Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Fabrizio Romano

Manchester United have agreed £60m package deal for Mason Mount with Chelsea - it's here we go!

• Personal terms agreed weeks ago and face to face talks between clubs made it clear - it's finally done.

• Mount's camp position has always been clear: Man United now or leaving Chelsea as free agent in 2024.

• Fee will be £55m guaranteed plus £5m in add ons.

• Medical tests after the weekend already scheduled and contract at Man United will be valid until 2028,

• Manchester United NEVER left the race for Mason Mount despite reports... and they never entered the race for Moisés Caicedo, it's only Chelsea there.

Huge one for United... here we go!View attachment 2673610
Huyu jamaa 10hag alikuwa anamuhitaji kwani maana naona ni kama ametokea tu out of nowhere
 
Mna tatizo la Graza, tatizo la Management na tatizo la Ten hag kukosa talent ID , anaweza kuwa kocha mzuri lakin Hana uwezo wa kung'amua profile za wachezaji

Kuna makocha wanavyo hivyo vyote wengine kimoja wapo , Ole Gunnar ana Talent ID ,

Kama Ten hag angekuwa na Talent ID Kama ole guna , Basi hata kwa bajeti ya £100m mngekuwa na timu Bora

Bahati aliyopata ana Nguvu kuliko waliopita , mwenzie Ole alikuwa mzee wa NDIO BOSS

Kwaiyo maguire anakiwasha sio?
 
Hio kitu ndio inamkera kwelikweli Sheikh Jassim, yeye anaitaka Man Utd kwa mapenzi tu aliyokua nayo kwa club sio kibiashara, hafikirii kabisa faida ya kipesa atakayoipata toka Utd ila anaumiza kichwa kufikiria Utd itafaidika vipi na pesa zake.
Ukiwa na boss kama sheikh Jasim yaani unatamani hata jumapili na siku za sikukuu uwe unaenda tu kazini, maana ukiwa kazini unakua na furaha zaidi kuliko hata ukiwa nyumbani.

Kwa sababu sisi tuna kroenke, sipendi tabia za matajiri kumnunua timu Kwa mapenzi na kumwaga mihela hovyo. Inaleta unfair advantage flani kwao Kwa sababu timu zingine zinajitahidi kutumia mbinu na akili na kulazimika kuwa wachumi...yeye ana mbinu na akili halafu na mahela kibao ya ziada pia. Nataka timu zote ziwe na mfumo wa kina Glazers na Kroenke, au zote zimilikiwe na Hawa matajiri vichaa . Wewe mwaga Hela na Mimi nimwage Hela tuone mwishowe
 
MANYUMBU WAMELETA CHUMA KUTOKA SAYARI YA PLUTO
1688105287331.jpg
 
Bissaka namkubali sana anaweza kua press resistant mzuri kuliko wachezaji wetu wote, ila kama unamfatilia vizuri kwenye kutoa pasi hua anazingua sana, pasi zake nyingi hua zinaishia kwa opponent's.
Sasa huyu sio press resistant

Press resistant Ni yule anaweza kufatwa /kupressiwa na maadui hata watatu akatoa pass Moja tu ikawaacha hapo hapo

Ukiona mchezaji ana presiwa halafu anatoa pass kwa adui au mbovu Huyo Ni muoga au passing ability yake Ni mbovu ,

Ndio maana makocha wanaotaka kucheza kuanzia nyuma wanawasajili wachezaji wenye passing ability kubwa tu
 
Sasa huyu sio press resistant

Press resistant Ni yule anaweza kufatwa /kupressiwa na maadui hata watatu akatoa pass Moja tu ikawaacha hapo hapo

Ukiona mchezaji ana presiwa halafu anatoa pass kwa adui au mbovu Huyo Ni muoga au passing ability yake Ni mbovu ,

Ndio maana makocha wanaotaka kucheza kuanzia nyuma wanawasajili wachezaji wenye passing ability kubwa tu
Game ya Arsenal na Sporting CP ndio kati ya game zangu bora kabisa kuziona last season uwanja ulijaa wachezaji wa aina hiyo zilikuwa zinapigwa press ila kinachofanyika sasa ni ufundi mtupu hadi nikatamani siku moja nione Man United wakiupiga mpira kama ule.
 
Sasa huyu sio press resistant

Press resistant Ni yule anaweza kufatwa /kupressiwa na maadui hata watatu akatoa pass Moja tu ikawaacha hapo hapo

Ukiona mchezaji ana presiwa halafu anatoa pass kwa adui au mbovu Huyo Ni muoga au passing ability yake Ni mbovu ,

Ndio maana makocha wanaotaka kucheza kuanzia nyuma wanawasajili wachezaji wenye passing ability kubwa tu
Ok nimekupata mkuu hamis77
Bissaka tuseme ni Best Tackler kwenye squad yetu au Epl kwa ujumla.
Hua anafanya Tackling za kuogofya ndani ya box na anafanikiwa, ila kwenye Passing accuracy binafsi hua simkubali, mara kibao pasi zake hua zinaishia kwa maadui.
 
Ok nimekupata mkuu hamis77
Bissaka tuseme ni Best Tackler kwenye squad yetu au Epl kwa ujumla.
Hua anafanya Tackling za kuogofya ndani ya box na anafanikiwa, ila kwenye Passing accuracy binafsi hua simkubali, mara kibao pasi zake hua zinaishia kwa maadui.
Bissaka ndiye beki ambaye hakuna winger dunian anataman kucheza nae ,

Ndio maana Mimi bado simuelewi 10hag , Huyo bissaka angeweza kumtumia vzr Sana zaidi ya hapo,

Pep anasema alipogundua anafungika Sana aliamua kutafuta wachezaji mabeki wanaowin duel na kukaba vzr ,ndio maana ukuta wake hauna natural Fullback wote wale Ni ma CB,

Bissaka muwekee kipa mzuri mguuni na mabeki wengine watatu wazuri mguuni , halafu usimpe majukumu ya kupanda mbele, angalia Akanji na Ake hawana majukumu ya kupanda ovyo, ila mkiwafikia hampiti
 
Game ya Arsenal na Sporting CP ndio kati ya game zangu bora kabisa kuziona last season uwanja ulijaa wachezaji wa aina hiyo zilikuwa zinapigwa press ila kinachofanyika sasa ni ufundi mtupu hadi nikatamani siku moja nione Man United wakiupiga mpira kama ule.
Yule Kocha wa Sporting anajua sana , soon ataenda timu kubwa

Alicheza na Spurs ya Conte , Conte alidhalilishwa Sana .
 
Sina imani na Onana kuwa kipa namba moja kiukweli labda aje awe chaguo la pili

Huwa namuona kama John Mwanda tu
Tupo wengi. Pale hamna kipa ila watu wabishi kwasababu ya ile fainali tu.

Hata Uzoho aliwahi kucheza mechi yake vizuri sana pale OT na alikuwa ni backup GK wa Omonia.

Onana ukitoa pasi zake zile anakosa vitu vingi vya kumfanya kuwa kipa bora.
 
Sina imani na Onana kuwa kipa namba moja kiukweli labda aje awe chaguo la pili

Huwa namuona kama John Mwanda tu
Acha ujinga kigezo cha kuwa namba 1 ni kipi?

Hata De Gea wakati anafika alikuwa pazia.

Tusiwe brainwashed kiasi hicho hata kabla yake tulikuwa na Van Der Sar watu wanakuja na kuondoka hakuna cha daima
 
Tupo wengi. Pale hamna kipa ila watu wabishi kwasababu ya ile fainali tu.

Hata Uzoho aliwahi kucheza mechi yake vizuri sana pale OT na alikuwa ni backup GK wa Omonia.

Onana ukitoa pasi zake zile anakosa vitu vingi vya kumfanya kuwa kipa bora.
Onana watu wengi wamemjulia fainali ya UCL ila amekuwa bora kitambo tangu akiwa Ajax tunaoangalia Eredivisie Fox Sports tunaelewa japo hatukumuweka akilini wala hatukutegemea siku moja atahusishwa nasi ukizingatia wakati huo tulikuwa addicted na vitu vya De Gea.

Mbali na ligi ya England ligi nyingi watu hawafuatilii sana hasa hizo Uholanzi na Italy sasa wangemjua vipi?
Unasema mbali na pasi zake anakosa vitu vingi vya kuwa kipa bora hebu vitaje,najua saves lazima ziwemo ndio kitu cha kwanza hicho anacho pia.Hebu leta vingine hapa ambavyo hana

Hebu nenda kaangalie skills zake ana kila kitu ama mnaona kisa Mwafrika

Kingine haruhusu bao 4-7 hovyo kama kipa wetu bora
 
Back
Top Bottom