Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United's most expensive signings in history:

Pogba: €105M
Antony: €95M
󠁧󠁢󠁥󠁮󠁧󠁿 Maguire: €87M
󠁧󠁢󠁥󠁮󠁧󠁿 Sancho: €85M
Lukaku: €84.7M
Di María: €75M
Casemiro: €70.7M
Fernandes: €65M
󠁧󠁢󠁥󠁮󠁧󠁿 Mount: €64M
Martial: €60M

#𝙏𝙧𝙪𝙨𝙩𝙏𝙝𝙚𝙋𝙧𝙤𝙘𝙚𝙨𝙨𝙀𝙏𝙃
#𝙐𝙣𝙞𝙩𝙚𝙙𝙛𝙤𝙧𝙩𝙝𝙚𝙁𝙖𝙣𝙨
#𝙎𝙝𝙚𝙞𝙠𝙝𝙅𝙖𝙨𝙨𝙞𝙢𝙄𝙣𝘼𝙩𝙈𝙖𝙣𝙐𝙩𝙙
#𝙂𝙡𝙖𝙯𝙚𝙧𝙊𝙐𝙏
#𝙂𝙂𝙈𝙐

man utd |
IMG_20230706_132918_973.jpg
 
Kuachilia mbali mismanagement ya timu kama united, football imebadilika sana. Too much rules
Liverpool wkt wako onfire walisajil vijana wasio na names kabisa, ila baada ya msimu wamepata majina wakiwa liverpool.
Majina yarakusaidia kukuza team in marketing lakin technical wise kama hilo jina haliwezi deliver hata hiyo market ita fail.
Hawa wanaotaka majina naona ni kama wamesahau, utd misimu ya karibuni tumekuwa tukisajili majina kwa bahati mbaya asilimia tisini yalifeli. Tukianza na Pogba Falcao, Di maria, Sanchezi na Sancho yote haya yalifeli au yamefeli. Utd miaka yote tangu enzi ya Sir Ferg tumekuwa tukisajili wachezaji wasio na majina na kuwafanya wawe na majina, mambo ya kusajili majina hayo niyakina Madrid.
 
Preseason training begins today.

#𝙏𝙧𝙪𝙨𝙩𝙏𝙝𝙚𝙋𝙧𝙤𝙘𝙚𝙨𝙨𝙀𝙏𝙃
#𝙐𝙣𝙞𝙩𝙚𝙙𝙛𝙤𝙧𝙩𝙝𝙚𝙁𝙖𝙣𝙨
#𝙎𝙝𝙚𝙞𝙠𝙝𝙅𝙖𝙨𝙨𝙞𝙢𝙄𝙣𝘼𝙩𝙈𝙖𝙣𝙐𝙩𝙙
#𝙂𝙡𝙖𝙯𝙚𝙧𝙊𝙐𝙏
#𝙂𝙂𝙈𝙐

man utd |View attachment 2680106
Naliona kubwa la "Mabishoo" Martial hapo..

Sijui kama kutakuwa na clear out yoyote ya maana.
 
Update ya takeover
92 foundation imekuwa registered ndani ya Cayman Islands ambapo ndio zilipo headquarters za Manchester United.

Hii imetoka mida hii source ni Oracle NYSE.

Maana halisi ni kwamba kilichobakia ni kuingizwa mtonyo tu na Qatari wajibebee timu

Achaneni na sources za UK wengi ni Anti-Qatar wanaleta updates negative tu
IMG_20230706_185341.jpg
 
Sometimes tusisikilizage upuuzi mwanzo walisema bajeti ya usajili ni €100-120m halafu kashasajiliwa Mount huku Onana soon akifuatiwa na Hojlund hapo jumla inavuka €150m+

Imekaa vp ama haters ndio walikuwa wanataka kutuumiza tu
 
Sometimes tusisikilizage upuuzi mwanzo walisema bajeti ya usajili ni €100-120m halafu kashasajiliwa Mount huku Onana soon akifuatiwa na Hojlund hapo jumla inavuka €150m+

Imekaa vp ama haters ndio walikuwa wanataka kutuumiza tu
Huyo hojilund, ni hatari sana anauwezo wa kufunga sehemu yoyote ambayo huwezi kutegemea kwakweli asajiliwe mapema.
 
Back
Top Bottom