King faisal
JF-Expert Member
- Jun 7, 2022
- 1,980
- 4,942
Ndio najua hilo, kuwa alikua na goli 9, Sasa cjajua lengo lako ni lipi!Huwezi amini, goli 10 hajafikisha
Ndio najua hilo, kuwa alikua na goli 9, Sasa cjajua lengo lako ni lipi!Huwezi amini, goli 10 hajafikisha
Aisee?Achen kujidanganya , ni mchezaji aliyetokeza zaid msimu huu Katika mechi 32 ana Goli 9 tu
Haja prove ili tujue Uwezo wake ,kwa £50m+ Ni utapeli tu
Mwaka Jana wakati Liverpool wanamsajili Nunez kwa €80m nilisema Kuna hatari ya kupigwa sababu amefanya vzr msimu mmoja tu , lakin akawa anafananishwa na halland ambaye tayari alikuwa na 3 season kathibitisha ubora ule ule
Wachezaji wa one season wonder Ni 60% akafeli ,40% aka click ina depend na mazingira
Kama christiano Ronaldo alikua na goli 5 tu katika mechi 31 akiwa sports Lisbon. Kabla ya kusajiliwa na Fergie mwaka 2003, ambapo usajili wake wengi waliuponda hata Fergie hakutegema Kama atakuja kuwa mchezaji bora siku za mbeleni.Achen kujidanganya , ni mchezaji aliyetokeza zaid msimu huu Katika mechi 32 ana Goli 9 tu
Haja prove ili tujue Uwezo wake ,kwa £50m+ Ni utapeli tu
Mwaka Jana wakati Liverpool wanamsajili Nunez kwa €80m nilisema Kuna hatari ya kupigwa sababu amefanya vzr msimu mmoja tu , lakin akawa anafananishwa na halland ambaye tayari alikuwa na 3 season kathibitisha ubora ule ule
Wachezaji wa one season wonder Ni 60% akafeli ,40% aka click ina depend na mazingira
Umemaliza kila kituKama christiano Ronaldo alikua na goli 5 tu katika mechi 31 akiwa sports Lisbon. Kabla ya kusajiliwa na Fergie mwaka 2003, ambapo usajili wake wengi waliuponda hata Fergie hakutegema Kama atakuja kuwa mchezaji bora siku za mbeleni.
Vip hojilund, kwamba tuseme kuwa na goli 9 ndio yatosha kusema tumepigwa, kwamba ataflop ?
Huyu dogo Kuna kitu 10hag amekiona
Kwake ndio maana anataka kumsajili.
Mengine tuachie mda ndio utaongea.
Wew huwa ni snitch, vip mbona hamkubeba ligi msimu uliopita. Maana dakika za mwisho mkabadili gia njiani yakuwa mlitaka mshiriki UEFA tu 😁😁mechi 32 goal 9 Seria A








Ronaldo hakusajiliwa kwa €100m au €50m alikuja kwa £12m tuKama christiano Ronaldo alikua na goli 5 tu katika mechi 31 akiwa sports Lisbon. Kabla ya kusajiliwa na Fergie mwaka 2003, ambapo usajili wake wengi waliuponda hata Fergie hakutegema Kama atakuja kuwa mchezaji bora siku za mbeleni.
Vip hojilund, kwamba tuseme kuwa na goli 9 ndio yatosha kusema tumepigwa, kwamba ataflop ?
Huyu dogo Kuna kitu 10hag amekiona
Kwake ndio maana anataka kumsajili.
Mengine tuachie mda ndio utaongea.


















Soko la wachezaji wa zamani ni tofauti na sasa mfano Benzema alienda Real Madrid kwa bei ya kawaida ila kwa miaka hii angesajiliwa kwa si chini ya €100m.Ronaldo hakusajiliwa kwa €100m au €50m alikuja kwa £12m tu
Huyo dogo kwa €30m Ni sawa kabisa ila mechi 32 goal 9 €100m huo Ni utapeli
Wakati Anthony anakuja nilisema amecheza ligi ya wakulima ana Goli 8 tu , how comes anauzwa €100m , na haja prove chochote even ligi ya wakulima
Leo kila mtu anakubali pale Ni utapeli tu







Hizi bei kila siku zinaongezeka tu. Martial si Alisajiliwa £36M na tunalipa £50M akishinda Baloon D or?Manchester United's most expensive signings in history:
Pogba: €105M
Antony: €95M
Maguire: €87M
Sancho: €85M
Lukaku: €84.7M
Di María: €75M
Casemiro: €70.7M
Fernandes: €65M
Mount: €64M
Martial: €60M
#𝙏𝙧𝙪𝙨𝙩𝙏𝙝𝙚𝙋𝙧𝙤𝙘𝙚𝙨𝙨𝙀𝙏𝙃
#𝙐𝙣𝙞𝙩𝙚𝙙𝙛𝙤𝙧𝙩𝙝𝙚𝙁𝙖𝙣𝙨
#𝙎𝙝𝙚𝙞𝙠𝙝𝙅𝙖𝙨𝙨𝙞𝙢𝙄𝙣𝘼𝙩𝙈𝙖𝙣𝙐𝙩𝙙
#𝙂𝙡𝙖𝙯𝙚𝙧𝙊𝙐𝙏
#𝙂𝙂𝙈𝙐
man utd |View attachment 2680111
Robin Van Persie anatoka fayernood kwa £3m alikuwa winger , hakuwahi kumaliza msimu mzima Arsenal, na alipomaliza alifikisha Goli 25+Soko la wachezaji wa zamani ni tofauti na sasa mfano Benzema alienda Real Madrid kwa bei ya kawaida ila kwa miaka hii angesajiliwa kwa si chini ya €100m.
Kingine kijana ni kinda miaka 20 hakuwa kwa kuibeba timu mabegani halafu Atalanta msimu ulioisha walikuwa wabovu tu sio wale tunaowafahamu.
Ungemjudge kwa mabao angekuwa katoka top team iliyofanya vyema.
Pia mchezaji huwa kadri anavyozidi kuongezeka umri kutegemea na njaa yake ya mafanikio kunakuwa na progress ya kiwango.
Robin Van Persie wa mwanzo kwenu alikuwaga hata bao 10 za ligi anafikisha?
Hojjuland naskia atlanta tunawapa na greenwood kwa mkopoSometimes tusisikilizage upuuzi mwanzo walisema bajeti ya usajili ni €100-120m halafu kashasajiliwa Mount huku Onana soon akifuatiwa na Hojlund hapo jumla inavuka €150m+
Imekaa vp ama haters ndio walikuwa wanataka kutuumiza tu![]()
Mmmaaamae halafu sisi tumemuuza Zidane Iqbal kwa kiasi cha chini ya £m1Chief-Mkwawa nahitaji neno lako hapa, hii movie nashindwa kuielewa kwa mara nyengine.
Ilianza kwa bazunu na lavia msimu uliopita, Msimu huu imeendelea kwa goalkipa anayeitwa trafford kuelekea burnley inayofundishwa na kompany pamoja na huyu mwengine.
Je man city wana network bora ya soka la vijana kwa sasa pale uingereza?
Je man city wana team bora ya kusimamia mchakato wa usajili?
Au kuna mchezo tusioufahamu wanatuchezea, unatoaje hela ndefu kama hiyo kwa mchezaji ambaye hajacheza hata mechi moja ya ligi kuu?
Kwa nini man utd tushindwe kufuata nyayo zao?
View attachment 2681097