mkorea
JF-Expert Member
- Aug 16, 2016
- 8,582
- 19,226
Msimu uliopita kapigwa 7 na Liverpool de gea akiwa kwenye ubora wakeManjesta tumewakosakosa kuwalamba 4,5 hata 10 Mara kadhaa kikwazo Degea ,tunawasakaga Sana ,Kama hiyo mechi ya ON TARGET 14 , hata hii ya mwisho 3-2 , matokeo hayahakisi kabisa tulivyocheza ,muda mwingi tulikuwa kwenye box lao, Degea anaokoa Sana
Sasa acha wamlete Sweeper halafu mabeki wawe wachomaji
Nyumbu anaenda kuwa kichwa Cha mwendawazimu rasmi, kila mtu atajipigia tu
Points 6 tunachukua bila kelele
City anaenda kujipigia nje ndan mkono au zaidi
The same kwa Liverpool atajipigia tu









