Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Upo Sahihi Chief kwenye Mengi hasa la FDJ na Aina za Sajili ila nataka ongeza kidogo katika hili, ntaanza trace since amekuja ETH,

Kwa nini nasema ETH ni Replica zaidi ya Klopp kuliko Pep,
Mosi~ Ni aina ya Characters Wanazitaka katika Dressing Room {Pep alipofika tayari ni Superstar na hata timu Nyingi anakuwa center of attention ni yeye so kila analotaka anapata na hili ni matokeo ya Structure nzuri ya management City {Uwepo wa Sorianno na Txiki}
Kwa Klopp na ETH ipo tofauti kidogo kwa sababu wao wanaamini katika High Tempo Games, na ndo mana sajili nyingi since ETH amekuja EPL zinahusishwa kwa wote, Mf. Nunez, Gakpo, Mount, Amrabat ni wachezaji ambao wamehusishwa na timu zote.
Kumkosa FDJ ambae kwa mimi naamini ndiye Best CM in the World, ETH ali-switch kwa Casemiro na akasuprize Wengi mana kama unavyosema juu amesajilia Press Resistant ila kwa Casa ni tofauti kabisa {Hii inamanisha alianza angalia Nature ya timu, So akaleta zile Characters ambazo zinauishi Mpira, Casa ni Born Winner, Licha ameongeza mengi sana Kwenye Back line, na kadiri anazidi fanya Sajili unaona uelekeo ni ule wa Characters zaidi pamoja na Uwezo wa ku-accomodate mahitaji ya Mwalimu, Angetaka Progressive CM's Angeenda kwa Kina Enzo la Fee, Seko Fofana, Maxence Caqueret, et al

Nizungumzie Dirisha Hili, Ujio wa Mount unamaanisha kwamba Yeye na Bruno wanakuwa ni Injini mbele ya Casemiro ili kuzuia fast Breaks wanaanza fanya Counter Pressing {Hapa tunakubaliana kuhusu Stamina wako nazo Mount na Bruno na lengo kubwa ni kuweza tengeneza Structure ya 3~1~6, na 3~2~5 akiwa anashambulia na 4~4~2 & 4~4~1~1 Hybrid akianza fanya Pressing or Counter Pressing} Mahitaji yameainishwa tangu mwanzo ni GK, RB, CB, CM na ST na amepata walau 60% ya Majitaji yake. Na ukiangalia ETH alikuwa anamtaka Zaidi Timber ila dili ilikuwa Complicated sababu ya Kauli za Van Gaal, Licha amemsajili kwa Opportunity ya yeye kuwapo Sokoni,

Pep anafanya Transition ila utofauti wake na Klopp na ETH anataka Game yake itawaliwe na Possession mostly, Ila ETH na Klopp wanataka CONTROLS Games ila isiwe na Bored Passes Nyingi ni ukikaba Tunakuja ndo tofauti ya Hao mabwana, Na Pep niliona juu kuna mjadala wanasema hajasajili anamng'ang'ania Josko ila Wengi hawajawaza Impact yake{Hii ni mada Nyingine} Mostly timu ya Pep inadepends kwa CM's ila ETH na Klopp wanataka MD's Ziwe ni Injini ila Chance zitokee Pembeni kwa Fb's na Wings Zishambulie Pitia nafasi inayoachwa baina ya CB na FB's wa timu Pinzani! Pep anaprefer 3~2~2~3 na 3~2~3~2 ingawa na yeye amejua Uingereza njia bora ya Kupress ni Shape ya 4~4~2
Casemiro ni Usajili wetu kwa ninavyofahamu, Kwenye interview ya Fred jamaa alisema toka May tulishamalizana naye ilikua tu ni sisi kumalizana na madrid ndio ilichelewa sababu ya usajili wa FDJ.

Hapo mwisho ni sawa ulichoongea Pep ni Midfield na Klop ni pembeni na midfield zake zinakua ni Engine, na hapa pia ndio unaona ETH sio kama Klop tu ni blend ya wote na ana vitu vyake vya ziada

Source yetu ya creativity ni Bruno na sio Malacia, Shaw, Bisakka ama Dalot, ingekua mfumo ni kama wa Klopp Shaw angekua muda wote anashambulia, uwezo anao ila most of time Full back wa ETH anasaidia Midfield hasa akicheza Eriksen Malacia anakua kama Nusu Midfield same na Mfumo wa Pep.

Sisi tumecheza na 10 msimu uliopita bruno na msimu huu tumeongeza Mount na Casemiro ni single pivot hii tunafanana na Man city zaidi (Rodri single pivot na mbele yake Gundogan na Bruyne) kuliko 3 man midfield ya Klop bila No 10.

Ila pia tunatumia Winga zinazoingia ndani kama Rashford na Antony, pia Striker wa ETH anashuka chini kutengeneza nafasi kwa watu wa pembeni hii ni sawa na Klop na Firminho ama Nunez.

Pia FDJ na hata Eriksen ni midfield laini hawa hawachezi timu ya Klopp ila wanaelweza cheza kwa Pep mifumo yao.

So mkuu hakuna comparison 100% ya Eth na hao jamaa wawili.
 
So mkuu hakuna comparison 100% ya Eth na hao jamaa wawili
Comparison ya ETH na hawa ipo kwa aina ya Uchezaji, Mwanzo ETH akiwa na AJAX ya Kwanza alikuwa anacheza zaidi Possession Game {Hapa alireplicate Game ya Pep}, na alitegemea zaidi CM's ila Awamu ya Pili baada ya timu kubomoka alitengeneza timu inayofanya Transition zaidi kwa aina ya Players alokuwa nao

Kwa sasa hivi UTD yake inaenda fanana zaidi na Timu ya Klopp kwa aina ya Uchezaji mana Inategemea zaidi Transitions, Hizi zaidi ni zile fast Break baada ya kupata Mpira, CITY wanaeza pata Mpira na kuanza piga sideways Passes kwa sababu wana ubora katika hilo na kufanya Build Up kwenda kushambulia kwa kutumia Nafasi zaidi, UTD na LIVERPOOL inakuwa tofauti Shambulizi zao Mingi zinategemea Mikimbio ya Players wake na Ndo mana Liver wanakuwa hatari zaidi wakiwa wanakuja baada ya kunyang'anya Mpira sawa ya na UTD na ndo inapoelekea
TEAMS.png

Pia FDJ na hata Eriksen ni midfield laini hawa hawachezi timu ya Klopp ila wanaelweza cheza kwa Pep mifumo yao.
Hapa i Chose to Differ, Klopp akianza julikana na Dortmund alikuwa na CM's Soft sana kama unavyowaita Mana alikuwa na Nuri Sahin na Shinji kagawa, Baadae ikawa ni Goetze na Marco Nyuma ya Robert, {Timu zake huwa na Punda, na Dort alikuwa ni Grobkeutz na Kuba}

Sasa hivi amemchukua Szoboszlai na McAllister ambao ni Type za kina Ericksen, FDJ anacheza timu yeyote na Mfumo wowote na hata ukiangalia kitakwimu ana-Balance Game yake kwenye zones zote za Uwanja, Angalia hapa Chini kati ya hao walosajiliwa na wametoka kwenye timu za High Tempo {RB Liepzig} na {Brighton} dhidi ya FDJ
CM.png

Ila pia tunatumia Winga zinazoingia ndani kama Rashford na Antony, pia Striker wa ETH anashuka chini kutengeneza nafasi kwa watu wa pembeni hii ni sawa na Klop na Firminho ama Nunez.
Kwa nini nakwambia UTD inaenda fanana zaidi na Klopp, ni kwa sababu hii ulosema, Rashford Last season amekuwa na msimu bora maana amekuwa akitumika shambulia hizo half Space {Nafasi kati ya CB na Fb} LIVERPOOL Ikiwa na Miaka Productives 18/19~19/20~20/21 watu hatari zaidi walikuwa ni Salah na Mane sababu Firmino anajua Drop Chini na kuwa kama Additiona Attacking Midfielder, Season Ilopita wameteseka na Injuries na Mabadiliko ya Timu

Hojlund ni Monster kwenye Transition na Ndo mana ETH alikuwa Target yake ya kujilipua ingawa Awali alikuwa anamtaka Kane mana Harry anajua Drop chini na kufanya kazi kama ya Firmino, So Ufananisho wa ETH na Klopp kwa aina ya Game anacheza na anataka icheza ni Mkubwa Chief!
 
#mufc are waiting to sell Fred and it will 100% happen. It's difficult with Galatasaray, but other clubs are entering the race.

[Fabrizio Romano]
#𝙏𝙧𝙪𝙨𝙩𝙏𝙝𝙚𝙋𝙧𝙤𝙘𝙚𝙨𝙨𝙀𝙏𝙃
#𝙐𝙣𝙞𝙩𝙚𝙙𝙛𝙤𝙧𝙩𝙝𝙚𝙁𝙖𝙣𝙨
#𝙎𝙝𝙚𝙞𝙠𝙝𝙅𝙖𝙨𝙨𝙞𝙢𝙄𝙣𝘼𝙩𝙈𝙖𝙣𝙐𝙩𝙙
#𝙂𝙡𝙖𝙯𝙚𝙧𝙊𝙐𝙏
#𝙂𝙂𝙈𝙐

man utd |
IMG_20230802_145720_793.jpg
 
Leeds United are showing interest in Brandon Williams, who has found limited opportunities at #mufc.


[Simon Jones]
#𝙏𝙧𝙪𝙨𝙩𝙏𝙝𝙚𝙋𝙧𝙤𝙘𝙚𝙨𝙨𝙀𝙏𝙃
#𝙐𝙣𝙞𝙩𝙚𝙙𝙛𝙤𝙧𝙩𝙝𝙚𝙁𝙖𝙣𝙨
#𝙎𝙝𝙚𝙞𝙠𝙝𝙅𝙖𝙨𝙨𝙞𝙢𝙄𝙣𝘼𝙩𝙈𝙖𝙣𝙐𝙩𝙙
#𝙂𝙡𝙖𝙯𝙚𝙧𝙊𝙐𝙏
#𝙂𝙂𝙈𝙐

man utd |
 
An announcement on Mason Greenwood's future is now a matter of days, or even the next hours. It all depends on #mufc. Erik ten Hag will be involved in the technical decision, whether United want to keep him, loan him or sell him.

[Fabrizio Romano]
#𝙏𝙧𝙪𝙨𝙩𝙏𝙝𝙚𝙋𝙧𝙤𝙘𝙚𝙨𝙨𝙀𝙏𝙃
#𝙐𝙣𝙞𝙩𝙚𝙙𝙛𝙤𝙧𝙩𝙝𝙚𝙁𝙖𝙣𝙨
#𝙎𝙝𝙚𝙞𝙠𝙝𝙅𝙖𝙨𝙨𝙞𝙢𝙄𝙣𝘼𝙩𝙈𝙖𝙣𝙐𝙩𝙙
#𝙂𝙡𝙖𝙯𝙚𝙧𝙊𝙐𝙏
#𝙂𝙂𝙈𝙐

man utd |
IMG_20230802_145656_923.jpg
 
Sofyan Amrabat wants to go. He wants to leave Fiorentina and play for #mufc. He said yes to United already.

[Fabrizio Romano]
#𝙏𝙧𝙪𝙨𝙩𝙏𝙝𝙚𝙋𝙧𝙤𝙘𝙚𝙨𝙨𝙀𝙏𝙃
#𝙐𝙣𝙞𝙩𝙚𝙙𝙛𝙤𝙧𝙩𝙝𝙚𝙁𝙖𝙣𝙨
#𝙎𝙝𝙚𝙞𝙠𝙝𝙅𝙖𝙨𝙨𝙞𝙢𝙄𝙣𝘼𝙩𝙈𝙖𝙣𝙐𝙩𝙙
#𝙂𝙡𝙖𝙯𝙚𝙧𝙊𝙐𝙏
#𝙂𝙂𝙈𝙐

man utd |
IMG_20230802_145632_510.jpg
 
Albert Botines (Andre Onana’s agent): “Towards April, many clubs inquired about Andre. Tottenham have asked for information, Chelsea have had a very strong interest. But Erik ten Hag was key of this deal. We are looking forward to win titles with #mufc. We have a great desire to rock.”

[Calciomercato]
#𝙏𝙧𝙪𝙨𝙩𝙏𝙝𝙚𝙋𝙧𝙤𝙘𝙚𝙨𝙨𝙀𝙏𝙃
#𝙐𝙣𝙞𝙩𝙚𝙙𝙛𝙤𝙧𝙩𝙝𝙚𝙁𝙖𝙣𝙨
#𝙎𝙝𝙚𝙞𝙠𝙝𝙅𝙖𝙨𝙨𝙞𝙢𝙄𝙣𝘼𝙩𝙈𝙖𝙣𝙐𝙩𝙙
#𝙂𝙡𝙖𝙯𝙚𝙧𝙊𝙐𝙏
#𝙂𝙂𝙈𝙐

man utd |
IMG_20230802_145622_900.jpg
 
The #mufc takeover process has been effectively “paused” as far as at least one of the two main bidders are concerned.

There is suspicion from at least one of the people close to the #mufc sale process that Avram and Joel Glazer have been disappointed with the size of the offers for the club.

Joel and Avram Glazer believe that new TV deals being negotiated, the growth of the game in the US, and the new UCL format will add value to #mufc in the coming years.


[iPaperSport]
#𝙏𝙧𝙪𝙨𝙩𝙏𝙝𝙚𝙋𝙧𝙤𝙘𝙚𝙨𝙨𝙀𝙏𝙃
#𝙐𝙣𝙞𝙩𝙚𝙙𝙛𝙤𝙧𝙩𝙝𝙚𝙁𝙖𝙣𝙨
#𝙎𝙝𝙚𝙞𝙠𝙝𝙅𝙖𝙨𝙨𝙞𝙢𝙄𝙣𝘼𝙩𝙈𝙖𝙣𝙐𝙩𝙙
#𝙂𝙡𝙖𝙯𝙚𝙧𝙊𝙐𝙏
#𝙂𝙂𝙈𝙐

man utd |
IMG_20230802_145501_338.jpg
 
ManUtd share price is plummeting off the back of recent news reports.

#𝙏𝙧𝙪𝙨𝙩𝙏𝙝𝙚𝙋𝙧𝙤𝙘𝙚𝙨𝙨𝙀𝙏𝙃
#𝙐𝙣𝙞𝙩𝙚𝙙𝙛𝙤𝙧𝙩𝙝𝙚𝙁𝙖𝙣𝙨
#𝙎𝙝𝙚𝙞𝙠𝙝𝙅𝙖𝙨𝙨𝙞𝙢𝙄𝙣𝘼𝙩𝙈𝙖𝙣𝙐𝙩𝙙
#𝙂𝙡𝙖𝙯𝙚𝙧𝙊𝙐𝙏
#𝙂𝙂𝙈𝙐

man utd |
IMG_20230802_145541_562.jpg
 
A,B or C?

#𝙏𝙧𝙪𝙨𝙩𝙏𝙝𝙚𝙋𝙧𝙤𝙘𝙚𝙨𝙨𝙀𝙏𝙃
#𝙐𝙣𝙞𝙩𝙚𝙙𝙛𝙤𝙧𝙩𝙝𝙚𝙁𝙖𝙣𝙨
#𝙎𝙝𝙚𝙞𝙠𝙝𝙅𝙖𝙨𝙨𝙞𝙢𝙄𝙣𝘼𝙩𝙈𝙖𝙣𝙐𝙩𝙙
#𝙂𝙡𝙖𝙯𝙚𝙧𝙊𝙐𝙏
#𝙂𝙂𝙈𝙐

man utd |
IMG_20230802_145334_286.jpg
 
A,B or C?

#𝙏𝙧𝙪𝙨𝙩𝙏𝙝𝙚𝙋𝙧𝙤𝙘𝙚𝙨𝙨𝙀𝙏𝙃
#𝙐𝙣𝙞𝙩𝙚𝙙𝙛𝙤𝙧𝙩𝙝𝙚𝙁𝙖𝙣𝙨
#𝙎𝙝𝙚𝙞𝙠𝙝𝙅𝙖𝙨𝙨𝙞𝙢𝙄𝙣𝘼𝙩𝙈𝙖𝙣𝙐𝙩𝙙
#𝙂𝙡𝙖𝙯𝙚𝙧𝙊𝙐𝙏
#𝙂𝙂𝙈𝙐

man utd |View attachment 2706298
C
 
A,B or C?

#𝙏𝙧𝙪𝙨𝙩𝙏𝙝𝙚𝙋𝙧𝙤𝙘𝙚𝙨𝙨𝙀𝙏𝙃
#𝙐𝙣𝙞𝙩𝙚𝙙𝙛𝙤𝙧𝙩𝙝𝙚𝙁𝙖𝙣𝙨
#𝙎𝙝𝙚𝙞𝙠𝙝𝙅𝙖𝙨𝙨𝙞𝙢𝙄𝙣𝘼𝙩𝙈𝙖𝙣𝙐𝙩𝙙
#𝙂𝙡𝙖𝙯𝙚𝙧𝙊𝙐𝙏
#𝙂𝙂𝙈𝙐

man utd |View attachment 2706298
C but RW weka Sancho au Anthon
 
Comparison ya ETH na hawa ipo kwa aina ya Uchezaji, Mwanzo ETH akiwa na AJAX ya Kwanza alikuwa anacheza zaidi Possession Game {Hapa alireplicate Game ya Pep}, na alitegemea zaidi CM's ila Awamu ya Pili baada ya timu kubomoka alitengeneza timu inayofanya Transition zaidi kwa aina ya Players alokuwa nao

Kwa sasa hivi UTD yake inaenda fanana zaidi na Timu ya Klopp kwa aina ya Uchezaji mana Inategemea zaidi Transitions, Hizi zaidi ni zile fast Break baada ya kupata Mpira, CITY wanaeza pata Mpira na kuanza piga sideways Passes kwa sababu wana ubora katika hilo na kufanya Build Up kwenda kushambulia kwa kutumia Nafasi zaidi, UTD na LIVERPOOL inakuwa tofauti Shambulizi zao Mingi zinategemea Mikimbio ya Players wake na Ndo mana Liver wanakuwa hatari zaidi wakiwa wanakuja baada ya kunyang'anya Mpira sawa ya na UTD na ndo inapoelekea View attachment 2706261
Mkuu usichanganye Transition na Counter, Counter ni Transition na sio transition zote ni Counter, mfano Madrid ya Mou ilikua inafanya Counter ila kwa winga wenyewe kasi na inaanzia Golini kwao zikipigwa Counter viberenge mpaka Goli la wapinzani.

Man city wanafanya Transition na Eth pia atafanya Transition ndio maana anataka watu wanaopress mbele, msimu uliopita City kapiga counter na Transition za kutosha tu, Guardiola wa sasa si yule wa Barca. So hayo mambo ya Sideways pass ni kumbukumbu zako za zamani za Guardiola na sio City Ya Haaland inavyocheza.
Hapa i Chose to Differ, Klopp akianza julikana na Dortmund alikuwa na CM's Soft sana kama unavyowaita Mana alikuwa na Nuri Sahin na Shinji kagawa, Baadae ikawa ni Goetze na Marco Nyuma ya Robert, {Timu zake huwa na Punda, na Dort alikuwa ni Grobkeutz na Kuba}

Sasa hivi amemchukua Szoboszlai na McAllister ambao ni Type za kina Ericksen, FDJ anacheza timu yeyote na Mfumo wowote na hata ukiangalia kitakwimu ana-Balance Game yake kwenye zones zote za Uwanja, Angalia hapa Chini kati ya hao walosajiliwa na wametoka kwenye timu za High Tempo {RB Liepzig} na {Brighton} dhidi ya FDJ
Hapo umetaja no 10 na mawinga wengine, Gotze alikua 10, na Marco kama Ulimaanisha Reus alikua attacking midfield anacheza positon zote mbele kulia, kushoto kati kama Sancho tu. pia Nuri sahin hajawahi kuwa Mchezaji laini ana stats kubwa za Tackle na Interception kushinda hata Casemiro na Wan Bissaka.

Sijamuangalia McAlister sana kwa World cup na hizo mechi chache za Brighton jamaa ni Engine ya maana ana cover kila nyasi uwanjani, hii Heatmap yake Epl
images.jpeg-47.jpg

View attachment 2706270

Kwa nini nakwambia UTD inaenda fanana zaidi na Klopp, ni kwa sababu hii ulosema, Rashford Last season amekuwa na msimu bora maana amekuwa akitumika shambulia hizo half Space {Nafasi kati ya CB na Fb} LIVERPOOL Ikiwa na Miaka Productives 18/19~19/20~20/21 watu hatari zaidi walikuwa ni Salah na Mane sababu Firmino anajua Drop Chini na kuwa kama Additiona Attacking Midfielder, Season Ilopita wameteseka na Injuries na Mabadiliko ya Timu

Hojlund ni Monster kwenye Transition na Ndo mana ETH alikuwa Target yake ya kujilipua ingawa Awali alikuwa anamtaka Kane mana Harry anajua Drop chini na kufanya kazi kama ya Firmino, So Ufananisho wa ETH na Klopp kwa aina ya Game anacheza na anataka icheza ni Mkubwa Chief!
Ila Still tuna Bruno na Mount hence hatutacheza kama liverpool 100% thats my point, hata tukitumia 4-3-3 kama Liverpool Still creativity yetu inatoka katikati. Antony, Rashford, Bissaka, Malacia wote hawa sio creative players kwamba tucheze kama Klop tuwategemee wao. Msimu uliopita wachezaji watano waliotoa Assist zaidi ni Bruno, Eriksen, Rashford, Casemiro na Fred. Wanne kati ya 5 wanatoka kati, na Sioni msimu huu tukibadilika, sana sana Mtoe Fred mueke Mount, hao watano ndio watakua Source ya Magoli kwetu.
 
Mkuu usichanganye Transition na Counter, Counter ni Transition na sio transition zote ni Counter, mfano Madrid ya Mou ilikua inafanya Counter ila kwa winga wenyewe kasi na inaanzia Golini kwao zikipigwa Counter viberenge mpaka Goli la wapinzani.

Man city wanafanya Transition na Eth pia atafanya Transition ndio maana anataka watu wanaopress mbele, msimu uliopita City kapiga counter na Transition za kutosha tu, Guardiola wa sasa si yule wa Barca. So hayo mambo ya Sideways pass ni kumbukumbu zako za zamani za Guardiola na sio City Ya Haaland inavyocheza.

Hapo umetaja no 10 na mawinga wengine, Gotze alikua 10, na Marco kama Ulimaanisha Reus alikua attacking midfield anacheza positon zote mbele kulia, kushoto kati kama Sancho tu. pia Nuri sahin hajawahi kuwa Mchezaji laini ana stats kubwa za Tackle na Interception kushinda hata Casemiro na Wan Bissaka.

Sijamuangalia McAlister sana kwa World cup na hizo mechi chache za Brighton jamaa ni Engine ya maana ana cover kila nyasi uwanjani, hii Heatmap yake Epl
View attachment 2706365

Ila Still tuna Bruno na Mount hence hatutacheza kama liverpool 100% thats my point, hata tukitumia 4-3-3 kama Liverpool Still creativity yetu inatoka katikati. Antony, Rashford, Bissaka, Malacia wote hawa sio creative players kwamba tucheze kama Klop tuwategemee wao. Msimu uliopita wachezaji watano waliotoa Assist zaidi ni Bruno, Eriksen, Rashford, Casemiro na Fred. Wanne kati ya 5 wanatoka kati, na Sioni msimu huu tukibadilika, sana sana Mtoe Fred mueke Mount, hao watano ndio watakua Source ya Magoli kwetu.
Nakubali, nafikiri na hii ndio maana kipa kabadilishwa pia.
 
tuna Bruno na Mount hence hatutacheza kama liverpool 100% thats my point, hata tukitumia 4-3-3 kama Liverpool Still creativity yetu inatoka katikati. Antony, Rashford, Bissaka, Malacia wote hawa sio creative players kwamba tucheze kama Klop tuwategemee wao
Hapa nimekupata Chief! Ila Pia nachokizungumzia ni tunaelekea uelekeo wa Klopp zaidi ya Pep, Timu ya Klopp imechanganya Baada ya Kupata wachezaji wote anataka Mpaka anakuja pata Pacha ya Robbo na TAA tayari ashapitia wengi.

Mkuu usichanganye Transition na Counter, Counter ni Transition na sio transition zote ni Counter, mfano Madrid ya Mou ilikua inafanya Counter ila kwa winga wenyewe kasi na inaanzia Golini kwao zikipigwa Counter viberenge mpaka Goli la wapinzani
Kuhusu Transition hakuna mahala nimehitimisha kwamba Ni "Counter" Ila kwa kuwa Umegusia ngoja na mimi niisemee, "Transition" Ni Counter Plays zinaotegemea zaidi Speed, na zina Phases 2 ila Zina Zones 3 ambazo zina sub-zones Nyingi

Alichokuwa anafanya Mou kwa Reference yako Ni Transition kwenye Format ya Attacking Play ambayo ndo hii unayoikataa kama "Counter" ila Tafsiri rahisi ni Shambulizi la haraka baada ya kupoka mpira,

Transition nyingine ni "Defensive" Hii kila mmoja ana namna yake ya kufanya Set-Ups ila kirahisi sana ndo Wengi huizungumzia kama "Counter Pressing" mana ni Tukio la haraka baada ya kufeli tukio jingine (hapa wamepoteza Mpira so kuurudisha kwenye Himaya ndo kinachofanyika kuanza Press kwa haraka kujilinda na kutaka pata Mpira kushambulia haraka vile vile)

Umesema Pep anafanya Transition Play Nyingi!!! Mtizame Upya na uangalie aina ya Magoli yanfungwa na City Mengi ni Tap-Ins baada ya Domination {Possession Game}, Tofauti na Salah na Rashford wana Magoli mengi ya Mikimbio. Mwangalie Rodri sideways na square passes zile Simple pass anazo Nyingi ku-control Games
 
Hapa nimekupata Chief! Ila Pia nachokizungumzia ni tunaelekea uelekeo wa Klopp zaidi ya Pep, Timu ya Klopp imechanganya Baada ya Kupata wachezaji wote anataka Mpaka anakuja pata Pacha ya Robbo na TAA tayari ashapitia wengi.


Kuhusu Transition hakuna mahala nimehitimisha kwamba Ni "Counter" Ila kwa kuwa Umegusia ngoja na mimi niisemee, "Transition" Ni Counter Plays zinaotegemea zaidi Speed, na zina Phases 2 ila Zina Zones 3 ambazo zina sub-zones Nyingi

Alichokuwa anafanya Mou kwa Reference yako Ni Transition kwenye Format ya Attacking Play ambayo ndo hii unayoikataa kama "Counter" ila Tafsiri rahisi ni Shambulizi la haraka baada ya kupoka mpira,

Transition nyingine ni "Defensive" Hii kila mmoja ana namna yake ya kufanya Set-Ups ila kirahisi sana ndo Wengi huizungumzia kama "Counter Pressing" mana ni Tukio la haraka baada ya kufeli tukio jingine (hapa wamepoteza Mpira so kuurudisha kwenye Himaya ndo kinachofanyika kuanza Press kwa haraka kujilinda na kutaka pata Mpira kushambulia haraka vile vile)

Umesema Pep anafanya Transition Play Nyingi!!! Mtizame Upya na uangalie aina ya Magoli yanfungwa na City Mengi ni Tap-Ins baada ya Domination {Possession Game}, Tofauti na Salah na Rashford wana Magoli mengi ya Mikimbio. Mwangalie Rodri sideways na square passes zile Simple pass anazo Nyingi ku-control Games
Mkuu wewe unatumia uzoefu wako wa Pep na sio Man City ya karibuni, Pep siku hizi anao anao kampunguza sana na msimu uliopita Man City walifungana na Liverpool kwenye Magoli ya Counter Nyuma ya UTD.

Screenshot_20230802-214549_1.png


Fainali tu ya juzi Na Inter uliona walivyopaki basi na kupiga Counter wakati fulani wa Mechi,

Angalia hii mechi City 4 Arsenal 1
1. Goli la kwanza Counter mpira mrefuuu toka kwa beki
2. Goli la 3 Transition ninazomaanisha



Hakuna Tap in hata moja hapo
 
Andre Onana the policeman stats:

2 games,
4 goals conceded,
0 wins
43 forward passes
3 step overs
4 shouts
20230802_234942.jpg
 
Leon Goretzka is still on #mufc's list. The last ten days have clearly shown that he won’t be a starter under Thomas Tuchel at Bayern Munich.


[Florian Plettenberg]
#𝙏𝙧𝙪𝙨𝙩𝙏𝙝𝙚𝙋𝙧𝙤𝙘𝙚𝙨𝙨𝙀𝙏𝙃
#𝙐𝙣𝙞𝙩𝙚𝙙𝙛𝙤𝙧𝙩𝙝𝙚𝙁𝙖𝙣𝙨
#𝙎𝙝𝙚𝙞𝙠𝙝𝙅𝙖𝙨𝙨𝙞𝙢𝙄𝙣𝘼𝙩𝙈𝙖𝙣𝙐𝙩𝙙
#𝙂𝙡𝙖𝙯𝙚𝙧𝙊𝙐𝙏
#𝙂𝙂𝙈𝙐

man utd |
IMG_20230803_002903_046.jpg
 
Leon Goretzka is still on #mufc's list. The last ten days have clearly shown that he won’t be a starter under Thomas Tuchel at Bayern Munich.


[Florian Plettenberg]
#𝙏𝙧𝙪𝙨𝙩𝙏𝙝𝙚𝙋𝙧𝙤𝙘𝙚𝙨𝙨𝙀𝙏𝙃
#𝙐𝙣𝙞𝙩𝙚𝙙𝙛𝙤𝙧𝙩𝙝𝙚𝙁𝙖𝙣𝙨
#𝙎𝙝𝙚𝙞𝙠𝙝𝙅𝙖𝙨𝙨𝙞𝙢𝙄𝙣𝘼𝙩𝙈𝙖𝙣𝙐𝙩𝙙
#𝙂𝙡𝙖𝙯𝙚𝙧𝙊𝙐𝙏
#𝙂𝙂𝙈𝙐

man utd |View attachment 2706708
Leon Goretzka as an advanced 8 itakuwa perfect fit kwa Ten Hag
 
Back
Top Bottom