Hilo halina ubishi lakini watu hawataki kuangalia overall game ya Onana:
Kwenye footwork, distribution, confidence na concentration, Onana yupo vizuri.
Swali la kujiuliza Onana kwenye handling technique, consistency, positional awareness, decision making, point blank saves (hapa De Gea ni 100%) ana uwezo wa kumfanya kuwa bora maana hayo ndiyo maeneo muhimu kwa timu ambayo midfield haikai na mpira.
De Gea kacheza top level football consistently, kwenye decision making yupo vizuri na ndiyo maana huwa anafanya saves nyingi kwenye 1v1.
Foresight pia ni kitu Onana hana kutokana na risk anazofanya akiwa anataka kufanya sweeping. Mara nyingi huwa anatoka na anapoteza mipira nje ya box lake. Kwa kasi ya EPL, Ten Hag afikirie sana maamuzi anayotaka kufanya.
Usajili wa Onana nitauleweka kama tu De Gea atapewa mkataba. Tunapaswa kuwa na options nyingi ila kumuamini Onana moja kwa moja ni kosa.