Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Mashabiki wa United mtuache tu. Tunatafuta furaha kwa jambo lolote lile ilihali tunajua kabisa %50 ni uongo.

Timu haisajili, haiuzi wachezaji. Tunaambiwa budget ni £100m wakati wenzetu wana-spend tu.
Hata hiyo €100m bado tetesi tu,nyingine zinasema ni €260m ila hatutaweza kuspend zote hadi tuuze wachezaji
 
Diogo Dalot

#𝙏𝙧𝙪𝙨𝙩𝙏𝙝𝙚𝙋𝙧𝙤𝙘𝙚𝙨𝙨𝙀𝙏𝙃
#𝙐𝙣𝙞𝙩𝙚𝙙𝙛𝙤𝙧𝙩𝙝𝙚𝙁𝙖𝙣𝙨
#𝙎𝙝𝙚𝙞𝙠𝙝𝙅𝙖𝙨𝙨𝙞𝙢𝙄𝙣𝘼𝙩𝙈𝙖𝙣𝙐𝙩𝙙
#𝙂𝙡𝙖𝙯𝙚𝙧𝙊𝙐𝙏
#𝙂𝙂𝙈𝙐

man utd |View attachment 2671880View attachment 2671881
Huyu mwamba sijawahi kuelewa ubora wake ni upi
 
Hizo za kutangazwa tarehe 27 zilikuwa za uchochoroni ila hizi za Reuters na Bloomberg na Business ni majarida makubwa.

Hii ishu ni ya kibishara ndio maana hakuna updates za kila siku kama usajili.
Ndio maana imekuwa na ubabaishaji mwingi , kina Fabrizio waliachana nayo maana ingewapotezea reputation zao
 
Ndio maana imekuwa na ubabaishaji mwingi , kina Fabrizio waliachana nayo maana ingewapotezea reputation zao
Hiyo ni kutokana na Greed ya Glazers yaani walitangaza kuuza timu miezi 8 nyuma wamewazungusha bidders kwa round 5 nzima wakati ishu ilitakiwa itamatike mwezi hata wa 5.

Kuhusu sources zote ni reliable ila tukija hapo kwa Ferdinand jamaa huenda ana connection na wale Waqatar maana ile siku baada ya yeye kutoa taarifa tu hayo mashirika nayo yakaanza kutoa zao.

Pia jamaa amewafollow wote familia ya Sheikh Jassim Instagram.

Kuchelewa kutangazwa huenda ilikuwa inasubiriwa taarifa ya kifedha ya klabu ya msimu ikamilike,bado tunaamini muda wowote kuanzia tarehe 1 tunaweza kuona mambo mazuri.
View attachment 2672310
 
Kuna mchezaji wa yanga alisema nimepata offer manjesta anaenda kumrithi magwaya ni yule baka mzenji
 
#𝙏𝙧𝙪𝙨𝙩𝙏𝙝𝙚𝙋𝙧𝙤𝙘𝙚𝙨𝙨𝙀𝙏𝙃
#𝙐𝙣𝙞𝙩𝙚𝙙𝙛𝙤𝙧𝙩𝙝𝙚𝙁𝙖𝙣𝙨
#𝙂𝙡𝙖𝙯𝙚𝙧𝙊𝙐𝙏
#𝙂𝙂𝙈𝙐

man utd |View attachment 2645876
Nyie nyumbu mna habari gani humu?
20230629_075339.jpg
 
Inaogopesha sana ila hamna namna kikombe hiki cha grazzers ikiwezekana kituepuke wallahi.
Jana mida ya saa 9 mchana kwa saa za Marekani kulikuwa na Annual General Meeting ya Shareholders japo hii haihusiani na timu kuuzwa ila imebeba hatma ya timu.

Yawezekana katika mkutano huo Glazers wameamua waendelee kubaki na kufanya uchaguzi wa bodi ya wakurugenzi ama wametangaza kukubali kupokea bid toka kwa waliyemchagua wao.

Kesho inatoka Annual Report baada ya hapo ndio tutajua mbivu na mbichi so tunaweza kufurahi ama tukalia sana.
 
Back
Top Bottom