Flano
JF-Expert Member
- Aug 7, 2019
- 5,870
- 16,425
"Kama nawaona vile mashabiki wa Ronaldo bado wanasikiliziaga kocha ateleze kidogo wapate pa kubwekeaTuna Waholanzi wawili tu Malacia na Van De Beek ambaye kocha kamkuta tayari mnaliallia
Hadi saaa tumehusishwa na wachezaji zaidi ya 70 ila mliowaona wa Kiholanzi tu
Kuna kuhusishwa na kusajili,Ten Hag sio mtu wa hivyo,kama nilivyojibu hata akiwa Ajax sio muumini wa kutumia Waholanzi unless wana uwezo sana na starting line up yake hawakuwahi kuzidi 4.
Kama nawaona vile mashabiki wa Ronaldo bado wanasikiliziaga kocha ateleze kidogo wapate pa kubwekea![]()


"


JUST IN:
The prospect of signing a goalscorer is why one-on-one talks are planned with David de Gea once he returns to England.
The £60m deal #mufc have agreed to pay Chelsea for midfielder Mason Mount will account for half of the club’s £120m transfer budget.