zitokee Pembeni kwa Fb's na Wings Zishambulie Pitia nafasi inayoachwa baina ya CB na FB's wa timu Pinzani! Pep anaprefer 3~2~2~3 na 3~2~3~2 ingawa na yeye amejua Uingereza njia bora ya Kupress ni Shape ya 4~4~2
 
Flano hawa jamaa kifupi hawauzi timu


Joel and Avram Glazer believe that new TV deals being negotiated, the growth of the game in the US, and the new UCL format will add value to #mufc in the coming years.

@iPaperSport
Hawa jamaa hawawezi kuiachia team kizembe
Waache man u wakawekeze timu gani sasa kuna team zina uwekezaji mkubwa hapo england na makombe kila leo ila hawajaifikia thamani ya mashetani wekundu 🔥🔥🔥🔥
 
Hawa jamaa hawawezi kuiachia team kizembe
Waache man u wakawekeze timu gani sasa kuna team zina uwekezaji mkubwa hapo england na makombe kila leo ila hawajaifikia thamani ya mashetani wekundu
Hawawez kabisa ,mikataba minono hivo wamuachie Nani , kwasasa wamefanikiwa kutuliza kelele za mashabiki wanaotaka wauze timu

Nasikia wameweka dau £8B ,akitokea mwenye kiherehere akilifikia wanapandisha tena

Wale wa Liverpool nao walifanya hivi hivi
 
Hawawez kabisa ,mikataba minono hivo wamuachie Nani , kwasasa wamefanikiwa kutuliza kelele za mashabiki wanaotaka wauze timu

Nasikia wameweka dau £8B ,akitokea mwenye kiherehere akilifikia wanapandisha tena

Wale wa Liverpool nao walifanya hivi hivi
TImu ina die hard fans wengi sana
 
Facundo Pellistri has been advised by Ten Hag to join FC Twente on loan. It is a choice between Twente and Boca Juniors this summer.


#ESPN
#𝙏𝙧𝙪𝙨𝙩𝙏𝙝𝙚𝙋𝙧𝙤𝙘𝙚𝙨𝙨𝙀𝙏𝙃
#𝙐𝙣𝙞𝙩𝙚𝙙𝙛𝙤𝙧𝙩𝙝𝙚𝙁𝙖𝙣𝙨
#𝙎𝙝𝙚𝙞𝙠𝙝𝙅𝙖𝙨𝙨𝙞𝙢𝙄𝙣𝘼𝙩𝙈𝙖𝙣𝙐𝙩𝙙
#𝙂𝙡𝙖𝙯𝙚𝙧𝙊𝙐𝙏
#𝙂𝙂𝙈𝙐

man utd |
IMG_20230802_000345_102.jpg
 
Facundo Pellistri has been advised by Ten Hag to join FC Twente on loan. It is a choice between Twente and Boca Juniors this summer.


#ESPN
#𝙏𝙧𝙪𝙨𝙩𝙏𝙝𝙚𝙋𝙧𝙤𝙘𝙚𝙨𝙨𝙀𝙏𝙃
#𝙐𝙣𝙞𝙩𝙚𝙙𝙛𝙤𝙧𝙩𝙝𝙚𝙁𝙖𝙣𝙨
#𝙎𝙝𝙚𝙞𝙠𝙝𝙅𝙖𝙨𝙨𝙞𝙢𝙄𝙣𝘼𝙩𝙈𝙖𝙣𝙐𝙩𝙙
#𝙂𝙡𝙖𝙯𝙚𝙧𝙊𝙐𝙏
#𝙂𝙂𝙈𝙐

man utd |View attachment 2705627
 
Our current August schedule looks like this

#𝙏𝙧𝙪𝙨𝙩𝙏𝙝𝙚𝙋𝙧𝙤𝙘𝙚𝙨𝙨𝙀𝙏𝙃
#𝙐𝙣𝙞𝙩𝙚𝙙𝙛𝙤𝙧𝙩𝙝𝙚𝙁𝙖𝙣𝙨
#𝙎𝙝𝙚𝙞𝙠𝙝𝙅𝙖𝙨𝙨𝙞𝙢𝙄𝙣𝘼𝙩𝙈𝙖𝙣𝙐𝙩𝙙
#𝙂𝙡𝙖𝙯𝙚𝙧𝙊𝙐𝙏
#𝙂𝙂𝙈𝙐

man utd |
IMG_20230802_000412_553.jpg
 
Glazers wapo sana kwa sana tena baada ya kuona update toka OracleNYSE ndio nimeamini 100% zote.

Hakuna namna wameongeza asking price kama kukomoa kwa sababh hakuna atayesogea kununua hivyo wanajihakikishia kuendelea kuwepo.

Kila la kheri kwa Sheikh Jassim kama akiamua kununua klabu nyingine ya EPL hasa West Ham ambayo anahusishwa nayo.


Kwa Glazers round hii mashabiki watatulia kwa muda ila waombe timu ifufuke,ikiendelea kuyumba hasira ya mashabiki juu yao itaongezeka zaidi ya mwanzo ilivyokuwa hasa kwa walichokifanya sasa kuingia katika sale process na kupiga U-turn kjsa greed yao
 
Upo Sahihi Chief kwenye Mengi hasa la FDJ na Aina za Sajili ila nataka ongeza kidogo katika hili, ntaanza trace since amekuja ETH,

Kwa nini nasema ETH ni Replica zaidi ya Klopp kuliko Pep,
Mosi~ Ni aina ya Characters Wanazitaka katika Dressing Room {Pep alipofika tayari ni Superstar na hata timu Nyingi anakuwa center of attention ni yeye so kila analotaka anapata na hili ni matokeo ya Structure nzuri ya management City {Uwepo wa Sorianno na Txiki}
Kwa Klopp na ETH ipo tofauti kidogo kwa sababu wao wanaamini katika High Tempo Games, na ndo mana sajili nyingi since ETH amekuja EPL zinahusishwa kwa wote, Mf. Nunez, Gakpo, Mount, Amrabat ni wachezaji ambao wamehusishwa na timu zote.
Kumkosa FDJ ambae kwa mimi naamini ndiye Best CM in the World, ETH ali-switch kwa Casemiro na akasuprize Wengi mana kama unavyosema juu amesajilia Press Resistant ila kwa Casa ni tofauti kabisa {Hii inamanisha alianza angalia Nature ya timu, So akaleta zile Characters ambazo zinauishi Mpira, Casa ni Born Winner, Licha ameongeza mengi sana Kwenye Back line, na kadiri anazidi fanya Sajili unaona uelekeo ni ule wa Characters zaidi pamoja na Uwezo wa ku-accomodate mahitaji ya Mwalimu, Angetaka Progressive CM's Angeenda kwa Kina Enzo la Fee, Seko Fofana, Maxence Caqueret, et al

Nizungumzie Dirisha Hili, Ujio wa Mount unamaanisha kwamba Yeye na Bruno wanakuwa ni Injini mbele ya Casemiro ili kuzuia fast Breaks wanaanza fanya Counter Pressing {Hapa tunakubaliana kuhusu Stamina wako nazo Mount na Bruno na lengo kubwa ni kuweza tengeneza Structure ya 3~1~6, na 3~2~5 akiwa anashambulia na 4~4~2 & 4~4~1~1 Hybrid akianza fanya Pressing or Counter Pressing} Mahitaji yameainishwa tangu mwanzo ni GK, RB, CB, CM na ST na amepata walau 60% ya Majitaji yake. Na ukiangalia ETH alikuwa anamtaka Zaidi Timber ila dili ilikuwa Complicated sababu ya Kauli za Van Gaal, Licha amemsajili kwa Opportunity ya yeye kuwapo Sokoni,

Pep anafanya Transition ila utofauti wake na Klopp na ETH anataka Game yake itawaliwe na Possession mostly, Ila ETH na Klopp wanataka CONTROLS Games ila isiwe na Bored Passes Nyingi ni ukikaba Tunakuja ndo tofauti ya Hao mabwana, Na Pep niliona juu kuna mjadala wanasema hajasajili anamng'ang'ania Josko ila Wengi hawajawaza Impact yake{Hii ni mada Nyingine} Mostly timu ya Pep inadepends kwa CM's ila ETH na Klopp wanataka MD's Ziwe ni Injini ila Chance zitokee Pembeni kwa Fb's na Wings Zishambulie Pitia nafasi inayoachwa baina ya CB na FB's wa timu Pinzani! Pep anaprefer 3~2~2~3 na 3~2~3~2 ingawa na yeye amejua Uingereza njia bora ya Kupress ni Shape ya 4~4~2
Casemiro ni Usajili wetu kwa ninavyofahamu, Kwenye interview ya Fred jamaa alisema toka May tulishamalizana naye ilikua tu ni sisi kumalizana na madrid ndio ilichelewa sababu ya usajili wa FDJ.

Hapo mwisho ni sawa ulichoongea Pep ni Midfield na Klop ni pembeni na midfield zake zinakua ni Engine, na hapa pia ndio unaona ETH sio kama Klop tu ni blend ya wote na ana vitu vyake vya ziada

Source yetu ya creativity ni Bruno na sio Malacia, Shaw, Bisakka ama Dalot, ingekua mfumo ni kama wa Klopp Shaw angekua muda wote anashambulia, uwezo anao ila most of time Full back wa ETH anasaidia Midfield hasa akicheza Eriksen Malacia anakua kama Nusu Midfield same na Mfumo wa Pep.

Sisi tumecheza na 10 msimu uliopita bruno na msimu huu tumeongeza Mount na Casemiro ni single pivot hii tunafanana na Man city zaidi (Rodri single pivot na mbele yake Gundogan na Bruyne) kuliko 3 man midfield ya Klop bila No 10.

Ila pia tunatumia Winga zinazoingia ndani kama Rashford na Antony, pia Striker wa ETH anashuka chini kutengeneza nafasi kwa watu wa pembeni hii ni sawa na Klop na Firminho ama Nunez.

Pia FDJ na hata Eriksen ni midfield laini hawa hawachezi timu ya Klopp ila wanaelweza cheza kwa Pep mifumo yao.

So mkuu hakuna comparison 100% ya Eth na hao jamaa wawili.
 
So mkuu hakuna comparison 100% ya Eth na hao jamaa wawili
Comparison ya ETH na hawa ipo kwa aina ya Uchezaji, Mwanzo ETH akiwa na AJAX ya Kwanza alikuwa anacheza zaidi Possession Game {Hapa alireplicate Game ya Pep}, na alitegemea zaidi CM's ila Awamu ya Pili baada ya timu kubomoka alitengeneza timu inayofanya Transition zaidi kwa aina ya Players alokuwa nao

Kwa sasa hivi UTD yake inaenda fanana zaidi na Timu ya Klopp kwa aina ya Uchezaji mana Inategemea zaidi Transitions, Hizi zaidi ni zile fast Break baada ya kupata Mpira, CITY wanaeza pata Mpira na kuanza piga sideways Passes kwa sababu wana ubora katika hilo na kufanya Build Up kwenda kushambulia kwa kutumia Nafasi zaidi, UTD na LIVERPOOL inakuwa tofauti Shambulizi zao Mingi zinategemea Mikimbio ya Players wake na Ndo mana Liver wanakuwa hatari zaidi wakiwa wanakuja baada ya kunyang'anya Mpira sawa ya na UTD na ndo inapoelekea
TEAMS.png

Pia FDJ na hata Eriksen ni midfield laini hawa hawachezi timu ya Klopp ila wanaelweza cheza kwa Pep mifumo yao.
Hapa i Chose to Differ, Klopp akianza julikana na Dortmund alikuwa na CM's Soft sana kama unavyowaita Mana alikuwa na Nuri Sahin na Shinji kagawa, Baadae ikawa ni Goetze na Marco Nyuma ya Robert, {Timu zake huwa na Punda, na Dort alikuwa ni Grobkeutz na Kuba}

Sasa hivi amemchukua Szoboszlai na McAllister ambao ni Type za kina Ericksen, FDJ anacheza timu yeyote na Mfumo wowote na hata ukiangalia kitakwimu ana-Balance Game yake kwenye zones zote za Uwanja, Angalia hapa Chini kati ya hao walosajiliwa na wametoka kwenye timu za High Tempo {RB Liepzig} na {Brighton} dhidi ya FDJ
CM.png

Ila pia tunatumia Winga zinazoingia ndani kama Rashford na Antony, pia Striker wa ETH anashuka chini kutengeneza nafasi kwa watu wa pembeni hii ni sawa na Klop na Firminho ama Nunez.
Kwa nini nakwambia UTD inaenda fanana zaidi na Klopp, ni kwa sababu hii ulosema, Rashford Last season amekuwa na msimu bora maana amekuwa akitumika shambulia hizo half Space {Nafasi kati ya CB na Fb} LIVERPOOL Ikiwa na Miaka Productives 18/19~19/20~20/21 watu hatari zaidi walikuwa ni Salah na Mane sababu Firmino anajua Drop Chini na kuwa kama Additiona Attacking Midfielder, Season Ilopita wameteseka na Injuries na Mabadiliko ya Timu

Hojlund ni Monster kwenye Transition na Ndo mana ETH alikuwa Target yake ya kujilipua ingawa Awali alikuwa anamtaka Kane mana Harry anajua Drop chini na kufanya kazi kama ya Firmino, So Ufananisho wa ETH na Klopp kwa aina ya Game anacheza na anataka icheza ni Mkubwa Chief!
 
#mufc are waiting to sell Fred and it will 100% happen. It's difficult with Galatasaray, but other clubs are entering the race.

[Fabrizio Romano]
#𝙏𝙧𝙪𝙨𝙩𝙏𝙝𝙚𝙋𝙧𝙤𝙘𝙚𝙨𝙨𝙀𝙏𝙃
#𝙐𝙣𝙞𝙩𝙚𝙙𝙛𝙤𝙧𝙩𝙝𝙚𝙁𝙖𝙣𝙨
#𝙎𝙝𝙚𝙞𝙠𝙝𝙅𝙖𝙨𝙨𝙞𝙢𝙄𝙣𝘼𝙩𝙈𝙖𝙣𝙐𝙩𝙙
#𝙂𝙡𝙖𝙯𝙚𝙧𝙊𝙐𝙏
#𝙂𝙂𝙈𝙐

man utd |
IMG_20230802_145720_793.jpg
 
Leeds United are showing interest in Brandon Williams, who has found limited opportunities at #mufc.


[Simon Jones]
#𝙏𝙧𝙪𝙨𝙩𝙏𝙝𝙚𝙋𝙧𝙤𝙘𝙚𝙨𝙨𝙀𝙏𝙃
#𝙐𝙣𝙞𝙩𝙚𝙙𝙛𝙤𝙧𝙩𝙝𝙚𝙁𝙖𝙣𝙨
#𝙎𝙝𝙚𝙞𝙠𝙝𝙅𝙖𝙨𝙨𝙞𝙢𝙄𝙣𝘼𝙩𝙈𝙖𝙣𝙐𝙩𝙙
#𝙂𝙡𝙖𝙯𝙚𝙧𝙊𝙐𝙏
#𝙂𝙂𝙈𝙐

man utd |
 
Back
Top Bottom