Forgotten
JF-Expert Member
- Jul 20, 2018
- 3,630
- 11,096
Ila Arteta ni tapeli. Katumia £600m ili kushinda vikombe vya chai.
Msimu ujao Arsenyani wakimaliza chini ya United nitathibitisha kuwa Arteta ni kocha wa kawaida sana. Huwezi kupewa "head start" ya £600m halafu uje upitwe na fundi la Kidachi kwa muda mfupi tu.
Msimu ujao Arsenyani wakimaliza chini ya United nitathibitisha kuwa Arteta ni kocha wa kawaida sana. Huwezi kupewa "head start" ya £600m halafu uje upitwe na fundi la Kidachi kwa muda mfupi tu.
