Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Ila Arteta ni tapeli. Katumia £600m ili kushinda vikombe vya chai.

Msimu ujao Arsenyani wakimaliza chini ya United nitathibitisha kuwa Arteta ni kocha wa kawaida sana. Huwezi kupewa "head start" ya £600m halafu uje upitwe na fundi la Kidachi kwa muda mfupi tu.
20230707_185919.jpg
 
Chief-Mkwawa nahitaji neno lako hapa, hii movie nashindwa kuielewa kwa mara nyengine.

Ilianza kwa bazunu na lavia msimu uliopita, Msimu huu imeendelea kwa goalkipa anayeitwa trafford kuelekea burnley inayofundishwa na kompany pamoja na huyu mwengine.

Je man city wana network bora ya soka la vijana kwa sasa pale uingereza?

Je man city wana team bora ya kusimamia mchakato wa usajili?

Au kuna mchezo tusioufahamu wanatuchezea, unatoaje hela ndefu kama hiyo kwa mchezaji ambaye hajacheza hata mechi moja ya ligi kuu?

Kwa nini man utd tushindwe kufuata nyayo zao?
View attachment 2681097
Inatia ukakasi sana mkuu, sasa hivi Timu nyingi zinaendeshwa na huu mfumo Club zinakua na feeder club.

Ukiangalia sponsor wa Burnley W88 amesha sponsor Wolves, Aston Villa na Leicester ila ni kampuni hewa isiojulikana, ipo ipo tu.

So kuna possibility kubwa kuna utakatishaji pesa unaendelea. Ila tutajua tu mbele ya safari.
 
Hii hoja ya kuwa na academy bora unaizungumziaje.

Brahim diaz,
Frimpong
Jadon sancho
Lavia
Trafford
Kwa Uelewa wangu mkuu kwa Sheria za Uefa ili mchezaji atambulike kama ni wa Academy kuna misimu kadhaa inabidi itime kwenye Academy. Wanachofanya City na Chelsea ni kununua Vijana kwa bei rahisi na kuja kuuza (hawakuzi) ndio maana hadi Leo Academy ya Utd ipo ranked over Chelsea na City.

Mfano hapo lavia kacheza msimu mmoja tu academy ya City

Toka 2012 hadi 2022 Ranking mbalimbali zinaonesha Academy ya United ndio yenye wachezaji wengi zaidi Top 5 league (kwa Timu kubwa Epl) hadi Official Program ya Epl EPPP inaonesha Academy yetu ni bora zaidi.

 
Naiyona Shida Katika Usajili Wa Onana Katik Kilabu Kilichopoteza Muelekeo Wakiwa Wanajitafuta.

Mim Nkiangalia Kwa Uelewa Wa SOKA Onana Anaend Kucheza Na Magwaya,Wan Bissaka,Varane Wachezaj Wasio Utulivu Na Mpir Mguun Atapat Wakat Mgum San Naona Akifel Unyumbuni
 
Ronaldo hakusajiliwa kwa €100m au €50m alikuja kwa £12m tu

Huyo dogo kwa €30m Ni sawa kabisa ila mechi 32 goal 9 €100m huo Ni utapeli

Wakati Anthony anakuja nilisema amecheza ligi ya wakulima ana Goli 8 tu , how comes anauzwa €100m , na haja prove chochote even ligi ya wakulima

Leo kila mtu anakubali pale Ni utapeli tu
Hio bid wanayotaka Atalanta ya €100 haimanishi kwamba man United wataitoa sasa mbona unakurupuka hovyo.
 
Erik ten Hag has certainly been pivotal to the decision where #mufc have taken the deal that had been agreed off the table for David de Gea and are now pursuing Andre Onana for the no.1 spot.
[@lauriewhitwell, TOTD]

========
Niliwahi kusoma sehemu zamani kidogo, nafikiri alikuwa ni mmoja kati ya wasaidizi wa louis van gaal nyakati zile.

Yule bwana alisema david de gea ni mwanadamu mgumu kubadilika (mjuaji).

Uamuzi aliouchukua luis enrique dhidi ya david ulipaswa kuwa ni onyo kubwa sana kwake lakini alipuuzia.

Uamuzi wa kuachwa kwa joe hart na josep guardiola nao hivyo hivyo ulikuwa ni alert.

Uamuzi wa kuachwa mendy na chuck norris nalo pia ni onyo kubwa kwa degea lakini alipotezea.

Mashabiki wa man utd hatujawahi kuwa na furaha kwenye mipira ya kona.

Simuonei huruma david de gea japokuwa ni mchezaji nimpendaye mpaka kesho.
Hata ungekuwa wewe sidhani kama ungeondoka sehemu unayopata salary £350,000 + kwa wiki na hakuna timu nyingine ambayo ingeweza kukulipa

Phil Jones amekaa miaka kama 5 hachezi mpira mashabiki hawamtaki yeye yuko kimya anakusanya pesa
 
Manchester United are now really close to signing André Onana! Positive round of talks, final bid to arrive soon then done deal. 🚨🚨🔴 #MUFC

Told deal will be SEALED by the end of next week.

Personal terms agreed.

✈️ Man United want Onana to travel for USA pre season tour.
 
Naiyona Shida Katika Usajili Wa Onana Katik Kilabu Kilichopoteza Muelekeo Wakiwa Wanajitafuta.

Mim Nkiangalia Kwa Uelewa Wa SOKA Onana Anaend Kucheza Na Magwaya,Wan Bissaka,Varane Wachezaj Wasio Utulivu Na Mpir Mguun Atapat Wakat Mgum San Naona Akifel Unyumbuni
Kwa Maguire hatuna stress hana nafasi tena kinachombakiza ni mshahara tu anaenda kusugua benchi hadi akome ubishi
 
Achen kujidanganya , ni mchezaji aliyetokeza zaid msimu huu Katika mechi 32 ana Goli 9 tu

Haja prove ili tujue Uwezo wake ,kwa £50m+ Ni utapeli tu

Mwaka Jana wakati Liverpool wanamsajili Nunez kwa €80m nilisema Kuna hatari ya kupigwa sababu amefanya vzr msimu mmoja tu , lakin akawa anafananishwa na halland ambaye tayari alikuwa na 3 season kathibitisha ubora ule ule

Wachezaji wa one season wonder Ni 60% akafeli ,40% aka click ina depend na mazingira
Liverpool kwa Nunez hawajapigwa .
 
Back
Top Bottom