Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Chief-Mkwawa nahitaji neno lako hapa, hii movie nashindwa kuielewa kwa mara nyengine.

Ilianza kwa bazunu na lavia msimu uliopita, Msimu huu imeendelea kwa goalkipa anayeitwa trafford kuelekea burnley inayofundishwa na kompany pamoja na huyu mwengine.

Je man city wana network bora ya soka la vijana kwa sasa pale uingereza?

Je man city wana team bora ya kusimamia mchakato wa usajili?

Au kuna mchezo tusioufahamu wanatuchezea, unatoaje hela ndefu kama hiyo kwa mchezaji ambaye hajacheza hata mechi moja ya ligi kuu?

Kwa nini man utd tushindwe kufuata nyayo zao?
View attachment 2681097
Hiyo Ni michezo ya mancity Katika kubalance vitabu vyao ,bado mancity anatafuta engagement kwenye soko la ku spend asionekane mchafuzi,

Unaweza kuta Ni kweli anauzwa hiyo Bei lakin inalipwa miaka 10, kwenye vitabu huku city anaonekana kauza kwa £19m ,mwisho aonekane kauza jumla £100m


Klabu Kama hizo zinaitwa PLASTIC CLUB na zinazalisha PLASTIC FANS , na huwa Kuna muda utafika zinarudi ziliotoka , hata Chelsea inarudi ilipotoka
 
Mmmaaamae halafu sisi tumemuuza Zidane Iqbal kwa kiasi cha chini ya £m1
Acha kulalamika,mancity anatafuta engagement angalau miaka mitatu au minne aonekane anafanya mauzo mazuri ya wachezaji , ndio maana unaona hanunui Sana ila anajifanya anauza had £100m lakin Ni vitoto vya academy ambavyo hata havijawahi kucheza mechi 1 ,

Baada ya UCL kuanza kumtilia mashaka amekuwa anasajili kidogo lakin anajifanya anauza Sana , ili uefa wapunguze kumuhisi anacheza uhuni

Hata msimu huu subiri uone ,atauza hao watoto kwa Burney na Soton ambapo ndio mashimo yake ya kufichia taka

Halafu atasajili mtu mmoja kwa €100m

Mancity bado Hana Uwezo wakusajili kwa fujo bila kuuza ,hivo lazima afanye rafu ,itamchukua hata miaka 10
 
Simuamini sana huyu mpiga kelele na jarida lake la habari za jioni za jiji la manchester bwana samuel luckhurst.

Greenwood kutolewa kwa mkopo nje ya uingereza ni uamuzi bora
----------
John Murtough has held extensive talks with Atalanta officials and has discussed a possible deal to sign Rasmus Hojlund and loan Mason Greenwood to them. [Samuel Luckhurst].
 
Erik ten Hag has certainly been pivotal to the decision where #mufc have taken the deal that had been agreed off the table for David de Gea and are now pursuing Andre Onana for the no.1 spot.
[@lauriewhitwell, TOTD]

========
Niliwahi kusoma sehemu zamani kidogo, nafikiri alikuwa ni mmoja kati ya wasaidizi wa louis van gaal nyakati zile.

Yule bwana alisema david de gea ni mwanadamu mgumu kubadilika (mjuaji).

Uamuzi aliouchukua luis enrique dhidi ya david ulipaswa kuwa ni onyo kubwa sana kwake lakini alipuuzia.

Uamuzi wa kuachwa kwa joe hart na josep guardiola nao hivyo hivyo ulikuwa ni alert.

Uamuzi wa kuachwa mendy na chuck norris nalo pia ni onyo kubwa kwa degea lakini alipotezea.

Mashabiki wa man utd hatujawahi kuwa na furaha kwenye mipira ya kona.

Simuonei huruma david de gea japokuwa ni mchezaji nimpendaye mpaka kesho.
 
Ronaldo hakusajiliwa kwa €100m au €50m alikuja kwa £12m tu

Huyo dogo kwa €30m Ni sawa kabisa ila mechi 32 goal 9 €100m huo Ni utapeli

Wakati Anthony anakuja nilisema amecheza ligi ya wakulima ana Goli 8 tu , how comes anauzwa €100m , na haja prove chochote even ligi ya wakulima

Leo kila mtu anakubali pale Ni utapeli tu
£12m ya 2003 siyo pesa ndogo. Mchezaji kama Beckham aliuzwa kwa £25m
 
Achen kujidanganya , ni mchezaji aliyetokeza zaid msimu huu Katika mechi 32 ana Goli 9 tu

Haja prove ili tujue Uwezo wake ,kwa £50m+ Ni utapeli tu

Mwaka Jana wakati Liverpool wanamsajili Nunez kwa €80m nilisema Kuna hatari ya kupigwa sababu amefanya vzr msimu mmoja tu , lakin akawa anafananishwa na halland ambaye tayari alikuwa na 3 season kathibitisha ubora ule ule

Wachezaji wa one season wonder Ni 60% akafeli ,40% aka click ina depend na mazingira
Mpira wa statistics tu ni uongo. Hojlund anachozidiwa na Haaland ni kwenye mipira ya juu na mikimbio tu ila kwa umaliziaji wanawiana na Hojlund ana kasi zaidi pamoja na kutembea na mpira. Haaland ni goal poacher, ni profile tofauti na Hojlund.

Pale United hakuna mtu anafikia umaliziaji wa Hojlund. Kama Martial aliweza kufunga 20+ goals kwenye timu hii sioni Hojlund akifeli.
 
74A04350-B56F-4E0F-8960-BBCA5A915351.jpeg

#FBF
 
Mpira wa statistics tu ni uongo. Hojlund anachozidiwa na Haaland ni kwenye mipira ya juu na mikimbio tu ila kwa umaliziaji wanawiana na Hojlund ana kasi zaidi pamoja na kutembea na mpira. Haaland ni goal poacher, ni profile tofauti na Hojlund.

Pale United hakuna mtu anafikia umaliziaji wa Hojlund. Kama Martial aliweza kufunga 20+ goals kwenye timu hii sioni Hojlund akifeli.
Sijakataa potential ya Hojlund ,hata Arsenal tulimuhitaji

Tatizo hapo Ni hiyo Bei , Huyo sio wakuuzwa €100m
 
Sijakataa potential ya Hojlund ,hata Arsenal tulimuhitaji

Tatizo hapo Ni hiyo Bei , Huyo sio wakuuzwa €100m
Siyo mchezaji wa €100m nahisi ni taarifa za uongo tu.

Hakuna timu italipa €100m. Thamani yake haizidi €50m
 
Robin Van Persie anatoka fayernood kwa £3m alikuwa winger , hakuwahi kumaliza msimu mzima Arsenal, na alipomaliza alifikisha Goli 25+

Huyo dogo hana thaman hiyo ,the same Kama tulivyopinga kwa Anthony ,Nunez ,even hata Bellingham ,muda Ni mwalimu

Huyo dogo labda angecheza Tena angalau msimu mwingine , sajili za one season wonder huwa Ni Risk

Ndio maana mm naamini Ni rahis Sancho akarejea na kuwa hatari kuliko Anthony ,sababu Sancho alishwahi kufanya balaa bundesliga 10+ Goals , 10+ Assist Tena zaidi ya msimu mmoja
Na nyie sio muda mtaanza kupiga kelele kwa mchele mmepigwa.
 
Back
Top Bottom