Al-Hadidy
JF-Expert Member
- Oct 4, 2018
- 1,413
- 3,078
Za Carabao ama mabeki wote waumie kama msimu ulioishaSidhani kama atakuwa bench tuu mechi moja moja atakuwa anacheza
Hata unahodha haumfai
Za Carabao ama mabeki wote waumie kama msimu ulioishaSidhani kama atakuwa bench tuu mechi moja moja atakuwa anacheza
Wamtoe tu hata kwa mkopo mshahara watamlipa wao kuliko kumkalisha bench atawapa kiwingu tu wenzakeZa Carabao ama mabeki wote waumie kama msimu ulioisha
Hata unahodha haumfai
Liverpool kwa Nunez hawajapigwa .Achen kujidanganya , ni mchezaji aliyetokeza zaid msimu huu Katika mechi 32 ana Goli 9 tu
Haja prove ili tujue Uwezo wake ,kwa £50m+ Ni utapeli tu
Mwaka Jana wakati Liverpool wanamsajili Nunez kwa €80m nilisema Kuna hatari ya kupigwa sababu amefanya vzr msimu mmoja tu , lakin akawa anafananishwa na halland ambaye tayari alikuwa na 3 season kathibitisha ubora ule ule
Wachezaji wa one season wonder Ni 60% akafeli ,40% aka click ina depend na mazingira
FFP rules Man city wanafanya mchezo tu ili hesabu zibalanceChief-Mkwawa nahitaji neno lako hapa, hii movie nashindwa kuielewa kwa mara nyengine.
Ilianza kwa bazunu na lavia msimu uliopita, Msimu huu imeendelea kwa goalkipa anayeitwa trafford kuelekea burnley inayofundishwa na kompany pamoja na huyu mwengine.
Je man city wana network bora ya soka la vijana kwa sasa pale uingereza?
Je man city wana team bora ya kusimamia mchakato wa usajili?
Au kuna mchezo tusioufahamu wanatuchezea, unatoaje hela ndefu kama hiyo kwa mchezaji ambaye hajacheza hata mechi moja ya ligi kuu?
Kwa nini man utd tushindwe kufuata nyayo zao?
View attachment 2681097
😅😅Colwill mali halali ya THE BLUES, hatumuuzi ogopa matepeli.
Wakati tunasajili vipaji nyie mkatoa £100 kumsajili beki mwenye kichwa kikubwa kama transforma kutoka Leicester city.
Endeleeni kula shot za umeme.
Kwani onana amesajiliwaBado ila kama De Gea akiondoka nafasi ya kusajiliwa itaongezeka zaidi. Atakuja kama backup ya Onana.
Kumuuza watamchelewesha kuondoka. Wamgawe tu tuache kumuona kabisaMaguire anasubiri Nini kuuzwa





Tupo tayari kumkaribisha Onana, but akae akijuaHaya De Gea kashaondoka tuone kama tatizo la United lilikuwa ni De Gea
Anakuja Mcameroon ila akumbuke ile sio ligi ya Uholanzi
Sent from my SM-A145F using JamiiForums mobile app
Tupo tayari kumkaribisha Onana, but akae akijua
*shot on target yoyote ni kosa lake (kashindwa ku command back line yake)
*Ikitokea free kick imepigwa na ikalenga goli ni kosa lake (kashindwa kupanga vizuri ukuta wake)
*Goli lolote atakalo ruhusu ni kosa lake hata ikiwa ni maguire kajifunga.
*Mpira ukipotea katikati ya uwanja still ni kosa lake
Daah! Dave Saves.
Hapa nimemuamini EtH. Maamuzi anayofanya yanahitaji roho ngumu sana. Kuanzia kumtimua Ronaldo mpaka kumpa De Gea mkono wa kwaheri.
Wamtoe tu hata kwa mkopo mshahara watamlipa wao kuliko kumkalisha bench atawapa kiwingu tu wenzake