Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manjesta tumewakosakosa kuwalamba 4,5 hata 10 Mara kadhaa kikwazo Degea ,tunawasakaga Sana ,Kama hiyo mechi ya ON TARGET 14 , hata hii ya mwisho 3-2 , matokeo hayahakisi kabisa tulivyocheza ,muda mwingi tulikuwa kwenye box lao, Degea anaokoa Sana


Sasa acha wamlete Sweeper halafu mabeki wawe wachomaji
Msimu uliopita kapigwa 7 na Liverpool de gea akiwa kwenye ubora wake
Nyumbu anaenda kuwa kichwa Cha mwendawazimu rasmi, kila mtu atajipigia tu

Points 6 tunachukua bila kelele
City anaenda kujipigia nje ndan mkono au zaidi
The same kwa Liverpool atajipigia tu
 
Mimi nasubiri tu kuona kocha atafanya nini, kazi yangu kushabikia tu. Nimeona pia watu wengi hawataki hata idea ya De Gea kubaki na Onana kuja yani wao wanaamini akiwepo Onana tumemaliza na hatuhitaji backup nzuri.

Muda ndiyo hakimu.
De Gea hatakiwi kubaki kwa sababu ya mindset ya mashabiki wengi haitawaingia akilini kumuona akikaa benchi kama namba 2.

Kama backup nafuu wasimuuze Henderson ama wamsajili Pickford ila kwa De Gea hapana itasababisha kuibuke mijadala ya kipuuzi sana.
 
Onana kwenye shot stopping na reflexes hawezi kumfikia De Gea miaka 100.

Onana kwenye timu yenye defence na midfield kama United ipo siku mtamkumbuka De Gea.

Mimi sikubaliani na De Gea kuwa #1 msimu ujao ila Onana siyo kipa sahihi wa kucheza United kwasasa.

EtH ni kama vile sajili zake nyingi anatafuta watu aliowahi kufanya nao kazi kabla, wenye uraia wa Holland, waliocheza Eredivisie au aliowahi kuwahitaji miaka hiyo ana budget ndogo.

Kucheza na midfield ya Case, Mount, Bruno kwa kipa Onana ni risk sana.

Tatizo kubwa la De Gea ni uoga na kufanya makosa ya kizembe. Kipa mpya anahitajika na sokoni kuna options nyingi tu ni suala la kocha kutuliza akili.
Sio kwamba Ten Hag anatafuta sajili ambazo ashawahi kufanya nao kazi ila ni ugumu wa kupata wachezaji anaowataka ndio unasababisha aje na hiyo plan B kwa sababu ni rahisi kuwapata kutokana na connection yao ya nyuma.

Kim Min Jae
Hojlund
Rabiot
Goncalo Ramos
Kane
Kolo Muani
Axel Disasi
Lavia
Taylor Brooth
Diogo Costa
Mount
Jeremy Frimpong
Nunez
Todibo


Hao ni kati ya wachezaji waliokuwa kwenye rada zake na kampata Mount napo kwa tabu,je hao wengine target zake kashawahi fanya nao kazi?

Mazingira magumu ya sisi kupata wachezaji kwa kutajiwa madau makubwa na wengine kukataa ndio shida inayomsababisha aje na alternative ya kusaka wenye connection nae.
Just imagine yule Mac Allistee tungeenda sisi tungepigwa si chini ya €75m tena tungekataliwa pia ila Liverpool wamempata kwa €35m.

Hivi we unadhani January angepewa hela.ya kusajili striker hata €80m angemsajili Weghorst?

So mimi hata akitafuta wachezaji aliofanya nao kazi sina noma nae kikubwa waperform.

In short mazingira yetu ndio changamoto kwake kuna vitu vya kujiongeza.
 
Hilo halina ubishi lakini watu hawataki kuangalia overall game ya Onana:

Kwenye footwork, distribution, confidence na concentration, Onana yupo vizuri.

Swali la kujiuliza Onana kwenye handling technique, consistency, positional awareness, decision making, point blank saves (hapa De Gea ni 100%) ana uwezo wa kumfanya kuwa bora maana hayo ndiyo maeneo muhimu kwa timu ambayo midfield haikai na mpira.

De Gea kacheza top level football consistently, kwenye decision making yupo vizuri na ndiyo maana huwa anafanya saves nyingi kwenye 1v1.

Foresight pia ni kitu Onana hana kutokana na risk anazofanya akiwa anataka kufanya sweeping. Mara nyingi huwa anatoka na anapoteza mipira nje ya box lake. Kwa kasi ya EPL, Ten Hag afikirie sana maamuzi anayotaka kufanya.

Usajili wa Onana nitauleweka kama tu De Gea atapewa mkataba. Tunapaswa kuwa na options nyingi ila kumuamini Onana moja kwa moja ni kosa.
Nimekuelewa Mkuu.
 
ila we jamaa si ndio ulikua unaongoza kumponda De gea wakati ligi inaendelea?
Au yale yalikua ni maneno tu ya kishabiki?
Mashabiki wa upinzani ni wanafiki sana kipindi Maguire anatua hakuwa mbovu kama wa sasa na tulikuwa tunampamba ila wao wanamponda na kusema tumetapeliwa ila baada ya sisi kuanza kumpondea wao wanatetea wanasema Maguire mzuri ila timu ndio mbovu.
Hawana msimamo
 
haya mambo ya kila mchezaji wa Kiholanzi kuhusishwa na Man Utd ndio yanafanya kina Bachelor ll kupata nguvu zaidi ya kumhusisha 10 Hag na ujasusi wa nchi yake dhidi yetu.
Ten Hag hata akiwa Ajax licha ya kuwa ni ligi ya nyumbani ila first 11 yake Waholanzi walikuwa hawavuki wa4.

Hiyo ni plan B yake baada ya kufeli kupata anaowataka.

Numeorodhesha juu target zake ambazo sio za Kiholanzi wala hajawahi kufanya nao kazi ila kazikosa na kuna uwezekano wa kuzikosa kabisa
 
Wakati tunamsifia miaka ya nyuma mlikuwa mnamponda ila saa hizi mnajifanya ndio watetezi,tumezoea unafiki wa wapinzani
Hawa Arsenyani ni watani wetu wa jadi tuwazoee tu.
Tumewanyanyasa sana miaka ya nyuma bado wanahasira sana na sisi.
IMG_20230102_141107.jpg
 
Watu wanajifanya kulia unfair treatment ya De Gea huku kwa Romero walikuwa wanakenua tu.

Mtu game za Cups anacheza zote ikifika semi final eti anawekaa De Gea halafu anachomesha hasa ile semi final ya FA 2020 Chelsea wanatupiga 3-1 kuna mabao kuna magoli mawili aliruhusu ya kingese sana.
Nikikumbuka ya Sergio Romero siwezi kujifanya nina huruma sasa.
Pengine hata ile Europa ya 2017 tusingebeba kama Jose angeleta mahaba na De Gea hadi kwa final,kawaida yake kuchoma games muhimu.

Bruno Fernandes ana mstari wake mmoja alisena huwa anataka kucheza kila mechi kwa sababu anajua itafika wakati hatatumika so anatumia hii fursa anayopewa na makocha ili baadae asiwe na malalamiko na makasiriko(That's why I love my Captain)


So hata huyo DDG muda wa miaka 12 inatosha.
IMG_20230701_004434.jpg
 
Ila hata mashabiki Wa Man U wa pale uingereza ni mafala sana,hivi Kwa muda wote huu wamesshindwa kuwatingisha hao Glazers mpaka waachie klabu? Wanaishia kuandamana kinafikihalafu msimu unaooanza unakuta wao ndio wanaojaa uwanjani kuliko timu zingine. Naamini wangekuwa serious wangekuwa washapeleka ujumbe na hao Glazers wangekuwa washaondoka
 
Which of these players are you willing to give at least one more season?

#𝙏𝙧𝙪𝙨𝙩𝙏𝙝𝙚𝙋𝙧𝙤𝙘𝙚𝙨𝙨𝙀𝙏𝙃
#𝙐𝙣𝙞𝙩𝙚𝙙𝙛𝙤𝙧𝙩𝙝𝙚𝙁𝙖𝙣𝙨
#𝙎𝙝𝙚𝙞𝙠𝙝𝙅𝙖𝙨𝙨𝙞𝙢𝙄𝙣𝘼𝙩𝙈𝙖𝙣𝙐𝙩𝙙
#𝙂𝙡𝙖𝙯𝙚𝙧𝙊𝙐𝙏
#𝙂𝙂𝙈𝙐

man utd |View attachment 2674647
Fred..

Sancho..
 
Ila hata mashabiki Wa Man U wa pale uingereza ni mafala sana,hivi Kwa muda wote huu wamesshindwa kuwatingisha hao Glazers mpaka waachie klabu? Wanaishia kuandamana kinafikihalafu msimu unaooanza unakuta wao ndio wanaojaa uwanjani kuliko timu zingine. Naamini wangekuwa serious wangekuwa washapeleka ujumbe na hao Glazers wangekuwa washaondoka
Hilo suala haliwezekani. Unajua 95% ya mashabiki wa United hawaishi England!

Manchester tu ina wakazi 1.7m na kwa mwaka 2018 population ya England ni 60m.

Old Trafford kwa mwaka inapata visitors siyo chini ya 1.5m hawa ni watalii.

Old Trafford capacity ni 74k na katika msimu wa EPL kuna mechi 19 za home, yaani wenyeji wasipoingia uwanjani basi wageni wataijaza OT na huwezi kumzuia mtu aliyekuwa na ndoto za kufika OT aache kutimiza ndoto yake ajiunge kufanya maandamano.
 
Hilo suala haliwezekani. Unajua 95% ya mashabiki wa United hawaishi England!

Manchester tu ina wakazi 1.7m na kwa mwaka 2018 population ya England ni 60m.

Old Trafford kwa mwaka inapata visitors siyo chini ya 1.5m hawa ni watalii.

Old Trafford capacity ni 74k na katika msimu wa EPL kuna mechi 19 za home, yaani wenyeji wasipoingia uwanjani basi wageni wataijaza OT na huwezi kumzuia mtu aliyekuwa na ndoto za kufika OT aache kutimiza ndoto yake ajiunge kufanya maandamano.
Wangejaribu tuone hao wageni wapige kelele za kuisapoti timu OT ktk mechi karibia zote
 
Tuna Waholanzi wawili tu Malacia na Van De Beek ambaye kocha kamkuta tayari mnaliallia


Hadi saaa tumehusishwa na wachezaji zaidi ya 70 ila mliowaona wa Kiholanzi tu

Kuna kuhusishwa na kusajili,Ten Hag sio mtu wa hivyo,kama nilivyojibu hata akiwa Ajax sio muumini wa kutumia Waholanzi unless wana uwezo sana na starting line up yake hawakuwahi kuzidi 4.

Kama nawaona vile mashabiki wa Ronaldo bado wanasikiliziaga kocha ateleze kidogo wapate pa kubwekea
 
Tuna Waholanzi wawili tu Malacia na Van De Beek ambaye kocha kamkuta tayari mnaliallia


Hadi saaa tumehusishwa na wachezaji zaidi ya 70 ila mliowaona wa Kiholanzi tu

Kuna kuhusishwa na kusajili,Ten Hag sio mtu wa hivyo,kama nilivyojibu hata akiwa Ajax sio muumini wa kutumia Waholanzi unless wana uwezo sana na starting line up yake hawakuwahi kuzidi 4.

Kama nawaona vile mashabiki wa Ronaldo bado wanasikiliziaga kocha ateleze kidogo wapate pa kubwekea
"Kama nawaona vile mashabiki wa Ronaldo bado wanasikiliziaga kocha ateleze kidogo wapate pa kubwekea"
Screenshot_20230623-201528.jpg
 
Wamemtengenezea De Gea fail compilation ya dk 109! Hizi ni chuki sasa.

Kwa style hii wachezaji wengi wakija watakuwa under pressure kwasababu kosa 1 tu mashabiki wote wanakutukana.
 
Wamemtengenezea De Gea fail compilation ya dk 109! Hizi ni chuki sasa.

Kwa style hii wachezaji wengi wakija watakuwa under pressure kwasababu kosa 1 tu mashabiki wote wanakutukana.
Wameziweka kwa ushahidi wa wanaobisha, kuna saves nyingi De Gea anazifanya kufuta makosa aliyofanya dk 1 nyuma.

Nenda kaangalie kama akina Becker na Ederson wana mistakes za kijinga
 
Back
Top Bottom