Al-Hadidy
JF-Expert Member
- Oct 4, 2018
- 1,413
- 3,078
Hizo za kutangazwa tarehe 27 zilikuwa za uchochoroni ila hizi za Reuters na Bloomberg na Business ni majarida makubwa.Yah kila siku zinatengenezwa story hizi hizi, Kuna nyingine ilikuwa inasema eti tarehe 27 jamaa wanatangazwa![]()
Hii ishu ni ya kibishara ndio maana hakuna updates za kila siku kama usajili.











