Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Sometimes tusisikilizage upuuzi mwanzo walisema bajeti ya usajili ni €100-120m halafu kashasajiliwa Mount huku Onana soon akifuatiwa na Hojlund hapo jumla inavuka €150m+

Imekaa vp ama haters ndio walikuwa wanataka kutuumiza tu
Subiri msajili ndio mseme hayo, subir mwisho upige Net spend tuone ukweli Ni upi ,
 
Huyo hojilund, ni hatari sana anauwezo wa kufunga sehemu yoyote ambayo huwezi kutegemea kwakweli asajiliwe mapema.
Achen kujidanganya , ni mchezaji aliyetokeza zaid msimu huu Katika mechi 32 ana Goli 9 tu

Haja prove ili tujue Uwezo wake ,kwa £50m+ Ni utapeli tu

Mwaka Jana wakati Liverpool wanamsajili Nunez kwa €80m nilisema Kuna hatari ya kupigwa sababu amefanya vzr msimu mmoja tu , lakin akawa anafananishwa na halland ambaye tayari alikuwa na 3 season kathibitisha ubora ule ule

Wachezaji wa one season wonder Ni 60% akafeli ,40% aka click ina depend na mazingira
 
Dr.Shika anaamini ataimiliki manjesta

Dr.Shika

𝗔𝗸𝗶𝘇𝘂𝗻𝗴𝘂𝗺𝘇𝗶𝗮 𝗸𝘂𝗵𝘂𝘀𝘂 𝘂𝗻𝘂𝗻𝘂𝘇𝗶 𝘄𝗮 𝗠𝗮𝗻 𝗨𝗻𝗶𝘁𝗲𝗱

"Nimetia saini makubaliano ya kutofichua jambo lolote hadharani kwa hivyo siwezi kusema mengi. Lakini bado kuna mchakato - na tuko kwenye mchakato."

"Tuna ofa nzuri na tumekutana na Glazers mara kadhaa. Tumekuwa na mazungumzo mazuri nao.”

"Bado tunapenda sana kuipambania nafasi hiyo tutafanya mambo kwa sababu zinazofaa. Lakini mwishowe ni uamuzi wao sio uamuzi wetu.”



Dr.Shika 𝗸𝘂𝗵𝘂𝘀𝘂 𝗸𝗮𝗺𝗮 𝗮𝗻𝗴𝗲𝗼𝗺𝗴𝗲𝘇𝗮 𝗷𝗶𝗻𝗮 𝗹𝗮 𝗜𝗡𝗘𝗢𝗦 𝗸𝘄𝗲𝗻𝘆𝗲 𝗝𝗶𝗻𝗮 𝗹𝗮 𝗨𝘄𝗮𝗻𝗷𝗮 𝗢𝗹𝗱 𝗧𝗿𝗮𝗳𝗳𝗼𝗿𝗱 𝗸𝗮𝗺𝗮 𝘀𝗲𝗵𝗲𝗺𝘂 𝘆𝗮 𝗺𝗸𝗮𝘁𝗮𝗯𝗮 𝘄𝗮 𝘂𝗳𝗮𝗱𝗵𝗶𝗹𝗶:?

"Sikuwa nimefikiria hivyo, lakini hapana. Huo utakuwa uzushi. Nisingebadilisha. Daima ni Old Trafford."
 
Achen kujidanganya , ni mchezaji aliyetokeza zaid msimu huu Katika mechi 32 ana Goli 9 tu

Haja prove ili tujue Uwezo wake ,kwa £50m+ Ni utapeli tu

Mwaka Jana wakati Liverpool wanamsajili Nunez kwa €80m nilisema Kuna hatari ya kupigwa sababu amefanya vzr msimu mmoja tu , lakin akawa anafananishwa na halland ambaye tayari alikuwa na 3 season kathibitisha ubora ule ule

Wachezaji wa one season wonder Ni 60% akafeli ,40% aka click ina depend na mazingira
Aisee?
 
Achen kujidanganya , ni mchezaji aliyetokeza zaid msimu huu Katika mechi 32 ana Goli 9 tu

Haja prove ili tujue Uwezo wake ,kwa £50m+ Ni utapeli tu

Mwaka Jana wakati Liverpool wanamsajili Nunez kwa €80m nilisema Kuna hatari ya kupigwa sababu amefanya vzr msimu mmoja tu , lakin akawa anafananishwa na halland ambaye tayari alikuwa na 3 season kathibitisha ubora ule ule

Wachezaji wa one season wonder Ni 60% akafeli ,40% aka click ina depend na mazingira
Kama christiano Ronaldo alikua na goli 5 tu katika mechi 31 akiwa sports Lisbon. Kabla ya kusajiliwa na Fergie mwaka 2003, ambapo usajili wake wengi waliuponda hata Fergie hakutegema Kama atakuja kuwa mchezaji bora siku za mbeleni.

Vip hojilund, kwamba tuseme kuwa na goli 9 ndio yatosha kusema tumepigwa, kwamba ataflop ?
Huyu dogo Kuna kitu 10hag amekiona
Kwake ndio maana anataka kumsajili.

Mengine tuachie mda ndio utaongea.
 
Kama christiano Ronaldo alikua na goli 5 tu katika mechi 31 akiwa sports Lisbon. Kabla ya kusajiliwa na Fergie mwaka 2003, ambapo usajili wake wengi waliuponda hata Fergie hakutegema Kama atakuja kuwa mchezaji bora siku za mbeleni.

Vip hojilund, kwamba tuseme kuwa na goli 9 ndio yatosha kusema tumepigwa, kwamba ataflop ?
Huyu dogo Kuna kitu 10hag amekiona
Kwake ndio maana anataka kumsajili.

Mengine tuachie mda ndio utaongea.
Umemaliza kila kitu
 
Erik ten Hag: “In just one game we had the squad available totally - that was against Man City.

Every other time it's been one player suspended, injured, or unavailable through illness. We have to deal with it well but Arsenal, all the time their squad is totally available.”

March 15
=============
July 7
Arsenal’s head of medical services Gary O’Driscoll is moving to #mufc. The highly-regarded doctor joined Arsenal in 2009 and has become a key figure at the north London club.
1688730417742.png
 
𝚃𝚎𝚊𝚖𝚖𝚊𝚝𝚎𝚜

#𝙏𝙧𝙪𝙨𝙩𝙏𝙝𝙚𝙋𝙧𝙤𝙘𝙚𝙨𝙨𝙀𝙏𝙃
#𝙐𝙣𝙞𝙩𝙚𝙙𝙛𝙤𝙧𝙩𝙝𝙚𝙁𝙖𝙣𝙨
#𝙎𝙝𝙚𝙞𝙠𝙝𝙅𝙖𝙨𝙨𝙞𝙢𝙄𝙣𝘼𝙩𝙈𝙖𝙣𝙐𝙩𝙙
#𝙂𝙡𝙖𝙯𝙚𝙧𝙊𝙐𝙏
#𝙂𝙂𝙈𝙐

man utd |View attachment 2681053
IMG_20230707_151658_051.jpg
 
Kama christiano Ronaldo alikua na goli 5 tu katika mechi 31 akiwa sports Lisbon. Kabla ya kusajiliwa na Fergie mwaka 2003, ambapo usajili wake wengi waliuponda hata Fergie hakutegema Kama atakuja kuwa mchezaji bora siku za mbeleni.

Vip hojilund, kwamba tuseme kuwa na goli 9 ndio yatosha kusema tumepigwa, kwamba ataflop ?
Huyu dogo Kuna kitu 10hag amekiona
Kwake ndio maana anataka kumsajili.

Mengine tuachie mda ndio utaongea.
Ronaldo hakusajiliwa kwa €100m au €50m alikuja kwa £12m tu

Huyo dogo kwa €30m Ni sawa kabisa ila mechi 32 goal 9 €100m huo Ni utapeli

Wakati Anthony anakuja nilisema amecheza ligi ya wakulima ana Goli 8 tu , how comes anauzwa €100m , na haja prove chochote even ligi ya wakulima

Leo kila mtu anakubali pale Ni utapeli tu
 
Manchester United have Japanese 2002 born GK Zion Suzuki (Urawa Reds) on their radar.

He’s one of the option as new backup GK. Nothing done — but Man Utd informed.

Priority remains to get André Onana deal done. Talks ongoing with Inter. €55m bid needed to seal it

#𝙏𝙧𝙪𝙨𝙩𝙏𝙝𝙚𝙋𝙧𝙤𝙘𝙚𝙨𝙨𝙀𝙏𝙃
#𝙐𝙣𝙞𝙩𝙚𝙙𝙛𝙤𝙧𝙩𝙝𝙚𝙁𝙖𝙣𝙨
#𝙎𝙝𝙚𝙞𝙠𝙝𝙅𝙖𝙨𝙨𝙞𝙢𝙄𝙣𝘼𝙩𝙈𝙖𝙣𝙐𝙩𝙙
#𝙂𝙡𝙖𝙯𝙚𝙧𝙊𝙐𝙏
#𝙂𝙂𝙈𝙐

man utd |
IMG_20230707_151637_507.jpg
 
Ronaldo hakusajiliwa kwa €100m au €50m alikuja kwa £12m tu

Huyo dogo kwa €30m Ni sawa kabisa ila mechi 32 goal 9 €100m huo Ni utapeli

Wakati Anthony anakuja nilisema amecheza ligi ya wakulima ana Goli 8 tu , how comes anauzwa €100m , na haja prove chochote even ligi ya wakulima

Leo kila mtu anakubali pale Ni utapeli tu
Soko la wachezaji wa zamani ni tofauti na sasa mfano Benzema alienda Real Madrid kwa bei ya kawaida ila kwa miaka hii angesajiliwa kwa si chini ya €100m.

Kingine kijana ni kinda miaka 20 hakuwa kwa kuibeba timu mabegani halafu Atalanta msimu ulioisha walikuwa wabovu tu sio wale tunaowafahamu.

Ungemjudge kwa mabao angekuwa katoka top team iliyofanya vyema.

Pia mchezaji huwa kadri anavyozidi kuongezeka umri kutegemea na njaa yake ya mafanikio kunakuwa na progress ya kiwango.

Robin Van Persie wa mwanzo kwenu alikuwaga hata bao 10 za ligi anafikisha?
 
Manchester United's most expensive signings in history:

Pogba: €105M
Antony: €95M
󠁧󠁢󠁥󠁮󠁧󠁿 Maguire: €87M
󠁧󠁢󠁥󠁮󠁧󠁿 Sancho: €85M
Lukaku: €84.7M
Di María: €75M
Casemiro: €70.7M
Fernandes: €65M
󠁧󠁢󠁥󠁮󠁧󠁿 Mount: €64M
Martial: €60M

#𝙏𝙧𝙪𝙨𝙩𝙏𝙝𝙚𝙋𝙧𝙤𝙘𝙚𝙨𝙨𝙀𝙏𝙃
#𝙐𝙣𝙞𝙩𝙚𝙙𝙛𝙤𝙧𝙩𝙝𝙚𝙁𝙖𝙣𝙨
#𝙎𝙝𝙚𝙞𝙠𝙝𝙅𝙖𝙨𝙨𝙞𝙢𝙄𝙣𝘼𝙩𝙈𝙖𝙣𝙐𝙩𝙙
#𝙂𝙡𝙖𝙯𝙚𝙧𝙊𝙐𝙏
#𝙂𝙂𝙈𝙐

man utd |View attachment 2680111
Hizi bei kila siku zinaongezeka tu. Martial si Alisajiliwa £36M na tunalipa £50M akishinda Baloon D or?
 
Soko la wachezaji wa zamani ni tofauti na sasa mfano Benzema alienda Real Madrid kwa bei ya kawaida ila kwa miaka hii angesajiliwa kwa si chini ya €100m.

Kingine kijana ni kinda miaka 20 hakuwa kwa kuibeba timu mabegani halafu Atalanta msimu ulioisha walikuwa wabovu tu sio wale tunaowafahamu.

Ungemjudge kwa mabao angekuwa katoka top team iliyofanya vyema.

Pia mchezaji huwa kadri anavyozidi kuongezeka umri kutegemea na njaa yake ya mafanikio kunakuwa na progress ya kiwango.

Robin Van Persie wa mwanzo kwenu alikuwaga hata bao 10 za ligi anafikisha?
Robin Van Persie anatoka fayernood kwa £3m alikuwa winger , hakuwahi kumaliza msimu mzima Arsenal, na alipomaliza alifikisha Goli 25+

Huyo dogo hana thaman hiyo ,the same Kama tulivyopinga kwa Anthony ,Nunez ,even hata Bellingham ,muda Ni mwalimu

Huyo dogo labda angecheza Tena angalau msimu mwingine , sajili za one season wonder huwa Ni Risk

Ndio maana mm naamini Ni rahis Sancho akarejea na kuwa hatari kuliko Anthony ,sababu Sancho alishwahi kufanya balaa bundesliga 10+ Goals , 10+ Assist Tena zaidi ya msimu mmoja
 
MUFC's lead scout in Japan
Kei Tamura, has been monitoring —Zion Suzuki for quite a long time even during his academy days.
What makes this link interesting is the fact he also had close ties built with the player's club Urawa Reds as he worked there for 7 yrs as a scout.
1688734104594.png
 
Back
Top Bottom