Asno hawezi kuwa bingwa labda awe bingwa pombe .Msimu ujao bingwa siyo Man City. Bingwa itakuwa kati ya Man United, Arsenal au Liverpool.

- flopped 
- flopped 
- Is a flop 
- Is a flop 
- Is a flop 
- Flopped 
- Already Flopping 
- Is a flopAnthony mguu wa kushoto ni tia maji tia maji?? Sasa kama miguu yote hayuko vizuri why anapangwa??Jamaa kutumia mguu wake wa kulia hawezi na hata wa kushoto ni tia maji tia maji
Kocha wake ndio anajuaAnthony mguu wa kushoto ni tia maji tia maji?? Sasa kama miguu yote hayuko vizuri why anapangwa??
United Fans can keep their mouths shut on big transfers….
Here are your flops from the last 10 years:
Lukaku £75Mil- flopped
Pogba £89Mil- flopped
Sancho £73Mil- Is a flop
Anthony £82Mil- Is a flop
Maguire £80Mil- Is a flop
Di Maria £59Mil- Flopped
Mount £60Mil- Already Flopping
Martial £54Mil- Is a flop





Unaangalia mechi?HATUNA KIPA
Ukiskia "Kipa katoka" ndo huyu sasa Andre..Hapa kwa Onana upara atafute mbadala mapema sana...kama ni yule mjapan amsajili mapema sana kabla havijaumana..tutamkumbuka DDG sanaa
Chuma 2 ndani ya dakika 1 kwa team ambayo tumeimiliki na kuimudu vizuri?? Amna kipa hapa.....
Mashabiki lawama wameshaanza hawaoni kuwa sasa kiuchezaji tumeiprove sana na mpira tunautawala kwa ujio wa Onana kwa sasa tumekosa straiker wa kuja kuleta hatari kule mbele na kutuliza timu. Sina wasi wasi na uwezo wa Onana tangu nimeanza kumfuatilia.Unaangalia mechi?
.unalaumu mchezaji ambaye hachezi
Kazi ya Onana sio kufanya tuutawale mpira, kazi ya Onana ni kuzuia mpira usiingie wavuni, so far kwa hizi mechi mbili alizocheza kashindwa kutekeleza majukumu yakeMashabiki lawama wameshaanza hawaoni kuwa sasa kiuchezaji tumeiprove sana na mpira tunautawala kwa ujio wa Onana kwa sasa tumekosa straiker wa kuja kuleta hatari kule mbele na kutuliza timu. Sina wasi wasi na uwezo wa Onana tangu nimeanza kumfuatilia.
Mkuu tutamlaumu Onana hapa lakini uzuiaji wa Man Utd bado ni shida sana.Kazi ya Onana sio kufanya tuutawale mpira, kazi ya Onana ni kuzuia mpira usiingie wavuni, so far kwa hizi mechi mbili alizocheza kashindwa kutekeleza majukumu yake
Jamaa wanalaumu wakat hawakutazama mech, kuwaelewesha watu kama hawa n kaz ngumuMashabiki lawama wameshaanza hawaoni kuwa sasa kiuchezaji tumeiprove sana na mpira tunautawala kwa ujio wa Onana kwa sasa tumekosa straiker wa kuleta hatari kule mbele na kutuliza timu. Sina wasi wasi na uwezo wa Onana tangu nimeanza kumfuatilia.
Phil jonesMkuu tutamlaumu Onana hapa lakini uzuiaji wa Man Utd bado ni shida sana.
Nisingeona comment yako ningeamin umeibiwa simuHuyu kipa mmepigwa asee tafuteni kipa mwingine kama mnataka amani ya mioyo yenu
Rashford nae muangalien ,mm namuitaga uyoga,leo chakula kesho sumuKazi ya Onana sio kufanya tuutawale mpira, kazi ya Onana ni kuzuia mpira usiingie wavuni, so far kwa hizi mechi mbili alizocheza kashindwa kutekeleza majukumu yake
Mpuuzi tu huyo! Onana kaingia dakika ya 46,ikiwa tayari Manutd imeshafungwa 2:1Unaangalia mechi?
.unalaumu mchezaji ambaye hachezi
Siku tuliyo m-register huyu dogo ndio siku laana ilipo anzia kwenye timu yetuRashford nae muangalien ,mm namuitaga uyoga,leo chakula kesho sumu
Na huyu ndiye kaibeba timu yenu Sana last season,
Rashford hakawii kurudi kwenye default settings, hapo changanya na ujinga wa Anthony,