Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Tushazidiwa hadi na Arsenal sokoni.

Hili chama letu siasa zimekuwa nyingi..

Hadi saivi ilibidi tuwe tushapata namba tisa wa kueleweka..na mbadala wa Casemiro..then Golini.
Yote kikwazo ni takeover Glazers waseme tu kama hawauzi timu mambo mengine yafanyike maana kuna targets tutakosa kusajili halafu tuje kufanya panic buys tarehe 31.8
 
Watu hawasajili majina kama zamani
Sasa hivi na zamani hakuna tofauti,timu kubwa zinasajili uwezo wa mchezaji uwanjani na jina pia,
Angalia usajili wa timu Kama Mancity,Chelsea,Liverpool,Real Madrid,Barcelona,Bayern....je Hawa hawasajili Majina?
Na Hauzi kuwa na jina ukakosa uwezo uwanjani kwani jina hukuzwa na uwezo wako katika pitch.

Tukubali Man Utd imepoteza mvuto kwa wachezaji wakubwa hatuwezi kubattle na kina Mancity, Liverpool,Barcelona, Beyern.
 
Sasa hivi na zamani hakuna tofauti,timu kubwa zinasajili uwezo wa mchezaji uwanjani na jina pia,
Angalia usajili wa timu Kama Mancity,Chelsea,Liverpool,Real Madrid,Barcelona,Bayern....je Hawa hawasajili Majina?
Na Hauzi kuwa na jina ukakosa uwezo uwanjani kwani jina hukuzwa na uwezo wako katika pitch.

Tukubali Man Utd imepoteza mvuto kwa wachezaji wakubwa hatuwezi kubattle na kina Mancity, Liverpool,Barcelona, Beyern.

Kuachilia mbali mismanagement ya timu kama united, football imebadilika sana. Too much rules
Liverpool wkt wako onfire walisajil vijana wasio na names kabisa, ila baada ya msimu wamepata majina wakiwa liverpool.
Majina yarakusaidia kukuza team in marketing lakin technical wise kama hilo jina haliwezi deliver hata hiyo market ita fail.
 
IKIWA MANCHESTER UNITED WATAMPATA ANDRE ONANA,ITAKUA NI DIRA BORA KWA ERIC TEN HAG.

Hali ilivyosasa..

Ni wazi fika Man united kwasasa inakumbwa na hali ya kutokua na kiwango kizuri cha fungo la usajili,kuna baadhi ya taarifa zinasema kiwango alichopewa Ten Hag ni £120 mil.

Licha ya kuwa taarifa hizi sio rasmi lakini bado haifichi ukweli ya kuwa United kwasasa wapo kwenye ugumu katika fungo la pesa za usajili. Pia bado eneo la utawala bado halijakaa sawa, Hakuna kinachoeleweka moja kwa moja. klabu inauzwa ama la.!!.

TIMU LAZIMA IENDELEE.

Ten Hag analijua hili, kazi yake ni moja tu,kuhakikisha timu inafanya vizuri pasina kujali kile kinachoelendelea juu,ukiwa kama Meneja mkuu kazi yako kubwa ni kudhibiti kitaaluma kitengo ulichokabidhiwa.

Kitalamu Erick anavyo vipaumbele kuhusu timu yake kuelekea msimu ujao,na niwazi anahitaji kuingia ndani ya pre-seoson akiwa na ukamilifu wa baadhi katika orodha yake, Tayari anaye Mason Mount, kisha anamuhitaji Onana.

KWANINI ANDRE ONANA,AU KWANI GOLIKIPA MPYA.

Kwanza ni katika kuhakikisha timu inacheza kama anavyotaka. Msimu ulioisha Ten Hag alibezi zaidi kwenye mkakati kuliko falsafa. mkakati ni kuhakikisha timu inapata matokeo pasina kujali ni mtindo upi mama utatumika kuhakikisha unapata matokeo .

Falsafa ni mtindo unaoeleweka wa uchezaji katika kuhakikisha timu inapata matokeo.falsafa ya Hag ni kuifanya timu yake inadhibiti(umiliki ) wa mchezo,pasi na nafasi .

United ya Hag haikucheza hivyo, hii ilitokana na yeye kutokua na ufahamu mzuri wa kiufundi kuhusu wachezaji wake kiutendaji .

KUSUKA MTINDO WA UCHEZAJI.

Falsafa za kudhibiti mchezo zinahitaji uwe na mlinda mlango mwenye uwezo mkubwa wa kudaka na mwenye umahili miguuni, ili kufanikisha adhma yake anahitaji kwanza golikipa wa namna hiyo(hapa ataenda kutengeneza style of play) kisha baadae itabakia kwa mchezaji mmoja mmoja kutekeleza majumu kiufundi.

KATI YA MSHAMBULIAJI NA GOLIKIPA NANI MUHIMU KUMPATA KABLA.

Ten Hag anaenda kuitengeneza United kifalsafa, na hii itatokana kama atampata mapema mlinda mlango anayemuhitaji. Dira ya uchezaji inatengenezwa kuanzia kwa golikipa,kisha mbinu za kiujumla zitatengenezwa kutokana na aina ya wachezaji alionao.

kutokana na bajeti iliopo ikisema usajili mshambuliaji mahili inamaana hautampata golikipa unayemuhitaji, itakulazim utoke nje ya falsafa, kitu ambacho sio sera ya makocha waliokulika kwenye misingi ya sera hiyo.

Jibu mlinda mlango ni muhimu zaidi katika falfasafa kuliko mshambuliaji,Ukimpata Onana umeipata falfasafa,kisha mambo mengine yatafuta baada ya kuipata cream ya timu .

JE TIMU INAWEZA KUFANYA VIZURI PASINA MSHAMBULIAJI WA KATI.

Ndio, bila shaka... ikiwa kama utakua na ugumu katika kuzuia na kucheza soka safi utakua na nafasi kubwa ya kushinda mchezo.

mfano Man city ya msimu wa 2021/2022 iliweza kuchukua taji pasina kuwa na mshambuliaji mahili wa kati, Muda mwingi gabriel Jesus aliwekwa bench. hata Arsenal hatari ya msimu ulioisha bado haikua na strike mahili lakini ni mingoni mwa timu zilizofunga mabao mengi,.

Wachezaji wake wengi wa mbele waligawana mabao. United inawachezaji wengi mahili nafasi ya mbele, unaweza kuwatumia hawa wote kuhakikisha wanakupa mabao, una Sancho, Antony,Rashford ,Martial,Bruno fernandez,Mason Mount na Mason Greenwood, hawa wote wanauwezo wa kufunga na kuasist..

KUUZA SIO RAHISI KWASASA.

Utaanzaje kuuza wachezaji ukiwa hauna uhakika wa kununua wengine. haiwezekani kabisa. Malengo makubwa ya Ten Hag ni kuhakikisha anatumia nyenzo alizonazo kutengeneza anachokihitaji, kama kutakua na mbadiliko yeyote basi anaweza kuyafanya baadae ila kwasasa tusitegemee kuona United inauza baadhi ya wachezaji wake wa kikosi cha kwanza.

WASHABIKI WAMSAPOTI TEN HAG.

Bila kuficha kwasasa United ndio timu ambayo haieleweki nini inakifanya, inawachezaji wengi ambao ni mizigo, haina pesa, haina uongozi imara. kwa ufupi United ni kama dume la ng'ombe ambalo halina faida.

Usitegemee kuiona Unitd inashindana na timu kama Man city,Arsenal na Real Madrid. Ondoa matarajio kuhusu Manchester united.Jiandae kwa chochote . Nakuhusia play katika sehemu unayoiyona itakufaa kama shabiki,napo ni kumsapoti Ten Hag.

Wasallam..

Kalamu ya Nasri kulemba
follow instagram Nasrikulemba.
 
Manchester United will proceed with new verbal bid for André Onana. Conversations will continue with Inter as opening bid worth €40m plus €5m add-ons has been rejected.

Onana's position is clear: prepared to accept Man United if the two clubs will agree on fee.

#𝙏𝙧𝙪𝙨𝙩𝙏𝙝𝙚𝙋𝙧𝙤𝙘𝙚𝙨𝙨𝙀𝙏𝙃
#𝙐𝙣𝙞𝙩𝙚𝙙𝙛𝙤𝙧𝙩𝙝𝙚𝙁𝙖𝙣𝙨
#𝙎𝙝𝙚𝙞𝙠𝙝𝙅𝙖𝙨𝙨𝙞𝙢𝙄𝙣𝘼𝙩𝙈𝙖𝙣𝙐𝙩𝙙
#𝙂𝙡𝙖𝙯𝙚𝙧𝙊𝙐𝙏
#𝙂𝙂𝙈𝙐

man utd |
IMG_20230706_133441_898.jpg
 
Manchester United team prediction for next season

#𝙏𝙧𝙪𝙨𝙩𝙏𝙝𝙚𝙋𝙧𝙤𝙘𝙚𝙨𝙨𝙀𝙏𝙃
#𝙐𝙣𝙞𝙩𝙚𝙙𝙛𝙤𝙧𝙩𝙝𝙚𝙁𝙖𝙣𝙨
#𝙎𝙝𝙚𝙞𝙠𝙝𝙅𝙖𝙨𝙨𝙞𝙢𝙄𝙣𝘼𝙩𝙈𝙖𝙣𝙐𝙩𝙙
#𝙂𝙡𝙖𝙯𝙚𝙧𝙊𝙐𝙏
#𝙂𝙂𝙈𝙐

man utd |
IMG_20230706_133258_107.jpg
 
Harry Maguire’s salary increase as a result of #MUFC qualifying for the #UCL is making it more challenging to sell the defender.

#JamieJackson
#𝙏𝙧𝙪𝙨𝙩𝙏𝙝𝙚𝙋𝙧𝙤𝙘𝙚𝙨𝙨𝙀𝙏𝙃
#𝙐𝙣𝙞𝙩𝙚𝙙𝙛𝙤𝙧𝙩𝙝𝙚𝙁𝙖𝙣𝙨
#𝙎𝙝𝙚𝙞𝙠𝙝𝙅𝙖𝙨𝙨𝙞𝙢𝙄𝙣𝘼𝙩𝙈𝙖𝙣𝙐𝙩𝙙
#𝙂𝙡𝙖𝙯𝙚𝙧𝙊𝙐𝙏
#𝙂𝙂𝙈𝙐

man utd |
IMG_20230706_133206_546.jpg
 
Preseason training begins today.

#𝙏𝙧𝙪𝙨𝙩𝙏𝙝𝙚𝙋𝙧𝙤𝙘𝙚𝙨𝙨𝙀𝙏𝙃
#𝙐𝙣𝙞𝙩𝙚𝙙𝙛𝙤𝙧𝙩𝙝𝙚𝙁𝙖𝙣𝙨
#𝙎𝙝𝙚𝙞𝙠𝙝𝙅𝙖𝙨𝙨𝙞𝙢𝙄𝙣𝘼𝙩𝙈𝙖𝙣𝙐𝙩𝙙
#𝙂𝙡𝙖𝙯𝙚𝙧𝙊𝙐𝙏
#𝙂𝙂𝙈𝙐

man utd |
IMG_20230706_133152_713.jpg
 
Brandon Williams, Amad & Dion McGhee training together

#𝙏𝙧𝙪𝙨𝙩𝙏𝙝𝙚𝙋𝙧𝙤𝙘𝙚𝙨𝙨𝙀𝙏𝙃
#𝙐𝙣𝙞𝙩𝙚𝙙𝙛𝙤𝙧𝙩𝙝𝙚𝙁𝙖𝙣𝙨
#𝙎𝙝𝙚𝙞𝙠𝙝𝙅𝙖𝙨𝙨𝙞𝙢𝙄𝙣𝘼𝙩𝙈𝙖𝙣𝙐𝙩𝙙
#𝙂𝙡𝙖𝙯𝙚𝙧𝙊𝙐𝙏
#𝙂𝙂𝙈𝙐

man utd |
IMG_20230706_132951_094.jpg
 
Manchester United's most expensive signings in history:

Pogba: €105M
Antony: €95M
󠁧󠁢󠁥󠁮󠁧󠁿 Maguire: €87M
󠁧󠁢󠁥󠁮󠁧󠁿 Sancho: €85M
Lukaku: €84.7M
Di María: €75M
Casemiro: €70.7M
Fernandes: €65M
󠁧󠁢󠁥󠁮󠁧󠁿 Mount: €64M
Martial: €60M

#𝙏𝙧𝙪𝙨𝙩𝙏𝙝𝙚𝙋𝙧𝙤𝙘𝙚𝙨𝙨𝙀𝙏𝙃
#𝙐𝙣𝙞𝙩𝙚𝙙𝙛𝙤𝙧𝙩𝙝𝙚𝙁𝙖𝙣𝙨
#𝙎𝙝𝙚𝙞𝙠𝙝𝙅𝙖𝙨𝙨𝙞𝙢𝙄𝙣𝘼𝙩𝙈𝙖𝙣𝙐𝙩𝙙
#𝙂𝙡𝙖𝙯𝙚𝙧𝙊𝙐𝙏
#𝙂𝙂𝙈𝙐

man utd |
IMG_20230706_132918_973.jpg
 
Back
Top Bottom