Dish
JF-Expert Member
- Jun 3, 2019
- 628
- 930
United sijaanza kuifatilia jana. Nilichoandika hapo siyo utabiri ni kitu kilichopo na kinachoendelea United.
Basi endelea kuifuatilia mpaka uielewee
United sijaanza kuifatilia jana. Nilichoandika hapo siyo utabiri ni kitu kilichopo na kinachoendelea United.
Hatuna wachezaji wa anasa kama City mkuu. 4-2-3-1 na 4-3-3 ndio mifumo tutakayotumia. Sijaangalia sana pre season ila Sancho false 9 na huyu Hojlund anayekuja plus Weghorst msimu uliopita na mifumo ya Ajax kumtumia Tadic kama Striker inaonesha ETH sio muumini wa mtu akae mbele, anataka Striker ambaye ana contribute kwenye Build up, Kukaba na kutengeneza, so sio rahisi kutumia Attacking Mid wanne
ETH nadhani sio fair kumfanyia Comparisons na Pep kwa Style ama execution ya Game Plans zao, ETH anazingatia zaidi Build~Up na High Tempo (Still anapenda Badilika kulingana na Mahitaji ya Game) na ndo mana Ajax I {18/19} na Ajax II { 21/22} zina tofauti kubwa sana kiuchezaji, ETH Ni zaidi Copy ya Klopp zaidi kuliko Pep!Hatuna wachezaji wa anasa kama City mkuu. 4-2-3-1 na 4-3-3 ndio mifumo tutakayotumia. Sijaangalia sana pre season ila Sancho false 9 na huyu Hojlund anayekuja plus Weghorst msimu uliopita na mifumo ya Ajax kumtumia Tadic kama Striker inaonesha ETH sio muumini wa mtu akae mbele, anataka Striker ambaye ana contribute kwenye Build up, Kukaba na kutengeneza, so sio rahisi kutumia Attacking Mid wanne.
Sawa.Basi endelea kuifuatilia mpaka uielewee
Wewe mpira unajua hubahatishi Kama kina FlanoETH nadhani sio fair kumfanyia Comparisons na Pep kwa Style ama execution ya Game Plans zao, ETH anazingatia zaidi Build~Up na High Tempo (Still anapenda Badilika kulingana na Mahitaji ya Game) na ndo mana Ajax I {18/19} na Ajax II { 21/22} zina tofauti kubwa sana kiuchezaji, ETH Ni zaidi Copy ya Klopp zaidi kuliko Pep!
AJAX I {18/19} Hii mostly ETH alitaka iwe Possession based Team kwa aina ya wachezaji Yupo nao alikuwa anapendelea zaidi muonekano wa 4~2~3~1 sababu Double Pivot ya Larse Shonne na De Jong ni Tactical na all around midfielders ni Hybrid #6&8 na juu yao ni Ziyech, Tadic, Neres na Donny alikuwa anacheza ile kushambulia nafasi,
AJAX II {21/22} hii ndo kitu anakileta Man U, mana Ajax hii ilikuwa more inacheza 4~1~2~3 (Marzoui, Timber, Licha, Blind, - Alvarez - Gravenberch, Berghuis, - Tadic, Haller, Antony) na ndo UTD ya season hii anaitengeneza kwa Image hiyo, ETH anataka timu inapopata Mpira inaenda shambulia kwa kasi yani def action ikikamilika within 8 seconds wawe wamefanya Attacking action, na ndo mana anasema anataka UTD iwe "Best Transition Team" In the world
Ujio wa Amrabat sio kuanza but ni kuwa na Depth inapotokea ishu ya Suspension ama Injury kwa Casemiro Ubora usipungue kama Msimu huu uloisha mana Game nyingi alokosa jamaa UTD iliwacost Points Nyingi.
Amrabat sio Defensive kwa maana atakuja kuwa mbadala wa Casemiro, ni wa kawaida mno kwenye suala la ukabaji, Amrabat ni Deep lying playmaker mold ya kina De jong sema tu ni wa bei rahisi na kiwango hakijafikia level hizo.ETH nadhani sio fair kumfanyia Comparisons na Pep kwa Style ama execution ya Game Plans zao, ETH anazingatia zaidi Build~Up na High Tempo (Still anapenda Badilika kulingana na Mahitaji ya Game) na ndo mana Ajax I {18/19} na Ajax II { 21/22} zina tofauti kubwa sana kiuchezaji, ETH Ni zaidi Copy ya Klopp zaidi kuliko Pep!
AJAX I {18/19} Hii mostly ETH alitaka iwe Possession based Team kwa aina ya wachezaji Yupo nao alikuwa anapendelea zaidi muonekano wa 4~2~3~1 sababu Double Pivot ya Larse Shonne na De Jong ni Tactical na all around midfielders ni Hybrid #6&8 na juu yao ni Ziyech, Tadic, Neres na Donny alikuwa anacheza ile kushambulia nafasi,
AJAX II {21/22} hii ndo kitu anakileta Man U, mana Ajax hii ilikuwa more inacheza 4~1~2~3 (Marzoui, Timber, Licha, Blind, - Alvarez - Gravenberch, Berghuis, - Tadic, Haller, Antony) na ndo UTD ya season hii anaitengeneza kwa Image hiyo, ETH anataka timu inapopata Mpira inaenda shambulia kwa kasi yani def action ikikamilika within 8 seconds wawe wamefanya Attacking action, na ndo mana anasema anataka UTD iwe "Best Transition Team" In the world
Ujio wa Amrabat sio kuanza but ni kuwa na Depth inapotokea ishu ya Suspension ama Injury kwa Casemiro Ubora usipungue kama Msimu huu uloisha mana Game nyingi alokosa jamaa UTD iliwacost Points Nyingi.
Wewe mpira unajua hubahatishi Kama kina Flano[/U
[/QUOTE]
Upo Sahihi Chief kwenye Mengi hasa la FDJ na Aina za Sajili ila nataka ongeza kidogo katika hili, ntaanza trace since amekuja ETH,Amrabat sio Defensive kwa maana atakuja kuwa mbadala wa Casemiro, ni wa kawaida mno kwenye suala la ukabaji, Amrabat ni Deep lying playmaker mold ya kina De jong sema tu ni wa bei rahisi na kiwango hakijafikia level hizo.
Angalia stats zake FBref
![]()
Sofyan Amrabat Scouting Report for Last 365 Days Men's Big 5 Leagues, UCL, UEL | FBref.com
Compare Sofyan Amrabat to others in passing, goal scoring, attacking, defense and more for the Last 365 Days Men's Big 5 Leagues, UCL, UELfbref.com
Vitu kama Tackling, Block, interception na vyengine vya defence jamaa hayupo vizuri.
Ila yupo vizuri kwenye kutoa passi na Quality nyengine za Possesion,
Hivyo mechi ngumu jamaa atacheza pale alipocheza Eriksen Msimu uliopita Alongside Casemiro na Mechi laini anaweza ku hold, ila sio mtu wa kumtegemea,
Kuhusu ETH mifumo yake anatumia kutokana na watu alio nao, hata UTD alimtaka FDJ kwa hali na mali, na wachezaji tunaosajili ni press resistant, Onana, Eriksen, Antony, Licha etc hivyo taratibu ata transform kwenda possession team, na Unaweza kufanya transition ukiwa possesion team pia. Transition sio lazima iwe counter, its just anamaanisha tutakabia juu (Hojlund, Onana na Mount usajili huu unaelekea kukabia juu) so mda mwingi tutaspend langoni mwa wapinzani na kupokonya mipira kadri inavyowezekana.
Mfano mzuri Angalia Liverpool, ni moja kati ya timu nzuri zinazofanya transition ila pia ni posession team. Hata Mancity Guardiola wa siku hizi si kama Wa Barcelona wanapiga Transition za Maana.
Hawa jamaa hawawezi kuiachia team kizembeFlano hawa jamaa kifupi hawauzi timu
Joel and Avram Glazer believe that new TV deals being negotiated, the growth of the game in the US, and the new UCL format will add value to #mufc in the coming years.
@iPaperSport
Hawawez kabisa ,mikataba minono hivo wamuachie Nani , kwasasa wamefanikiwa kutuliza kelele za mashabiki wanaotaka wauze timuHawa jamaa hawawezi kuiachia team kizembe
Waache man u wakawekeze timu gani sasa kuna team zina uwekezaji mkubwa hapo england na makombe kila leo ila hawajaifikia thamani ya mashetani wekundu![]()
TImu ina die hard fans wengi sanaHawawez kabisa ,mikataba minono hivo wamuachie Nani , kwasasa wamefanikiwa kutuliza kelele za mashabiki wanaotaka wauze timu
Nasikia wameweka dau £8B ,akitokea mwenye kiherehere akilifikia wanapandisha tena
Wale wa Liverpool nao walifanya hivi hivi







Mchezaji wa United yukoje ?1. Bado siyo mchezaji wa United.
2. Hajacheza hata dk 1 kwenye EPL.
Mchezaji wa United lazima awe na mkataba. Official statement ndiyo inasubiriwa, sisi tuna-assume Højlund tayari ni mchezaji wa United ila ni lazima kuwe na legal contract kwanza.Mchezaji wa United yukoje ?
Casemiro ni Usajili wetu kwa ninavyofahamu, Kwenye interview ya Fred jamaa alisema toka May tulishamalizana naye ilikua tu ni sisi kumalizana na madrid ndio ilichelewa sababu ya usajili wa FDJ.Upo Sahihi Chief kwenye Mengi hasa la FDJ na Aina za Sajili ila nataka ongeza kidogo katika hili, ntaanza trace since amekuja ETH,
Kwa nini nasema ETH ni Replica zaidi ya Klopp kuliko Pep,
Mosi~ Ni aina ya Characters Wanazitaka katika Dressing Room {Pep alipofika tayari ni Superstar na hata timu Nyingi anakuwa center of attention ni yeye so kila analotaka anapata na hili ni matokeo ya Structure nzuri ya management City {Uwepo wa Sorianno na Txiki}
Kwa Klopp na ETH ipo tofauti kidogo kwa sababu wao wanaamini katika High Tempo Games, na ndo mana sajili nyingi since ETH amekuja EPL zinahusishwa kwa wote, Mf. Nunez, Gakpo, Mount, Amrabat ni wachezaji ambao wamehusishwa na timu zote.
Kumkosa FDJ ambae kwa mimi naamini ndiye Best CM in the World, ETH ali-switch kwa Casemiro na akasuprize Wengi mana kama unavyosema juu amesajilia Press Resistant ila kwa Casa ni tofauti kabisa {Hii inamanisha alianza angalia Nature ya timu, So akaleta zile Characters ambazo zinauishi Mpira, Casa ni Born Winner, Licha ameongeza mengi sana Kwenye Back line, na kadiri anazidi fanya Sajili unaona uelekeo ni ule wa Characters zaidi pamoja na Uwezo wa ku-accomodate mahitaji ya Mwalimu, Angetaka Progressive CM's Angeenda kwa Kina Enzo la Fee, Seko Fofana, Maxence Caqueret, et al
Nizungumzie Dirisha Hili, Ujio wa Mount unamaanisha kwamba Yeye na Bruno wanakuwa ni Injini mbele ya Casemiro ili kuzuia fast Breaks wanaanza fanya Counter Pressing {Hapa tunakubaliana kuhusu Stamina wako nazo Mount na Bruno na lengo kubwa ni kuweza tengeneza Structure ya 3~1~6, na 3~2~5 akiwa anashambulia na 4~4~2 & 4~4~1~1 Hybrid akianza fanya Pressing or Counter Pressing} Mahitaji yameainishwa tangu mwanzo ni GK, RB, CB, CM na ST na amepata walau 60% ya Majitaji yake. Na ukiangalia ETH alikuwa anamtaka Zaidi Timber ila dili ilikuwa Complicated sababu ya Kauli za Van Gaal, Licha amemsajili kwa Opportunity ya yeye kuwapo Sokoni,
Pep anafanya Transition ila utofauti wake na Klopp na ETH anataka Game yake itawaliwe na Possession mostly, Ila ETH na Klopp wanataka CONTROLS Games ila isiwe na Bored Passes Nyingi ni ukikaba Tunakuja ndo tofauti ya Hao mabwana, Na Pep niliona juu kuna mjadala wanasema hajasajili anamng'ang'ania Josko ila Wengi hawajawaza Impact yake{Hii ni mada Nyingine} Mostly timu ya Pep inadepends kwa CM's ila ETH na Klopp wanataka MD's Ziwe ni Injini ila Chance zitokee Pembeni kwa Fb's na Wings Zishambulie Pitia nafasi inayoachwa baina ya CB na FB's wa timu Pinzani! Pep anaprefer 3~2~2~3 na 3~2~3~2 ingawa na yeye amejua Uingereza njia bora ya Kupress ni Shape ya 4~4~2
Comparison ya ETH na hawa ipo kwa aina ya Uchezaji, Mwanzo ETH akiwa na AJAX ya Kwanza alikuwa anacheza zaidi Possession Game {Hapa alireplicate Game ya Pep}, na alitegemea zaidi CM's ila Awamu ya Pili baada ya timu kubomoka alitengeneza timu inayofanya Transition zaidi kwa aina ya Players alokuwa naoSo mkuu hakuna comparison 100% ya Eth na hao jamaa wawili
Hapa i Chose to Differ, Klopp akianza julikana na Dortmund alikuwa na CM's Soft sana kama unavyowaita Mana alikuwa na Nuri Sahin na Shinji kagawa, Baadae ikawa ni Goetze na Marco Nyuma ya Robert, {Timu zake huwa na Punda, na Dort alikuwa ni Grobkeutz na Kuba}Pia FDJ na hata Eriksen ni midfield laini hawa hawachezi timu ya Klopp ila wanaelweza cheza kwa Pep mifumo yao.
Kwa nini nakwambia UTD inaenda fanana zaidi na Klopp, ni kwa sababu hii ulosema, Rashford Last season amekuwa na msimu bora maana amekuwa akitumika shambulia hizo half Space {Nafasi kati ya CB na Fb} LIVERPOOL Ikiwa na Miaka Productives 18/19~19/20~20/21 watu hatari zaidi walikuwa ni Salah na Mane sababu Firmino anajua Drop Chini na kuwa kama Additiona Attacking Midfielder, Season Ilopita wameteseka na Injuries na Mabadiliko ya TimuIla pia tunatumia Winga zinazoingia ndani kama Rashford na Antony, pia Striker wa ETH anashuka chini kutengeneza nafasi kwa watu wa pembeni hii ni sawa na Klop na Firminho ama Nunez.