christeve88
JF-Expert Member
- Aug 11, 2018
- 3,150
- 5,065
Hawa wanaotaka majina naona ni kama wamesahau, utd misimu ya karibuni tumekuwa tukisajili majina kwa bahati mbaya asilimia tisini yalifeli. Tukianza na Pogba Falcao, Di maria, Sanchezi na Sancho yote haya yalifeli au yamefeli. Utd miaka yote tangu enzi ya Sir Ferg tumekuwa tukisajili wachezaji wasio na majina na kuwafanya wawe na majina, mambo ya kusajili majina hayo niyakina Madrid.Kuachilia mbali mismanagement ya timu kama united, football imebadilika sana. Too much rules
Liverpool wkt wako onfire walisajil vijana wasio na names kabisa, ila baada ya msimu wamepata majina wakiwa liverpool.
Majina yarakusaidia kukuza team in marketing lakin technical wise kama hilo jina haliwezi deliver hata hiyo market ita fail.









"Nimetia saini makubaliano ya kutofichua jambo lolote hadharani kwa hivyo siwezi kusema mengi. Lakini bado kuna mchakato - na tuko kwenye mchakato."