Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Sisi timu kubwa iliyojikwaa kidogo ila haijaanguka mazima. Sasa vitimu vya kizushi kama Nyumbuz vinaamini tumeanguka na havitaki kuamini tumerudi rasmi ulingoni
Kuamini mmerudi rasmi mpaka tuwaone mmebeba Epl, mambo ya kuongoza ligi kwa siku 258 halafu mnabakiza mechi 8 tu kumaliza ligi mnatupa taulo na kukaa chini hii inatufanya tuwaone bado nyie ni mid table team tu kama kina crystal palace.
 
Jiandae July 22 ,usije sema hamjasajili , tumeomba Friend match na nyie View attachment 2674920
Friend match tunawaachia mfunge hata goli 10 ili mjione mpo vizuri halafu kwenye ligi tuje kuwafanyia ile kitu mbaya tuliyowafanyiaga msimu wa 2011/2012
1688204533276.jpg
 
Onana watu wengi wamemjulia fainali ya UCL ila amekuwa bora kitambo tangu akiwa Ajax tunaoangalia Eredivisie Fox Sports tunaelewa japo hatukumuweka akilini wala hatukutegemea siku moja atahusishwa nasi ukizingatia wakati huo tulikuwa addicted na vitu vya De Gea.

Mbali na ligi ya England ligi nyingi watu hawafuatilii sana hasa hizo Uholanzi na Italy sasa wangemjua vipi?
Unasema mbali na pasi zake anakosa vitu vingi vya kuwa kipa bora hebu vitaje,najua saves lazima ziwemo ndio kitu cha kwanza hicho anacho pia.Hebu leta vingine hapa ambavyo hana

Hebu nenda kaangalie skills zake ana kila kitu ama mnaona kisa Mwafrika

Kingine haruhusu bao 4-7 hovyo kama kipa wetu bora
Onana kwenye shot stopping na reflexes hawezi kumfikia De Gea miaka 100.

Onana kwenye timu yenye defence na midfield kama United ipo siku mtamkumbuka De Gea.

Mimi sikubaliani na De Gea kuwa #1 msimu ujao ila Onana siyo kipa sahihi wa kucheza United kwasasa.

EtH ni kama vile sajili zake nyingi anatafuta watu aliowahi kufanya nao kazi kabla, wenye uraia wa Holland, waliocheza Eredivisie au aliowahi kuwahitaji miaka hiyo ana budget ndogo.

Kucheza na midfield ya Case, Mount, Bruno kwa kipa Onana ni risk sana.

Tatizo kubwa la De Gea ni uoga na kufanya makosa ya kizembe. Kipa mpya anahitajika na sokoni kuna options nyingi tu ni suala la kocha kutuliza akili.
 
Onana kwenye shot stopping na reflexes hawezi kumfikia De Gea miaka 100.

Onana kwenye timu yenye defence na midfield kama United ipo siku mtamkumbuka De Gea.

Mimi sikubaliani na De Gea kuwa #1 msimu ujao ila Onana siyo kipa sahihi wa kucheza United kwasasa.

EtH ni kama vile sajili zake nyingi anatafuta watu aliowahi kufanya nao kazi kabla, wenye uraia wa Holland, waliocheza Eredivisie au aliowahi kuwahitaji miaka hiyo ana budget ndogo.

Kucheza na midfield ya Case, Mount, Bruno kwa kipa Onana ni risk sana.

Tatizo kubwa la De Gea ni uoga na kufanya makosa ya kizembe. Kipa mpya anahitajika na sokoni kuna options nyingi tu ni suala la kocha kutuliza akili.
Umeongea ukweli mtupu, onana atapiga pass au kuchezesha vzr timu Kuna watu watamuangusha

Mfano mzuri Kepa , ana footwork nzuri tu ila alipokutana na Chelsea Kiungo Cha kuungaunga kila mech walikuwa wanamtoboa , maana sio mzuri kwenye shot stopping na reflex Kama Mendy ambaye ana footwork mbovu
 
Onana kwenye shot stopping na reflexes hawezi kumfikia De Gea miaka 100.

Onana kwenye timu yenye defence na midfield kama United ipo siku mtamkumbuka De Gea.

Mimi sikubaliani na De Gea kuwa #1 msimu ujao ila Onana siyo kipa sahihi wa kucheza United kwasasa.

EtH ni kama vile sajili zake nyingi anatafuta watu aliowahi kufanya nao kazi kabla, wenye uraia wa Holland, waliocheza Eredivisie au aliowahi kuwahitaji miaka hiyo ana budget ndogo.

Kucheza na midfield ya Case, Mount, Bruno kwa kipa Onana ni risk sana.

Tatizo kubwa la De Gea ni uoga na kufanya makosa ya kizembe. Kipa mpya anahitajika na sokoni kuna options nyingi tu ni suala la kocha kutuliza akili.
Bado man u hajamalizana na mount naw wanakwenda kwa Onana
 
Kocha wako anahitaji keeper ambaye yupo vizuri with his Feet.Na Onana kwa sasa ni Best keeper in the World with his Feet.
Hilo halina ubishi lakini watu hawataki kuangalia overall game ya Onana:

Kwenye footwork, distribution, confidence na concentration, Onana yupo vizuri.

Swali la kujiuliza Onana kwenye handling technique, consistency, positional awareness, decision making, point blank saves (hapa De Gea ni 100%) ana uwezo wa kumfanya kuwa bora maana hayo ndiyo maeneo muhimu kwa timu ambayo midfield haikai na mpira.

De Gea kacheza top level football consistently, kwenye decision making yupo vizuri na ndiyo maana huwa anafanya saves nyingi kwenye 1v1.

Foresight pia ni kitu Onana hana kutokana na risk anazofanya akiwa anataka kufanya sweeping. Mara nyingi huwa anatoka na anapoteza mipira nje ya box lake. Kwa kasi ya EPL, Ten Hag afikirie sana maamuzi anayotaka kufanya.

Usajili wa Onana nitauleweka kama tu De Gea atapewa mkataba. Tunapaswa kuwa na options nyingi ila kumuamini Onana moja kwa moja ni kosa.
 
Umeongea ukweli mtupu, onana atapiga pass au kuchezesha vzr timu Kuna watu watamuangusha

Mfano mzuri Kepa , ana footwork nzuri tu ila alipokutana na Chelsea Kiungo Cha kuungaunga kila mech walikuwa wanamtoboa , maana sio mzuri kwenye shot stopping na reflex Kama Mendy ambaye ana footwork mbovu
Mimi nasubiri tu kuona kocha atafanya nini, kazi yangu kushabikia tu. Nimeona pia watu wengi hawataki hata idea ya De Gea kubaki na Onana kuja yani wao wanaamini akiwepo Onana tumemaliza na hatuhitaji backup nzuri.

Muda ndiyo hakimu.
 
Happy 47th Birthday RUUD

#𝙏𝙧𝙪𝙨𝙩𝙏𝙝𝙚𝙋𝙧𝙤𝙘𝙚𝙨𝙨𝙀𝙏𝙃
#𝙐𝙣𝙞𝙩𝙚𝙙𝙛𝙤𝙧𝙩𝙝𝙚𝙁𝙖𝙣𝙨
#𝙎𝙝𝙚𝙞𝙠𝙝𝙅𝙖𝙨𝙨𝙞𝙢𝙄𝙣𝘼𝙩𝙈𝙖𝙣𝙐𝙩𝙙
#𝙂𝙡𝙖𝙯𝙚𝙧𝙊𝙐𝙏
#𝙂𝙂𝙈𝙐

man utd |
IMG_20230701_130404_599.jpg
 
Happy 19th Birthday Garnacho.

#𝙏𝙧𝙪𝙨𝙩𝙏𝙝𝙚𝙋𝙧𝙤𝙘𝙚𝙨𝙨𝙀𝙏𝙃
#𝙐𝙣𝙞𝙩𝙚𝙙𝙛𝙤𝙧𝙩𝙝𝙚𝙁𝙖𝙣𝙨
#𝙎𝙝𝙚𝙞𝙠𝙝𝙅𝙖𝙨𝙨𝙞𝙢𝙄𝙣𝘼𝙩𝙈𝙖𝙣𝙐𝙩𝙙
#𝙂𝙡𝙖𝙯𝙚𝙧𝙊𝙐𝙏
#𝙂𝙂𝙈𝙐

man utd |
IMG_20230701_130351_534.jpg
 
#MUFC have concrete interest in Dutch keeper Justin Bijlow. Feyenoord want to do everything they can to keep him.


#1908.nl
#𝙏𝙧𝙪𝙨𝙩𝙏𝙝𝙚𝙋𝙧𝙤𝙘𝙚𝙨𝙨𝙀𝙏𝙃
#𝙐𝙣𝙞𝙩𝙚𝙙𝙛𝙤𝙧𝙩𝙝𝙚𝙁𝙖𝙣𝙨
#𝙎𝙝𝙚𝙞𝙠𝙝𝙅𝙖𝙨𝙨𝙞𝙢𝙄𝙣𝘼𝙩𝙈𝙖𝙣𝙐𝙩𝙙
#𝙂𝙡𝙖𝙯𝙚𝙧𝙊𝙐𝙏
#𝙂𝙂𝙈𝙐

man utd |
IMG_20230701_130330_976.jpg
 
No player from #mufc’s 2013 Premier League winning squad still actively plays for the club.

#𝙏𝙧𝙪𝙨𝙩𝙏𝙝𝙚𝙋𝙧𝙤𝙘𝙚𝙨𝙨𝙀𝙏𝙃
#𝙐𝙣𝙞𝙩𝙚𝙙𝙛𝙤𝙧𝙩𝙝𝙚𝙁𝙖𝙣𝙨
#𝙎𝙝𝙚𝙞𝙠𝙝𝙅𝙖𝙨𝙨𝙞𝙢𝙄𝙣𝘼𝙩𝙈𝙖𝙣𝙐𝙩𝙙
#𝙂𝙡𝙖𝙯𝙚𝙧𝙊𝙐𝙏
#𝙂𝙂𝙈𝙐

man utd |
IMG_20230701_130228_932.jpg
 
New ink for Victor Lindelöf

#𝙏𝙧𝙪𝙨𝙩𝙏𝙝𝙚𝙋𝙧𝙤𝙘𝙚𝙨𝙨𝙀𝙏𝙃
#𝙐𝙣𝙞𝙩𝙚𝙙𝙛𝙤𝙧𝙩𝙝𝙚𝙁𝙖𝙣𝙨
#𝙎𝙝𝙚𝙞𝙠𝙝𝙅𝙖𝙨𝙨𝙞𝙢𝙄𝙣𝘼𝙩𝙈𝙖𝙣𝙐𝙩𝙙
#𝙂𝙡𝙖𝙯𝙚𝙧𝙊𝙐𝙏
#𝙂𝙂𝙈𝙐

man utd |View attachment 2674983View attachment 2674984View attachment 2674985
IMG_20230701_125953_010.jpg
 
Mimi nasubiri tu kuona kocha atafanya nini, kazi yangu kushabikia tu. Nimeona pia watu wengi hawataki hata idea ya De Gea kubaki na Onana kuja yani wao wanaamini akiwepo Onana tumemaliza na hatuhitaji backup nzuri.

Muda ndiyo hakimu.
De gea anasahaulika mapema Sana duh

Arsenal tuliwahi kupiga On target 14 jamaa anazicheza zote mwaka 2017 nadhani

Ile rekodi sijui Kama itavunjwa karibuni ,
 
De gea anasahaulika mapema Sana duh

Arsenal tuliwahi kupiga On target 14 jamaa anazicheza zote mwaka 2017 nadhani

Ile rekodi sijui Kama itavunjwa karibuni ,
ila we jamaa si ndio ulikua unaongoza kumponda De gea wakati ligi inaendelea?
Au yale yalikua ni maneno tu ya kishabiki?
 
#MUFC have concrete interest in Dutch keeper Justin Bijlow. Feyenoord want to do everything they can to keep him.


#1908.nl
#𝙏𝙧𝙪𝙨𝙩𝙏𝙝𝙚𝙋𝙧𝙤𝙘𝙚𝙨𝙨𝙀𝙏𝙃
#𝙐𝙣𝙞𝙩𝙚𝙙𝙛𝙤𝙧𝙩𝙝𝙚𝙁𝙖𝙣𝙨
#𝙎𝙝𝙚𝙞𝙠𝙝𝙅𝙖𝙨𝙨𝙞𝙢𝙄𝙣𝘼𝙩𝙈𝙖𝙣𝙐𝙩𝙙
#𝙂𝙡𝙖𝙯𝙚𝙧𝙊𝙐𝙏
#𝙂𝙂𝙈𝙐

man utd |View attachment 2674979
haya mambo ya kila mchezaji wa Kiholanzi kuhusishwa na Man Utd ndio yanafanya kina Bachelor ll kupata nguvu zaidi ya kumhusisha 10 Hag na ujasusi wa nchi yake dhidi yetu.
 
ila we jamaa si ndio ulikua unaongoza kumponda De gea wakati ligi inaendelea?
Au yale yalikua ni maneno tu ya kishabiki?
Umemsoma alichoandika Forgotten lakini, Degea ana mapungufu ,lakin Kama unamleta Onana Basi muwekee mazingara rafiki lasivyo ataonekana Degea hakuwa tatizo, na mifano ipo hai pale Chelsea , Kepa ana footwork nzuri kuliko mendy,

Chelsea ilipokuwa ovyo Kiungo ,kipa Kepa uliona kilichotokea, kila shuti Goli

Sasa mazingira Kama hayo muweke onana
 
De gea anasahaulika mapema Sana duh

Arsenal tuliwahi kupiga On target 14 jamaa anazicheza zote mwaka 2017 nadhani

Ile rekodi sijui Kama itavunjwa karibuni ,
Kuna uwezekano mkubwa de gea ndio mchezaji mwenye utimamu na uzalendo pale unyumbuni HQ
Naona nyumbu wanarusha kitaulo kabla ya ligi kuanza
 
Kuna uwezekano mkubwa de gea ndio mchezaji mwenye utimamu na uzalendo pale unyumbuni HQ
Naona nyumbu wanarusha kitaulo kabla ya ligi kuanza
Manjesta tumewakosakosa kuwalamba 4,5 hata 10 Mara kadhaa kikwazo Degea ,tunawasakaga Sana ,Kama hiyo mechi ya ON TARGET 14 , hata hii ya mwisho 3-2 , matokeo hayahakisi kabisa tulivyocheza ,muda mwingi tulikuwa kwenye box lao, Degea anaokoa Sana


Sasa acha wamlete Sweeper halafu mabeki wawe wachomaji
 
Back
Top Bottom