Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Hakuna kilichobadilika zile ni photoshops tu halafu kuna asilimia kubwa za Glazers kuendelea kuwepo,wakiiuza timu hawatapata nyingine ya kupigia pesa ya maana
Dah... Kanakwamba hakuna vifungu vya sheria vitako wazuia kubadili mawazo sababu wanaweza waka disrupt market share na overall investors hawawez wakawa na kauli juu ya uwamuzi wenye tija juu ya maendeleo ya timu yao

Yani kuwe na misimamo sio tu mtu ana amka ansema anauza biashara then anavo anza ona biashara yake inanawili ana badilika ...hii ni unprofessional sio kwamba we hate them ila ni vizur professional waka fata protocol ambazo zitawa please ma fans ...mwisho fans ndio wamiliki wakuu wa team na ndio wanaotaka mapinduz juu ya uongozi uliokuwepo wa sasa
 
Umeongea point ila kwa vile dirisha bado lipo wazi tungoje tuone ana vision gani hasa kweny implementation ya current style yake ya uchezaji...ambayo wengi washa ijulia

Ukiangalia mechi ya FA final dhidi ya man utd ilisha 2-1
Ile mechi man utd walienda jino kwa jino na man city ila i
Individual brilliance na qualify za wachezaji ndizo zilizo wabeb ikiwemo uwezo wa gundo ambae yupo barca sasahiv

Mechi ya uefa ilituonesha ni jinsi gani hutakiwi kumuogopa opponent wako haswa mkiwa kwenye live or die moment za kubebe kombe na hicho kitu inter walikionesha kwa kupambana sana pale kati walipachafua ila waliangushwa na umakini wa wafungaji ikiwemo lukaku na laturo martinez

Lastly binafsi ni mpenz wa soka zuri na kwa kumuangalia tunayemjadili hapa ni pep basi ana nipa kila sababu yakuto mu underestimate sababu huyu kwangu ni professor wa mind game kwa makocha wa sasa ana deserve respect ila sio kumuogopa kama awali... If we fight the we die like real men sasa hivi dhidi yake au yeyoto...respectively
Upo sahihi Hatuwez kumu underestimate hata kidogo

Ila ili wengine wabebe na kumpa changamoto,dawa nikumfata huko huko juu ,

Jana baada ya ile mechi aliongea kuhusu kusajili alisema dirisha bado watasajili ,na target zao ni Olise ,Raphina na Enciso
 
Upo sahihi Hatuwez kumu underestimate hata kidogo

Ila ili wengine wabebe na kumpa changamoto,dawa nikumfata huko huko juu ,

Jana baada ya ile mechi aliongea kuhusu kusajili alisema dirisha bado watasajili ,na target zao ni Olise ,Raphina na Enciso
Lets wait and see... Hii epl ya sasa hivi moto utawaka aisee
I cant even imagine...ila we are ready to watch
 
Dah... Kanakwamba hakuna vifungu vya sheria vitako wazuia kubadili mawazo sababu wanaweza waka disrupt market share na overall investors hawawez wakawa na kauli juu ya uwamuzi wenye tija juu ya maendeleo ya timu yao

Yani kuwe na misimamo sio tu mtu ana amka ansema anauza biashara then anavo anza ona biashara yake inanawili ana badilika ...hii ni unprofessional sio kwamba we hate them ila ni vizur professional waka fata protocol ambazo zitawa please ma fans ...mwisho fans ndio wamiliki wakuu wa team na ndio wanaotaka mapinduz juu ya uongozi uliokuwepo wa sasa
Wamiliki wa Liverpool waliweka timu sokon baada ya presha kubwa , mwisho wakapiga U turn hawaiuzi na Hadi Sasa wapo wanaendeleza maujinga Yao

Ni vile klopp anakomaa hivo hivo hana namna
 
Ndio maana huwa nacheka Sana wanaosubiri Grazzer family wauze timu

Kuna sehemu nimeona wamesema wanataka £8B

Ni mjinga pekee ndiye atauza mgodi Kama manjesta
Hawa jamaa kweli sabb ya kuachia team sioni kama pesa wanatoa sajili ndio kama hivyo
 
Kwa critics nazo zisoma kwenye fans pages mbali mbali juu ya uchoyo wa wing zetu antony na Rashford basi hojlund atakuwa na wakat mgumu sana hapo mbele kama main ST na hili swala coach asipolitaflia fumbuz itakuwa kichomi kwake

Tusishangae humu rivalry fans kama wa arsena liverpool wakaja kusema hojlind ni garasa na tumepigwa wakati makosa hayasabishwi na yeye ST hapa na mzungumzia hamiss77

Mi naona board ya man utd wafanye mpango mkakati wa kumrudisha Greenwood ..najua tu ataleta chachu katika maendeleo ya wengine hususan hapo mbele... Mtu hatokuwa teal akae bench ata up his game performance

Pia man utd beki ni tatizo na hili litapelekea fans waanze kumuona onana ni useless wakati ni one of the goalie ambae ana cheza modern football keeper mchezaji..tukipata cb mmoja tu au wawili itasaidia sana

Kati hapo eriksen umri umeenda aisee tuna hitaji CM kama wawili ambrat na ikiwezekana kati ya option 2 za sokoni lavia na caisedo tunge interrupt moja ...mfano tungewafata brighton na ile package ya mount ya 60m plus a player kama mctominay wasingekataa why sababu brighton sio kuuza tu pia na wao wanataka kuwa na quality team ya ku compete UEL kule soo kumuuza caisedo 100m na hawana perfect replacement...???
Hata mkiwapata Vinicius Jr na Mbappe Kwa pamoja Bado tutasema mmepigwa
 
Huyo lazima nimtaje , ni usajili ambao ni reference nzuri Sana kuhusu 10hag Nini anakifanya hapo manjesta

Ni sawa na wewe leo ukaoe mwanamke mwenye matatizo ambaye uliwahi kuwa nae kimahusihano miaka ya nyuma


Tutahoji uwezo wako wakuchagua mke

Ndio 10hag alikuwa na Anthony Ajax ,anajua kabisa pale ni mchezaji wa show off tu , lakin kaja manjesta kamsajili kwa €100m

Sajili zake nyingine zimejaa connection ,Hojlund kwa €85m , wakala la Hojlund ndio huyo huyo wa 10hag , Kuna harufu ya overpayment hapo ,wakala kalamba 10%, Hojlund alimfukuza wakala wake wa awali ili aungane na huyu wa 10hag ,aletwe manjesta

Sisi wahafidhina wa football tumekaa pemben tunakula popcorn tunasubiri Moshi uanze kufuka
Kwa hiyo Hawa jamaa wameanza ufisadi kama ule tulikuwa nao sisi na kina Don Raul?
 
Inatafutwa hela ya kumchukua Hojlund. Na ukizingatiwa Maguire alinunuliwa kwa hela nyingi awezi kuuzwa kwa hela ndogo. Kuna habari nilisoma Man u inataka angalau 40

Sent using Jamii Forums mobile app
sasa utatupangia tumkubali rashford,maguire na mctominay ? hata kama timu ingekuwa yako isengewezekana tuwe na mtazamo sawa
 
André Onana: "I'm happy with my debut, my first minutes, the way we play, we control the games. There are things to improve, we have to score goals. I'm positive and I know that if we continue to work like that, I know it will be fine."

#𝙏𝙧𝙪𝙨𝙩𝙏𝙝𝙚𝙋𝙧𝙤𝙘𝙚𝙨𝙨𝙀𝙏𝙃
#𝙐𝙣𝙞𝙩𝙚𝙙𝙛𝙤𝙧𝙩𝙝𝙚𝙁𝙖𝙣𝙨
#𝙎𝙝𝙚𝙞𝙠𝙝𝙅𝙖𝙨𝙨𝙞𝙢𝙄𝙣𝘼𝙩𝙈𝙖𝙣𝙐𝙩𝙙
#𝙂𝙡𝙖𝙯𝙚𝙧𝙊𝙐𝙏
#𝙂𝙂𝙈𝙐

man utd |
IMG_20230801_001239_475.jpg
 
André Onana on shouting at Harry Maguire: "I try to talk to them a lot because I know he's a good player, he is one of the captains of the the team. That’s big and he is good with the ball, so I would demand [from] him a lot and he’s a good, great guy."

#𝙏𝙧𝙪𝙨𝙩𝙏𝙝𝙚𝙋𝙧𝙤𝙘𝙚𝙨𝙨𝙀𝙏𝙃
#𝙐𝙣𝙞𝙩𝙚𝙙𝙛𝙤𝙧𝙩𝙝𝙚𝙁𝙖𝙣𝙨
#𝙎𝙝𝙚𝙞𝙠𝙝𝙅𝙖𝙨𝙨𝙞𝙢𝙄𝙣𝘼𝙩𝙈𝙖𝙣𝙐𝙩𝙙
#𝙂𝙡𝙖𝙯𝙚𝙧𝙊𝙐𝙏
#𝙂𝙂𝙈𝙐

man utd |
IMG_20230731_155149_972.jpg
 
André Onana: "I will start with myself because I think we are in this together and mistakes will come. We don't have to be afraid to make mistakes because this is part of life and we learn from the mistakes."

#𝙏𝙧𝙪𝙨𝙩𝙏𝙝𝙚𝙋𝙧𝙤𝙘𝙚𝙨𝙨𝙀𝙏𝙃
#𝙐𝙣𝙞𝙩𝙚𝙙𝙛𝙤𝙧𝙩𝙝𝙚𝙁𝙖𝙣𝙨
#𝙎𝙝𝙚𝙞𝙠𝙝𝙅𝙖𝙨𝙨𝙞𝙢𝙄𝙣𝘼𝙩𝙈𝙖𝙣𝙐𝙩𝙙
#𝙂𝙡𝙖𝙯𝙚𝙧𝙊𝙐𝙏
#𝙂𝙂𝙈𝙐

man utd |
 
André Onana: "For me, it's a great honor to play with these defenders. With Martinez, Harry [Maguire]. They are important players for the club. I'm very happy to be part of this team and to play with them.”

#𝙏𝙧𝙪𝙨𝙩𝙏𝙝𝙚𝙋𝙧𝙤𝙘𝙚𝙨𝙨𝙀𝙏𝙃
#𝙐𝙣𝙞𝙩𝙚𝙙𝙛𝙤𝙧𝙩𝙝𝙚𝙁𝙖𝙣𝙨
#𝙎𝙝𝙚𝙞𝙠𝙝𝙅𝙖𝙨𝙨𝙞𝙢𝙄𝙣𝘼𝙩𝙈𝙖𝙣𝙐𝙩𝙙
#𝙂𝙡𝙖𝙯𝙚𝙧𝙊𝙐𝙏
#𝙂𝙂𝙈𝙐

man utd |
 
Namkubali sana yule dogo (sema tu hatuwezi kuweka wazi maana manyumbu yatavimba mabichwa)
Bila issue zake za kumpiga demu wake,angekuwa moja ya mawinga Bora dunian Sasa

Mm nashangaa wanataka kumtoa mkopo eti, huyo dogo akipaga zoezi wiki 2, atakuwa na impact uwanjan kuliko Anthony
 
Huo kwenye football haukwepeki, madalali wanapiga pesa Sana , siku moja nitaingia kwenye tasnia ya udalali wa soka nikafanye mtihani pale TFF wa FIFA
Daah safi sana boss. Kapige Hela Mzee babab
 
Bila issue zake za kumpiga demu wake,angekuwa moja ya mawinga Bora dunian Sasa

Mm nashangaa wanataka kumtoa mkopo eti, huyo dogo akipaga zoezi wiki 2, atakuwa na impact uwanjan kuliko Anthony
Ile ishu ilinisikitisha sana. Nilisikia sijui ana kesi ya ubakaji nikawa naona noma hata kusearch jina lake ila nilikuwa namuombea kimya kimya iwe kasingiziwa tu kijana arudi uwanjani japo ni mchezaji wa mahasimu wetu.
 
Back
Top Bottom