Aeko
JF-Expert Member
- Apr 15, 2021
- 599
- 1,362
Dah... Kanakwamba hakuna vifungu vya sheria vitako wazuia kubadili mawazo sababu wanaweza waka disrupt market share na overall investors hawawez wakawa na kauli juu ya uwamuzi wenye tija juu ya maendeleo ya timu yaoHakuna kilichobadilika zile ni photoshops tu halafu kuna asilimia kubwa za Glazers kuendelea kuwepo,wakiiuza timu hawatapata nyingine ya kupigia pesa ya maana
Yani kuwe na misimamo sio tu mtu ana amka ansema anauza biashara then anavo anza ona biashara yake inanawili ana badilika ...hii ni unprofessional sio kwamba we hate them ila ni vizur professional waka fata protocol ambazo zitawa please ma fans ...mwisho fans ndio wamiliki wakuu wa team na ndio wanaotaka mapinduz juu ya uongozi uliokuwepo wa sasa


André Onana: "I'm happy with my debut, my first minutes, the way we play, we control the games. There are things to improve, we have to score goals. I'm positive and I know that if we continue to work like that, I know it will be fine."





