Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

United Fans can keep their mouths shut on big transfers….

Here are your flops from the last 10 years:

Lukaku £75Mil - flopped
Pogba £89Mil - flopped
Sancho £73Mil - Is a flop
Anthony £82Mil - Is a flop
Maguire £80Mil - Is a flop
Di Maria £59Mil - Flopped
Mount £60Mil - Already Flopping
Martial £54Mil - Is a flop
 
United Fans can keep their mouths shut on big transfers….

Here are your flops from the last 10 years:

Lukaku £75Mil - flopped
Pogba £89Mil - flopped
Sancho £73Mil - Is a flop
Anthony £82Mil - Is a flop
Maguire £80Mil - Is a flop
Di Maria £59Mil - Flopped
Mount £60Mil - Already Flopping
Martial £54Mil - Is a flop
 
HATUNA KIPA
Ukiskia "Kipa katoka" ndo huyu sasa Andre..Hapa kwa Onana upara atafute mbadala mapema sana...kama ni yule mjapan amsajili mapema sana kabla havijaumana..tutamkumbuka DDG sanaa
Chuma 2 ndani ya dakika 1 kwa team ambayo tumeimiliki na kuimudu vizuri?? Amna kipa hapa.....
Unaangalia mechi?
.unalaumu mchezaji ambaye hachezi
 
Unaangalia mechi?
.unalaumu mchezaji ambaye hachezi
Mashabiki lawama wameshaanza hawaoni kuwa sasa kiuchezaji tumeiprove sana na mpira tunautawala kwa ujio wa Onana kwa sasa tumekosa straiker wa kuja kuleta hatari kule mbele na kutuliza timu. Sina wasi wasi na uwezo wa Onana tangu nimeanza kumfuatilia.
 
Mashabiki lawama wameshaanza hawaoni kuwa sasa kiuchezaji tumeiprove sana na mpira tunautawala kwa ujio wa Onana kwa sasa tumekosa straiker wa kuja kuleta hatari kule mbele na kutuliza timu. Sina wasi wasi na uwezo wa Onana tangu nimeanza kumfuatilia.
Kazi ya Onana sio kufanya tuutawale mpira, kazi ya Onana ni kuzuia mpira usiingie wavuni, so far kwa hizi mechi mbili alizocheza kashindwa kutekeleza majukumu yake
 
Mashabiki lawama wameshaanza hawaoni kuwa sasa kiuchezaji tumeiprove sana na mpira tunautawala kwa ujio wa Onana kwa sasa tumekosa straiker wa kuleta hatari kule mbele na kutuliza timu. Sina wasi wasi na uwezo wa Onana tangu nimeanza kumfuatilia.
Jamaa wanalaumu wakat hawakutazama mech, kuwaelewesha watu kama hawa n kaz ngumu
 
Mkuu tutamlaumu Onana hapa lakini uzuiaji wa Man Utd bado ni shida sana.
Phil jones
Tuanzebe
Baily and soon Maguire

Hao wote ni CB wanaotakiwa kufanya kazi ya kuzuia wameondoka/wanaondoka and guess what?? Tumemsajili mstaafu John Evans.

Hakuna CB mwingine yyte ambae tupo linked nae ile serious then mnataka tumuamini huyu kocha kuwa atatufikisha nchi ya ahadi
 
Kazi ya Onana sio kufanya tuutawale mpira, kazi ya Onana ni kuzuia mpira usiingie wavuni, so far kwa hizi mechi mbili alizocheza kashindwa kutekeleza majukumu yake
Rashford nae muangalien ,mm namuitaga uyoga,leo chakula kesho sumu

Na huyu ndiye kaibeba timu yenu Sana last season,

Rashford hakawii kurudi kwenye default settings, hapo changanya na ujinga wa Anthony,
 
Rashford nae muangalien ,mm namuitaga uyoga,leo chakula kesho sumu

Na huyu ndiye kaibeba timu yenu Sana last season,

Rashford hakawii kurudi kwenye default settings, hapo changanya na ujinga wa Anthony,
Siku tuliyo m-register huyu dogo ndio siku laana ilipo anzia kwenye timu yetu

-Hatujawahi kuvuka robo fainali ya CL
-Hatujawahi maliza juu ya city
-Kwa mara ya kwanza looserpool wamebeba ubingwa katika miaka 30
-Hatujawahi shinda Anfield

Even Yaya Sanogo has better carrier stats kuliko Rashbeck
The only way utd kurudi kwenye kufunga magoli na kubeba makombe ni kumuondoa huyu DEFENSIVE STRIKER wetu
 
Back
Top Bottom